Interview: Alikiba ' Mimi na Ben Pol sio marafiki na hatutaniani'
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba alikutana na Millard Ayo kwenye Exclusive Interview na Mtangazaji Millard Ayo kuzungumzia mafanikio yake kwa mwaka 2015, maneno ya Ben Pol kusema anapewa nafasi asiyostahili na mengine.
thank sana ali kiba .Nitaendelea kutazama songs zako na video zako.but uko powa sana ali kiba.I wish will make it better .keep it up ali kiba.Your dance will support you to get more comments .but your is anice.I wish all successful to your work so that you can be make better in the world.
unajua bro millardayo 4 my side bongo ww ni mtangazaji bora sana mungu akupe uhai 2 tufaidi ufanisi wako
ukweli hutiwa pingu ili uongo uzidi kuenea
wasanii wengi bongo walitolewa na Alikiba
sasa ajab mnapagawa na mfumo wa waabudu sanamu
alikiba is for real
kama anaringa muacheni ndo tunachompendea, there must be a difference between a legend and the others... how cute Alikiba is.....we need to support our own
Imefikia time our celebs wafundishwe communication skills. Upo kwa Interview regardless ya Radio au TV then unatumia simu sio kitu kizuri kwa hali ya kawaida kwenye conversation. Wanasanii wanapohojiwa I am certain kuwa wanajua kwamba interview itarushwa online. Kwa uwelewa wangu mdogo Naamini Ayo Tv ni itnernational na watu mbali mbali wanaangalia Interview hii hata sasa nje ya Inchi. Imagine wanakuchukuliaje kwenye Interview una-swipe simu yako ya mkononi? Kioo cha jamii ni sifa na heshima kubwa sana kwenye Inchi yoyote duniani. Itendeeni haki.
kiba wangu huyu😘😘😘😘
Big up Alikiba, pasua twende.
cha msingi sio eti ungalie Alikiba kamfollow nani istagram ama ana maringo au flani akipost hichi istagram na yeye anapost kile hilo sio muhimu ktk maisha yko kumchunguza mwengine coz haulipwi na mtu yyte kimbelembele chako...mwisho wakwisha jamaa anapiga hela na kazi yke swali ni je ''wewe unaingiza ngapi kwa siku'' ama utaishi ivo kuchunguza maisha ya wenzako. style up
umeongea yani mijitu mingine haijielewi kwani kakuambia umfollow mfyuuuu yani hawajui kama wengine wanaingiza hela wao wapo bzy wanaangalia Ali kiba kamfollow nani yani muwe mnajielewaaaa
good kiba💪💪💪😍
asante sana ayotv . interview nzuri sana. Wanasema eti ana maringo ahah. kizuri do uaga watu wanakuongelea vibaya tu.
Yaaaaaaap apo umesema my watasema mchana ila usiku watalala Tu👏👏👏
Mwanamuziki mwenye heshima Zake.big up brother
ahsante millad kwa kumleta kipenz cha watu
+Julieth Munuo sema kipenzi chako si chawatu
open n wise thanks Millard gud job
Wanyooshe king kiba
MWANA NAIPENDA MILELE....BIG UP ALI KIBA AND MILLARD KIP THAT ENERGY GOD BLESS U..
thank sana Ayo millard kwa habari hiyo.
King the one rock star piga kazi mjamaa kila mtu na lifestyle yake mapozi ni style y mtu avyo kuwa
Hata km asingelikua star sisi tungelimpenda hivohivo cz hanaga mambo mengi kiba muacheni ajipe raha mwenyewe pia kila mtu ako huru kushabikia msanii amtakae.
You prolly dont care but if you're bored like me during the covid times you can stream pretty much all the latest movies on InstaFlixxer. Have been watching with my girlfriend for the last couple of weeks xD
@Yael Yahir definitely, have been watching on InstaFlixxer for since november myself :)
Millard ayo nakukubali sana ukiwa unamuhoji msanii huyo ninaempenda sana ukimtoa Ay anafata ally kiba napenda sana ukiwa unadodosa mambo muhimu kutoka kwa ally kiba hongera kaka Millard ayo ally kiba hapa kazi tu na sio majungu
Safi sana king usiwe na kiyongo utafika mbali
Gud job
Alikiba is the King of Bongo music
Acha ushamba Alikiba.....unaringa sana broo kapate tuition kwa SIMBA#Diamond platnumz
Good speech
"Nimekuta missed call yake lakini sikuwa na time ya kumpigia".....whaaaar!
Lakini icho nikitu cha kawaida tu mbona?akaendeleya kusema kwamba Aka mpigia ata pokeya.ali ni mtoto muzuri sana,nyinyi ambawo mna utofauti na yeye ,njo hamumu elewe,ila sisi tuna mu elewa tu saana.
