![Ganaz Media](/img/default-banner.jpg)
- 65
- 55 083
Ganaz Media
United Kingdom
Приєднався 24 гру 2019
GANAZ Media Sauti ya washabiki wa Arsenal, tunakuletea takwimu, uchambuzi na yote yanayojiri kuhusu Arsenal na timu nyingine kwenye Premier League.
Arsenal Yawaheshimisha Washabiki wa Afrika
Arsenal Yawaheshimisha Washabiki wa Afrika kwa kutoa vifaa mbali mbali vya Kiafrika
00:00 Utangulizi
01:02 Jezi na Afrika
02:26 Kenya na Jezi ya Ugenini
02:47 Bei ya Jezi
03:48 Ratiba ya Marekani
04:30 Emirates Cup
05:09 Ligi ya England
05:32 Athari katika Matayarisho
06:02 Wachezaji waliopo Kambini
07:74 Wachezaji walio likizo
09:00 Calafiori
11:00 Madrid wamuulizia Calafiori
11:40 Hitimisho
00:00 Utangulizi
01:02 Jezi na Afrika
02:26 Kenya na Jezi ya Ugenini
02:47 Bei ya Jezi
03:48 Ratiba ya Marekani
04:30 Emirates Cup
05:09 Ligi ya England
05:32 Athari katika Matayarisho
06:02 Wachezaji waliopo Kambini
07:74 Wachezaji walio likizo
09:00 Calafiori
11:00 Madrid wamuulizia Calafiori
11:40 Hitimisho
Переглядів: 1 600
Відео
Usajili na Uhamisho Toleo la 12: Arsenal, Chelsea, Liverpool, Man City na Man United
Переглядів 1,4 тис.4 години тому
Usajili na Uhamisho Toleo la 12: Arsenal, Chelsea, Liverpool, Man City na Man United 00:00 Utangulizi 00:51 Southgate ajiuzulu 04:07 Arsenal (Setford) 05:24 Liverpool kimnya sana 06:48 Alvares akataa mkataba 07:41 KDB yuko fayari kwenda Saudi 08:31 Ederson 08:50 Joshua Zirkzee 10:30 Man United mawindoni 11:23 Leny Yoro 11:58 Chelsea 13:46 Hitimisho
Sakata la Video ya Ubaguzi wa Rangi la Enzo Fernandez
Переглядів 2,1 тис.7 годин тому
Sakata la Video ya Ubaguzi wa Rangi 00:00 Utangulizi 01:25 Fofana amemblock Enzo 02:26 Ufaransa yashtaki FIFA 02:40 Ubaguzi hauna timu 03:20 Msamaha wa Enzo 04:49 Chelsea sio wa kusamehe 06:20 Lazima waadhibiwe 07:08 Kick It Out 08:08 #nzo lqzima afunzwe 10:30 Hitimisho
Usajili na Uhamisho Toleo la 11: Wachezaji wa ghali waliosajiliwa EPL mpaka sasa
Переглядів 1,7 тис.12 годин тому
Usajili na Uhamisho Toleo la 11: Wachezaji wa ghali waliosajiliwa EPL mpaka sasa
Usajili na Uhamisho Toleo la 10: Setford, Calafiori na Tavares
Переглядів 1,6 тис.16 годин тому
Usajili na Uhamisho Toleo la 10: Setford, Calafiori na Tavares 00:00 Utangulizi 00:53 Lokonga 01:52 Tavares 03:20 Smith-Rowe 05:24 Setford 06:48 Cslafiori 08:20 Kwa nini Calafiori 09:57 Arsenal inategea 11:10 Hitimisho
Usajili na Uhamisho Toleo la 9: Toleo na Premier League (Man United, Liverpool na Chelsea)
Переглядів 743День тому
Usajili na Uhamisho: Toleo na Premier League (Man United, Liverpool na Chelsea)
Usajili na Uhamisho Toleo la 8: Dan Bentley, Calafiori na Kiungo wa Arsenal asajiliwa Brighton
Переглядів 2,6 тис.День тому
Usajili na Uhamisho Arsenal: Dan Bentley, Saka na Calafiori na Kiungo wa Arsenal, Wachezaji wa Arsenal na ushiriki wao kwenye EURO na COpa America. 00:00 Utangulizi 00:54 Copa America 01:36 Saliba na Ufaransa 02:16 Saka na England 04:01 Calafiori 05:26 Jakub Kiwior 06:12 Cozier Dubbery 07:08 Dan Bentley 09:13 Hitimisho
Wachezaji 10: Usajili Mbovu Kuliko Yote
Переглядів 42214 днів тому
Wachezaji 10: Usajili Mbovu Kuliko Yote
Usajili na Uhamisho Toleo la 7 Arsenal: Calafiori, Chido Obi, Merino na Tavares
Переглядів 1,8 тис.14 днів тому
