![Bishop Augustine Mpemba](/img/default-banner.jpg)
- 367
- 1 149 554
Bishop Augustine Mpemba
Приєднався 9 лис 2013
Відео
Mkopo Masharti Nafuu Maana Yake Nini?
Переглядів 8462 місяці тому
Mkopo Masharti Nafuu Maana Yake Nini?
Tumeacha Kuhubiri Ujumbe Tulioachiwa...
Переглядів 1,5 тис.8 місяців тому
Tumeacha Kuhubiri Ujumbe Tulioachiwa...
Mhe Rais Samia Na Mhe Mwenyekiti Mbowe
Переглядів 1,7 тис.Рік тому
Mhe Rais Samia Na Mhe Mwenyekiti Mbowe
Uko sahihi Sana....!!!
This’s the word of Truth, it takes “Revelation of Holy Spirit to understand and accept this, for those who will understand then Truth will set them free, Matthew 24, Remember this message was preached 4 years ago and not still not expired, ask yourself why!
Kwa jinsi nilivyokuelewa unamaanisha kwamba upo upande wa Kamala Harris (Democratic) na sio upande wa Donald Trump(Republican) Ama nimekuelewa vibaya Bishop? Naitwa Ben kutoka pasiansi Mwanza.
@@BenLeonard-tm5ht Sikumaanisha hilo kabisaaa. Haihusiani kabisa na uchaguzi wa Marekani. Nilichosema ndio ukweli uliopo kwenye siasa za dunia.
Dunia isiyokuwa na maralia😂😂.... bishop wangu bora kuwahi kutokea Tanzania tangu misingi ya dunia kuwekwa.... ulinitoa mbali na mpaka sasa notes zako za kipindi cha fumbua macho na kile cha asubuhi pamoja na cha usiku zinanifanya niwe imara mpaka sasa
Hakika pale Kwa neema fm ulikua unaturisha madini ya uhakika aseee,you have inspired a lot stay blessed bishop
Ni muhimu kuelewa Tofauti kati ya Mwana siasa na Mwana demokrasia. Tukiweza kutofautisha basi itatufumbua macho. Je, Kila mwana demokrasia ni lazima kua mwana siasa?
Nakubali Bishop
dah, ulinijenga sana kimafundisho Bishop
True Knowledge comes through revelation of understanding
Plusi hafai hata kidogo aombe msamaha
Pole sana baba. Mungu mi mtetezi wako
Unapo kiri na kuamini tokamoyoni mwako kwamba yesu kristo ni Mwana wa Mungu aliye hai , yaani yesu ni Mungu 100%.
Umecheka kihatari tena muogope mungu
@@mashakabundala9955 Simjui mungu. Namjua Mungu!
Ubarikiwe bishop...Mungu ndo mlipaji,,,mimi ninahitaji unisaidie,,jambo nitaeleza kifupi sana kwani nahitaji niwe chini yako kihuduma nijifunze zaidi kutoka kwako..naitwa George Nyamanga king...niliitwa na Mungu kihuduma lakini hadi sasa nimekuwa nikihubili mitaani,,,,,hadi sasa nimepata eneo nimenunua sehemu,,,,lakimi sijaanza kuabudia hiyo sehemu...lakini nahitaji ushauli wako kama mtumish...hiyo eneo bado sijajenga chochote...nipo Dar er salaam..
