Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 чер 2021
  • #sirizabongo
    Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda! Askari huyu mara nyingi anakuepo maeneo ya Mbezi shule, Mwenge

КОМЕНТАРІ • 1,8 тис.

  • @robertmwakimi3116
    @robertmwakimi3116 Рік тому +36

    Namkubali sana huyu jamaa,hata ukiwa na hasira ukimwona tu zinapotea.kama matraffic wengine wangekuwa hivi,tanzania tungekua mbali sana,mungu ampe maisha marefu.

    • @user-cv1hk8vn9j
      @user-cv1hk8vn9j Рік тому +1

      The best traffic officer ever well done our super traffic officer❤🎉

  • @user-iq1qu2ot8h
    @user-iq1qu2ot8h 11 місяців тому +13

    Hakika askari wetu huyu anastahili kuwa mfano wakuigwa, Mungu amjalie maisha marefu na afya njema

  • @magdalenemuchoki9326
    @magdalenemuchoki9326 Рік тому +22

    love from Kenya. Beautiful. Sijastaajabu kuona haya kutoka Bongoland. Creativity yenu ni ya hali ya juu, nd'o maana tunawapenda

  • @JumanneKapinga-mk9zm
    @JumanneKapinga-mk9zm 2 місяці тому +2

    Na wengine waige kazi nzuri ya huyu afande Nampa big. Up

  • @tumainilukumay9907
    @tumainilukumay9907 2 роки тому +87

    Damu ya Yesu imfunike nimempenda kwakwel,Mungu amuongezee nguvu daima

    • @mossesmichaelnzowa3378
      @mossesmichaelnzowa3378 Рік тому

      Amen.

    • @MwittaJuma-yk5dm
      @MwittaJuma-yk5dm Рік тому +1

      Huyu anapenda kazi yake Kwa moyo mumoja Yan safii, mungu ambariki San aendelee nakazi yake

    • @alexymdee
      @alexymdee Рік тому

      Asipandishwe cheo bali aingezewe mshahara

    • @kigwandiohome4174
      @kigwandiohome4174 Рік тому

      yesu kafikaje tena apa

    • @geofreylulu4360
      @geofreylulu4360 Рік тому

      @@alexymdee pesa siyo kitu bro. apandishwe cheo kwa ufanisi wake maana anaweza kuwahimiza wenzake kujitoa kazini Kama yeye na yeye akiwa role model wao. vile vile cheo kikipanda sidhani kama mshahara wake utabakia pale pale

  • @aminabkr3192
    @aminabkr3192 2 роки тому +5

    Huyu jamaa yuk pw San mwenyew nimemshuhudia kabisa mbezi shule pale👍👍👍

  • @delphinamakupa4914
    @delphinamakupa4914 Рік тому +9

    I visited dar es salaam...around goba..I saw thus guy...I laughed the whole day but was happy that he was happy enjoying his work....

  • @dannypeter4951
    @dannypeter4951 Рік тому +10

    Huyu mtu mungu ampe maisha marefu katika kazi yake

  • @saleheselemani5581
    @saleheselemani5581 2 роки тому +42

    Mungu ambariki sana kwa kazi yake ikibidi aongezewe mshahara. Allah amlinde inshallah!!!

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 2 роки тому +139

    Napenda Askari Wote Wange kuwa kama Huyu! Maana pia anaondoa pia hata stress za madereva.Hongera Zake Kipenzi cha Madreva.Mungu Amwongezee Umri na Afya njema.

    • @angelbabee6233
      @angelbabee6233 2 роки тому +2

      Nimempnd sanaaaa uyo tlafick mbwembwe nyngiiii hahahaha

    • @rosekimario8223
      @rosekimario8223 Рік тому +3

      Mungu amwepushe na ajal za barabaran nampenda san

    • @ankohillary2165
      @ankohillary2165 Рік тому

      M. Napenda wote wawe kama huyu

    • @sharifashabani8689
      @sharifashabani8689 Рік тому

      Kiukweli ukifanya kazi kwa moyo unajisikia raha lkn ukifanya hupendi utaona no mzigo

    • @josesway8797
      @josesway8797 Рік тому +1

      Aisee yuko vizuri sana. Napenda sana kupita njia hiyo na gari. Huwa nainjoy sana nikifika mazingira yale.

