CHRISTINA SHUSHO AMEKUWA MWIBA KWENYE IMAN YA KIKRISTO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 1,9 тис.

  • @stellamugara983
    @stellamugara983 4 місяці тому +10

    Asante mtumishi umeweka sawa kabisa.Dada Christina usishupaze shingo kubali maonyo mrudie Mungu upone.Pole mzee Shusho Mungu akutetee.

  • @bonifacematuku
    @bonifacematuku 4 місяці тому +9

    So much truth. Tumuombee uyu dada.
    Music is spiritual, and i think this is the reason personally bado nasikiza nyimbo za Shusho za kale kidogo, lakini nyimbo anatoa siku izi nalemewa kusikiza kisa hazina mguzo spiritually
    The same thing na dada yetu Rose
    Jameni ni siku za mwisho na Shetani ameingia kwa wanaomtafuta Mungu Tuombeni sana Mungu atupee nehema ya kumkana shetani. Napenda sana dada mmoja Sarah Magesa nyimbo zake zote hadi sai ziko na upako kwa kiwango cha juu sana

  • @ayubumbembati8658
    @ayubumbembati8658 4 місяці тому +11

    Nilikuwa namkubali sana Christina kwa kazi zake nzuri na zaidi nilipenda sana kwa kutokuwa na skendo yoyote kwa kipindi chote. Kwa hiki kimetokea kimefanya nijiulize maswali mengi sana juu ya Dada Christina. Anyway Shetani nae yupo kazini muda wote, hivyo yeyote ajidhaniye kuwa amesimama na ajiangalie asianguke! Christina umetoa kali ya mwaka 2024! Mungu akusaidie.

    • @TedyanodiTedy-fp9mh
      @TedyanodiTedy-fp9mh 3 місяці тому

      Kuna kitu kipo nyuma yapazia nyie hamuwezi kujuwa ndowa zina mambo mengi

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 4 місяці тому +30

    Kabla Yesu Kristo arudi tutakuwa tumeisha ona mengi!
    Wakristo tukaze mwendo safarin bado🙏

  • @user-yl4ud7gr8s
    @user-yl4ud7gr8s 4 місяці тому +40

    Asante baba Kwa haya uliyoyaona na kuwa na ujasiri wa kuitetea Imani yetu nikuhakikishie baba, Mungu hadhihakiwi na ni mwingi wa rehema atajibu Sasa hivi.

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 4 місяці тому +27

    Mimi binafsi kaniumiza sana. Nilikuwa nikisikiliza nyimbo zake my spirit was so lifted up just find myself crying and I could fill the power of God was so heavy on me 😢😢😢
    Yani nilipomuona kenda kwa madhabahu ya mtu fulani nikajua tayari amekengeuka.

    • @rosemarinawiliam3289
      @rosemarinawiliam3289 4 місяці тому +2

      Alipoenda kwa Geo Dav nilisema basi Tena Yuko upande mwingine

    • @user-cz8lg9uz5h
      @user-cz8lg9uz5h 4 місяці тому

      Amefanya Vinayak sana

    • @mwendwacephas5291
      @mwendwacephas5291 4 місяці тому +1

      Christina shusho amedaganywa na mwanaume mwingine, shetani ako na uwezo pia.
      Christina shusho usizushe nyavu tafadhali.

    • @user-wr4zu4un4s
      @user-wr4zu4un4s 4 місяці тому

      Baba umeeleweka Sana Mungu akutie nguvu Mimi mwenyewe nilishituka mtoko wa pasaka

    • @officialhopestarmusic959
      @officialhopestarmusic959 3 місяці тому

      Yule mzee aliyejichubua sio ?​@@rosemarinawiliam3289

  • @elishayohana6259
    @elishayohana6259 3 місяці тому +3

    Pastor umeongea kwa Uchungu sana hakika Mungu atajibu katika hili vinginevyo Mungu amrehemu huyu Dada,
    Amekufa Kiroho lkn kimwili yu Hai, hakika Mungu wetu amrehemu amrudie Mungu wake 🙏

  • @mossendoghwe317
    @mossendoghwe317 4 місяці тому +5

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu umeongea kwa uchungu na maneno yaliyonyooka sana!

  • @rehemafyumagwa8005
    @rehemafyumagwa8005 4 місяці тому +19

    Mtawajua kwa matunda yao, pole sana mzee shusho, Mungu akutie nguvu

  • @gracyusoy9435
    @gracyusoy9435 4 місяці тому +21

    Asante sana Mtumishi wa Mungu Ndugu Richard. umekuwa mkweli na dada tetu christina Mungu amsaidie kwa kweli arudi kwa mumewe maana ukweli anapoteza uelekeo

  • @TawakalStorecoltd
    @TawakalStorecoltd 3 місяці тому +3

    Thanks my brother for your good godly advice. May god bless you

  • @salamalupenza5082
    @salamalupenza5082 4 місяці тому +6

    Nilikuwa mpenzi sana na nyimbo zako. Kwa hili sibarikiwi nazo tena. Nakuomba urudi kwa mmeo shetani yup kazini ameshaona udhaifu yako .

  • @joycemwakilembe-lc9fx
    @joycemwakilembe-lc9fx 4 місяці тому +58

    Asante Daktari kwa kusafisha ukristo wetu. Huyu dada kwa kweli ni limbukeni na anahitaji msaada wa haraka.

    • @maystellakajuna5461
      @maystellakajuna5461 4 місяці тому +6

      Huo wito wake si wa Mungu wa Abraham na Isaka na Yakobo Bali ni wa mungu mwingine.

    • @MerryPhilimon-es9gz
      @MerryPhilimon-es9gz 4 місяці тому

      Alienda hata Kwa yule nabii mweupe wa Arusha akapewa na mil kumi​@@maystellakajuna5461

    • @EstherCharo-lc3md
      @EstherCharo-lc3md 4 місяці тому +2

      😂😂😂😂😂anahitaji msada gani yeye kama hata badilika angojee jehanamu ya milele

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 4 місяці тому +2

      Hosea 4:6 IPO kazini

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому +1

      LIMBUKENI ! Je unauhakika/

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 4 місяці тому +67

    Mungu amtie nguvu mzee shusho pamoja pamoja na watoto yake. kanisa lipo nyakati za mwisho.

