Huwa nawasikitikia sana wooote wasiokufuatilia. Binafsi huwa najifunza mengi sana.Endelea kutoa zile scripts zako za magunzo hasa kuhusu nchi yeti namna ya kuenenda.
Umesikia ya Tanzania, EAGT wanagombania makanisa ndugu zako uliofanya nao kazi wanazichapa mpaka wanaweka ndani, walienda na mapanga nasikia kanisa la bugando 😂😂😂 kulola pumzika kwa amani hawa waliobaki sijui wanaenda mbingu ya nani? wote siku hizi ni madokta wamesoma misungwi PhD 😂😂😂😂😂 k
@@bishopaugustinempemba4561 mimi siko huko kwenye nchi za malaria niliisha kimbia siku nyingi, yaani mimi nimekua nakuona unaleta snema kwa msuka pale, mpaka unapata kwa neema umenyooka kama rula ila hawa uliowaacha hasa EAGT Mungu awakumbuke kanisa lina majungu Mungu atusaidie
,😂😂😂 Yesu ni Bwana Mbarikiwee
Huwa nawasikitikia sana wooote wasiokufuatilia.
Binafsi huwa najifunza mengi sana.Endelea kutoa zile scripts zako za magunzo hasa kuhusu nchi yeti namna ya kuenenda.
Mafundisho unayofundisha ni injili ya kweli. Yananijenga kiroho. Ubarikiwe Bishop!
Congratulations Bishop Mpempa in USA.Umeyaona maji yalivyosomba watu wetu Rufiji?Tafadhali yazungumuzie hayo.
Bishop mpemba noma sana
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Bishop unanibariki saaaana natamani SAA a na kuwapmoja Sana na we we maana nikikusikiliza huwa nabarikiwa saaaaaaaaana bishop jqmani si urudi tz
Mhola ya G'waseba? Utumishi mwema huko uliko.
Nchi isiyo na malaria,
Agayaaa!!
Hongera sana Bishop Mpemba
ℕ𝕪𝕠𝕤𝕙𝕒 𝕝𝕦𝕝𝕒
Music is Oxygen we breathe it.
May Jesus be praised
Umesikia ya Tanzania, EAGT wanagombania makanisa ndugu zako uliofanya nao kazi wanazichapa mpaka wanaweka ndani, walienda na mapanga nasikia kanisa la bugando 😂😂😂 kulola pumzika kwa amani hawa waliobaki sijui wanaenda mbingu ya nani? wote siku hizi ni madokta wamesoma misungwi PhD 😂😂😂😂😂 k
Kama ni hivi inasikitisha sana. Poleniii
@@bishopaugustinempemba4561 mimi siko huko kwenye nchi za malaria niliisha kimbia siku nyingi, yaani mimi nimekua nakuona unaleta snema kwa msuka pale, mpaka unapata kwa neema umenyooka kama rula ila hawa uliowaacha hasa EAGT Mungu awakumbuke kanisa lina majungu Mungu atusaidie