Interview: Alikiba ' Mimi na Ben Pol sio marafiki na hatutaniani'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba alikutana na Millard Ayo kwenye Exclusive Interview na Mtangazaji Millard Ayo kuzungumzia mafanikio yake kwa mwaka 2015, maneno ya Ben Pol kusema anapewa nafasi asiyostahili na mengine.

КОМЕНТАРІ • 206

  • @saidachitechi6677
    @saidachitechi6677 8 років тому +2

    thank sana ali kiba .Nitaendelea kutazama songs zako na video zako.but uko powa sana ali kiba.I wish will make it better .keep it up ali kiba.Your dance will support you to get more comments .but your is anice.I wish all successful to your work so that you can be make better in the world.

  • @laurentmagazi1204
    @laurentmagazi1204 8 років тому +2

    unajua bro millardayo 4 my side bongo ww ni mtangazaji bora sana mungu akupe uhai 2 tufaidi ufanisi wako

  • @abigailkighombe1960
    @abigailkighombe1960 8 років тому +7

    ukweli hutiwa pingu ili uongo uzidi kuenea
    wasanii wengi bongo walitolewa na Alikiba
    sasa ajab mnapagawa na mfumo wa waabudu sanamu
    alikiba is for real

  • @faudhiabilal9154
    @faudhiabilal9154 8 років тому +1

    kama anaringa muacheni ndo tunachompendea, there must be a difference between a legend and the others... how cute Alikiba is.....we need to support our own

  • @ProchesJulius
    @ProchesJulius 8 років тому +1

    Imefikia time our celebs wafundishwe communication skills. Upo kwa Interview regardless ya Radio au TV then unatumia simu sio kitu kizuri kwa hali ya kawaida kwenye conversation. Wanasanii wanapohojiwa I am certain kuwa wanajua kwamba interview itarushwa online. Kwa uwelewa wangu mdogo Naamini Ayo Tv ni itnernational na watu mbali mbali wanaangalia Interview hii hata sasa nje ya Inchi. Imagine wanakuchukuliaje kwenye Interview una-swipe simu yako ya mkononi? Kioo cha jamii ni sifa na heshima kubwa sana kwenye Inchi yoyote duniani. Itendeeni haki.

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins9690 8 років тому +5

    kiba wangu huyu😘😘😘😘

  • @magufulitz6847
    @magufulitz6847 8 років тому +1

    Big up Alikiba, pasua twende.

  • @alibanks9609
    @alibanks9609 8 років тому +7

    cha msingi sio eti ungalie Alikiba kamfollow nani istagram ama ana maringo au flani akipost hichi istagram na yeye anapost kile hilo sio muhimu ktk maisha yko kumchunguza mwengine coz haulipwi na mtu yyte kimbelembele chako...mwisho wakwisha jamaa anapiga hela na kazi yke swali ni je ''wewe unaingiza ngapi kwa siku'' ama utaishi ivo kuchunguza maisha ya wenzako. style up

    • @hocylaseko7843
      @hocylaseko7843 8 років тому

      umeongea yani mijitu mingine haijielewi kwani kakuambia umfollow mfyuuuu yani hawajui kama wengine wanaingiza hela wao wapo bzy wanaangalia Ali kiba kamfollow nani yani muwe mnajielewaaaa

  • @halimamwasura3463
    @halimamwasura3463 8 років тому +4

    good kiba💪💪💪😍

  • @RAVincentOfficial
    @RAVincentOfficial 8 років тому

    asante sana ayotv . interview nzuri sana. Wanasema eti ana maringo ahah. kizuri do uaga watu wanakuongelea vibaya tu.

    • @rezeekybeiby1519
      @rezeekybeiby1519 5 років тому

      Yaaaaaaap apo umesema my watasema mchana ila usiku watalala Tu👏👏👏

  • @alankimaro4464
    @alankimaro4464 4 роки тому

    Mwanamuziki mwenye heshima Zake.big up brother

  • @juliethmunuo4250
    @juliethmunuo4250 8 років тому +1

    ahsante millad kwa kumleta kipenz cha watu

    • @edwardtrigga5701
      @edwardtrigga5701 8 років тому

      +Julieth Munuo sema kipenzi chako si chawatu

  • @omarmwinyi6484
    @omarmwinyi6484 8 років тому

    open n wise thanks Millard gud job

  • @sebajohn7108
    @sebajohn7108 7 років тому +4

    Wanyooshe king kiba

  • @magdalenemuna684
    @magdalenemuna684 8 років тому

    MWANA NAIPENDA MILELE....BIG UP ALI KIBA AND MILLARD KIP THAT ENERGY GOD BLESS U..