    • @rerisamba
      @rerisamba 4 місяці тому +4

      😭😭😭😭 anayo pitia Mungu amuwezeshe

    • @victoriarichard8761
      @victoriarichard8761 4 місяці тому +2

      Yupo kwenye maumivu sana yule mzee 😢 Mungu amtie nguvu

    • @catherinegichiri1246
      @catherinegichiri1246 4 місяці тому +2

      Pastor ni jina tu.Wengine ni wambaya kuliko watu wakawida

    • @poolkingservices6928
      @poolkingservices6928 3 місяці тому

      Kanisa lilianza kufanya makosa makubwa pale lilipo futa au kukataa mafundisho ya Yesu aliyeujia ulimwengu ili aukomboe Mt 6:24. Kanisa liko wapi juu ya somo hilo? Manadhani Yesu alikuwa anatania? Amin amin ninawaambia. Fedha ndiyo chanzo cha mmomonyoko wa maadili unaolitafuna kanisa leo. Pole kanisa

    • @poolkingservices6928
      @poolkingservices6928 3 місяці тому

      Misingi ikiharibika, mwenye haki atafanya nini. Zag 12: 1-8

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 3 місяці тому +1

    Wakristo mmechanganyikiwa sana yaani hadi mnaingiza Mungu kwa upuzi na tamaa zenu za duniani. Ni Mungu gani anakuamrisha kuacha ndoa yako na familia yako ili umtumikie yeye? SO FANTASTIC

    • @ambrosealbogast792
      @ambrosealbogast792 26 днів тому

      Umekosea ku-generalize Wakristo na ndio maana una Like 1. Otherwise ulikuwa umeandika vizuri

    • @ramak.9587
      @ramak.9587 26 днів тому

      @@ambrosealbogast792 Siandiki kutafta like coz hazitonisaidia leo wala kesho siku ya hukumu. Lakini ukweli utaisabika siku zote daima.

  • @user-bv2jl7du1i
    @user-bv2jl7du1i 4 місяці тому +7

    Asante Sana Prophet umetusaidia sana sana🙏🙏

  • @ellentukiko5699
    @ellentukiko5699 4 місяці тому +31

    Thank you Prophet of God, umeongea kwa HEKIMA sana, God bless you and your Ministry🙏

    • @prophetdr.richardgodwinmin2221
      @prophetdr.richardgodwinmin2221  4 місяці тому +1

      Bless you

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 4 місяці тому

      Pastor KYABASHASA kupitia Moja ya Mafundisho yake hapa Yutube akimjibu Mw.l Isaya Benson aliyepotosha kuhusu Ndoa za Wake wengi na Kuachan a katika Ukristo Amefafanua vizuri sana kupitia Msingi wa Maandiko Matakatifu Yaani Biblia.
      Mfuatilie Kuna jambo Zuri utaendelea Kujifunza.

  • @MAGDALENAURIO-jq3ip
    @MAGDALENAURIO-jq3ip 4 місяці тому +32

    Asante sana jaman huyu dada amejidhalilisha.barikiwa mtumishi

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому +4

    Kwanza SAMAHANI. NINAWAPENDA WOTE HUMU. Ninamtazamo tofauti na Christina Shusho naanza na Prophet Dr. Richard .Hili suala halihitaji ushauri wa kibinadamu kwasababu huwa ndo zinapovunjika ni ngumu kujua CHANZO CHAKE ila Kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu.Nilitegemea Prophet Ungemtafuta kwanza Christina ukaongea nae KWA FARAGHA ukiongozwa na Roho wa Mungu na akikataa ndipo ulete hii habari kwenye mitandao ya kijamii. MUNGU habadiliki BALI WANADAMU NDIO WANABADILIKA, NAOMBA TUMWACHIE MUNGU HILI SUALA. NAOMBA
    ASILAUMIWE YEYOTE .BARIKIWA WOTE

    • @jacklinemyala8194
      @jacklinemyala8194 4 місяці тому

      Mimi mwenyewe namshangaa..inawezekana ana makosa na hayuko kiroho siku hizi lakini kuja kumuanika huku ..anakosea sana.. ni kama anatafuta Kiki. Kanikera sana. Na ninahisi kuna ugomvi nyuma ya pazia ..sisi hatujui chochote ila tunabwabwaja tu.

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому

      @@jacklinemyala8194 USISHANGAE ndoa hazifanani MIMI NAOMBA KWA MUNGU KUSUDI LA MUNGU LITIMIE.CHRISTINA Shusho Kuandaa MTOKO wa PASAKA KWA kumshirikisha Diumond Platinum sio kosa maana ndipo watu wanamjua zaidi Yesu kwa namna mbali mbali lakini pia PESA ZOTE NI MALI YA BWANA kwa hiyo HAPO SIONI TATIZO Bali ametumia VEMA MALI ZA BWANA YESU ILI WATU WAZIDI KUMJUA YESU KRISTO WA NAZARETI.

    • @leahjamess9359
      @leahjamess9359 4 місяці тому

      Christina aliongea umuumu lazima ajibiwe umu umu.Asante

    • @user-ih1pk1vs4q
      @user-ih1pk1vs4q 3 місяці тому

      Ww unajuaje kama hajamfuata?Christina changudoa huyo

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 4 місяці тому +1

    Before u come out in the public,it's always good to approach the individuals privately to get the backstory and full story.