  • @sabryahmed6940
    @sabryahmed6940 Рік тому +14

    This officer is a one in a million.

  • @halimahamis3280
    @halimahamis3280 Рік тому +12

    Mungu amlinde sana nawenye husda!Aamiin rab

  • @allykarama5574
    @allykarama5574 2 роки тому +8

    Maa Sha Allhaa Hiki ni Kipaji Alicho Tunukiwa na Allhaa Anafanya Kazi Ndani ya Nafsi yake Nimeipeda

  • @girremahamed5451
    @girremahamed5451 2 роки тому +5

    Ma sha Allah Tabarakaala, jamaa yupo fit sana na anaimudu kazi yake,na pia ana enjoy sana tena sama

  • @neemaally5997
    @neemaally5997 Рік тому +2

    Yaan hata mda wa Kuwaza rushwa hana hata kidgo yaan nampenda sana na alivyokijana anapendeza sana na Mungu kampa mwili mwepesi furahia tu kazi yako kijana ❤❤❤❤

  • @AbedKidami
    @AbedKidami 21 день тому

    Nakukubali kamanda kazi nzuri

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 2 роки тому +6

    Jamaa yupo vizuri, namkubali kwa sanna. Mungu ampe afya na kila la heri katika kazi yake na maisha yake kwa jumla.

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 роки тому +32

    Mungu amtangukie katika kazi yake.

    • @Innocentlichad
      @Innocentlichad Рік тому

      Jamani naipenda mimwenyewe kaziyangu kamahuyu trafiki

    • @user-ly8hd6pg7w
      @user-ly8hd6pg7w 4 місяці тому

      Kweli Mungu akulinde Sana

    • @user-ly8hd6pg7w
      @user-ly8hd6pg7w 4 місяці тому

      ❤❤❤❤❤❤❤ waoooooh nimependa Sana🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sebastianrespickius5267
    @sebastianrespickius5267 Рік тому +2

    MUNGU Abariki kazi ya mikono yako mahana unaipenda nimejifunza kit kwak chanzo cha kupoteza uchovu n kupenda Nazi yako God bless you

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o 6 місяців тому +4

    Jamanii aamishiwe arusha tutafurahi sana❤

  • @shamsafarijala4801
    @shamsafarijala4801 3 роки тому +10

    Nimempenda bureee mungu aendelee kukupa afya njema

  • @martinisadru
    @martinisadru 2 роки тому +11

    Mungu amlinde katika kazi yake, wangepatikana Askari wengi kama huyo katika majiji makubwa hapa nchini foreni zingetoweka na maendeleo yangekua kwa kasi, maana watu watafika kwa wakati katika kazi zao.

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 7 місяців тому +1

    Hongera Sana, Yuko na moyo Safi, damu ya Yesu imfunike Kaka yetu ili na wengine wajifunze kupitia kwake.

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Рік тому

    Yuko vizuri sana... akikaa barbarians hakuna misongamano.... welcome. Mungu akulinde Ascari wetu.

  • @jujudanda5511
    @jujudanda5511 2 роки тому +48

    This man must be promoted binafsi nilishawahi kumzawadiya 20,000. Akiwepo hapo makutano ya fire. Good guy serikali impromote itakuwa motisha kwa wengine. Japo I will stay missing him

  • @makameali6441
    @makameali6441 3 роки тому +12

    Mimi nimempenda na nuombea kwa Allah adumu nayo kazi yake inshaallah

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 Рік тому

      Kabisa nimempenda mno yaani ningekuwa boss wake ningempandisha cheo faster

  • @ahmadalli8169
    @ahmadalli8169 Рік тому +1

    Kazi nzuri kheri kubwa ikufikie askar wangu aaaammin

  • @fransiscashayo4914
    @fransiscashayo4914 11 днів тому

    Kazi nzuri sana mpaka naenjoy kuangalia unaipenda kazi yako. Mungu akulinde na akuonyeshe Nuru na mwangaza zaidi. Ukawe nyota ya dhahabu. ❤❤❤❤

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe2835 2 роки тому +6

    Bonge la Traffic police officer. Safi sana. Good job, keep it up.