+#millard_Ayo thanks for the good interview between ww na alikiba,, keep working naku support ww pia coz every true stories ni za kwako siziaamini media nyingine ispokua ww tu,, na habari zote ni nzuri kwako ww,, ila umejiahidi sana na una kipaji kubwa,,so swali kwako ni je hizo maswali unayo waauliza wasanii kama vile diamond na alikiba je ni mafans wako ambao ndio ss ndio tunakupa uwaaulize wasanii au ni zako mwenyewe hizo maswali unayo waauliza,,,, please bro millard ayo if u see my comment ni reply coz i wanna know,,,, thanks @millard_ayo
millard ayo hawezi ku reply hio comment yako aambayo haina maana, millard yupo bussy hana shidaya kureply wala kusoma hi uchafu wako,,,,TEAM #DIAMOND_PLUTNUM TEAM KIBAKULI MPOOOOOOOOO!!!!!?
Great Interview.
+Abby Dabby Kweli ndio punguani wa akili kabisa yani unafanya vitu kama hauna akili, kwenye hito timu diamond we unacheza namba ngapi?
+Luninga Zanzibar anacheza namba ya mamaako
Luninga Zanzibar
Time diamond hapa
kila unachofanya kinapenya nakupenda zan kiba
lol he was so confident ,thats good
nice interview Millard gud job.
Nyie wote kuma kumbe alikiba alingi hiyo ndyo ongea yake kuma nyie uyu ndye king mfarume wabongo akuna chadomo walakuma nan
Wow...
keep it up king kiba
Good king Kiba
King kiba
king lini utatoa ngoma na msanii wa mbele
Gud gud #kingkiba
pamoja sana alike
+Ali Kiba you have to try and drop that word "YAP" it doesn't suit you... you're cool, simple and down to earth guy..... but all in all I've gat much Love and support for you.
yap is a cool word too
😅😅😅huyu jamaa...noma sana..nilimbuken.hajijui
Labda ww ni mlimbukeni
penda sanaa kiba Muaah
upuuuzi pyeee mashauzi mengi maswali na majibu tofauti
Pride is killing you kijana, that is not you, l mean that is not totally you.
frida kato he is
yani ally kiba anastahili kufanya mziki wa Africa tz kutamburika duniani kwa7bu anau wezo mkubwa hata marekani anaweza ishi nakufanya mziki wao pia
dude LA msanini Ali nakuelewa sana
Why you wering sunglasses??
Kweli kaka Kiba acha mapozi kidoogo!!!!ila we ni mkali
Huna following hata mmoja
alikiba ni msanii mkubwa na kazi zake nzuri na za kiafrika zaidi ila anazingua sehemu moja tu inshort ana mashauzi mengi sana yani sasa sijui ndo u-staa au nyodo au ulimbukeni.
hiyo ndio taabu ya ally kiba
nifungulie ile interview ya Ben Pol naitamani sana niweze kutoa maoni yangu maana ameharibu sana yule mvuta ndimu
❤️
Usife moyo mtu wangu kaza najua lazima wawepo maadui ndo ufanikiwe ila jazi yako nzuri sana
nakkbali sana brother ali kiba
safi alikiba
he who praises himself shall be humbled, and he who humbles himself shall be praised. kiba kazingua
Acheni mambo na miziki sio issue ni umagharibi uwoo
Yaani Hadi wanaume wanacoment huyu anajiskia....mmmh Aya bwana jirekebishe
kiba anavoice nzuriiiiii saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ila maringooo punguzaa mwe unaongea kwa mbwembwe
Millard bring salama jabir one day bhana
kiba bisho sana unaleta utozi hadi kwa mashabiki mixer mapozi kibao
afu kingine jaribu kutunga nyimbo nyepesi za kuka mdomoni, nyimbo zako zina mashairi magumu dah
Sana kiba mwanaaaaa
Jamaa linajiona hili
millard baba kiba ukimwita tena kwenye maojiano mwambie kweli anajiona sana nani anashida yakuona simu yake
Agatha katondo umeona eeeeh
Nakukubali alikib
dah huyu jamaa ana mapozi sn, au ndo anajiskia
Khames Binseif ati n sugar haaahaaa
Ni sugar sio
Mimi nampenda kiba ila ananiuzi maringo mengi. Punguza kunata unaboa
No kweli fatma apunguzeeee
Na mm nimo kwawenye kuku miss
Fatma haboi anapendeza akiongea hivyo
Fatma WEWE humjui kiba ss Tuna mjua
kwani ame kuwa mkongo man haaaahaaa kwan tutakuweke kwa chaiiiii
duuuu sio kwa mashauz ayo