  • @leonardmakwela5551
    @leonardmakwela5551 4 місяці тому +26

    Barikiwa mtumishi wa Mungu!
    Wewe kwa hili hudaiwi ! Umetimiza wajibu wako !
    Nasikitika kutamka kwamba KANISA LILILALA !
    Wakati dunia inadai usawa wa kijinsia , kanisa lilikurupuka !
    Usawa wa kijinsia ni UPINGA KRISTO!
    Upinga Kristo maana yake nini ?
    Upinga Kristo ni "Kinyume na Kristo"
    (Yaani kinyume na Mungu).
    Maandiko yako wazi kwamba mume ni kichwa cha mke !
    Mwanaume atamtawala mwanamke !
    Haya ndiyo maandiko !
    Kanisa lilikubalije huu usawa?
    Unajua dini nyingi zilianzia kwa wenzetu huko Ulaya !
    Wenzetu hawa walishakengeuka ! Hawa jamaa ndio waanzilishi wa FREEMANSORY !
    Kwa kifupi usawa wa kijinsia ni u freemason !
    Never trust a woman !!!
    Nasikitika kusema hivyo !
    Ndivyo walivyo tangu mwanzo

    • @jentamwadime5910
      @jentamwadime5910 4 місяці тому

      I love his speech

    • @tabyngugi9424
      @tabyngugi9424 4 місяці тому

      Oo

    • @jacksonmwasibila9310
      @jacksonmwasibila9310 4 місяці тому

      Ni tupu mtumishi

    • @dolvinshao6956
      @dolvinshao6956 4 місяці тому +1

      Very good speach

    • @shemkaiglory6982
      @shemkaiglory6982 4 місяці тому

      Ukwel nimeumia sana sikutegemea kua hata Tina utavunja ndoa Yako jamani😭😭 ww ni barua , ni kioo unasomwa na Kila mtu ...hapa umeharibu ushuhuda wako

  • @weremamwita8981
    @weremamwita8981 4 місяці тому +10

    Asante mtumishi kwa kuwa mdomo wetu, inatusikitisha ki ukweli; mapataga ukakasi kila nikisikiliza clip zake za mahojiano. Mungu amrehem pst. Eveng' Christina Shushu.

  • @MarySanga-st5ex
    @MarySanga-st5ex 4 місяці тому +1

    Mtumishi ubarikiwe sana,I'm very sad for Christina shush na mimi nimekuwa nikipenda sana nyimbo zake...kiukweli dada kindly deliverance muhimu kwako

  • @user-eh4ew6qc9j
    @user-eh4ew6qc9j 3 місяці тому +7

    Mwanajeshi mwenzetu ametekwa nyara na jeshi la shetani, jeshi la Mungu tuamke twende vitani against kambi ya shetani,tukawakomboe wenzetu badala ya kuwasema vibaya,we can not afford to lose her.

  • @maystellakajuna5461
    @maystellakajuna5461 4 місяці тому +30

    Mtazamo wangu, amemkosea sana Mungu, pili this is a spiritual matter, spiritual matters hazihitaji ushawishi, hilo ni swala la Imani ambalo kila mtu anamaamuzi yake. Hahitaji ushauri, huyo si mchanga kiroho bali amemezwa na kuingia ktk imani nyingine. It's not about us but about God! Hajatudhalilisha sisi bali Mungu. Hizi ni siku za mwisho, tuwe waangalifu sana na kuomba na kuombeana pia. Mtu yoyote anaweza kuanguka ndugu zangu, we are in the dangerous days.

    • @erickmillanzi4391
      @erickmillanzi4391 4 місяці тому +1

      Hakuna imani kinyume na biblia hakuna usiri juu ya utumishi usiri ni kumtumikia shetani tu kama hivyo.

    • @DEBORAHMASANJA-yz3go
      @DEBORAHMASANJA-yz3go 4 місяці тому

      Oooh yes tumuombee rehema kwa Mungu ndugu yetu

    • @myself4128
      @myself4128 4 місяці тому

      yeye ni kioo cha Jamii

    • @maystellakajuna5461
      @maystellakajuna5461 4 місяці тому

      @@myself4128 kioo cha jamii kidunia sawa, lkn yeye si kioo cha Kiroho au cha Ukristo, kioo cha Ukristo ni Neno la Mungu, tukifata watu ndo wawe kioo cha Kiroho Sasa hivi hapa dunia ilipo, tutapotea sana! Sasa hivi hata Pastor wako inabidi umsimilize na kupima anachokisema kwa Neno Mungu, lkn km utamuona Pastor km kioo chako ndugu utapotea. Hayo yalikua huko nyuma.

    • @clarencemeena1628
      @clarencemeena1628 3 місяці тому

      MUNGU amsaidie kutambua na kuona sawa sawa

  • @geraldmanyogoto1358
    @geraldmanyogoto1358 4 місяці тому +18

    Asante Mtumishi wa Mungu kwa kumpa ukweli. Huyu ameitwa na shetani na kuitika kwa sauti kubwa!!!! Amrudie Mungu haraka vinginevyo siku zake zinahesabika! Kwa sasa ni mtumishi wa mungu wa Diamondi! Ndiyo maana anamwita mchungaji!

    • @RhodaMwampagama
      @RhodaMwampagama 3 місяці тому

      Ahahahaha

    • @user-xx6yc3mz1w
      @user-xx6yc3mz1w 2 місяці тому

      Amurudie mungu,kwa kutubu maana mungu hawezi kukupa wito kwa kuvunja ndoa,ndio maana hata nyimbo zake saivi zmekua hazina upako.

  • @AsyonLayson
    @AsyonLayson 3 місяці тому +1

    Loo mch mungu akubariki umeongea sana mungu atambadilisha tu tumwombee kweli wewe ni mwalimu

  • @elinipasumary8885
    @elinipasumary8885 4 місяці тому +3

    Nakushukuru sana Prophet kwa kuamua kuongea juu hili, Mimi ni miongoni mwa wanawake waliofedheheshwa sana na Christina, na bora angetoka kwenye ndoa yake akanyamaza kimnya, asimdhalilishe Mungu na Kanisa la Kristo.Anataka kutuambia kuwa Mungu ameamua kupingana na Neno lake. Nimesikitishwa na Tina. Kweli Mungu aturehemu!!!! 😢😢😢

  • @NeemaMeshaki-qm4ew
    @NeemaMeshaki-qm4ew 4 місяці тому +8

    Mungu Alie Ziumba mbingu na nchi na atusaidie sana pamoja na dada etu Christina binafsi nimeumia sana na MAOMBI YANGU arudi kwa Mungu Tena Yeye Mungu Bado ni WAREHEMA SAAANA

  • @godlistenmangowi9328
    @godlistenmangowi9328 4 місяці тому +7

    Kuwa katika ndoa ni Kulitimiza kusudi la Mungu.Dada Christina anaitajika sanaa kuwa sehemu ya kusudi la Mungu na ni wakati wake sahihi kumshuhudia Mungu ,yaan Bwana wa Mabwana,mfalme wa wafalme!Nimesoma kitabu cha ufunuo wa Yohana milango mitatu nikashtuka sanaaaaaa.
    Ufunuo wa Yohana 12:
    Ufunuo wa yohana13:
    Ufunuo wa Yoha 14:
    Soma sura nzima ,Mungu Atupenda sanaa.