  • @saidifund3868
    @saidifund3868 2 роки тому +5

    Vizuri sana ni mazoezi ya mwili viungo vinakuwa madhubuti Mungu ampe afya njema.

    • @alymuhammad8104
      @alymuhammad8104 Рік тому

      Mm nimefikia kutaka nimuon laiv yan kwa anvyo furahisha by abeid ridhwan suleiman kutaka dong kitarun ukipenda $tar big*

  • @convenantTV
    @convenantTV 27 днів тому

    Yupo vizuri ukipenda KAZI yako hakuna uchungu moyoni ...Mungu amlinde baraka Tele kutoka kenya

  • @luluchasama9347
    @luluchasama9347 Рік тому +2

    Huyo jamaa ni noma,ni kweli anapenda kazi yake,asiondoshwe barabarani bila kufundisha wengine,ila aongezewe mkwanja

  • @raphaelmitimingi6081
    @raphaelmitimingi6081 3 роки тому +14

    Anafaa kuongezwa mshahara na kuwafundisha wengine waww na ari ya kuipenda kazi kama yeye! Nimempenda sana!

    • @nobertevarist6952
      @nobertevarist6952 2 роки тому

      Me Kwa mala ya kwanza kumuona nilijua anatumia kijit ise

    • @guidokalinga
      @guidokalinga Рік тому

      Mm namkubali sana tena sana na ni shauri mzuri kwa madereva kama kuna mapungufu katika gari hatoi adhabu atakupa onyo , kwa mdomo, ilikaidi unapigwa faini Mungu mtie nguvu

  • @haikaelmamuya931
    @haikaelmamuya931 2 роки тому +4

    Ni kweli huyu Kaka ndio maisha take mwanzo siku amini mpaka nilipopita eneo lake la kazi Ila ndio utendaji wake. Mungu azidi kukubariki Bro.

  • @user-es2yt1jc4i
    @user-es2yt1jc4i День тому

    Mimrundi niombeen naipenda tz saana nimepata mtihan niombeen nice tena ninakija mtz msambaa

  • @emmanuelemmanuel1056
    @emmanuelemmanuel1056 Рік тому

    Nimeipenda hyo yuko vzr sana kwakifupi anafurahisha 👍👍💯

  • @Mtayamwega
    @Mtayamwega 2 роки тому +6

    Daaah! Binafsi mwenyewe nimemkubali sana huyu jamaa. Mungu ampe maisha marefu na mafanikio katika maisha yake.

  • @powerofgodtv9982
    @powerofgodtv9982 Рік тому +4

    Kwa mm binafsi kwakweli nimejifunza kitu huyu askari anaipenda sana kazi yake wala hajalazimishwa piya inatakiwa awe mfano kwa wengine utakuta trafiki anasababisha foreni bila sabbu za msingi ila huyu dah!!! aiseee big up sana bro God bless you

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h 5 місяців тому

    Honger san kk mung akubarik🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mung akuwek uhamishiwe pemb jaman

  • @ndinhesyaasukenie1014
    @ndinhesyaasukenie1014 Рік тому

    Big up, nilimwonaga Bamaga, i enjoyed fir real.

  • @amaniswai4969
    @amaniswai4969 3 роки тому +7

    Awe mwalimu kwa wengine,na hapendi sifa Ila anajali kazi yake na anaifanya wa upendo wa Hali yajuu.hongera bro

  • @nimphermonicah4754
    @nimphermonicah4754 Рік тому +14

    This guy is Amazing ❤️❤️❤️👍

    • @bscollection9469
      @bscollection9469 Рік тому

      Ulinzi wa KRISTO uwepo juu yake na pis watu wajitolrr kumsapoti

  • @SimeonMwakalobo
    @SimeonMwakalobo 9 місяців тому +1

    Hongera sana Askari kwa kuipenda kazi yako. Nakuombea Baraka na Neema ya Mungu.

