Najivunia kuwa mkatoliki nawashukuru saaana wazazi.wangu kunibatiza katoliki ninaendeleza kwa kizazi changu chooote mungu awabariki sana wainjilishaji mnatufariji sana hasa sisi wajane!!!!!!!
Paul alimaliza mwendo na imani kailinda, Mungu mbariki sana mzee wangu aliyeumaliza mwendo February mwaka huu 2020, Kwani sote ni wa Mola aliyemwumba wetu, Amina
Pumzika kwa amani my LOVE. Ni miaka 8 sasa tangu umalize mwendo na kwa huruma ya Mungu unafurahi na malaika na watakatifu mbinguni. Pengo uliloliacha halizzibiki baba. RlP❤
Eee Mungu wangu nakuomba unijalie ni umalize mwendo wangu salama hapa duniani, saa ya kuzimia kwangu kinywa changu kikutamkie kuwa naomba nife mikononi mwako
Yaan wimbo huu nikiusikia nawaza kwamba mwendo nitaumalizaje hivyo najikuta nikishikwa na huzuni huku nikitafakar mwisho wa mwendo itakuwaje ,,nihuruma ya mungu tu wakristo wenzangu
Amina bwnard mkasa utunzi wako mzuri sana huu wimbo umenivuta kutafakari zaidi eee Mungu tusaidie tuvipige vita vilivyo vizuri imani mwendo tuumalize imani tuilinde.
2 Timotheo 4 1 lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho 6 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda; 7 baada ya hayo nimewekewa taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.
Nimependa sana uuu wimbo maana unafumbo kubwa sana kama Mimi mwenyewe linaniusu sana kutowa malalamiko awakusiya ila nilipopasa sautiyi mataifa wamenielewa
Ewe mungu wangu yu mwema na mwingi sana wa fadhiri na ndiyo tegemeo la wanadamu wakristo wenzangu tumrudie mungu kwani tusali kwa bidii maana hatujui siku wala saa na mwokozi yuu karibu ambaye ni yesu kristo anakaribia
Mbarikiwe sana waimbaji! Mimi sio Mkatoliki ila huu wimbo niliusikia jana kwenye mazishi,umenipa kutafakari mno,nimeandika tu baadhi ya maneno niliyokumbuka,na nimefanikiwa kuupata hpa youtube.....Mungu awabariki!!!!!!
Ilikuwa Tarehe 26-Nov-2023, Jumapili saa 11 jioni❤ Ma Elizabeth K.A. Francis umeumaliza mwendo vyema sana, Imani yako uliilinda, pumzika kwa Amani Mama mwema❤
Kwa ushauri tunaombwa tunapoandika mawazo yetu tujitahidi kutumia herufi kubwa YA mwanzo kwa making matakatifu kwa mfano ....Yesu,, Maria,,,Mungu.Kamwe tusitumie herufi ndogo kwa majina matakatifu.Samahani kwa watakaokwazika.
Ooh Mungu tusaidie Mama yangu ameumaliza mwendo Jana saa kumi na dk 35 asbuhi akijiandaa kwenda kanisani! Pumzika kwa amani Mama
🙏🙏🙏🙏🙏
Zvgidkd🎉
Pole sna
Pole sana mungu ailaze roho yake mahali pema amina
@@didanurdin7088qqq
Shujaa kaumaliza mwendo, R.I.P our president
Nilipojitetea Mara ya kwanz hkuna mtu ...aliesimama pamoja nami...lkn mwana mungu ....maneno mazr sana safi sana
Iko vizuri
Baba yangu aliumaliza mwendo mwaka 2006 na mama aliumaliza mwendo mwaka 2020 rest in peace my Lovely parents ❤❤❤
Nxkfgjhflhm🎉❤❤
Ee Mungu nakuomba unijalie mwisho mwema❤ikifika tamati ya Uhai wangu. Hapa Duniani Amina 🙏🙏🙏🙏
Nakumbuka machungu na mitihani ninayopita lakini ninaposikia .nyimbo hii yaani nafarijika saaana nawashukuru sana kwa ujumbe mzuri jamaniii safi sana
Wakatoliki tunaoangalia huu wimbo tujuane
Magreth Phillos ,tupo.