    • @benjamenshepa1000
      @benjamenshepa1000 4 місяці тому

      Kwahyo ni halali kuvunja ndoa ili umtumikie Mungu ndugu

  • @barakaroman4325
    @barakaroman4325 4 місяці тому +2

    Kazingua Sana kweli mungu haangali mwanzo wa kazi Bali mwisho (mungu anaangalia mwisho wa kazi)

  • @Ceciliapampii
    @Ceciliapampii 3 місяці тому +2

    Thanks for being brave. God bless you

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 4 місяці тому +89

    Christina shosho alipopata umaarufu alimchukia mume wake kana kwamba sio type yake

    • @rerisamba
      @rerisamba 4 місяці тому +1

      Umegonga ndio anajiona mrembo nanihixo cream na nywele za mchina naakizikosa ako tu kama huyo mzee wamkumbuka Zamaridi alivyo kua rumande

    • @MalobeLujaga-rv1lx
      @MalobeLujaga-rv1lx 4 місяці тому +1

      Kweli kabisa anamuona mumewe sio type yake

    • @christinamwangoc4779
      @christinamwangoc4779 4 місяці тому +1

      😂😂​@@rerisamba

    • @faithmusyoka6439
      @faithmusyoka6439 4 місяці тому +4

      Na mume wake anakaa humble man

    • @asinatimpendwa3702
      @asinatimpendwa3702 4 місяці тому +1

      Umesema hakuna mwanaumke mwenye mamulaka juu ya mume wake; ndio unawafundisha wanaume wenzako wawanyanyeshe wanake for cheating with other women na pia unawapa umbambe wanaume wanaopiga wanawake waendelee kupiga wanawake na kuwanyima pesa za kununulia chakula cha watoto na kutumia pesa kwa Malaya. Vimada nje ya ndoa. Wanaume Malaya and cheaters.

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 4 місяці тому +10

    Kunamuimbaji, nilionyeshwa na Mungu,watu wanasema tunenda kumzika mwimbaji frani wakamtaja jina,kukaa kidogo ndoa ikafa,,waimbaji wengi baadhi yao wamejiunga na shetani kizimu dunia imewaza..mchane christana Mungu atampaka matope,hyu kashalanika amejunga na dunia,huyu anataka usera arishakufa kiroho zamani ,,usikute yule baba arishi kwa mateso na huyu dada.subilieni mtaona mwisho huyu dada ametudhalisha wanake hakuna wito hapo, Mungu wetu hadhiakiwi..

  • @Tulia-bw6kp
    @Tulia-bw6kp 3 місяці тому

    Asante mtumishi .kuna wanawake wa jinga sana n'a wengine ni wenye akili tena wana mutumikiya Mungu n'a ku kuheshimu waume zao .ila Christina alisha kuwa mu ulimwengu mwingine.Mungu ata muweka hazarani siku moja

  • @dorisal7361
    @dorisal7361 3 місяці тому +1

    Thanks for being brave

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 4 місяці тому +31

    shida sio Christina,shida ni tamaa,watu wengi sana kwa siri wamejiunga na taasisi za siri za shetani,kwa kupenda pesa.sasa maisha yao yana kuwa chini ya ratiba atakayopewa na taasisi hiyo.Vituko vyote si vyake anatumwa na anakuwa programmed.

    • @rendozrendo7804
      @rendozrendo7804 4 місяці тому +4

      Ndo hivyo dunia hii tunapita usipo fanya maisha yako utabaki .

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 4 місяці тому +1

      Christina anakuja na AGANO JIPYA 😢😢😢😢😢

    • @banguha
      @banguha 4 місяці тому +3

      Na ndiyo maana unaambiwa kama ni mtumish wa kiume hatakiw kuwa na mke kama ni mwanamke hutakiw kuolewa wamejiunga na kutaka utajir wa haraka Christiana alikuwa anafanya vzr wakat yupo na mume na alikuwa na heshima kwa sasa amekuwa kama mdananda tuu hajielew

    • @pastorbarnabamichael4946
      @pastorbarnabamichael4946 3 місяці тому

      Hizi ni siku za ukengeefu

    • @milicentotieno
      @milicentotieno 3 місяці тому

      Wote wameitwa kwa utumishi

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 4 місяці тому +4

    Umefanya vyema kuyasema hayo Mtumishi wa Mungu. Mungu akubaruki sana. Amemwaibisha Mungu wetu pia.
    Hata baadhi ya Mashekhe wamemshambulia sana Diamond kwa kushirikiana na Christina Shusho kwenye Mtoko wa Pasaka. Hii ni huduma mpya kabisa haijawahi kutokea popote. Na bila kumung'unya maneno Christina anamtumikia mungu wa herufi ndogo, siyo Mungu YEHOVA tunayemwabudu.

  • @gloriashoo3707
    @gloriashoo3707 3 місяці тому +1

    Mungu wa Mbinguni akubariki mno akuinuwe zaidi mtumishi wa Mungu Kwa kuwa mkweli Kwa ajili ya kristo

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 4 місяці тому +6

    Very true Man of God aonywae mara nyingi akishupaza shingo atavunjika gafla .

  • @johnmwaimise2291
    @johnmwaimise2291 4 місяці тому +25

    Sio tu mzee Shusho,hata wewe leo ukimpa mkeo nafasi akaanza kufanya huduma na kujiita mtumishi basi ujuwe huo ndio utakuwa mwisho wa ndoa Yako...