  • @hashimuhaji1036
    @hashimuhaji1036 2 роки тому +4

    Dah!kusema ukweli kila mtu na kipaji chake ila jamaa yuko vizuri zaidi ya sana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Рік тому +3

    Afande wangu mungu akupe maisha marefu kwani nafurahi sana unachokifanya

  • @nelsonamwesigapaschal119
    @nelsonamwesigapaschal119 Рік тому

    Nakubal brooo

  • @joycenasieku8374
    @joycenasieku8374 Рік тому

    Nimemkubali Sana huyu Askari wow!! Keep it up

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 3 роки тому +4

    Mimi nimempenda hakika anafanya vizuri, barikiwa mtangazaji

  • @leahmgunda5248
    @leahmgunda5248 2 роки тому +5

    Anafanya kazi aliyopangiwa na Mungu mwenyezi.Wazazi tusilazimishe watoto kazi wasizozipenda.

  • @MariamuSalum-bb9ov
    @MariamuSalum-bb9ov 3 дні тому

    Aiseee yuko vizuri sanaa ❤

  • @user-sb5ei2bh6k
    @user-sb5ei2bh6k 5 місяців тому

    Uyu djaama nampenda sana Kuna watu wako ici anavituko asipo Vanya vituko Yani kama anaumwa Yuko vizuri from congo DRC.

  • @paulolaizer9133
    @paulolaizer9133 2 роки тому +3

    Mwambo yuko vizuri kwa kweli mungu amtiye nguvu

  • @peteryonna4434
    @peteryonna4434 2 роки тому +5

    Ama kweli anafanya kazi vizuri sana mungu amlinde na ambariki katika kazi zake aliyoichagua na vituko vyake nimevikubali sanaaaa

  • @margaretwangari3523
    @margaretwangari3523 Рік тому +6

    This is so good! GOD BLess him and help others to learn from him 😂

  • @dayanakassanga944
    @dayanakassanga944 2 роки тому +3

    Safi wazalendo bado wapo nchi hii

  • @oldgoldcancela2034
    @oldgoldcancela2034 5 місяців тому

    Uyu jamaa ni comedian mzee bongo nzima Yuko pekeaka

  • @peteruzia8313
    @peteruzia8313 Рік тому

    Asanteee sana yupo vizuri sana
    Lakn pia hicho ni kipaji.kuroka kwa
    Mungu.kweli hasa
    Maana sis tunaona kwa macho yetu. Wenyewe kuna matrafk wana upendeleo kabsa hawamuogop mungu.
    Ukfka matumbi unakaa masaa ma2
    Mpaka uvuke tazara hv ni kweli

  • @metuselangungulu4011
    @metuselangungulu4011 Рік тому +4

    Tz we are proud with this kind of workers may God bless a man

    • @yasinta2342
      @yasinta2342 Рік тому +1

      Proud of** SIO PROUD WITH!

    • @RamjiNdomba-cz7qv
      @RamjiNdomba-cz7qv Рік тому

      Yuko poa vizuri na Kila mtu ana kalama yake so huyo ni kalama ambayo Mungu amempa pamoja na kwamba ananipenda kazi yake

  • @emmanuelshayo2794
    @emmanuelshayo2794 2 роки тому +3

    Mungu ambariki aisee. Ni kijana mzuri na anaipenda kazi yake.. BIG UP

  • @user-yl4zp5qd7t
    @user-yl4zp5qd7t 9 місяців тому

    Alieangalia brother's ataikumbuka hii😂😂😂😂Ricardo dersay mambo yake hayo

  • @IsayaMtasiwa-jd4ei
    @IsayaMtasiwa-jd4ei Рік тому +2

    Uyu mtu mungu ampe maisha malefu kwenye maisha yake kwamana niwachache sana wenye moyo kama wake safi

  • @omarykiza
    @omarykiza Рік тому +10

    This man deserves a Prize 🏆

  • @sharifuteacher5025
    @sharifuteacher5025 2 роки тому +4

    Allhamdulillah allh amtangulie kwa kila jema kwenye kazi yake insha allh

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 2 роки тому

      Mungu ampe afya njema ikiwezekana serikali imwongezee mshahara maana anaipenda kazi yake. Na anaifanya kwa weledi mzuri sana