  • @saidachitechi6677
    @saidachitechi6677 8 років тому

    thank sana Ayo millard kwa habari hiyo.

  • @josephgeorge1903
    @josephgeorge1903 5 років тому +1

    King the one rock star piga kazi mjamaa kila mtu na lifestyle yake mapozi ni style y mtu avyo kuwa

  • @amalelmi9956
    @amalelmi9956 8 років тому +4

    Hata km asingelikua star sisi tungelimpenda hivohivo cz hanaga mambo mengi kiba muacheni ajipe raha mwenyewe pia kila mtu ako huru kushabikia msanii amtakae.

    • @yaelyahir3626
      @yaelyahir3626 3 роки тому

      You prolly dont care but if you're bored like me during the covid times you can stream pretty much all the latest movies on InstaFlixxer. Have been watching with my girlfriend for the last couple of weeks xD

    • @orionjaxton7638
      @orionjaxton7638 3 роки тому

      @Yael Yahir definitely, have been watching on InstaFlixxer for since november myself :)

  • @ellyjohn4043
    @ellyjohn4043 8 років тому

    Millard ayo nakukubali sana ukiwa unamuhoji msanii huyo ninaempenda sana ukimtoa Ay anafata ally kiba napenda sana ukiwa unadodosa mambo muhimu kutoka kwa ally kiba hongera kaka Millard ayo ally kiba hapa kazi tu na sio majungu

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 5 років тому

    Safi sana king usiwe na kiyongo utafika mbali

  • @salmaanfareed2818
    @salmaanfareed2818 8 років тому

    Gud job

  • @frankwarioba7813
    @frankwarioba7813 5 років тому

    Alikiba is the King of Bongo music

  • @amanijulius8398
    @amanijulius8398 8 років тому +1

    Acha ushamba Alikiba.....unaringa sana broo kapate tuition kwa SIMBA#Diamond platnumz

  • @cintoo2556
    @cintoo2556 8 років тому

    Good speech

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 8 років тому +8

    "Nimekuta missed call yake lakini sikuwa na time ya kumpigia".....whaaaar!

    • @josephchristian1927
      @josephchristian1927 6 років тому

      Lakini icho nikitu cha kawaida tu mbona?akaendeleya kusema kwamba Aka mpigia ata pokeya.ali ni mtoto muzuri sana,nyinyi ambawo mna utofauti na yeye ,njo hamumu elewe,ila sisi tuna mu elewa tu saana.

  • @alikiba1527
    @alikiba1527 8 років тому +9

    +#millard_Ayo thanks for the good interview between ww na alikiba,, keep working naku support ww pia coz every true stories ni za kwako siziaamini media nyingine ispokua ww tu,, na habari zote ni nzuri kwako ww,, ila umejiahidi sana na una kipaji kubwa,,so swali kwako ni je hizo maswali unayo waauliza wasanii kama vile diamond na alikiba je ni mafans wako ambao ndio ss ndio tunakupa uwaaulize wasanii au ni zako mwenyewe hizo maswali unayo waauliza,,,, please bro millard ayo if u see my comment ni reply coz i wanna know,,,, thanks @millard_ayo

    • @abbydabby783
      @abbydabby783 8 років тому +1

      millard ayo hawezi ku reply hio comment yako aambayo haina maana, millard yupo bussy hana shidaya kureply wala kusoma hi uchafu wako,,,,TEAM #DIAMOND_PLUTNUM TEAM KIBAKULI MPOOOOOOOOO!!!!!?

    • @lenaliz8037
      @lenaliz8037 8 років тому

      Great Interview.

    • @luningazanzibar2886
      @luningazanzibar2886 8 років тому +1

      +Abby Dabby Kweli ndio punguani wa akili kabisa yani unafanya vitu kama hauna akili, kwenye hito timu diamond we unacheza namba ngapi?