Usajili na Uhamisho Arsenal: Clafiori, Chido Obi, Merino na Tavares 00:00 Utangulizi 00:50 Riccardo Calafiori 02:54 Je Calafiori atasajiliwa? 05:01 Chido Obi Martin 07:50 Mikel Merino 08:28 Kiungo Mlinzi 09:55 Nuno Taavares 10:32 Hitimisho
Usajili na Uhamisho Toleo la 6 Arsenal: Riccardo Calafiori, Lokonga, Raya na Kiwior
Переглядів 2,4 тис.14 днів тому
Usajili Arsenal: Riccardo Calafiori, Lokonga, Raya na Kiwior 00:00 Utangulizi 00:42 Arsenal V Man U Mwezi huu 01:25 David Raya Asajiliwa 02:14 Lokonga Anazungumza na Sevilla 03:46 Riccardo Calafiori 06:11 Jakub Kiwior 07:13 Hitimisho
Klabu Ya Premier League "ILIYOINGIZWA MJINI" Kwenye Usajili
Переглядів 23014 днів тому
Klabu Ya Premier League "ILIYOINGIZWA MJINI" Kwenye Usajili
England 2 - 1 Slovakia: Je England itafika nusu fainali? Uchezaji wa Kobie Mainoo na Kyle Walker...
Переглядів 31314 днів тому
England 2 - 1 Slovakia: Je England itafika nusu fainali. Uchezaji wa Kobie Mainoo ang'ara na Kyle Walker aharibu England bado ni matatizo: hawatengenezi nafasi, wanashuka sana chini, wana recycle mpira bila ya mbinu 00:00 Utangulizi 00:50 Shukran za dhati 02:00 England haridhishi 02:34 Kiwango cha Kobi Mainoo 03:56 Ulinzi wa England 05:05 Kiwango cha Kyle Walker 07:00 Mashambulizi dhaifu 10:25 ...
Mashtaka 115, Adhabu zake na Ugumu wa Kesi ya Man City
Переглядів 60421 день тому
Mashtaka 115, Adhabu zake na Ugumu wa Kesi ya Man City. Tunazungumzia makosa, adhabu, kesi iliyopita dhidi ya EUFA, nguvu ya Mqn City kisiasa, aiku ya mashtaka 5 kuanza na lini tutarajie hukumu dhidi ya Man City. Vile vile tunaongelea kesi ya Man City dhidi ya EPL #mancity #arsenal #115
Zungumza Na Ganaz Media: Je Arsenal itachukua Ubingwa 2024/25
Переглядів 33221 день тому
Zungumza Na Ganaz Media: Je Arsenal itachukua Ubingwa 2024/25
Usajili Ligi Kuu ya England: Timu zinazohitaji kusajili kabla ya Mwezi Kumalizika
Переглядів 1,2 тис.21 день тому
Usajili Ligi Kuu ya England: Timu zinazohitaji kusajili kabla ya Mwezi Kumalizika
Zungumza na Ganaz Media Episode 1: Usajili, Klabu zilizopata hasara na Charlie Patino
Переглядів 41921 день тому
Zungumza na Ganaz Media Episode 1: Usajili, Klabu zilizopata hasara na Charlie Patino
Usajili na Uhamisho toleo la 5 - Wachezaji 10 Wanaofaa Kusajiliwa Arsenal - Sehemu ya 2
Переглядів 66828 днів тому
Usajili na Uhamisho toleo la 5 - Wachezaji 10 Wanaofaa Kusajiliwa Arsenal - Sehemu ya 2
Usajili na Uhamisho toleo la 4: Washambuliaji 5 Wanaofaa Kusajiliwa Arsenal
Переглядів 1 тис.Місяць тому
Usajili na Uhamisho toleo la 4: Washambuliaji 5 Wanaofaa Kusajiliwa Arsenal
Breaking News: Reiss Nelson aomba kuihama Arsenal
Переглядів 730Місяць тому
Breaking News: Reiss Nelson aomba kuihama Arsenal
Usajili na Uhamisho toleo la 3 - Nafasi Zipi Arsenal Inahitaji Kusajili? Sehemu ya 2
Переглядів 1,3 тис.Місяць тому
Usajili na Uhamisho toleo la 3 - Nafasi Zipi Arsenal Inahitaji Kusajili? Sehemu ya 2
Usajili na Uhamisho toleo la 2 - Nafasi Zipi Arsenal Inahitaji Kusajili? Sehemu ya 1
Переглядів 759Місяць тому
Usajili na Uhamisho toleo la 2 - Nafasi Zipi Arsenal Inahitaji Kusajili? Sehemu ya 1
Je Wachezaji 10 Hawa Wataihama Arsenal? Usajili na Uhamisho toleo la 1
Переглядів 4 тис.Місяць тому
Je Wachezaji 10 Hawa Wataihama Arsenal? Usajili na Uhamisho toleo la 1
Timu Zilizopata pointi za Ziada kwa Makosa ya VAR. Ni timu zipi zimepoteza pointi nyingi?
