KUTANA na TRAFIKI mwenye MIKOGO ya HATARI, CHANGAMOTO ZAKE, MADEREVA wasifu BURUDANI ANAZOTOA...
Вставка
- Опубліковано 30 лип 2020
- KUTANA na TRAFIKI mwenye MIKOGO ya HATARI, CHANGAMOTO ZAKE, MADEREVA wasifu BURUDANI ANAZOTOA...
Trafiki Ashrafu amejizolea umaarufu jijini Dar es salaam kwa namna anavyoongoza magari kwa mbwembwe.
Global TV online imefanya mahojiano nae na kuelezea namna alivyoanza kuwa na ndoto ya kuwa polisi changamoto anazopitia...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Safi sana Afande Ashiraf. Yuko vizuri sana. Amewahi kunikamata zaidi ya mara 3 lakini sijawahi kupata fine wala kutoa Rushwa. Very understanding guy. Anakimbilia kukuelewesha au kukuelimisha na sio kwenye Rushwa au fine kama wengi wanavyofanya. He’s passionate for the work he is doing. Mungu ambariki sana
Your very right! Alinidaka hata mm banana but alinielewa! Na akanielimisha!
Mmempnda bure au sio
Mungu akufanyie wepesi ktk kazi zakoo
Safi
Mungu ni mwema akujaze maisha mema. Ufike mbali na usikengeuke
This guy loves what he does, he deserves a reward.... big up Ashirafu👌👏👏👏
Alhamdulilaah huyu askar Muelewa sana Mungu ambariki kaz yake
Kwasisi madereva ukiona afande ashiraf kakukamata ujue unakosakubwa sana, :-) daa mungu akuzidishie broo
Some time anakusimamisha anakupa hi arafu anakuruhusu. 😀🚦🚥👮 Ndani ya mataa ya tank bovu
Jamaa yuko vzurii..c kama wale wanaoo znguaa
Huyu anafaa sana.
Huwa anaelimisha kwanza kabla ya kukimbilia kutoza fine.
He is ok yuko vizuri.👍
Big respect kwa Afande Ashraf, uko smart, unafanya kazi kwa weledi hakika inatia moyo kwa wanafunzi kuona kuwa kazi ya traffic ni nzuri
Kaz ya police sio traffic 😄😄😄😄
Nakukubali sana afande ashirafu good job
Ndiyo faida ya askari waliosoma...big up afande unatumia vizuri elimu na mafunzo yako.
Huyu askari ni mzuri sana moyoni! Hasababishi stress kwa madereva
Niwachache sana wanaoziwezea hizi kazi Mungu azidi kukuinua zaidi na akupe kibari uzidi kukubarika zaidi.
Kweli
Kamanda tunakukubali sana . It is my hope to see u gaining higher ranks in ur field in the future. Uz a perfect example of a traffic officer. Jah bless
Afande amesema point sana.
Utu ni kitu cha muhimu sana. Hata kama uko kwenye haki, basi kama mwenzio akikosea, basi jitahidi kuzuia isitokee ajali.
Mfano mtu ana overtake kimakosa, basi mwache, punguza mwendo.
Asante Afande Ashraf
Daaah! Huyu ndio polis wangu bora kwa Tz
yupo vizuri,naomba awe anaoneshwa kila mara,pia anapenda kazi yake
@@noelanassari5335 yan nngekua na uwezo wa kulipia vipind...nngekua namuwekaga yeye tu
💯
Madereva wengi wanakufa kwa ajili ya roho mbayaa Nani amesikia hiyo na kuelewa gonga likes zako hapa tujuane
Nakukubar sana nikikukuta maeneo ya tank bovu shule ashirafu mungu akupe nguvu katika Nazi yako
Namwomba afande IGP ampromoti askari hodari Ashrafu. He has passion towards his work. We have few of his kind. May God bless his work.
Big up! Kwanza unahofu ya Mungu! Bonge la brother man! lol! Umetisha! Uko right kabisa Kuna madereva wababe barabarani humu! Yaani wanajifanya wajuaji hatari! Kazi ya kukamata kamata utahurumia wote! 😀😁
Ashrafu ni mtanzania 🇹🇿🇹🇿tena mrangi wa dodona naona wakenya🇰🇪🇰🇪 mmeshaanza kusema eti ni askari wenu et mkikuyu🤣🤣🤣
Hahahahahahahaha
🤣🤣
Siyo Dodoma warangi ni kondoa
Mh,Singidaaaa
Nyaturu tribe
Nampenda sana huyu Ashraf Allah akuzidishie afya njema
Pongez kwa kuipenda kazi yako
mapenzi na kazi,
passion
Mimi nampenda Sana huyu afande upo vizuri Sana Kwa kazi njema
Hachukui lushwa afande, MAGUFULI TUNAOMBA mpadishe cheo pls
Huyu trafiki Yuko vizuri Sana. Wengene wakiwa kazini wanachelewesha Sana wanatumia muda mwingi kukagua magari. Tanzania tungekuwa na trafiki moja Kila mkoa mambo yangeenda vizuri
Amen ubarikiwe sana
Hongera uko na hofu ya Mungu
Kweli kabisa afande Ashraf
Kuna watu wakiwa barabarani wana pretend kuwa wao always wako perfect na Ndio wenye right na mwingine ndiye amekosea.