    • @machibyasaid1397
      @machibyasaid1397 8 років тому

      +Luninga Zanzibar anacheza namba ya mamaako

    • @sunguriyoallalla6763
      @sunguriyoallalla6763 8 років тому +1

      Luninga Zanzibar

  • @manawaaporinary9635
    @manawaaporinary9635 6 років тому +1

    Time diamond hapa

  • @mezamzambarakafrand616
    @mezamzambarakafrand616 7 років тому +1

    kila unachofanya kinapenya nakupenda zan kiba

  • @mamlee8167
    @mamlee8167 8 років тому

    lol he was so confident ,thats good

  • @ladymaureen508
    @ladymaureen508 8 років тому

    nice interview Millard gud job.

  • @nestonyamwelu6428
    @nestonyamwelu6428 7 років тому +5

    Nyie wote kuma kumbe alikiba alingi hiyo ndyo ongea yake kuma nyie uyu ndye king mfarume wabongo akuna chadomo walakuma nan

  • @amosmataiga4603
    @amosmataiga4603 8 років тому

    Wow...

  • @safihabiba6284
    @safihabiba6284 8 років тому

    keep it up king kiba

  • @evarisaernest8048
    @evarisaernest8048 6 років тому

    Good king Kiba

  • @curryxoxo8309
    @curryxoxo8309 8 років тому +1

    King kiba

  • @bobybreezy2734
    @bobybreezy2734 4 роки тому

    king lini utatoa ngoma na msanii wa mbele

  • @athumanifundi4488
    @athumanifundi4488 8 років тому

    Gud gud #kingkiba

  • @mussamasunga7459
    @mussamasunga7459 6 років тому

    pamoja sana alike

  • @ritamarley1958
    @ritamarley1958 8 років тому +1

    +Ali Kiba you have to try and drop that word "YAP" it doesn't suit you... you're cool, simple and down to earth guy..... but all in all I've gat much Love and support for you.

  • @madeeteapain7578
    @madeeteapain7578 8 років тому

    😅😅😅huyu jamaa...noma sana..nilimbuken.hajijui

  • @luckyfatty5280
    @luckyfatty5280 8 років тому

    penda sanaa kiba Muaah

  • @marthamusoma1082
    @marthamusoma1082 8 років тому

    upuuuzi pyeee mashauzi mengi maswali na majibu tofauti

  • @fridakato9183
    @fridakato9183 8 років тому +3

    Pride is killing you kijana, that is not you, l mean that is not totally you.

  • @ellyjohn4043
    @ellyjohn4043 8 років тому +1

    yani ally kiba anastahili kufanya mziki wa Africa tz kutamburika duniani kwa7bu anau wezo mkubwa hata marekani anaweza ishi nakufanya mziki wao pia

  • @yohanamasalia2625
    @yohanamasalia2625 7 років тому

    dude LA msanini Ali nakuelewa sana

  • @لولولولو-ز9ش9ض
    @لولولولو-ز9ش9ض 8 років тому

    Why you wering sunglasses??

  • @mwanaz3110
    @mwanaz3110 8 років тому +4

    Kweli kaka Kiba acha mapozi kidoogo!!!!ila we ni mkali

  • @cosmasmasawe9875
    @cosmasmasawe9875 8 років тому

    Huna following hata mmoja

  • @swalloonpoint2306
    @swalloonpoint2306 8 років тому

    alikiba ni msanii mkubwa na kazi zake nzuri na za kiafrika zaidi ila anazingua sehemu moja tu inshort ana mashauzi mengi sana yani sasa sijui ndo u-staa au nyodo au ulimbukeni.

  • @papafikiri
    @papafikiri 8 років тому

    nifungulie ile interview ya Ben Pol naitamani sana niweze kutoa maoni yangu maana ameharibu sana yule mvuta ndimu

  • @sophyeakee1976
    @sophyeakee1976 8 років тому

    ❤️

  • @bilingikajeri6201
    @bilingikajeri6201 8 років тому

    Usife moyo mtu wangu kaza najua lazima wawepo maadui ndo ufanikiwe ila jazi yako nzuri sana

  • @meshackmkaka4456
    @meshackmkaka4456 6 років тому

    nakkbali sana brother ali kiba

  • @amininyaungo4328
    @amininyaungo4328 8 років тому

    safi alikiba

  • @samsonsesera8966
    @samsonsesera8966 8 років тому

    he who praises himself shall be humbled, and he who humbles himself shall be praised. kiba kazingua

