Ni muhimu kuelewa Tofauti kati ya Mwana siasa na Mwana demokrasia. Tukiweza kutofautisha basi itatufumbua macho. Je, Kila mwana demokrasia ni lazima kua mwana siasa?
Kwa jinsi nilivyokuelewa unamaanisha kwamba upo upande wa Kamala Harris (Democratic) na sio upande wa Donald Trump(Republican) Ama nimekuelewa vibaya Bishop? Naitwa Ben kutoka pasiansi Mwanza.
Dunia isiyokuwa na maralia😂😂.... bishop wangu bora kuwahi kutokea Tanzania tangu misingi ya dunia kuwekwa.... ulinitoa mbali na mpaka sasa notes zako za kipindi cha fumbua macho na kile cha asubuhi pamoja na cha usiku zinanifanya niwe imara mpaka sasa
Nakubali Bishop
Uko sahihi Sana....!!!
Ni muhimu kuelewa Tofauti kati ya Mwana siasa na Mwana demokrasia.
Tukiweza kutofautisha basi itatufumbua macho.
Je, Kila mwana demokrasia ni lazima kua mwana siasa?
Kwa jinsi nilivyokuelewa unamaanisha kwamba upo upande wa Kamala Harris (Democratic) na sio upande wa Donald Trump(Republican)
Ama nimekuelewa vibaya Bishop? Naitwa Ben kutoka pasiansi Mwanza.
@@BenLeonard-tm5ht
Sikumaanisha hilo kabisaaa. Haihusiani kabisa na uchaguzi wa Marekani. Nilichosema ndio ukweli uliopo kwenye siasa za dunia.
Dunia isiyokuwa na maralia😂😂.... bishop wangu bora kuwahi kutokea Tanzania tangu misingi ya dunia kuwekwa.... ulinitoa mbali na mpaka sasa notes zako za kipindi cha fumbua macho na kile cha asubuhi pamoja na cha usiku zinanifanya niwe imara mpaka sasa
Hakika pale Kwa neema fm ulikua unaturisha madini ya uhakika aseee,you have inspired a lot stay blessed bishop