Hii ndio raha ya kufanya kazi unayoipenda😘😘 safii afande Mungu akubariki sanaaaaaa
Anatenda kutoka moyoni, tuzipende kazi zetu kihiviiii...
Hahaha inategemea na kazi km uliyokuwa unawish kufanya ndio hiyohiyo umeipata, maana nowdays unafanya kazi unayopata na sio unayopenda
@@joycechaz2840 umenena vyemaa hahaaaa dunia hii banaa!
Anapend kazi yke ndo maan yuko bora
Mungu akubariki bro asee
MUNGU akubariki sanaa hakika unaipenda kaz yako more blessing 2 him
Huyu mwamba Ofcourse anaipenda sana kazi yake, 2017 alikuwa pale maringo round about nilikuwa nasalimiana nae kila asubui nikiwa nasubiri daladala, juzi nimempita tank bovu!. All the best!.
uk vizuri Afande
Maashaallah mimi nakupenda sana wewe afande Ashraf Allah akupe nguvu inshaallah katika kazi yako
Uki ipenda kazi yako raha sana
Ukifaham kazi ,,,na ukaipenda kazi yako....Ni Raha sana...
Enjoy your work, he is the best example
Anaipenda kazi yake,yaan kwa madaha zaidi
Nec brother yan ukipenda kaz yako lazma huifuraiye na ufanye kaz vzr na kwa mikogo saf sana brother na unajina la mtto wang Ashilafu mwanangu wahoo mung akubarik🤲🤲🤲🤲😍😍😍😍😍😍😍👏👏👏
Anafanya kazi nzuri sana Mungu ambariki
Namkubar mala nyingi huwepo pale tank bovu mataa namkubar sana jembe lakiz polisi mzur hana roho mbaya mungu abalik..jeshi letu la polisi na mangene asante tanzania gd tz nakupenda tz
Kazi nzuri afande
Nimependa alivyo smart
Mhesimiwa Rais Magufuli, naomba umuone huyo traffic Police.
Wow
Afande uko vizur
@@elizabethjames2693 adi raha
Safi Sana
Afande yupo vizuri sana kazini 👍
Nakubali Afande Ashirafu Abassi Shaban
Am kenyan kudos bro
Yuko vzur sana very interesting
Iddaty nichek 0715165518
Nakubali sana utendaji kazi wa uyu kamanda......ata nikiwa kwa daladala pale tangbovu natamani tugande niendelee kumtizama.
Wow amazing 😃
Huyu trafic Ashraf yuko vizuri sana. Hata ukiongea nae mcheshi, ni trafic anajua kazi Yake.
Wow so nice afande
Yaan nimeipenda Sana hii anapenda Sana kazi yake
Ashrafu upo juu sana namekupenda bureee!!!
Nampenda sn uyu askari ❤️❤️❤️❤️❤️
Kama wote wangekuwa kama huyu askali kweli tungekuwa atuana stress maana wapo maasikali wengine pasua kichwa hatar
Hongera sana Kaka Allaah,akulinde Uendelee kusimamia Haqi
Hongera sana.
Hata mm nilimuona live Jamaal yuko vizur sana. Na anafurahisha.
Ongela Sana afande ukiipenda kazi yako ata uchoki mungu anakupa nguvu
Namkubari sana Afande
Nasoma koments huku naangalia video
Kbsa
Anapenda sana kazi yake hadi raha
Kama mm vile
Mimi je?
Ata mimi
Safisana nampenda kwa kazi zake mungu akutangulie🙏🤲
Saf sanaaa afande ashraf mtt wa mie
Piga kazi kaka maisha yaendelee
Hakika anaonyesha kuipenda kazi yake hongera sana afande ashrafu
NAMKUBALI,ANAFANYA KAZI HUKU AKIBURUDISHA NA KUBURUDIKA,RAHA JIPE MWENYEWE,NO STRESS
Huyo mwislaeri mweusi noma sana
the real black african Traffic men much love you from Congo zaire welcome in congo
Jamaa yupo vizuri aisee
Mimi nimefanikiwa kumwona jamaa yuko vizuri.Changamoto kubwa anamatusi sana hasa kwa madereva wa daladala.Alimtukana dereva mmoja siku moja kwangu Kama devera nilijisikia vibaya kwelikweli.Aache hiyo tabia.