  • @khamismusa7626
    @khamismusa7626 6 років тому +1

    Acheni mambo na miziki sio issue ni umagharibi uwoo

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 Рік тому

    Yaani Hadi wanaume wanacoment huyu anajiskia....mmmh Aya bwana jirekebishe

  • @babycombo2635
    @babycombo2635 8 років тому +2

    kiba anavoice nzuriiiiii saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ila maringooo punguzaa mwe unaongea kwa mbwembwe

  • @antidiusrwehumbiza3960
    @antidiusrwehumbiza3960 8 років тому

    Millard bring salama jabir one day bhana

  • @victorjohn6929
    @victorjohn6929 8 років тому +2

    kiba bisho sana unaleta utozi hadi kwa mashabiki mixer mapozi kibao
    afu kingine jaribu kutunga nyimbo nyepesi za kuka mdomoni, nyimbo zako zina mashairi magumu dah

  • @richkainga2004
    @richkainga2004 6 років тому

    Sana kiba mwanaaaaa

  • @ronaldomorata8528
    @ronaldomorata8528 7 років тому

    Jamaa linajiona hili

  • @agathakatondo4630
    @agathakatondo4630 8 років тому

    millard baba kiba ukimwita tena kwenye maojiano mwambie kweli anajiona sana nani anashida yakuona simu yake

  • @Pembaboytz
    @Pembaboytz 8 років тому +1

    dah huyu jamaa ana mapozi sn, au ndo anajiskia

  • @fatma2496
    @fatma2496 8 років тому +8

    Mimi nampenda kiba ila ananiuzi maringo mengi. Punguza kunata unaboa

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 років тому

    kwani ame kuwa mkongo man haaaahaaa kwan tutakuweke kwa chaiiiii

  • @sambotv8727
    @sambotv8727 8 років тому

    duuuu sio kwa mashauz ayo

  • @MohamedAhmed-yn1lx
    @MohamedAhmed-yn1lx 8 років тому

    Nishaangalia interview nyingi sana za kiba nimenotice hana people skills hajui kuinteract na watu hajui kujenga hoja na tone yake tuu utajua amekasirika na aweka sana vitu rohoni inshort siomtu poa

  • @scottstv2340
    @scottstv2340 5 років тому

    skuzote mtu wawatu anaejielewa huwa anaishi kwa samani alio pewa nawatu nasi kuwanza kufatiria watu nayeye ata broo miladi ayoo nazani ilo ana lielewa sarut kwako king kiba yooooo yebaba

  • @jeftajosiah40
    @jeftajosiah40 6 років тому

    Mnaosema kiba analinga kumanna zenu mnataka awake? Nakupenda kibaaaaaaa

  • @banzijunior2807
    @banzijunior2807 8 років тому +1

    kiba unaringa sana kama kidoo mi sio team kiba tena mfyuuuu

  • @davidosward1419
    @davidosward1419 7 років тому

    aliiiiiiiiiiii

  • @furahaplatnumz_jr1693
    @furahaplatnumz_jr1693 8 років тому

    kiba acha nyodo mziki wako mzuri nyodo duuuuh kumbuka haya maisha tu kuna leo kuna kesho jiangalie sana

  • @deucstin9718
    @deucstin9718 7 років тому

    gd

  • @kelvinantonny3476
    @kelvinantonny3476 8 років тому

    Hv we kiba umeifanyia nn bongo fleva mpaka unate kiasi hiko,, Alafu oohooo Diamond analinga,, huyu sasa Mr mashauzi ndo analinga,, kabisa kwenye media unasema eti nimeona missed call yake lkn sikuwa na muda wa kumpigia kweli afu unajiita msanii mkubwa,,,, you must learn something from others bro you are not big more than music industry Mr kiba,,,, jitahidi na wewe siku moja tukuone bet majungu majungu hayatakufikisha popote

  • @uncleatvonlinenew29
    @uncleatvonlinenew29 6 років тому

    nakukubali

  • @tusiipendeduniaduniasikutu4819
    @tusiipendeduniaduniasikutu4819 6 років тому

    Leo umeniudhi sana ati sina lafiki may be Abdul kiba

  • @kombatgamer4823
    @kombatgamer4823 8 років тому

    vipi

  • @tandikafab805
    @tandikafab805 8 років тому

    ukipendwa ringa hahahahaah ringa baba

  • @mattklaus8807
    @mattklaus8807 8 років тому +1

    i dont know why some people call you "msanii mkubwa" you sing lika a lito child sing sunday school songz. NO OFFENCE.

