Kupitia Mahojiano na Kituo cha Matangazo cha BBC Swahili Mhe. William Samoei Ruto amesema Mkopo wa South Korea ambao Wamesaini Makubaliano RIBA yake ni Asilimia 0.01 tofauti na Mikopo Ya Kule kwingine America & EUROPE ambapo marejesho ya Deni pamoja na RIBA yanaanzia Asilimia 10 na kuendelea..........
Hakuna sehemu wamekopa wasiseme ni mkopo wa masharti nafuu. Kila wakikopa ndio kauli yao. Hata wakikopa America na Europe. Wanachokopa kitalipwa na Watanzania. Kwa nini wanaficha?
@@bishopaugustinempemba4561 Nimekuelewa Bishop Wangu. Umesema Kweli Hapa TZ Sehemu kubwa ya Mapato yatokanayo na Makusanyo ya Kodi kupitia TRA yanaenda kufanya Matumizi ya Anasa na Kulipa Madeni ya Nje na Kiasi Kidogo sana kinachobaki Ndicho kinatumiwa kupeleka Huduma Muhimu katika Jamii Kwa kusindikizwa na Wale Walaji na Wapigaji.
Hakuna sehemu Afrika wanafanya kazi kama ulaya. Ndio maana wanafanikiwa. Kama unadhani ulaya kuna vya bure basi umedanganyika sana. Huku watu tunafanya kazi kama mchwa ndio maana Marais wa Afrika huja huku kutembeza bakuli. Tunafanya kazi na tunalipa kodi. Umesikia lakini?
Kwa hili swali tu wewe unafaa kuwa kiongozi. Viongozi waliopo wangeuliza swali hilo miaka 50 iliyopita nchi ingekuwa mbali sana. Siri zilizowafanya Marekani wafanikiwe ziko wazi na nchi nyingi wamekopi na kufanikiwa. Sisi kwa staili yetu, tutabakia kutembeza bakuli daima. Inasikitisha mnooo.
Hata Lucifer kuna wakati alikuwa akiongoza malaika wengine kumsifu na kumwabudu Mungu. Baadaye alikengeuka akatupwa duniani na kuwa shetani. Malaika na wanadamu tumeumbwa na kupewa hiari. Unaweza ukachagua hili au lile. Nadhani umenipata. Karibu Marekani, nchi unalala na kuamka salama!
Mhola ya G'waseba, Bishop habari jabupanga? Seba akutongele bagishage bose ahakaya henaho.
Kupitia Mahojiano na Kituo cha Matangazo cha BBC Swahili Mhe. William Samoei Ruto amesema Mkopo wa South Korea ambao Wamesaini Makubaliano RIBA yake ni Asilimia 0.01 tofauti na Mikopo Ya Kule kwingine America & EUROPE ambapo marejesho ya Deni pamoja na RIBA yanaanzia Asilimia 10 na kuendelea..........
Hakuna sehemu wamekopa wasiseme ni mkopo wa masharti nafuu. Kila wakikopa ndio kauli yao. Hata wakikopa America na Europe. Wanachokopa kitalipwa na Watanzania. Kwa nini wanaficha?
@@bishopaugustinempemba4561 Nimekuelewa Bishop Wangu.
Umesema Kweli Hapa TZ Sehemu kubwa ya Mapato yatokanayo na Makusanyo ya Kodi kupitia TRA yanaenda kufanya Matumizi ya Anasa na Kulipa Madeni ya Nje na Kiasi Kidogo sana kinachobaki Ndicho kinatumiwa kupeleka Huduma Muhimu katika Jamii Kwa kusindikizwa na Wale Walaji na Wapigaji.
Namhala ulimhola? Agayaaa bawilage, submarine natogwa nooo Wana wa ngikulu!!
Bakuzunya duhu!
@@bishopaugustinempemba4561 Giko lulu namhala wane, ulipyeni noo utizulega na hado yaya komelaga Agayaaa. Wewe ni mmoja wa walimu wangu adimu sana, nakwiza kwinuko Amerika lushiku lumo tukwibona duhu.
wewe kula vya bure ulaya!ila hakuna cha bure duniani.....itavilipia tu!!
Hakuna sehemu Afrika wanafanya kazi kama ulaya. Ndio maana wanafanikiwa. Kama unadhani ulaya kuna vya bure basi umedanganyika sana. Huku watu tunafanya kazi kama mchwa ndio maana Marais wa Afrika huja huku kutembeza bakuli. Tunafanya kazi na tunalipa kodi. Umesikia lakini?
Bishop Bwana Asifiwe..
kw uzoef wako huko America, wao walipigaje hatua had kuwa leading nation il sis 3rd world countries tujifunze
Kwa hili swali tu wewe unafaa kuwa kiongozi. Viongozi waliopo wangeuliza swali hilo miaka 50 iliyopita nchi ingekuwa mbali sana. Siri zilizowafanya Marekani wafanikiwe ziko wazi na nchi nyingi wamekopi na kufanikiwa. Sisi kwa staili yetu, tutabakia kutembeza bakuli daima. Inasikitisha mnooo.
👊✌👍.
Uncle are you a trucker?
Niko na rafiki yangu Mkongoman tunapiga misele🤣🤣🤣
@@bishopaugustinempemba4561 be blessed uncle
@@bishopaugustinempemba4561 be blessed uncle
Na Mimi natamani kuishi USA kama wewe bishop!!! Mafundisho yako yaliyopita ulisema our president is very meek!!! Sasa nashangaa kwa haya unayosema!!!
Hata Lucifer kuna wakati alikuwa akiongoza malaika wengine kumsifu na kumwabudu Mungu. Baadaye alikengeuka akatupwa duniani na kuwa shetani. Malaika na wanadamu tumeumbwa na kupewa hiari. Unaweza ukachagua hili au lile. Nadhani umenipata. Karibu Marekani, nchi unalala na kuamka salama!
Hakika💥💥💯💯