Shekhe samahani mim nimeota tumekata mikungu na wenzangu wa kike na wakiume nawajua.tukapeleka shule.sikujua tulikabidhi nani.swali wanasem ukiota mambo ya shule maisha yako yanarudi chini.
nimeota nachangua ndizi kwa muuzaji kisha katika kuichagua ile ndizi nikachukua ndiz moja kubwa na mbivu baadae nakaiyona ile ndizi haiko moja kumbe ziko pacha yaan zimeungana
Shekh asalam walkum mm nimeota nimenunua ndiz tatu ndufu nzur zimeiva alaf nikaziweka ktk sahan alaf nikashuka bonden kdg ndz nikaweka juu wakaja mbuzi weng weupe mmoja akawa anataka kura ile ndiz nikawa nawafukuza namm kule bonden nikawa siwez kupanda juu kuzifata zile ndz tn
Amiin thumaa amiin sheikh wtu
Amin yaraab nimeota leo nakula ndizi ya kuiva Masha Allah
Maa shaa Allah
Nmeota nakula ndizi mbivu
Allah akuzidishie inshaAllah
Aamin
Mie nimeona nyumban zimeotaa midizi ndizi zake nyingi ila azijaiva mpaka nikasema mashaallah
Amen
Mimi mmeota nakula ndizi iliyopikwa kwa nazi nanikaongeza
Mashaallah Allah akulipe kheri sheikh
Aamin kwa sote 🤲
Shekhe samahani mim nimeota tumekata mikungu na wenzangu wa kike na wakiume nawajua.tukapeleka shule.sikujua tulikabidhi nani.swali wanasem ukiota mambo ya shule maisha yako yanarudi chini.
Nimeota ndizi zilizoiva zimenenepa mkungu mpaka wateremka juu umezaa sana,alafu chini yake kuna ngombe,mbuzi walononaa yani wanaafya mzuri
ndoto binafsi tunatafsiri kwa sadaka
Allahu Akbar
Mm nimeota nimeshika ndizi ya mkono wa tembe mbivu nawakatia na wengine na wao hapo vip shkhe
nimeota nachangua ndizi kwa muuzaji kisha katika kuichagua ile ndizi nikachukua ndiz moja kubwa na mbivu baadae nakaiyona ile ndizi haiko moja kumbe ziko pacha yaan zimeungana
Asante Aminaaa
Asante nini maana ya kuona mabarafu yame tapakaa kila pahali NA maatae moja limejivaa kichwani NA kuliondoa nni maanayake
ndoto binafsi tunatafsiri kwa sadaka
Asallaam alehkum...nimeota nyumbani kumeuota mkungu wa ndizi umezaa ndizi mbichi zimekomaa nikazikata nikawa nimeziweka karibu yangu sijajua inamaana gani hadi sasa
Wa alaykumu ssalaamu ndoto binafsi tunatafsiri kwa sadaka
Sheikh mm nimeot niletw mkung wandz ambz ni mbich lkn nikaw nimechuw moj ikiw. Imeiva upnd moj nikaw nimekul upnd mmja ambao umeiva lkn ulee upnd mbich sijaul maan yk ninini??
Nimeota naokota ndizi za jano nyingi sana barabarani kishi nikwa naziwe kwenye kikapo
Shekh asalam walkum mm nimeota nimenunua ndiz tatu ndufu nzur zimeiva alaf nikaziweka ktk sahan alaf nikashuka bonden kdg ndz nikaweka juu wakaja mbuzi weng weupe mmoja akawa anataka kura ile ndiz nikawa nawafukuza namm kule bonden nikawa siwez kupanda juu kuzifata zile ndz tn
Wa alaykumu ssalamu ndoto binafsi nifate inbox na tunatafsiri kwa sadaka
Leo miota ndizi 7 kiwanja chanyumba mubichi
Nimeota tupo watu wengi tunachukuwa ndizi za kijani lakini mimi nilichukuwa ndizi nzuri nyingi ya kigani nikazibeba viganjani kwngu
nimeota napewa ndzi na mpenzi wang
Me nimjamzito ety nimeot ndizi zinadondka nying zakuiva nikaanza kuota nakula maan yake nini kwamjmzito
Tena nulokota maembe chino minanza kugawanya watu yakwizya inamanisha Nini?
Nimeota nakula ndizi
❤❤❤❤❤❤❤mimi nimeota tunapika ndizi mbichi
shukrani Shehk sasa shehk mwanaume kuota ndizi ya kijani nini maana yake
ndoto binafsi tunatafsiri kwa sadaka
Mimi nimeota nimeona mkungu wa ndizi umeiva
Nimeota nimevuka mto nikatemnea kdg ñikakuta ndizi nyingi kweñye mgomba na nyingine zipo chini niniaana yake
Shukraan sana
Bc mm nimeota madam wngu amebeba ndzi nyingi akizleta kwa room yngu kwasababu nko saudi ndo mana nmesema madam wngu lkn apa kwtu akna ata mdzi
Nimeota migomba au mgomba
Asalamu Alaykum shekh ,Mimi nimeota ndizi imeniganda kwenye nguo yangu nikapiga mbio kubwa kukimbia iniganduke ila chaajabu nilivofika mbele bado imeniganda naiganduwa haitaki kuganduka imeshikilia nguo yangu maana yake nini ndizi yakijani
Wa alaykumu ssalaamu ndoto binafsi kama hiyo nifate whatssap na tunatafsiri kwa sadaka ndoto binafsi
Mm nimekula zakupika nanazi mbichi
Assalam alaykum
Kuota majani ya mgomba juu ya paa la nyumba yako ipi tafsiri yake?
Wa alaykum ssalaam hiyo nifate inbox
A.a mm nmeota ndizi lkn nmezitupa nje
Je mwanamke akiota anakula ndiz ya njan maan yak nini?
Assalaamu alaykum
Sheikh naomba kujua ndoto znazohusu Nazi
sawa tutatoa in shaa Allah
Mjamzito je akiotandizi yakuiva anakula maan yake nini
Me nimeota namenya zile mbichi
Nimeota leo namenya ndizi mbichi ili nipike
Kuota ni nono
Ukiota ndiz ganda jeus au brown ilahujala zipo mbele yako
Nandioto zakuumwa au kuchota maji kuvuka Bahar kuumwa unapelekwa spital unatalewa dawa kidolen au kupimwa wing wadamu
ndoto binafsi tunatafsiri kwa sadaka
Aki nimeota nikiona nyoka mkupfwa kwa mlango,
Na ukiota unauza
Allah akuzidishie inshaAllah
Mjamzito je akiotandizi yakuiva anakula maan yake nini