Oliver Kizigo
Najivunia kuwa mkatoliki nawashukuru saaana wazazi.wangu kunibatiza katoliki ninaendeleza kwa kizazi changu chooote mungu awabariki sana wainjilishaji mnatufariji sana hasa sisi wajane!!!!!!!
Inagusa sana moyo
Barikiwa sana wana kwayaa najivunia kuwa mkatoliki
Hakika MUNGU Atukuzwe kwa Karama hii.kuimba nikusali mara mbili.Asante MUMGU.
Ameumaliza mwendo, imano ameilinda, apumzike kwa amani Rais wetu Hayati John Magufuli
Nabarikiwa sana wimbo mzuri umebeba ujumbe mzito tunaosikiliza 2020 tujuane apa
Very nice song
Kazi nzurii
Paul alimaliza mwendo na imani kailinda, Mungu mbariki sana mzee wangu aliyeumaliza mwendo February mwaka huu 2020, Kwani sote ni wa Mola aliyemwumba wetu, Amina
Tuzidi kubarikiwa na wimbo milele
Tutaumaliza vizur tukifa ndan ya yesu........ naupenda sana ukatoliki wangu.....
witiie felix
Shukulan sana by mwanakwaya sauti ya 3
Wimbo ni mzuri mpaka mzuri tena. Narudi kwa Mungu haraka sana nikiusikikiza wimbo huu
TUMSIFU YESU KRISTU.TUMWOMBE MUNGU KWA PAMOJA KUPATA BAHATI YA KUIMBIWA WIMBO HUO ANAOTUHIMIZA MTAKATIFU PAULO.MBARIKIWE SANA TENA SANA. Y
Hapo mwishoo. Ee Mungu wangu
Huu Wimbo kila unapoimbwa napata kutafakar mambo mengi sana hasa wakat Wa Msiba! Ee Mungu nijalie niumalize mwendo salama 2021 naangalia 🙏🙏🙏🙏
Wonderful song
Nabarikiwaa sanaaa kuusikilizaa huu wimbo Ee Mungu nakuomba unisaidie nami nimalize mwendo salama proud to be Catholics
Mungu nisaidie niumalize mwendo salama🙏
Napenda sana mnavoimba najivuniaaa kuwa mkatholic
Yaan huu wimbo ukityuniwa na mw/ najisikiaga vzr nanina farijika sana hongera sana mtunzi wa huu wimbo Mungu ammbaliki popote ulipo
Nimebarikiwa mnoooo Mungu azidi kutuimarishia ukatoliki
Pumzika kwa amani my LOVE. Ni miaka 8 sasa tangu umalize mwendo na kwa huruma ya Mungu unafurahi na malaika na watakatifu mbinguni. Pengo uliloliacha halizzibiki baba. RlP❤
Eee mwenyez MUNGU unisaidie nmalize mwendo salama hapa duniani ameeen.
Ee mwenyez MUNGU. Nisaidie nimaliz salm mwend hap dunian
Nisidie yesu nivipige vita nimalize mwendo salama
Anyone 17/03/2021 after hearing Mr. president Magufuli’s death??😭😭
Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza imani umeilinda... Rest in eternal peace My President Magufuli 🙏🏿
😭😭😭😭 dedicated to my Mother, Father and my son Arin in heaven
Eee Mungu wangu nakuomba unijalie ni umalize mwendo wangu salama hapa duniani, saa ya kuzimia kwangu kinywa changu kikutamkie kuwa naomba nife mikononi mwako
Yaan wimbo huu nikiusikia nawaza kwamba mwendo nitaumalizaje hivyo najikuta nikishikwa na huzuni huku nikitafakar mwisho wa mwendo itakuwaje ,,nihuruma ya mungu tu wakristo wenzangu
Wimbo huu naupenda sana. Ukiimbwa huwa natokwa na machozi
Huu wimbo siupendi kuusikiliza siyo mbaya ila inanitia uchungu ninawakumbuka watu wangu wa karibu unaniliza mnoo
Amina bwnard mkasa utunzi wako mzuri sana huu wimbo umenivuta kutafakari zaidi eee Mungu tusaidie tuvipige vita vilivyo vizuri imani mwendo tuumalize imani tuilinde.