Absolutely revelatory message 🙏🏾
Mungu akubarikisana mshindani
Perfect
Hapo mkuu umechemka Adam ameumbwa na hawa ameumbwa wote sisi ni viumbe wa mungu
Mungu akubariki mtumishi upo sahihi
Huyu mtumishi anadanganya eti Mungu alimruhusu Adam alale na Hawa ndio kazaliwa Abel na Kain? Ndio sababu hii dini ina mapungufu kwa sababu watu wanadanganya tu.Baada ya kula tunda ndio Mungu alikasirika na kuwafukuza bustanini na hapo ndio aliwaapiza nendeni mkazaane na mwanamke kupewa adhabu ya kuzaa kwa uchungu. Halafu Sijui Yesu amekomboa nini wakati dhambi ya asili kama ipo Mungu alishatoa adhabu kwa nyoka Hawa na Adam hadi kufukuzwa bustanini. Na sisi tunatumikia hizo adhabu sasa mkombozi wa nini tena? Kwa hivi dhambi ya Asili Mungu alishatoa adhabu kwa wahusika na dhambi za ziada kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe. Maandiko yanasema Yesu alitumwa kuja kuwakomboa wana wa Isrsel mengineyo ni ya kutunga tu
Mungu mkatoliki ??! Haya ni maajabu halafu ni binadamu myahudi. Hata wsyahudi hawakubaliani na hilo tena wana dini yao Judaism. Huku ni kutafuta pesa tu kuuza clips ni biashara tu. Mungu kaumba binadamu akiwemo bikira Maria halafu bikira Maria tena nae kamzaa Mungu huyo huyo hoyo itakua komedi sasa. Yesu ni mtume wa Mungu alietimwa kuja kuwakomboa wana wa Israel na Yesu hakuanzisha ukristo Ukristo ulianzishwa na watu baada ya Yesu kufa na kufufuka. Hayo ndio ukweli. Mengineyo ni porojo tu na upotoshaji na utafutaji tu pesa na umaarufu
Napoteya vs massimasilia
Uko Sawa Kabisa Yesu ni Mungu , Maandiko Yako Wazi Kabisa , Wàtu hawasomi Bible Vizuri kwa kumshirikisha Roho Mtakatifu , Harafu Yesu Mwishoni mwishoni kwa Yohana 16 - 25 - 33 , Yesu Alisema Saa Yaja Sita Sema Nanyi kwa Mithari , Jiulize Mwenyewe je Yesu Kristo Tangu Kitabu cha Mwanzo Agano la kale , Mpaka Ufunuo Agano jipya , Yesu Amesema methari ngapi , ? Jibu Unalo Wewe unae Sema Yesu Siyo Mungu , ! harafu pia Soma 1Wakorintho 2 - 10 Mungu Anasema Roho Uchunguza Yote Hata Mafumbo ya Mungu ,! Unagundua Kumbe Mungu ana Mafumbo Kupitia Yesu Unapata jibu kuwa Yesu ni Mungu , Tena ndiyo Mungu Mkuu , Soma Zaburi 95 - 1 -11 harafu Soma Tena Tito 2 - 13 - 15 . Nakupa Faida nyingine ya Methari hii Soma Walaka kwa Waebrania 1 - 8 - 9 inasema Kwaiyo Mungu , Mungu wako Amekutia Mafuta . Umeelewa Nini Kuusu huu Usemi , ?.
Methali nyingi lakini kila mtu ana tafsiri zake zikiwemo za uongo. Je hizo methali zinazidi haya maneno ya Yesu mwenyewe kuonyesha yeye si Mungu? Pale aliposema baba mbona unaniacha? Baba wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu na pale alipoomba kucha nzima alimuomba nani? Jamani mbona mnazusha tu yenu. Hapo hamjaona kwamba Mungu ni huyo baba yake? Tena wanasema kuna wakati Yesu alikua akihimiza watu wasimuabudu yeye kwani yeye ni binadamu bali wamuabudu Mungu baba yake. Mungu atahiriwe kweli? Mungu aruhusu watu aliowaumba mwenyewe wamdhalilishe kwa kumkamata kumchapa bakora kumdhihaki na kumtunfika msalabani!??? Mbona mna mawazo finyu kiasi hicho na kumdhihaki Mungu Mwenyezi?
Huyo Mungu akamatwe na watu aliowaumba wamchape mijeledi wsmtukane na kumdhihaki wambebeshe msalaba huku akianguka nao na kunyanyuliwa mwisho kutundikwa msalabani eti ili kuwakomboa watu wake mwenyewe hii inaingia akilini? Mkatoliki katundikwa msalabani na wayahudi ili akomboe watu wote ajabu wayahudi wenyewe wana dini yao ya Judaism
T.f.e 101nimasomo uliotufundisha hadileotunaishi kwaushindi na mafanikio. Barikiwa baba
Barikiwa kwaujumbe wako
God bless u man of God.
wewe kula vya bure ulaya!ila hakuna cha bure duniani.....itavilipia tu!!