    • @user-nv7sf2iu2v
      @user-nv7sf2iu2v 4 місяці тому +1

      Huo ndio ukweli sema watumishi wa siku hizi wanapotosha Neno la Mungu wanaleta hekima za kibinadamu kwenye kweli ya Mungu

    • @DaviVicent-eh6ev
      @DaviVicent-eh6ev 3 місяці тому

      ​@@user-nv7sf2iu2v❤

  • @AngelaObedi2
    @AngelaObedi2 13 днів тому

    Ahsante mtumishi kwakutetea imani uyu dada ameiacha njia ya Mungu

  • @SamwellubigisaLubigisa
    @SamwellubigisaLubigisa 3 місяці тому +2

    Ubarikiwe kwa kukemea uovu,,, nilijaribu kulikemea huku mtaani kwangu lakini watu walinijia juu. Watu wanachukulia kawaida tu, siku izi ukikataa maovu wanakuchukia.

  • @user-tx6nz4up5h
    @user-tx6nz4up5h 4 місяці тому +46

    Hawezi kuwa mwiba bali anazibitisha andiko la Paulo, christina anaupenda ulimwengu na hana huduma ya Mungu aliye hai na Mungu kamfunua

    • @elinisafibabarita
      @elinisafibabarita 4 місяці тому +3

      Correct!

    • @user-fq2jz9lm9f
      @user-fq2jz9lm9f 4 місяці тому +2

      Sipendi tabia yako Kristina napenda tu nyimbo zako IGA tabia ya nzuri kama ya Nkone Jenipha Mgendi nk

    • @ruthjemson4386
      @ruthjemson4386 4 місяці тому +1

      Kweli kabisa

    • @ruthmwenje8380
      @ruthmwenje8380 4 місяці тому +1

      Rudia haya maneno ya kweli kabisa

    • @user-ll5qx5up8n
      @user-ll5qx5up8n 4 місяці тому +1

      Kweli kabisa mimi ni mama Mtumishi niko German nilikwaza sana hata ile nguo aliyokuwa amevaa kwa mtoko wa pasaka haikuwa ya heshima kabisa kwa wito wake ilibana matako yametoka njenje jamani kama siafu

  • @leonardyona1462
    @leonardyona1462 4 місяці тому +13

    Asante Prophet kwa kupiga panapouma, huyo mwanamke ni malaya tu..

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 4 місяці тому +1

      😂

    • @fredfandey222
      @fredfandey222 4 місяці тому

      tokankitambo tu, watu walikuwa hawajui tu

    • @stephenkalidush5446
      @stephenkalidush5446 4 місяці тому

      Ndugu kusema mtu usimjua ni tatizo kubwa sana
      coz ata wewe zipu ipo wazii funga zipuuu
      kwanzaa

  • @ebengoblbaros5078
    @ebengoblbaros5078 4 місяці тому +1

    Mimi ndani ya simu yangu, nyimbo zake zilikuwa na chukuwa nafasi n'a kwanza, lakini kwa hili, una humbuwa dada...., Yesu angali katika kiti cha rehema.

  • @hurumasilasmwamwezi4351
    @hurumasilasmwamwezi4351 4 місяці тому +7

    Sema kweli nayo kweli itatuw3ka huru. Suddenly kaimba mlima HARARATI BADALA YA ARARATI. Ni shida. God bless you man of God.

  • @michaelbenjaminsambua5349
    @michaelbenjaminsambua5349 4 місяці тому +25

    Baba MUNGU akubariki sana BABA MTUMISHI

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 місяці тому +12

    Christina Shusho ni bonge ya mhuni.Niliwahi kuyaandika maoni yangu zamani.
    Alikuwa anatem b ea na ndugu yangu.😢😢

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому

      UNA UHAKIKA? SEMA uhakika wako

    • @itikamlagalila1911
      @itikamlagalila1911 4 місяці тому

      Hii dunia ukipata kibali tu ujiandae kushambuliwa.

    • @SusanaSimoni
      @SusanaSimoni 4 місяці тому

      Huyo hatumikii mungu nyinyi nanyi hamuoni huyo anatumikia shetani na tatizo ni wachungaji walezi wa washirika mimbara shetani ndio anazimiliki

    • @SusanaSimoni
      @SusanaSimoni 4 місяці тому

      Leo watu Kila mtu anasema nimeitwa Kwa mjibu wa biblia mtu kuitwa na mungu muumba ni kuacha dhambi kuacha utaratibu wa kidunia ule alozaliwa nao Sasa unasema kaitwa he kuitwa ndo huko? Acheni

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому +1

      Thibitisha hilo ili tukuamini.

  • @troshan7844
    @troshan7844 3 місяці тому +1

    Jinga sana hilo mama..limuache mungu wetu tunaemwani..asitufarakanishe na mungu wetu..mwenyezu mungu huwa hawaiti watu wajinga kama hao

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 4 місяці тому +29

    Dada Christina rudi ulivyo kuwa mwanzo , si wewe ni shetani aliyeingia ndani yako ,, mungu akufungue macho mwanzo hukua mshamba bali ulikua unatumiwa na mungu kiu kweli

    • @elinisafibabarita
      @elinisafibabarita 4 місяці тому

      Dada Tangu alienda Kenya ni kama kuna kitu ilimpata huko since then naona hajawa sawa

    • @banguha
      @banguha 4 місяці тому +1

      Amekuwa mshamba wa dunia utadhan bint wa miaka 18 kumbe ni mtu mzima

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur 4 місяці тому +9

    Hakika hata huyo Mme atakua amevumilia huyo mama mambo mengi sana....!Kwa kweli Kwa Mimi huyo dada alishanitokaga rohoni kitambo sana Nashukuru Mungu anaendelea kuonyesha mambo yake ya kuipenda Dunia....😢

  • @user-lk1wt7hj8m
    @user-lk1wt7hj8m 3 місяці тому +2

    Mimi ni Carlos kutoka Congo uyo shusho namuchukia sana anakuwa malaya sana anamutaka daimond