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 2 роки тому

      Mungu ambariki

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 2 роки тому

      Piga kazi kaka wengine wajifunze kwako

  • @philipokitutu-4064
    @philipokitutu-4064 Рік тому

    Mungu akubar ki sana my trafiki huyu aishi milele❤️❤️💯💯💯

  • @adammartinmwigune4501
    @adammartinmwigune4501 2 роки тому +4

    Mimi binafsi nimemkubali, anaonyesha dhahiri kazi ipo kwenye damu.

  • @kelvinmhilu6509
    @kelvinmhilu6509 2 роки тому +11

    I love this guy his in love with the job and his enjoying it his super

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k 6 місяців тому

    Yupo vizuri cn askari ❤mng amtangulia ktk kz yake in shaallah

  • @erickegidius6625
    @erickegidius6625 3 місяці тому

    Mungu akulinde Afande, chapa kazi. Idara zote za Serikali na hata zile za Private sector wanatakaiwa kuwa na watumishi wa hivi kuanzia ngazi ya juu.

  • @charlessando4129
    @charlessando4129 2 роки тому +23

    I like this man Soo
    Much the way he is responsibilities for his duty

    • @mirajiissa4721
      @mirajiissa4721 2 роки тому +3

      Safi sana uyo jamaa

    • @saidally4890
      @saidally4890 2 роки тому +2

      Nampenda sana naomba hapewe posho ilinawengine wawe nawivu waige undajiuo

    • @saidimgawe6548
      @saidimgawe6548 2 роки тому

      👍

    • @amirikyaka6942
      @amirikyaka6942 2 роки тому +1

      Safi sana mkuu hinimeipenda sana

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Рік тому

      Jamaaa anafanya kazi vizuri sana inafaa aongezwe cheo Ila hata akipewa cheo zaidi ,asiache kuongoza magari barabarani . Kulikuwa na mtu akiitwa mayenu pia vizuri sana.

  • @graciousdavid9818
    @graciousdavid9818 2 роки тому +18

    He is amazing!! I like it.

  • @mukafumumukafumu6100
    @mukafumumukafumu6100 Рік тому +1

    Kweli kazi hii usipoipenda utakuwa mtumwa. Hongera kijana wetu mpendwa.

  • @lucydaniel229
    @lucydaniel229 Рік тому

    Nainjoiii kwakwelii good job

  • @mourinhowakawe7867
    @mourinhowakawe7867 3 роки тому +3

    Mungu akuzidishie police wetu

  • @josemgy1199
    @josemgy1199 Рік тому +4

    This man deserves a prize

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Рік тому

    Daaaah nimeipenda style yake feeling today from NEW YORK CITY 🏙️

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah2579 6 місяців тому

    Dah analet raha za barabarn mawazo hakun makosa tufanye wenyewe kwa huyu askar big up Allah akupe umri mrefu

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 роки тому +3

    Miaskari mingine inajificha pembezoni kutafuta mlungula

  • @janetmanyansa7385
    @janetmanyansa7385 2 роки тому +8

    so encouraging,l like it

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 Рік тому +2

    Huyu jamaa ktk kazi yake anapata faida nyingi sana
    1)Mshahara
    2)Umaarufu.
    3)Mahusiano mazur na watu
    4)Uchapakazi nzur kazini/kwa ofisi
    5)Mazoezi.
    Yaan huyu haitaji gym hata akiondoka hapo basi kila kitu kipo sawa ktk mwili wake.
    Kwa kifupi yupo vzur sana ktk majukumu yake.

  • @madinahemed3650
    @madinahemed3650 Рік тому

    Big up askari wetu. Anawapa furaha Hadi madereva.. AONGEZEWE MSHAHARA.