Nishaangalia interview nyingi sana za kiba nimenotice hana people skills hajui kuinteract na watu hajui kujenga hoja na tone yake tuu utajua amekasirika na aweka sana vitu rohoni inshort siomtu poa
skuzote mtu wawatu anaejielewa huwa anaishi kwa samani alio pewa nawatu nasi kuwanza kufatiria watu nayeye ata broo miladi ayoo nazani ilo ana lielewa sarut kwako king kiba yooooo yebaba
Mnaosema kiba analinga kumanna zenu mnataka awake? Nakupenda kibaaaaaaa
kiba unaringa sana kama kidoo mi sio team kiba tena mfyuuuu
aliiiiiiiiiiii
kiba acha nyodo mziki wako mzuri nyodo duuuuh kumbuka haya maisha tu kuna leo kuna kesho jiangalie sana
gd
Hv we kiba umeifanyia nn bongo fleva mpaka unate kiasi hiko,, Alafu oohooo Diamond analinga,, huyu sasa Mr mashauzi ndo analinga,, kabisa kwenye media unasema eti nimeona missed call yake lkn sikuwa na muda wa kumpigia kweli afu unajiita msanii mkubwa,,,, you must learn something from others bro you are not big more than music industry Mr kiba,,,, jitahidi na wewe siku moja tukuone bet majungu majungu hayatakufikisha popote
nakukubali
Leo umeniudhi sana ati sina lafiki may be Abdul kiba
Ndio sinikakayake uyoo ndio Rafiki waukweli
vipi
ukipendwa ringa hahahahaah ringa baba
i dont know why some people call you "msanii mkubwa" you sing lika a lito child sing sunday school songz. NO OFFENCE.
Ally kiba ww unaringa sana jaman daah punguza maringo unakua kama chipukz
Duuuh #Hawa
it is hot
Ali napenda sana nyimbo zako...tatizo unaniudhi nakitu kimoja....kila ninapo angalia intervew zako nà za daimond...mi naona we unakuza bifu...au unaubinafsi wa maendelo...coz ulikataa kufanya colabo na Chibu nyimbo yako sa single boy.ulidhan Chibu anatafuta umaruhufu kupitia nyimbo yako...pili juz Chibu alipo eka picha Za tifa....nawe ukamua kueka zako na zawanao...yaan nikama ulikua umkomoa chibu..unaeil we unaaza wakat si tulishaanza mda mrefu...sipoa akii...plz kuwe naushindano kwenye game na simambo ya kijingi...malizene tofaut zenu..nyiiye waislam..kunaleo na kesho....muislam akikasrikuana na mwezake kwamda wasku tatu..jina lake uandkwa kwa mlango wa moto...kaz kwenu....big up kiba....napenda nyimbo zako....
eh bana eeh ayo mapozi duh
sijawahi kuona msanii DUNIANI anafanya interview huku yupo busy na simu...
mbona milard ayo naye an simu ?
hey brother, honestly you are the best between singers that I know in this earth, but you are not strong enough in interviews because you always trying to put some words in English which is not a good place to do that... thanks bro
Ally kiba unadharau sana iliopita ulikuja na stick mdomoni leo tena uko bize na simu! badilika bana brother!
kiukwel mtu mwenye hasiri ya roho mbaya awezi kufika mbali`ben pol mtu pouw xana kiba amezingua kashindwa kuukubal ukwel then akaleta chuki za chini chini
jamaa anaringa kichizi.....
Kiba anaringa sana
nimesha fuatiliya interview nyingi za alikiba na diamond, nilicho gunduwa kutoka kwao, alikiba huwa anajisikiya saaana. ni mtu wa kiburi sana, jirekebishe brooooo
kiba anakukubali but siyo kwakauli ya sina time yakumpigia
Nazani ni muda wa kujielewa kuwa yeye ni mssnii mkubwa
Na watu wanashindwa kumuelewa kutokana na nyodo zakeeee
Wenzake kama platnumz hana mambo hayooooo na wanampa sapot za kutosha nazani ni muda wa yeye ajirekebishe kwa nn yeye tu pia ajifunze kuongea na waandish waabari naamni #UTAMPENDA
hahaa coment zinachekesha
huna Rafiki ?
Usiamini ndugu wala rafiki maana wote wanafiki
Naomba punguza maringo ww ni ster mkubwa hayo maringo angetakiwa afanye chipukiz
Mnamuonea kiba ndo ongea ake
Huyu jamaa hajitambui kabisa yaani
primus danford we ndo hujitambui
Aliokuwa anaimbaa kama ww ni k 2ga
Kibawew nimkali