  • @shadymoses5813
    @shadymoses5813 4 місяці тому +12

    Ila Mimi Nasemaga Tanzania kwa ujumla inahitaji Baraza la kusimamia misingi na Matendo ya kikristo...Yaan Ukristo inabidi kiwepo chombo cha pamoja (achana na TEC, CCT nk) kinachoumizwa na Malpractices za watu na watumishi...na chenye uwezo wa kukataa na kuzuia endapo kanisa ama mtumishi anakengeuka, ili tubaki katika misingi ya kikristo.❤

    • @joycenganyule3231
      @joycenganyule3231 4 місяці тому

      Kuna watu wanaonekana ni wakristo wazur tu makanisan but ni wachawi balaa so mi siamin kama Baraza linaweza kudhibiti mtu kuwa na uhusiano mzuri na Mungu, huko kote ni shida tupu

    • @ramadhansemvua9994
      @ramadhansemvua9994 4 місяці тому

      ​@@joycenganyule3231duh

    • @naomichallo9766
      @naomichallo9766 4 місяці тому +1

      Huwezi kumzuia MTU aliengeuka na Imani, ni MUNGU pekee ndie awezae kumzuia katika mwanae wa pekee YESU KRISTO

    • @anithakisima665
      @anithakisima665 3 місяці тому

      Kabisa ikiwezekana hata sasa

  • @ashwaqhasni
    @ashwaqhasni 4 місяці тому

    Nashukuru sana sana mtumishi wa Mungu Wakristo tupo kwenye maumivu makali mnoo kwa ajili ya Christian shusho anapaswa kuomba radhi kwa kanisani la Kikristo ametudhalilisha mno huyu kwa sasa tumwite tu agent kuzimu
    Wachungaji watumishi wa Mungu wamekaa kimnya kama vile awaoni mwingine anasimama na kusema anamtetea mtu amabaye siyo wa imani ya Kikristo
    Namshukuru sana Mungu kwa kukupa ujasiri wa kulisema hili Mungu akubariki sana

  • @angaikundenikweka7517
    @angaikundenikweka7517 4 місяці тому +15

    “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;

    - 1 Timotheo 4:1 (Biblia Takatifu)

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x 4 місяці тому +9

    Asante mtumishi kwa kujitoa muhanga katika kuisema kweli maana ni watumishi wachache wanao weza kusema kweli

    • @benjaminshayo32
      @benjaminshayo32 4 місяці тому

      Kwendeni hukoo..amelisemea Sasa Sisi limetusaidia NN? Kumbe alichokisema wewe ulikua unanifaham tangu mwanzon...Sasa kulikua na haja ya kuja kusema huku....? Hii si kusengenya? Alipaswa akamwambie mwenyew na si kusema huku maana lengo si kumuaibisha dada Christina Bali kumsaidiaa...hii ni kumuaibisha..

    • @rerisamba
      @rerisamba 4 місяці тому +3

      ​@@benjaminshayo32kwani dada christina sialitangaza mtandaoni na ajibiwe mtandaoni hujui maana ya kusengenya wewe

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 4 місяці тому +2

      ​@@benjaminshayo32yaani ukisema na kumwaibisha yesu mitandaoni NI lazima ujibiwe mitandaoni

    • @kashindisimon5265
      @kashindisimon5265 4 місяці тому

      @@benjaminshayo32 wewe nae ni malaya kama Christina

  • @dinahrwezaula84
    @dinahrwezaula84 4 місяці тому +2

    Yes it makes sense Pastor tunakuelewa

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 4 місяці тому +1

    Ni Mungu aliesema Ndoa na Iheshimiwe na watu wote.
    Iweje leo aseme amepata wito wa kumtumikia Mungu alafu wito huo huo upinge andiko la Mungu mwenyewe la kututaka tuheshimu ndoa.
    Hapa kuna roho ya ukengemfu imeingia ndani yake anahitaji rehema za Mungu katika hili.

  • @mackilinakainamla8933
    @mackilinakainamla8933 4 місяці тому +16

    Mungu amusamehe

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 4 місяці тому +51

    Mtu kaanza kujibana na kina diamond atakua na Yesu kweli alishapotea mdada

    • @rendozrendo7804
      @rendozrendo7804 4 місяці тому +1

      Maokoto

    • @johnjohnkipokola5077
      @johnjohnkipokola5077 4 місяці тому +3

      Sasa Diamond si anajulikana amejiunga na illuminants siku nyingi? Bado Christina aliwahi kuonekana kwenye kanisa fulani kule Kisongo akipewa msaada wa fedha chafu.

    • @eliashibundabalinze2754
      @eliashibundabalinze2754 4 місяці тому +2

      Kwani kama umeokoka ndo usiwe karibu na watu wasio wa kristo? Yesu akasema... "Wagonjwa wana mwitaji tabibu bali walima hawana uhitaji wa tabibu"

    • @hadzatribeadventures
      @hadzatribeadventures 4 місяці тому +5

      ​@@eliashibundabalinze2754 haikumaanisha unachokisema,fungua macho ya rohoni

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 4 місяці тому

      @@eliashibundabalinze2754 giza na nuru havichangamani

  • @onesimokivuyo4706
    @onesimokivuyo4706 4 місяці тому +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Hakika wakristo tumekusoma!

  • @paulmwaipopo9946
    @paulmwaipopo9946 4 місяці тому +1

    Mafunuo yanayolipinga neno la Mungu hayafai. Mungu hawezi kuruhusu talaka ili mtu amtumikie Mungu. You are correct man of God. Asante kwa kuongea.

    • @jeniphamathayo8710
      @jeniphamathayo8710 2 місяці тому

      Hooo,Inauma sana wanawake Tumuombe Mungu atuponye wanawake .

  • @samwelmbissa-zj1ev
    @samwelmbissa-zj1ev 4 місяці тому +4

    Waooooow very good massage Man of God thank

    • @leebronkasianh5296
      @leebronkasianh5296 4 місяці тому

      Shetani,huwa anaitumia pesa,kuvuruga mambo ,na sio yy tu waimbaji wengi wa injili wameshakamatwa na shetani.