  • @f.a6043
    @f.a6043 2 роки тому +6

    Hakuna jambo zuri kama mtu kupenda kazi yake MUNGU AKUBARI Traffic officer asipandishwe Cheo ili azidi kuonyesha mfano mzuri wa kazi lkn aongezewe mshahara

    • @samwelimabula
      @samwelimabula Рік тому

      Wao jamaa anaheshim kazi yake mimi binafsi nimempenda

  • @juniorberbilizjr921
    @juniorberbilizjr921 2 роки тому +7

    ❤❤ God bless him

    • @anastanziaaroisi8666
      @anastanziaaroisi8666 Рік тому

      Safi nimeturia sana huyu turafk jembe anaipenda kazi take naanajali uutu sana nawengine wajinze

  • @shayohera
    @shayohera Рік тому

    Janaa saaaaafi sana hahahahaha, kipaji pia kinahusika

  • @pendopeter3769
    @pendopeter3769 3 роки тому +3

    Nimependa pia nafikiri ni askari kijana ndo maana. Askari ambao umri umeenda pia na walionenepa wanaona tabu kusogea sogea haraka kwa kuchangamka wanasimama sehemu moja, japo wapo vijana ambao hawajitumi hii inakuwa nitabia ya mtu pia.

  • @rukiammanyi-qm9iz
    @rukiammanyi-qm9iz Рік тому +7

    So proud of him 🫠

  • @cynthiawashisino3735
    @cynthiawashisino3735 Рік тому

    Amazing 😍 God bless you

  • @babumohamed6751
    @babumohamed6751 Рік тому +1

    astahiki soda afande kwa kazi mzuri.(awe mfano mwema)

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 роки тому +3

    Mashaallah 💞

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 2 роки тому +3

    Mashaallah

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Рік тому +1

    Mungu ambariki anafanya kazi yake vizuri sana

  • @wiliambruno5657
    @wiliambruno5657 Рік тому +1

    Safi sanaa nimempenda yupo vizury xanaa

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 2 роки тому +3

    Huku kutesana tena karne hii ya technology
    Msiweke traffic lights kwa nini
    Hongera kwa kujitoa askari wetu ila afya yako ni muhimu pia ili ulitumikie taifa na familia yako kwa umri mrefu zaidi

    • @jemawiliam9075
      @jemawiliam9075 2 роки тому +1

      Traffic light zipo ila maranyingi huwa ndio sababu ya jam ndio huenda askari kupunguza jam kwakuwa taa hazina upendeleo huluhusu kwa muda marumu

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Рік тому

      @@jemawiliam9075 kweli anasaidia unakuta taa zinaruhusu upande ambao magari hamna au machache, so anasaidia sana nimependa ubunifu sio kila saa stooop! Lete kadi lesenia mara bima mara fire extinguisher

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 2 роки тому +4

    ❤😍❤

  • @user-nf7fs7zd6v
    @user-nf7fs7zd6v 5 місяців тому

    Hongera xana mungu akulinde Kwa Kaz yako

  • @CharlesChangwe-uf8rz
    @CharlesChangwe-uf8rz Рік тому

    Yupo poah sana very nice ni wachache sana kweny mia yeye ndiye wa kwanza ana stahili pongezi sana

  • @galomwaalbinus9185
    @galomwaalbinus9185 Рік тому

    Uko vzr mzee

  • @rehemamkumbo6746
    @rehemamkumbo6746 11 місяців тому

    Safi sana kwakweli inafurahisha inaonyesha jinsi gani anavyo ipenda kazi yake namuombea kwa MUNGU YESU AMLINDE NA MABAYA YOTE YASIMPATE DAMU YA YESU IWE JUU YAKE POPOTE ATAKAPO KUA

  • @user-rt6ti6jy9n
    @user-rt6ti6jy9n 4 місяці тому

    Kwakweli yupo vizuri kazini nimeipenda hiyooo🥰🥰

  • @jacquelinechriss6085
    @jacquelinechriss6085 Рік тому

    Ni Poa Sana Mungu Ampe Kipawa Cha Milele,,,Kazi Nzuri Mno Aisee!!! Safi Sana

  • @stievengenerally963
    @stievengenerally963 Рік тому

    Hongera sana,this guy is great and talented,Amen.