Hongera sana afande. Tunakupenda
Afande Ashrafu ulichosema ni kweli madereva wengi wanaroho mbaya sana
Huyu afande namkubali sana,inaonekana wazi anaipenda na kuiheshimu kazi yake.Yuko makini sana na kazi yake huku akituonyesha manjonjo yake.Inawasaidia pia wale wanaonuna
Viongozi wampandishe cheo huyu Traffic, anatoa sana mafundisho kwa waendeshaji, hakimbilii kutoza faini, anaipenda kazi yake anaifanya kwa passion, please please please apewe cheo
Nakukubali broo
Dah umetisha sana
Yaani hua nacheka dah😁😁😁,,, njia panda yakawe alimaarufu kwa dito,,, na njia panda yakwenda kawe mzimun
Mm namkubali Afande hance pale mataa ya fire yule ananifurahisha zaidi zizan hata kama anachukuaga rushwa......
Jamani jamani msimsahau afande hansi pale faya yupo vizuri mno.kuna siku nimemshuhudia gari la mwendo kasi lilipo mpush akaanguka chini na kofia yake ikazagaa . Na alipo inuka hakutaka longolongo akaruhusu mwendo kasi liondoke na yeye akiendelea kuchapa kazi .
Mashallah
Big respect bro😘😘
Nimefuatilia sana style hizi zinanikumbusha mafunzo yangu ya Udereva kwenye ile mikao ya askari wa usalama barabarani
Ninamkubali Sana huyu jamaa. Big up
iyo nimeipenda deleva kua na utu uwo ndio udeleva
Jamaa huyu anavituko
Hongera sana afande shiraff unaipenda kazi yko sana
He so funny ...me nampenda coz anapenda anachokifanya mpka raha anawamotivate wale ambao wanadream ya kufanya hyo kaz hata kama syo hyo kaz anatuelimisha tupende tunachokifanya
Ni askar wa mfano, anaipenda kaz yake
Mungu akulinde afande uko vizurri sana nimeipenda utendaj kaz wako mkuu
Very good
Very good uko poa sana wengi wao wakiwa trafc wanaona wameshafika mbingu
Nakubali sana kaka
Ukiipenda kazi lazima utakua na vitu vya ziada
Yani huyu mshikaji na mkubali sana yani lazima nimpe hi nikipitaga hapo mbezi
Nikipita tango bovu nakuletea mananasi kwa wingi
napendeza kazı esrafu..mungu seidia🧿
Mungu akupe mema ya nchi unafanya kazi vizuri sana Mh Magufuli mimi sipo tz ila naomba umwangalie huyu afande kwa upande wa pili
Waoooh,hivi ndivyo unapaswa kutambua kipaji chako na kukiishi na pia unapaswa kujituma na kuipenda Nazi yako,syo kama trafiki wengi walivyo,nimpenda
Nime mpenda akifanya kazi kwa furaah
Huyu Trafic kwakweli ni mtu ambaye hii kazi iko kwenye damu yake yaani anaipenda ,anafanya kazi yake kwa umakini na kwa upendo Mungu ambariki ktk kazi yake
Huyu Mwandishi kanjanja, hajui kufanya interview hajamtambulisha mgeni tukamjua, swali la kwanza katika interview, hivi afande wewe ni nani? Ulizaliwa wapi na mwaka gani? Elimu yako ni ipi? Ulisoma wapi? Nino habari za familia yako, ukianza kazi mwaka gani, wapi? Na umefikaje hapa? Tukio unalolikumbuka? Angekuwa mwandishi angeshajua kuwa huyu askari alishapata tukio la mwenzake kuuawa na yeye kukimbia, nini alichojifunza kwenye tukio lile
Good
Dada Rosemary unajua mno yaani hivyo ulivyo uzaliza wewe ndiyo ilivyo takiwa aulize yeye lakini ameshindwa ,angekuwa tiki tv shayo tungeilewa vizuri ,au milad ayo ndiyo tungejivunia haya mahojiano.
Duuuh nimekupenda bule
Anaimbisha kwaya au anaongoza magari inaelekea hiyo kazi ippo kwenye damu yake
Humjui Huyu inaonekana uko mbali na Dar this guy is cool na kwa muda wa rush hour huwezi kwama ata kama kuna foleni
Ana imbisha kwaya yake ya marafiki yuko poa Anivunja mbavu haki afurahisha
Uko vinzuri ashirafu nimeipenda hiyo unafurahisha Sana na unaonejana ni jinsi gani unaipenda kazi yako madreva wengi watakupenda
@@asteriambwei3349 ombi langu umpandishe cheo
Anapenda Sana kazi yake ndo maana wao ongera sana afande👨🍳👮♂️👮♂️👮♂️👮♂️
Huyu jamaa binafsi namkubali sana kwa utendaji wake wa kazi