  • @josiasntakisigaye-sv4ot
    @josiasntakisigaye-sv4ot 4 місяці тому +10

    Huyu mama Yuko kuzimu,watumishi wa Mungu tuombe Mungu ayafute matendo haya yakuzimu kupitia kwa christina

    • @testimony254
      @testimony254 4 місяці тому +1

      Wakati alianza ku muhushisha diamond nilijua hapa ni basi

    • @peacelive3420
      @peacelive3420 4 місяці тому

      Kwani Wokovu ni juu ya matendo ama Imani?

    • @pamelaayieta6071
      @pamelaayieta6071 4 місяці тому +1

      ​@@peacelive3420Faith with actions not vice versa.

    • @peacelive3420
      @peacelive3420 4 місяці тому

      @@pamelaayieta6071 is it GRACE period? Or GRACE and?

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 4 місяці тому

      ​@@peacelive3420grace end😅

  • @user-wb1th3gn3k
    @user-wb1th3gn3k 4 місяці тому

    Lah Mungu ampe nguvu pastor shusho aendelee kumtumikia tu ,mzee shusho Mungu atakuvika taji ya uzima , hili ni jaribu utavuka kwa ushindi

  • @tirigimusiba3815
    @tirigimusiba3815 3 місяці тому +3

    Inauma sana! Aache kudharirisha ukiristo.

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 4 місяці тому +12

    Ameshalifanya jina la Yesu ni kichaka cha kufichia uchafu,achague moja kusuka au kunyoa,aache kumsulubisha Yesu kwa mara ya pili,barikiwa Mtumisha

  • @NeemaMurumbi
    @NeemaMurumbi 4 місяці тому +3

    Ubarikiwe sana man of God.uko sahihi kabisa

  • @millystrong6443
    @millystrong6443 3 місяці тому +1

    Yesu akawajibu akasema,''kama kuna yeyote miongoni mwetu asiye dhambi na awe wa kwanza kurusha mawe'' tuwache kuchambua madhaifu ya mwanamke peupe,ni yeye tu ndiye anafahamu kiwango cha maumivu yake hivyo basi kiwango cha dose anahitaji kutuliza maumivu yale,tumfunike jamani dada yetu kwa mapendo maana ni mwanadamu.Tufahamu tuu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu,watanzania muombeeni jinsi kenya twamuombea,asante

  • @tagcdcchurch6031
    @tagcdcchurch6031 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana kwa kuweka wazi kweli hii ya Mungu pia Mungu amsaidie Christina aweze kurejea maana ukweli amemkosea Mungu amelikosea kanisa ameikosea kazi ya msalaba wa Yesu.

  • @user-mr3qg9iq5k
    @user-mr3qg9iq5k 4 місяці тому +10

    Kwakweli huyu Dada ameshapotea mm sikuhiz hata kumsikiliza naona kinyaa😢😢

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n 4 місяці тому +9

    Asant mchungaji ila mimi kwa mtazamo wangu mimi pia mtenda Zambi ila hawa nao waimbaji wengi wa nyimbo za injili hawajasimama

  • @salimaechessa8933
    @salimaechessa8933 4 місяці тому +1

    Mwenye macho haambiwi tizama,giza na nuru haviimbatani,Christina ameonyesha waziwazi mungu anayemtumia,hata madhabahu anayoyakanyaga sio mema

  • @LupokeloLuvanda
    @LupokeloLuvanda 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana Mtumishi, Neema ya Mungu imzukie huyu dada arejee na atambue mazingira yanayomzunguka. Mimi ni mmoja wa watu walikuwa wanapenda sana kazi zake. Tusiache kumuombea, the enemy is at work 24/7.

  • @MediatriceBukara
    @MediatriceBukara 4 місяці тому +7

    Tusaidie Baba.Sisi tunaompenda hajatubariki hata........."WATUMISHI MUOMBEENI SANA SI YEYE"

  • @kelvinnaftali4331
    @kelvinnaftali4331 4 місяці тому +11

    Mimi haya niliyatarajia maana giza na nuru haziwezi kuchangamana nilivyoona ukaribu wake na wasanii wa nyimbo za kidunia nikasema ili ni anguko lake tayari.

    • @peacelive3420
      @peacelive3420 4 місяці тому

      Mwenye haki aweza anguka (mara...) na atainuka Tena.....

  • @Saint-PaulFavour990
    @Saint-PaulFavour990 3 місяці тому

    This act is really paining Prophet Richard actually we as Kenyans we feel very annoyed bt let God take control😭😭🙏🙏

  • @evangelicalmiraclesfellowship
    @evangelicalmiraclesfellowship 4 місяці тому +2

    Huyo yuko kwenye mazabau mengine kaka,nashukuru sana kwa kuongea kuhusu huyu mwanle mungu akubariki

  • @user-wl3sv2xn9e
    @user-wl3sv2xn9e 4 місяці тому +8

    Nilkuwa nazpenda sana nyimbo zake kumbe nishetani mtu sizitaki tena!

    • @peacelive3420
      @peacelive3420 4 місяці тому

      tusisome Zaburi kisa Daudi alizingua, ?

    • @user-ee8dr9iw4k
      @user-ee8dr9iw4k 4 місяці тому +1

      Ata lusifa anikua mwimbaji sasa matuda yake yanaonekana

    • @naomichallo9766
      @naomichallo9766 4 місяці тому

      Zamani naona alikua akimtumikia MUNGU ndio maana nyimbo zake ulikua ukizisikia zinakugusa lakini sasa naona ametoka nje ya Imani ni huzuni tumuombe Sana

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo 4 місяці тому +11

    Powerful ....kufikiri kwa kina waooh!!!