Переглядів 256Місяць тому
Timu Zilizopata pointi za Ziada kwa Makosa ya VAR. Ni timu zipi zimepoteza pointi nyingi?
Mikel Arteta Atunukiwa Nishani ya Izabela
Переглядів 1,1 тис.2 місяці тому
Mikel Arteta Atunukiwa Nishani ya Izabela
Pendekezo la Kuondoa VAR Lapelekwa Premier League
Переглядів 1102 місяці тому
Pendekezo la Kuondoa VAR Lapelekwa Premier League
Je Ni Kweli Kosa La Casemiro? (Goli la Trossard)
Переглядів 742 місяці тому
Je Ni Kweli Kosa La Casemiro? (Goli la Trossard)
Uchambuzi wa Kitakwimu Man United v Arsenal
Переглядів 952 місяці тому
Uchambuzi wa Kitakwimu Man United v Arsenal
Hamna watu nawachukiya kama maergintina
Wa-ajentina wana matatizo sana, inqchangiwa zaidi na taifa lao kuwa halina 2atu weusi hivyo wote huungana katika maduala kama haya. Vhama cha soka cha aAjentina kimeshundwa hata kukemea jambo hili
Hakuna ubaguzi hapo timu ya ufaransa Ina weusi timu mzima wote waafrika kwanini wasicheze wenyewe wazungu
shukuran sana kwa kazi mzuri allah s w akupe afya njema na swiha mzuri tupo 1 kazi mzuri brother
Ami ,shukran sana kaka.
Kwanini lkini siku zooote ukweli unaumaaa
Arsenal kwa sasa inahitaji Striker hasa ukiacha Centre Back pia sehemu hii sio mbaya kama itafanyika hivyo maana mshambuliaji halisia kwa sasa hatuna "
Kweli kabisa. Lakini awe striker wa goli 30 kwa msimu, hawa ni taabu sana, kwa sababu hakuna wengi.
@@GanazMedia Ni kweli ila ukumbuke bado tunakabiliwa na kile kitu inaitwa finencial fair play
Awawezi kuwapenda watu weusi kwani istria yanchi hiyo ilikuwa ni yawatu weusi nn kilifanyika mpaka leo wapo wao? Fatilia utawajua hao jamaa alivyo na roho mbaya na watu weusi
Enzo hapo kafanya kebei mbona ufaransa wali mkebi messi walipo chukua kombe la dunia 2018 au messi ni mweupe angekuwa mweusi ungesema ni ubaguzi
Wa kwanza kuita alichokifanya Enzo ubaguzi ni wachezaji wenzake wa Chelsea, akika Fofana na Badiashile, halafu kikafuata chama cha soka cha Ufaransa, halafu ikaingia FIFA kisha liakaingia shirika linaloshughulika na masuala ya ubaguzi (Kick It Out). Kisha mwenyewe Enzo kakiri kosa na kaomba msamaha, sasa kwa nini wewe huoni kama ni ubaguzi?
Hapo hakuna ubaguzi bro huo ni ukweli kwani hao wakina mbappe asili yao ni wapi?
Kwa hiyo na wewe unadhani Mbappe kwa sababu ni mweusi basi hawezi kuwa ni Mfaransa? Mfaransa ni Mzungu tu?