Hakuna sehemu Afrika wanafanya kazi kama ulaya. Ndio maana wanafanikiwa. Kama unadhani ulaya kuna vya bure basi umedanganyika sana. Huku watu tunafanya kazi kama mchwa ndio maana Marais wa Afrika huja huku kutembeza bakuli. Tunafanya kazi na tunalipa kodi. Umesikia lakini?
Na Mimi natamani kuishi USA kama wewe bishop!!! Mafundisho yako yaliyopita ulisema our president is very meek!!! Sasa nashangaa kwa haya unayosema!!!
Hata Lucifer kuna wakati alikuwa akiongoza malaika wengine kumsifu na kumwabudu Mungu. Baadaye alikengeuka akatupwa duniani na kuwa shetani. Malaika na wanadamu tumeumbwa na kupewa hiari. Unaweza ukachagua hili au lile. Nadhani umenipata. Karibu Marekani, nchi unalala na kuamka salama!
Hakika💥💥💯💯
Mhola ya G'waseba, Bishop habari jabupanga? Seba akutongele bagishage bose ahakaya henaho.
Uncle are you a trucker?
Niko na rafiki yangu Mkongoman tunapiga misele🤣🤣🤣
@@bishopaugustinempemba4561 be blessed uncle
@@bishopaugustinempemba4561 be blessed uncle
Utawadanganya wakristo sio waislam. Na hata baadhi ya wakristo wameamka wanajifunza vitabu vitakatifu huwadanyanyi kwamba yesu ni mungu.
Kupitia Mahojiano na Kituo cha Matangazo cha BBC Swahili Mhe. William Samoei Ruto amesema Mkopo wa South Korea ambao Wamesaini Makubaliano RIBA yake ni Asilimia 0.01 tofauti na Mikopo Ya Kule kwingine America & EUROPE ambapo marejesho ya Deni pamoja na RIBA yanaanzia Asilimia 10 na kuendelea..........
Hakuna sehemu wamekopa wasiseme ni mkopo wa masharti nafuu. Kila wakikopa ndio kauli yao. Hata wakikopa America na Europe. Wanachokopa kitalipwa na Watanzania. Kwa nini wanaficha?
@@bishopaugustinempemba4561 Nimekuelewa Bishop Wangu. Umesema Kweli Hapa TZ Sehemu kubwa ya Mapato yatokanayo na Makusanyo ya Kodi kupitia TRA yanaenda kufanya Matumizi ya Anasa na Kulipa Madeni ya Nje na Kiasi Kidogo sana kinachobaki Ndicho kinatumiwa kupeleka Huduma Muhimu katika Jamii Kwa kusindikizwa na Wale Walaji na Wapigaji.
👊✌👍.
Namhala ulimhola? Agayaaa bawilage, submarine natogwa nooo Wana wa ngikulu!!
Bakuzunya duhu!
@@bishopaugustinempemba4561 Giko lulu namhala wane, ulipyeni noo utizulega na hado yaya komelaga Agayaaa. Wewe ni mmoja wa walimu wangu adimu sana, nakwiza kwinuko Amerika lushiku lumo tukwibona duhu.
Bishop Bwana Asifiwe.. kw uzoef wako huko America, wao walipigaje hatua had kuwa leading nation il sis 3rd world countries tujifunze
Kwa hili swali tu wewe unafaa kuwa kiongozi. Viongozi waliopo wangeuliza swali hilo miaka 50 iliyopita nchi ingekuwa mbali sana. Siri zilizowafanya Marekani wafanikiwe ziko wazi na nchi nyingi wamekopi na kufanikiwa. Sisi kwa staili yetu, tutabakia kutembeza bakuli daima. Inasikitisha mnooo.
Moto sana
Huyu ni zaidi ya ma Professor wa maCCM na watawala njaa kama Prof Kabudi, Kitila Mkumbo na mengineyo!!
Pole sana baba Ask
Kweli kabisa
Huyu pius huku kilimanjaro tuna mtambua kwajina la piusi kongo kumbe ni mhaya anaonyesha tu hata akizungumza anaonyesha si mkweli piusi
Huko marekani ni kwenu?au ni ulimbukeni wakusujudu mazungu.
