Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa, Ila ipo siku uta safika tu kaka.
Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap
DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA....... UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI.. MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU
Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.
Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!
Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.
Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa
Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!? Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni. Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic! DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao
Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.
Mungu akufunike mtumish wa Mungu.leo nakupa jina jipya.wewe sasa unaitwa mwana mwema nasi dudubaya tena
Dudu baya akili Yako moja ni sawa na wasanii wa Sasa hivi 20000
Zaidi ya 20,000 😂😂😂
Wew ni hatari sanaaaaaa brother ❤❤❤❤
Mamba!, konki!, konki! Master. Uko vizuri wachache watakuelewa, ipo siku mtu mmoja atakuelewa na malaika watashangilia.
Ubarikiwe kiongozi dudu baya ❤
Dah, uncle Dudu Baya
Nakubali sana unasema mazuri mapana manene!
Mungu aku simamieee inshallah
The master mind. The dudu
Mwenye masikio ya kusikia na asikie
NIMEIPENDA HIYO.; MTUMISHI WA MUNGU UMEAMBIWA KUNA MGONJWA WASHA NDINGA UNAENDA KUTIMIZA WAJIBU❤❤❤❤❤❤. 😂😂😂😂😂😂. HAPO VIPI HAPO ❤❤❤❤❤❤
Konk konk konk master hua nafrai sana interview zako .
Sawa kabisa manenoyako
Naitwa justina hiyo nmeielewa sana kka yang
Maneno ya Mungu halisi hakika maadiki yetu yamemomonyoka Mungu akutumie.
YES DUDUBAYA UKO RIGHT VIONGOZI WA DINI SASA HIVI NI WASANII.
Great thinker 👏👏
Matendo 1:8
Kaeni humu mpk mtiwe nguvu.....
Ila yuko sahihi mtu unapambana eti upate kiwanja katikati ya makazi ya watu badala ya kwenda nje ya mji
Huwezi kuwa kiongozi wa dini bila pesa kwa sababu kufanya kazi ya Mungu inataka pesa
Konki kweli una akili kaka nimekipenda bure
Wallah Tena dudu baya umengea point sana
Niatari Sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mtumishi wa Munguu fanya Kazii Mungu ameshakuita tayariiii
Dudu baya yupo sahihi
Aminaaaaaaaaa
Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa,
Ila ipo siku uta safika tu kaka.
Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap
DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA.......
UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI..
MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU
Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.
Nakubali
Kweli
We kichwa..
Kweli duduu
Amrikumi zimebaki kwa kakobetu maana yeye anakemea dhambi mpakaleo
Dudu baya ... Uko sahihi
Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!
Kwenye jamii hayo yapo, wengi wenye wake wazuri wasiojua Mungu ni tatizo kubwa 5:31
MISIKITI HAIFAI KUKAA MBALI.
MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA.
5-TIMES SWALA
MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA
Ahsante sana kumbe unajua
Kupigana miti
Dudu baya umeongea ukweli
Simama na Mungu mtumikie Mungu tu
Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.
Amri kumi Ni zipi tunaomba uzitaje nami nizijue mungu akubariki
Usiibe usizini usimshuhudie jilan yako uongo usilitaaje jina labwana Mungu wako bule usitaman usiseme uongo uikumbuke siku yasaba usimtumikishe mjakaz wako wala mnyama alieko malangon mwako
Soma kutoka 20 itazikuta hapo
Anaishi nje ya mda Dudu Baya yuko really
NILIWAHI KUWAAMBIA HUYU NI ZAIDI YA WALE MITUME NA MANABII WA SASA HIVI MTANIELEWA TU NAMAANISHA NINI.
Tumetoka somo baba siisawana watoto wa mbarikiwa kikosikazi
Israelliiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤
Dudu bayaa master
Tunaomba namba zako mwana mwema
Dudu unatisha
Maokotoooo
Dudu Baya zinaa ni jambo la kawaida kwa binadamu hata wakioana.😂
Sasa kwanini kwa mganga unatoa sadaka, lakini kwa watumishi asitoe sadaka?
Unacho sema niukweri mtupu
Wapo bwana
Ila wachache😅
Unafuata amri 10, umekuwa myahudi😂😂😂😂😂😂😂
Watu hawa wasipopiga kelele, mawe yatapiga kelele🤔 imefika hatua wanaojiita wanadini , wanahubiriwa na watu wanao waita wapagani
Umeongea ukweli
Duh mwamba umeeleweka kiufupi
Mb zangu sijuti
Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa
Uchungaji bila wito
Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!?
Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni.
Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic!
DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao
Tatizo unazungumza vitu kwa akili zako, neno la Mungu linasema wataendeaje bila kupelekwa?
Umeandika kwa akili zanani?
Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.
Wewe mwombe Mungu akupe neema na akuchague kwenye kazi yake