HABARI IKUFIKIE Mwaka 1778, yalitokea mauaji ya kimbari dhidi ya watu weusi nchini Argentina 🇦🇷… Weusi waliuawa maelfu kwa maelfu, wakabaki asilimia 30 nchi nzima… Ukawekwa mfumo maalum wa kuendelea kuwamaliza, lengo likiwa ni kuhakikisha hakuna mweusi hata mmoja Argentina 🇦🇷… Wakati wa vita ya uhuru dhidi ya mkoloni Spain 🇪🇸, weusi waliwekwa mstari wa mbele ili waanze kufa… Argentina 🇦🇷 ilipopata uhuru mwaka 1816, weusi walikuwa wamebaki asilimia 10, nchi nzima… Baada ya uhuru, Argentina 🇦🇷 iliingia vitani na majirani zake Uruguay 🇺🇾, Paraguay 🇵🇾 na Peru 🇵🇪… Weusi wachache waliobaki, wakawekwa mstari wa mbele na kuteketezwa sana… Wajane na mayatima weusi hawakulipwa fidia tofauti na wajane na mayatima wazungu waliolipwa baada ya kupoteza waume zao/ Baba zao, vitani… Mwaka 1852, ukaibuka ugonjwa wa homa ya manjano nchini Argentina 🇦🇷… Wazungu ambao wote walikuwa na bima za afya, walipewa matibabu bure… Weusi, masikini ambao hawakuwahi kupewa bima za afya, hawakupata matibabu na wengi walipoteza maisha… Idadi ya watu weusi ikabaki ndogo sana… Miaka ya 1900-1940, Waargentina 🇦🇷 wakafanya oparesheni yao ya mwisho ya kuhakikisha nchi yao inakuwa ni ya wazungu pekee, kwa kuwapokea wakimbizi kutoka Ulaya, wakati Bara la Ulaya likiwa katika vita kuu mbili za Dunia… Wakimbizi waliopokelewa ni wazungu pekee, wengi kutoka Ujerumani 🇩🇪 kwa Hitler waliokimbia kufikishwa mahakamani Ulaya… Hawa Wajerumani ambao asilia ni wabaguzi wa rangi, wakaendelea kufyeka weusi wachache sana waliokuwa wamebaki nchini Argentina 🇦🇷… Kwa sasa Argentina 🇦🇷 ndio nchi pekee isiyokuwa na watu weusi Amerika ya Kusini… Inasemekana weusi waliopo ni asilimia 0.5 ambao wengi ni wafanyakazi wa mabalozi mbali mbali kutoka Afrika, watalii kutoka Afrika na wahamiaji kutoka Afrika na mataifa jirani… Ufaransa 🇫🇷 haikushangazwa na kauli za kibaguzi zilizotolewa na wachezaji wa timu ya taifa ya Argentina 🇦🇷 juzi, dhidi ya wachezaji wetu… Wachezaji hao hao wa timu ya taifa ya Argentina 🇦🇷, wabaguzi wa rangi, wasiotaka hata kumuona mtu mweusi machoni mwao, ndio wachezaji wanaopendwa zaidi Barani Afrika, Bara la watu weusi 🇹🇿 🇰🇪 🇺🇬 🇧🇮 🇷🇼 🇨🇩 🇲🇼 🇲🇿 🇿🇲🇿🇦
6:22
Argentina wabaguzi Sana,nenda nchini kwao uone watu weusi kiasi gani,zaidi soma historia ya hii nchi kwny ubaguzi
Mimi ni shabiki ya Chelsea lkn haya maneno yamenifanya nimchukue na kwa ujumla woote Argentina nawachukia....🙌
Kwenye ubaguzi hatutakiwi ku2a na timu. Nakuheshimu sana kwa msimamo wako.
Zero tolerance for racism in this world
Vp calafiori
Mungu akijaalia Tutamzungumzia Calafiori toleo lijalo. Kwa sasa bado hakuna makubaliano lakini mazungumzo hayakuvunjika.
Mi nikisikia tu habari za The Gunners nasikia damu inasisimka hatari asee , endelea kutupatia habar za Arsenal na Mungu akutangulie ufanye kazi yako kwa ubora zaidi
Tuko pa oja kaka, ahsante sana kwa dua nzuri.
@@GanazMedia Inshaalah
ni nimweusi
ila nimeona mchezaji WA Chelsea Nicolas Jackson amemtetea enzo
Alichofanya Jackson ni kujaribu kuleta amani. Lakini wengi wanamuona kama msaliti wa watu weusi. Binafsi nadhani Jackson amekosea
Tupe habari mashabiki wa arsenal
Tuko pamoja Pamela
Ufanye kusudi ili uombe msamaa?
Hawa ni watu wa ajabu sana.
inauma sana ila binaadamu wote ni sawa haijalishi rangi wala kabila wala dini
Kazi nzuri sana
Shukran sananl
Bravo Tupo pamoja kila siku
kazi mzuri brother
Shukran Msellem, tuendelee kuwa pamoja.