Natamani niumalize mwendo vizuri maana huu wimbo una ujumbe mzito Sana kwetu sisi wanadamu.
Pamoja na Wimbi kubwa La Dunia Covid 19 bado MUNGU wetu ametupa,kumaliza tujuane wapendwa 24/12/2020
Yesu naomba unisaidie na mimi niumalize wendo na kuvipiga vita vilivyo vizuri.
Amina
Ee Mungu nijaalie niweze kumaliza mwendo kwa kutetea Imani yangu. Mbarikiwe wote ktk Bwana
Bwana Yesu niongoze nimalize mwendo salama
Amina
Yahaa wako vzuli
Bado nautazama sana. Gonga like kama bado unauangalia na kuufagilia.
Till 2023 konk song tukifa ndani ya yesu
Napousikia huu wimbo nakumbuka CK mamaangu alipoumalza mwendo wake pumzika kwa aman mamaangu kipenzi
2 Timotheo 4
1 lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho
6 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;
7 baada ya hayo nimewekewa taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.
Nimeumaliza mwendo barikiwa Sana
A sante kwa maneno ya Mngu
Huu wimbo unanikumbusha mbal jaman mbarikiwe sana kwa wimbo huu
Shari martin ameumaliza mwendo wake leo .....buriani Shari 16.8.2024 pale Tana River county
Wimbo mzuri sana ee Mungu Niongoze niweze kuumaliza mwendo salama Ohooo nimewekewa taji ya uzima
Nimependa sana uuu wimbo maana unafumbo kubwa sana kama Mimi mwenyewe linaniusu sana kutowa malalamiko awakusiya ila nilipopasa sautiyi mataifa wamenielewa
Wimbo mzuri ee mungu niogoze nimalize mwendo salama
Mungu niongeze nimalize mwendo salama
Nyimbo nzuri Sana 2021 tujuane kw like
Mungu azidi kuwatia nguvu kwa kazi nzuri tumeiona
Asante sana kwa huo wimbo mtamu mungu hawabaliki.
Am not a Catholic but i really like their tune.. is just wooow❤️💕
karibuuuuuuuuuuu
karibu dada yangu catholic
Wimbo mzuri sana Mungu awabariki sana
Eeh mwenyez mungu unijalie niumalize mwendo wangu salama
Ewe mungu wangu yu mwema na mwingi sana wa fadhiri na ndiyo tegemeo la wanadamu wakristo wenzangu tumrudie mungu kwani tusali kwa bidii maana hatujui siku wala saa na mwokozi yuu karibu ambaye ni yesu kristo anakaribia
Ee mungu ni saidie nami ni malize mwendo salam
jaman kuimba ni Raha Sana nataman Sana huu wimbo niimbiwe siku ya harus yangu Mung anijalie uzma niumalize mwendo iman niilinde
Huu wimbo umenigusa Sana, Mungu awabariki
Vicent Salvii umepata wa kuoa
Asante mungu kwakumaliza mwaka salama;
Mi huu wimbo hapo mwisho dah, najiuliza sana hilo taji!! Ee Mungu nijalie
Wimbo unabariki na kuelewa mafumbo ya kifoo love this song ❤
kwa uwezo wako Mungu 2020 nimeumaliza maana ulikuwa mgumu sana kwangu
Mmbarikuwe waimbaji WA huu wimbo
Mbarikiwe sana waimbaji! Mimi sio Mkatoliki ila huu wimbo niliusikia jana kwenye mazishi,umenipa kutafakari mno,nimeandika tu baadhi ya maneno niliyokumbuka,na nimefanikiwa kuupata hpa youtube.....Mungu awabariki!!!!!!
