Usajili Ligi Kuu ya England: Timu zinazohitaji kusajili kabla ya Mwezi Kumalizika
Вставка
- Опубліковано 8 лип 2024
- Usajili Ligi Kuu ya England: Timu zinazohitaji kusajili kabla ya Mwezi KumaliIka.
00:00 Utangulizi
01:00 Tunachokizungumzia
02:10 Chelsea Inachunguzwa
03:25 Aston Villa inajiokoa kukawa alama
06:12 Everton hatarini kukatwa alama mara ya 3
06:53 LCFC inakabiliwa na makosa 2
08:56 Newcastle lazima iuze kuepuka kukwata alama
10:04 N Forest Hatarini kukatwa alama tena
11:05 Hitimisho - Спорт
arsenal wauze wachezaji wanunuwe wachezaji tupate kiungo mkabaji mshambuliaji mzuri awezaye kufunga magool zaidi 25 na winga wa kulia
Nakubaliana na wewe, Arsenal inahitaji kuuza angalau wachezaji 5 na kununua kwenye nafasi ulizozitaja.
Hivi Chelsea inatatizo gani
Chelsea inataka kumsajili Nani na nani
Fafanua swali lak, ina tatizogani katika misingi ipi?
Okeee yani nkusudia katika usajili ina tatizo Gan mpka ikawa inashindwa kusaji labda imewekew vikwazo au vipiii
Hapana hakuna vikwazo, Chelsea inakabiliwa tayari lakini mpaka sasa inaelekea Chelsea imedhamiria Kusajili watoto kwanza. Hivi tunavyoongea Marc Guiu ktuks Barcelona atafanyiwa medical kujiunga na Chelsea
Asante kaka