  • @maglanloy7644
    @maglanloy7644 3 місяці тому

    Amen amen mtumishi wa mbinguni,Mungu akupe muda kutosha kuwafundisha wasiojua Mungu

  • @stephenotieno12
    @stephenotieno12 2 місяці тому

    Let's pray for our sister Christina. Bible inawaita wanawake viumbe dhaifu. Tusali kwa Mungu kwa ajili yake. Mungu amrejeshe kwake kwa Jina la Yesu Christo

  • @markomgogosi6093
    @markomgogosi6093 4 місяці тому +3

    nawashangaa sana wanaomwita pastor yule si mchungaji

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 4 місяці тому +7

    Na hiyo ndio tofauti ya mwanamke na mwanaume ktk kufanikiwa..... Mwanamke akifanikiwa kuzd mwanaume matokeo ndio hayaaaaa

  • @deborahbett412
    @deborahbett412 4 місяці тому +4

    I am a widow and if only Shosho knows the kind of covering a husband for his own wife😢😢😢😢i wish she knows this early....from Kenya 🇰🇪

  • @apostelgodwin
    @apostelgodwin 4 місяці тому

    Msaidieni shusho arudi kwa mmeo la sivyo atapotea kabisa kutoka usoni na machoni pa Mwokozi ..naombeni watumishi mpige kelele juu ya hili maana anaharibu wasichana kujifunza ujinga kwake ..naomba Mrudisheni kwa Kristo kabla ya kuharibikiwa na diamond ❤

  • @PaulMsema
    @PaulMsema 4 місяці тому +10

    Ukijiinua unashushwa ,kanuni ya Mungu ni kunyenyekea kwake basi

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 4 місяці тому +9

    Prophet!! Tusameheni Sana, ni kweli ndugu yangu amekosea ,nilimwonya mwaka jana coz kuna jambo kubwa nyuma ya Pazia jamani, Ambalo hamlijui , ni zito lsiti mngelijua!!!!

    • @StevenMacha
      @StevenMacha 4 місяці тому +1

      Baba yake wa kiroho ni nani????

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 4 місяці тому +1

      Jambo lipi hilo?

    • @mercyrehani2470
      @mercyrehani2470 4 місяці тому +1

      Liweke wazi Malkia, tupone

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 4 місяці тому

      Shujaa wa kweli hupigwa lisasi ya kifua akipambana na mambo makubwa wala hatokubali kupigwa lisasi ya kisogoni. akiwakimbia maadui unapoamua kuitumikia yesu majalibu lazima kinachotakiwa NI maombi Sana na unyenyekevu na kusimamia Neno la mungu hayo makubwa mungu atasimama upende wako hatakuacha mikononi mwa akina dangote

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 4 місяці тому

      ​@@StevenMachaMimi hapa

  • @christaloneministry1163
    @christaloneministry1163 4 місяці тому

    Asante mtumishi kwa kunena kwa niaba ya MUNGU! Asante zaidi kwa kunena ukweli na ukweli kwa UPENDO MWINGI.....its high time for Christina to go back to her senses just as a prodigal son did. As early as NOW

  • @NoelKomba-bj4yr
    @NoelKomba-bj4yr 4 місяці тому +2

    Am so blessed Dr....

  • @johnsonbarasa9869
    @johnsonbarasa9869 4 місяці тому +4

    Mafundisho haya ni ukweli ila unyenyekevu na utiifu umewatoka wanawake pindi tu umarufu kihuduma,Mungu atusaidie sana

  • @user-yd4et4sd9b
    @user-yd4et4sd9b 4 місяці тому +14

    Diamond kafurahi kweli, kapata mshirika

  • @AnnaMutua-nr7yx
    @AnnaMutua-nr7yx 3 місяці тому

    Let us pray for our sister Tina. The enemy wants to swallow her but I pray that God will not allow it in Jesus mighty name. However let us live by the spirit and we shall not gratify the fruit of the flesh. Tumuombee sana

  • @edithweddy3027
    @edithweddy3027 4 місяці тому +1

    Amen..God bless you man of God

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 4 місяці тому +15

    Freemason at work now. Huyo alishatekwa na haya majangili siku nyingi sana. mungu wa dunia hii ndio mungu wa kina Diamond.. Mwanamke ni msaidizi tu, Mungu huita kichwa na kichwa ni mwanaume full stop. Ubavu hauna kichwa, kichwa ni mume. Mwanamke hana kichwa, kichwa chake ni mwanaume.

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 3 місяці тому

      KAMA ni hivyo kwanini uongee na kiwiliwili maana kiwiliwili hakina mdomo basi bora ukae kimya kuliko kuongea na kiwiliwili.

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 4 місяці тому +21

    MIMI HATA SIKU HIZI SITAKI KUSIKILIZA HATA NYIMBO ZAKE
    NI USHETANI LIVE

    • @user-vw5ul8kd5i
      @user-vw5ul8kd5i 4 місяці тому +1

      True

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому

      kWANI NYIMBO ZINAKOSA GANI?

    • @alexandernyambo7739
      @alexandernyambo7739 4 місяці тому +1

      @@YOSHUAMWAMPETA MAMBO YA ROHONI HUJURIKANA KWA MAMBO YA ROHONI

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 місяці тому

      @@alexandernyambo7739 NIPE MACHO NIONE MACHO EEEE ,NIPE MACHO NIONE MACHO EEEEEE! YOOOTE ALIMALIZA YOOTE MSALABANI !YOOTE ALLIMALIZA YOOTE MSALABANI! Je hizo nyimbo mbili hutaki kuzisikia kwanini?

    • @alexandernyambo7739
      @alexandernyambo7739 4 місяці тому

      @@YOSHUAMWAMPETA 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @ProsperAjuwaMahano
    @ProsperAjuwaMahano 3 місяці тому +1

    Maman yetu Christine Shusho ameshikwa na pepo mamon, Kanisa la Mungu tumumbeye. Pepo mchafu amuachiye

  • @MageniProsper
    @MageniProsper 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana, nyakati hizi huduma nyingi Sana ninajutokeza hazitokani na Mungu huyu wa kweli. Na ndiyo maana wakishaingia na kuona wamefanikiwa wanatoka kabisa nje ya mpango wa Mungu na kujifanyia mambo Yao na mara zote wanaenda kimwili. Shusho anatakiwa kutubu Kwa machozi vinginevyo pigo linakuja kwake.

  • @fredseluina
    @fredseluina 4 місяці тому +17

    Ni vema akataja ni mungu gani anayemtumikia. Naamini sio Mungu Yehova, Mungu wa Israel.