Unanikumbusha sana msiba wa baba yangu mzazi mwenyezi mungu ampe pumziko LA milele , Amina
una maneno mazur sana ya kutafakari je mwendo tunaumaliza tukiwa na hali gani
Pale St. Perer's juniory seminary kila mahafali lazima tuimbe ilikuwa. Naupenda sana
Mi huwa nikiusikiliza nawakumbuka wazi wangu, Mungu awapumzishe mahala pema😭😭
Ubarikiwe sana mtunz wa hii nyimbo
jamani mmeimba vizuri nimshukuru Mungu kwa ajili yenu aendelee kuwatunza muzidi kuinjilisha zaidi
Mubarijiwe saana wandugu pale tanzania mimi ni mkongomani DRC nawependa sana
Twawapenda pia ndg zetu wa DRC
Namuomba Mungu alinde familia yangu kimwili nakiloho
Tujuane wanaoangalia 24/12/2020
Ubarikiwe sana Bernad mukasa hakika napata faraja na tunzi zako.
Mungu skype nguvu tunabarikiwa sana
Asanteni WATUMISHI wa MUNGU yuda Thadey kutoka mbeya. MUNGU AWABARIKI, tumalize mwendo salama.
Naomba nimalze mwndo eeh mungu❤❤❤
Mbarikiwe wimbo huu unafariji Sana
Mbarikiw
Mungu atusaidie kuumaliza mwendo dhidi ya corona
Eeh mungu nijarie mwisho mwema
Nmeumaliza mwendo,by benard mkasa
Mungu awabariki wanakwaya walioimba huu wimbo
Kweri kristo ni njia ya kweli nauzima hakunaanayefanana naye
Asante Bwana yesu sifa na utukufu zikurudie uliye nguvu zangu
Hakika ukisikiliza wimbo Kwa utulivu ni zaidi ya mahubiri. Mungu awabariki wanakwaya wote Kwa uijilishaji Kwa njia hii.
Nimemkumbuka sana Baba yangu kipenzi rest In peace my lovely Dady😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 siku zote upo moyoni mwangu
Naupenda sana huu wimbo mungu atulinde tuumalize mwendo wetu salama katika maisha yetu
Nabarikiwa sana na huu wimbo Mungu awabariki
Agness Jo
Mungu awabariki watunzi wote
Huku nyimbo ni nzuri inafundisha kua karibu na yesu ili umalize mwendo salama
Rest in peace magufuli....we shall miss you
2019 tujuane tunaoangalia leo
AMen 🙏 mungu niwezeshe kuumalinza mwendo salama🙏💖👊😁😁
Nan
Tumewekewa taji la uzima......
@@mhogomchungu7882 xxxo
m George nawafakia
Utume
Mwema
Mungu Ni mwema
Mimi,naomba wimbo,sifa,kwamungu
Mungu naomba niumalize mwendo salama
Jaman wimbo mzuri huu😍
huwa nabalikiwa sana nawimbo huu hongola sana b, mkassa.
Gud work iam really the image of my brother mukasa
Ilikuwa Tarehe 26-Nov-2023, Jumapili saa 11 jioni❤
Ma Elizabeth K.A. Francis umeumaliza mwendo vyema sana, Imani yako uliilinda, pumzika kwa Amani Mama mwema❤
Mungu nisaidie katika maishayahapa duniani niumalize mwendo salama
Kwa ushauri tunaombwa tunapoandika mawazo yetu tujitahidi kutumia herufi kubwa YA mwanzo kwa making matakatifu kwa mfano ....Yesu,, Maria,,,Mungu.Kamwe tusitumie herufi ndogo kwa majina matakatifu.Samahani kwa watakaokwazika.
Fabian George ,Ushauri wako ni mzuri sana.
Fact
Inafanya viziuri sana. Wimbo na ujumbe makini
Mungu awabariki Sana wimbo mzuzuri
Kweli mkasa una kipaji Cha pekee hongera sana kwa utunz wa nyimbo nzur
Mukasa mtunzi no moja afrika zima
Mbarikiwe na bwana
Nimebarikiwa Sana Wimbo huu mbarikiwe Sana na bwana yesu
Nabarikiwa sana na nyimbo hii,
Amina
Benard Mukasa nyimbo zako huwa zinanibariki sana
Nabarikiwa sn
Hongereni wimbo mzuri sana
Wow! Beautiful piece... Especially vthe hohoooos.......!!!!
Miongoni mwa nyimbo bora wimbo huu ni moja wapo kwangu huwa unanifikirisha sana
buriani dr. magufuli kazi umeimaliza na imani umeilinda