  • @hawahamisi6237
    @hawahamisi6237 8 років тому

    Ally kiba ww unaringa sana jaman daah punguza maringo unakua kama chipukz

  • @marcosjuma4990
    @marcosjuma4990 8 років тому

    it is hot

  • @marciakassimkassim9275
    @marciakassimkassim9275 8 років тому +6

    Ali napenda sana nyimbo zako...tatizo unaniudhi nakitu kimoja....kila ninapo angalia intervew zako nà za daimond...mi naona we unakuza bifu...au unaubinafsi wa maendelo...coz ulikataa kufanya colabo na Chibu nyimbo yako sa single boy.ulidhan Chibu anatafuta umaruhufu kupitia nyimbo yako...pili juz Chibu alipo eka picha Za tifa....nawe ukamua kueka zako na zawanao...yaan nikama ulikua umkomoa chibu..unaeil we unaaza wakat si tulishaanza mda mrefu...sipoa akii...plz kuwe naushindano kwenye game na simambo ya kijingi...malizene tofaut zenu..nyiiye waislam..kunaleo na kesho....muislam akikasrikuana na mwezake kwamda wasku tatu..jina lake uandkwa kwa mlango wa moto...kaz kwenu....big up kiba....napenda nyimbo zako....

  • @Jaggmado255
    @Jaggmado255 8 років тому

    eh bana eeh ayo mapozi duh

  • @kinonative1752
    @kinonative1752 8 років тому +1

    sijawahi kuona msanii DUNIANI anafanya interview huku yupo busy na simu...

  • @alainturatsinze3307
    @alainturatsinze3307 8 років тому +2

    hey brother, honestly you are the best between singers that I know in this earth, but you are not strong enough in interviews because you always trying to put some words in English which is not a good place to do that... thanks bro

  • @mudyommary3803
    @mudyommary3803 8 років тому

    Ally kiba unadharau sana iliopita ulikuja na stick mdomoni leo tena uko bize na simu! badilika bana brother!

  • @hamadombeevents2869
    @hamadombeevents2869 8 років тому

    kiukwel mtu mwenye hasiri ya roho mbaya awezi kufika mbali`ben pol mtu pouw xana kiba amezingua kashindwa kuukubal ukwel then akaleta chuki za chini chini

  • @1salema1
    @1salema1 8 років тому +2

    jamaa anaringa kichizi.....

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko4383 7 років тому

    Kiba anaringa sana

  • @amurikakombe7213
    @amurikakombe7213 6 років тому +1

    nimesha fuatiliya interview nyingi za alikiba na diamond, nilicho gunduwa kutoka kwao, alikiba huwa anajisikiya saaana. ni mtu wa kiburi sana, jirekebishe brooooo

  • @lindadamiani7436
    @lindadamiani7436 8 років тому +2

    kiba anakukubali but siyo kwakauli ya sina time yakumpigia

  • @cosmasmasawe9875
    @cosmasmasawe9875 8 років тому

    Nazani ni muda wa kujielewa kuwa yeye ni mssnii mkubwa
    Na watu wanashindwa kumuelewa kutokana na nyodo zakeeee
    Wenzake kama platnumz hana mambo hayooooo na wanampa sapot za kutosha nazani ni muda wa yeye ajirekebishe kwa nn yeye tu pia ajifunze kuongea na waandish waabari naamni #UTAMPENDA

  • @wilhardanthony7318
    @wilhardanthony7318 8 років тому

    hahaa coment zinachekesha

  • @hubertcheyo6802
    @hubertcheyo6802 8 років тому

    huna Rafiki ?

    • @alankimaro4464
      @alankimaro4464 4 роки тому

      Usiamini ndugu wala rafiki maana wote wanafiki

  • @cosmasmasawe9875
    @cosmasmasawe9875 8 років тому

    Naomba punguza maringo ww ni ster mkubwa hayo maringo angetakiwa afanye chipukiz

  • @justinkibonge8426
    @justinkibonge8426 5 років тому

    Mnamuonea kiba ndo ongea ake

  • @primusdanford4331
    @primusdanford4331 8 років тому +2

    Huyu jamaa hajitambui kabisa yaani

  • @shadowboy6314
    @shadowboy6314 4 роки тому

    Aliokuwa anaimbaa kama ww ni k 2ga

  • @allymwarabu5984
    @allymwarabu5984 3 роки тому

    Kibawew nimkali