Usichoke kaka endelea kutupa habari maana kama sisi washabiki wa Arsenal tuna furahi sana na tupo nyuma yako
Ahsanate sana Athuman, tuko pamoja ndugu yangu. /nashukuru kwa kunipa moyo
Gunners forever Nashukuru sana kupata update za timu yangu pendwa Am the gunner forever
Ahsante sana kaka, hii ni channel yetu sote.
asante sna mani mungu akulinde zaidi tupate taarifa za soka❤
Pamoja sana kaka, mnanipa nguvu sana.
nani tumemsajili kwa saa hii
Golikipa ana umri wa miaka 18 anaitwa anatoka Ajax anaitwa Tommy Setford. Anacheza England U21.
Vp kuhusu chalii patino je kunauwezekano wakupatiwa nafasi ktk fastim marahii
Tulijibu issue ya Charile Patino kwenye video hii. Charilie Patino tunadhani atauzwa kama kuna timu itajitokeza kumnunua. Hii have link ya video ya Charlie Patino ua-cam.com/video/rnqt7YZ1KO4/v-deo.htmlsi=IFCB_H4zvOHrTMKR
Kazi nzurii vipi sesco
Benjamin Šeško amepewa mkataba mpya na RB Leipzig kwa hiyo hawezi kutoka msimu huu. Arsenal kwa sasa inamfuatilia Ricardo Calafiori. Kama watakubaliana matumaini yangu ni wiki hii atatangazwa.
Arsenal timu yangu mdaa mwinginee inaboaa sanaaa
Kweli
Arsenal bado wamekuwa madalali tu kazi njema kaka
Kuna kitu hapa naamini siku si nyingi utaraibu huu wa kuuza wachezaji wetu ambao nafasi zao kwa klabu ni ndogo sana hivyo acha tupate faida na kudhibiti matumizi hitajika Finencial-fair-play
@khalidmwakabuta5045 ni kweli sheria za sasa hivi za matumizi ni ngumu sana. Mwka jana timu kubwa kama Man United ilipigwa faini, na mwka huu tayari wamepata hasara ya poundi milion 74, h8vyo wako kwenye hatari ya kukatwa pointi sasa hivi. Ni muhimu sana kufanya mauzo kabla y kununua.
@@GanazMedia Ndio ukweli halisi tunapaswa kutambua na ndo maana wa kuuzwa wanaonekana wengi kuliko wa kununua
Asante sana shukuran sana kwa kazi mzuri allah s w akupe kila lenye kheri na ww
Asante sana kwa taarifa muhimu kwa klabu yetu Arsenal, We are Arsenal forever We are gunners forever"
Shukran na wewe Khalid kwa kutufuatilia. Tuko pamoja. Once you are a Gooner you will always be a Gooner.
@@GanazMedia Tuko pamoja ila naomba kama itawezekana pia tuongelee mapungufu ya timu yetu na nin tungeomba kifanyike ili tuweze kuwa bora zaidi
Asante sana brother allah s w akupe afya njema na swiha mzuri siku njema kazi mzuri
Amin, na wewe kaka, tuendelee kuwa pamoja.
kazi nzuri kwa lugha tunayo ipenda❤
Sshukran sana Richard, natumai tutaendelea kuwa pamoja.
Good job
Pamoja Paulo
Pamoja
Ahsante nime furahii kuona tuna pata taa lifaza Arsenal kwa ruga ya kiswahili
Shukrani na wewe
Karubu sana
Are you a kenyan or TZ?
Zanzibar
Hallaa gooners..!!❤🤍
👊👊
Wa kwanza leo nakuaminia bro 👍
Shukran kaka, pamoja sana.
Naikubali Ganaz midia tunahitaji muendelee kutuletea hizi burdani za Arsenal
Shukran sana Farhad, pamoja sana.
arsenal❤❤
Pamoja Richard
We are Gunners forever Tuko
Pamoja sana kaka
@@GanazMedia Kweli ndio naiona leo Utube chanel ya The Gunners ,hongereni sana maana tulikosa pa kupata tetesi au taarifa rasmi za Gunners
Ahukran Khalid, tuwe pamoja.
Wa tatu leo pamoja sana bro 👍
Pamoja kaka
Tupo pamoja kaka
Ahukran Baraka
asante sana brother kazi mzuri allah s w akupe afya njema
Ahsante na wewe kwa kutupa nguvu. Shukran kwa dua pia. Amin. Na afya iwe kwetu sote.
Pamoja sana bro, Pro Santiago here 🙏
Yap
Foad