Nape haonyeki wala hatasikia. Aliposimama na watu,roho wa Mungu alimuingia lakini alipotumbuliwa akamuasi tena Mungu na kurudi nyuma kwenda kunyenyekea. Alipopewa Wizara ileile akaamini unyama ndio ngao yake na kuwatosa watu. Sasa hatakubalika mpaka Amrudie Mungu kwa kuwapigania watu badala ya kuwapiga kwa kuitikia maelekezo hasi na ovu ya kimfumo ili kutetea cheo chake! Wengine kama yeye bado watajiloga kwa midomo yao wenyewe ili Mungu apate kujitukuza juu ya wafalme kwaajili ya watu wake tunaoonewa!
Kwani Nape mpaka atafutiwe mahali pengine? Nape sio musomi, lakini anajionyesha kasoma. Mwenye tabia yake haachi. Nape hawezi kubadilika. Kuna watanzania wengi wasomi, lakini ni Hawo hawo wanazungushwa. Nchi kwa sasa inatafunwa waziwazi.
Bw Dudu mtu anaweza kusoma lakini elimu ikashindwa kumkomboa KWA dhana.Akili ya kawaida alichokizungumza ni tusi kwake na chama chake,na mwingine asiye awaye,na majivuno yenye kibri kisichoona,lkn katoboa gesi imeripuka imemuunguza
Hivi yeye lazima apewe uongozi serikalini, wasomi katika nchi hii tunao wengi mno si lazima yeye. Atulie tu awe raia wa kawaida kwani kuna shidaaa. !!! Heh..!!!
Wejamaa unaakili nyingi sana mdogo wangu
Huyu jamaa ana akili sana Safi sana duduz
Safi Sana DuduZuri
Umeongea Point Kubwa
Nape hafai hata kidogo .labda akawwe muosha magari ya polisi
Huyu jamaa Yuko vizuri. Anafaa kuwa kiongozi huyu.
Nape haonyeki wala hatasikia. Aliposimama na watu,roho wa Mungu alimuingia lakini alipotumbuliwa akamuasi tena Mungu na kurudi nyuma kwenda kunyenyekea. Alipopewa Wizara ileile akaamini unyama ndio ngao yake na kuwatosa watu. Sasa hatakubalika mpaka Amrudie Mungu kwa kuwapigania watu badala ya kuwapiga kwa kuitikia maelekezo hasi na ovu ya kimfumo ili kutetea cheo chake! Wengine kama yeye bado watajiloga kwa midomo yao wenyewe ili Mungu apate kujitukuza juu ya wafalme kwaajili ya watu wake tunaoonewa!
Kwani Nape mpaka atafutiwe mahali pengine? Nape sio musomi, lakini anajionyesha kasoma. Mwenye tabia yake haachi. Nape hawezi kubadilika. Kuna watanzania wengi wasomi, lakini ni Hawo hawo wanazungushwa. Nchi kwa sasa inatafunwa waziwazi.
Mbona wapinzani wamekuwa wanapiga kelele kuhusu dhuruma kea watanzania mbona amuungi mkono?
Rafiki yake Mr Nice
Awekwe wapi? Watu wapo wengi sana yule Vodafone hao ni wapigaji sisi ccm vingozi wetu wamepoteza mwerekeo wanaandaa watoto wao siyo pajamas tena
Nape ni JINGA LILE,,,,, ROPOROPO,,, HALIJIELEWI
Yote hayo dawa yake nikatiba Mpya tu
Huyo January Hana mvuto wa kua raisi
Ila..Tabia haina dawa!
Magufuri angetoka angeingia bashiru ally
Bw Dudu mtu anaweza kusoma lakini elimu ikashindwa kumkomboa KWA dhana.Akili ya kawaida alichokizungumza ni tusi kwake na chama chake,na mwingine asiye awaye,na majivuno yenye kibri kisichoona,lkn katoboa gesi imeripuka imemuunguza
Hivi yeye lazima apewe uongozi serikalini, wasomi katika nchi hii tunao wengi mno si lazima yeye. Atulie tu awe raia wa kawaida kwani kuna shidaaa.
!!! Heh..!!!
Wewe tabia ya mtu huwezi kuibadilisha
Dudu baya wewe ni hazina kubwa ila JAMII haijakufaam
Kwani hakuna watu wengine kwenye hizo kazi
Kupokezana madaraka ya uraia katiba unasemaje kuhusu rais wa dini ipi aongoze.
Acha Dudu unasema nini? Nani sio mwizi CCM? Eti Mizengo Pinda au Kasim Majaliwa, hayo si ndio Mapapa yenyewe, yamekula mpaka yamevimbiwa 😂😂😂😂
Malezi mabaya ya ccm? ebu wekeni sawa apo