Dunia yote hii ni mali ya Baba yangu aliye mbinguni. Mungu wangu aliupenda ulimwengu wote. Hakuipenda Tanzania na wala hajui kipande hicho. Anamiliki dunia yote na vyote viijazavyo. Kwa hiyo huku niliko ni kwa Baba yangu pia. Umeelewa?
Huna jipya wewe,ulikimbia nchini Kwa sababu gani,ujue huruma ya mzungu ni yamchinja kuku unahangaika tu huko,Bora ulivyokuwa unakula sadaka hapa nyasaka msumbiji.
Kufikiri ni muhimu sana
Ila aliyesema hivyo alikuwa akizungumza kwa Muktadha wa NCHI/TAIFA hence WATU, ARDHI, SIASA SAFI & UONGOZI BORA. 01. Akili bora kwa "watu" husika ✓ 02. Uongozi Bora = Unamuongoza nani na nani anaongozwa kama sio = WATU !?, Na Je hao "WATU" wako wapi kama sio kwenye "ARDHI" - Nyumbani, Kanisani, Msikitini, Etc . . . ••• Nadhani uko sahihi HALFWAY Kaka yangu na kwamba ulitakiwa kuchukua hayo maneno na kisha kuanza kuya-dadavua vema zaidi kwa MANUFAA ya wengi tena na tena yaani MUSTAKABALI wa hapa tulipo kwa kujali ; 01. MANUFAA - Ya Kauli hiyo 02. CHANGAMOTO - Kwa kujali kauli hiyo ya BABA WA TAIFA Amen.
Uongozi bora na akili bora huleta kila kitu. Inataka tafakuri ya kina kujua kile nilichosema!
Hahahaha
Hapa sirari wamama wanalia sana wanawekewa mapato makubwa nahauna chakufanya
Napenda Bible Study
BABA NAKUPENDA SANA,MIMI NI MSHIRIKA WAKO WA MWANZO KABISA TUKIWA BADO FURAHISHA KANISA LA MABANZI,SHEMASI WETU ALIKUA ANAITWA MAMA MTUI,MIMI NILIKUA NAISHI NELA ,BABA MIMI BADO NAHANGAIKA NA MAISHA, UNIKUMBUKE KWENYE MAOMBI, NB:MARA YA MWISHO TULIFANYA MKUTANO WA INJILI WILAYA YA KAHAMA 🙏🙏
Bishop samahani Wewe ni engineer wa fan gani?
Engineer wa ujenzi wa moyo!
@@bishopaugustinempemba4561 sawa baba. I am your fans since your first church at flaisha. I was your memba those day when I still young boy studying bugalika secondary. But now am working as ELECTRICAL FIELD TECHNICIAN in aitel telecommunications tower.
@@bishopaugustinempemba4561 I like your reflector. I meant to know why you dress reflector.
@@musajoseph7896 I was studying transportation logistics
@@bishopaugustinempemba4561 👌
NI SAWA AMEONGEA UHALISIA NDANI YA CCM..HUYO MSOMALIA WALA HAJAKOSEA
Mmmh chungulia tena
Hapa wewe askofu Augustine Mpemba ndiye hasa 'bangladeshi'-sawa na SSH aliyesema 'katiba ni kitabu tu' kwa kudai kwako kuwa katiba ya nchi iletwe na wataalamu wa katiba pekee (ambao huwa ni wanasheria ktk eneo hilo) kwa vile eti walioko kule kijijini hawana lolote la kuchangia! Umepotoka kabisa kwa sababu ipo tofauti kubwa kati ya 'hard science' ihitajikayo ktk kujenga jengo refu (uamuzi,usanifu, kujenga n.k), na uamuzi wa namna watu 'tunavyotaka tuendeshe mambo ya maisha yetu (yaani katiba ya nchi)'. Hata hivyo umefanya vizuri kufunguka namna hiyo, kwani umetoa mwanya kwa 'ubangladeshi' uliokuwa nao kukutoka pamoja na wengine na 'kunywa uji' sawia! Siku nyingine anza mada kwa kusema "kwa maoni yangu..." badala ya kutanguliza kujinasibu; itapunguza 'embarrassment' kwako pale inapotokea jambo ulilolisema si sahihi au linahitaji masahihisho kama hili! USHAURI TU