KUTANA na TRAFIKI mwenye MIKOGO ya HATARI, CHANGAMOTO ZAKE, MADEREVA wasifu BURUDANI ANAZOTOA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 лип 2020
  • KUTANA na TRAFIKI mwenye MIKOGO ya HATARI, CHANGAMOTO ZAKE, MADEREVA wasifu BURUDANI ANAZOTOA...
    Trafiki Ashrafu amejizolea umaarufu jijini Dar es salaam kwa namna anavyoongoza magari kwa mbwembwe.
    Global TV online imefanya mahojiano nae na kuelezea namna alivyoanza kuwa na ndoto ya kuwa polisi changamoto anazopitia...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

КОМЕНТАРІ • 351

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe748 3 роки тому +58

    Safi sana Afande Ashiraf. Yuko vizuri sana. Amewahi kunikamata zaidi ya mara 3 lakini sijawahi kupata fine wala kutoa Rushwa. Very understanding guy. Anakimbilia kukuelewesha au kukuelimisha na sio kwenye Rushwa au fine kama wengi wanavyofanya. He’s passionate for the work he is doing. Mungu ambariki sana

  • @williaellymarawiti4937
    @williaellymarawiti4937 4 роки тому +37

    This guy loves what he does, he deserves a reward.... big up Ashirafu👌👏👏👏

  • @saidrashidybravo1895
    @saidrashidybravo1895 4 роки тому +23

    Alhamdulilaah huyu askar Muelewa sana Mungu ambariki kaz yake

  • @wardahamdan2351
    @wardahamdan2351 3 роки тому +35

    Kwasisi madereva ukiona afande ashiraf kakukamata ujue unakosakubwa sana, :-) daa mungu akuzidishie broo

    • @dicksonwanyama1689
      @dicksonwanyama1689 3 роки тому +1

      Some time anakusimamisha anakupa hi arafu anakuruhusu. 😀🚦🚥👮 Ndani ya mataa ya tank bovu

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 3 роки тому +1

      Jamaa yuko vzurii..c kama wale wanaoo znguaa

  • @josephmtuy5204
    @josephmtuy5204 3 роки тому +23

    Huyu anafaa sana.
    Huwa anaelimisha kwanza kabla ya kukimbilia kutoza fine.
    He is ok yuko vizuri.👍

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 3 роки тому +10

    Big respect kwa Afande Ashraf, uko smart, unafanya kazi kwa weledi hakika inatia moyo kwa wanafunzi kuona kuwa kazi ya traffic ni nzuri

  • @kubulizuberikubulizuberihu5896
    @kubulizuberikubulizuberihu5896 4 роки тому +16

    Nakukubali sana afande ashirafu good job

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 3 роки тому +10

    Ndiyo faida ya askari waliosoma...big up afande unatumia vizuri elimu na mafunzo yako.

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 3 роки тому +26

    Huyu askari ni mzuri sana moyoni! Hasababishi stress kwa madereva

  • @neemamturi3273
    @neemamturi3273 4 роки тому +29

    Niwachache sana wanaoziwezea hizi kazi Mungu azidi kukuinua zaidi na akupe kibari uzidi kukubarika zaidi.

  • @Daniel-rs9nv
    @Daniel-rs9nv 3 роки тому +6

    Kamanda tunakukubali sana . It is my hope to see u gaining higher ranks in ur field in the future. Uz a perfect example of a traffic officer. Jah bless

  • @revdrseni
    @revdrseni 4 роки тому +10

    Afande amesema point sana.
    Utu ni kitu cha muhimu sana. Hata kama uko kwenye haki, basi kama mwenzio akikosea, basi jitahidi kuzuia isitokee ajali.
    Mfano mtu ana overtake kimakosa, basi mwache, punguza mwendo.
    Asante Afande Ashraf

  • @mackykempstv7512
    @mackykempstv7512 3 роки тому +15

    Daaah! Huyu ndio polis wangu bora kwa Tz

    • @noelanassari5335
      @noelanassari5335 3 роки тому +1

      yupo vizuri,naomba awe anaoneshwa kila mara,pia anapenda kazi yake

    • @mackykempstv7512
      @mackykempstv7512 3 роки тому

      @@noelanassari5335 yan nngekua na uwezo wa kulipia vipind...nngekua namuwekaga yeye tu

    • @user-ng6yt2od7l
      @user-ng6yt2od7l 3 роки тому

      💯

  • @annastaziajakobokwaslema2001
    @annastaziajakobokwaslema2001 3 роки тому +15

    Madereva wengi wanakufa kwa ajili ya roho mbayaa Nani amesikia hiyo na kuelewa gonga likes zako hapa tujuane

  • @elizasangu5732
    @elizasangu5732 3 роки тому +17

    Nakukubar sana nikikukuta maeneo ya tank bovu shule ashirafu mungu akupe nguvu katika Nazi yako

  • @akimjoseph2818
    @akimjoseph2818 3 роки тому +11

    Namwomba afande IGP ampromoti askari hodari Ashrafu. He has passion towards his work. We have few of his kind. May God bless his work.

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 роки тому +4

    Big up! Kwanza unahofu ya Mungu! Bonge la brother man! lol! Umetisha! Uko right kabisa Kuna madereva wababe barabarani humu! Yaani wanajifanya wajuaji hatari! Kazi ya kukamata kamata utahurumia wote! 😀😁

  • @abdulrisassy2488
    @abdulrisassy2488 3 роки тому +38

    Ashrafu ni mtanzania 🇹🇿🇹🇿tena mrangi wa dodona naona wakenya🇰🇪🇰🇪 mmeshaanza kusema eti ni askari wenu et mkikuyu🤣🤣🤣

  • @salhaayubu6027
    @salhaayubu6027 2 роки тому +1

    Nampenda sana huyu Ashraf Allah akuzidishie afya njema

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 роки тому +10

    Pongez kwa kuipenda kazi yako

  • @lulyehomadale9009
    @lulyehomadale9009 3 роки тому +6

    mapenzi na kazi,
    passion

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji5759 3 роки тому +3

    Mimi nampenda Sana huyu afande upo vizuri Sana Kwa kazi njema

  • @vero57
    @vero57 4 роки тому +57

    Hachukui lushwa afande, MAGUFULI TUNAOMBA mpadishe cheo pls

    • @faustinsirili3480
      @faustinsirili3480 3 роки тому +2

      Huyu trafiki Yuko vizuri Sana. Wengene wakiwa kazini wanachelewesha Sana wanatumia muda mwingi kukagua magari. Tanzania tungekuwa na trafiki moja Kila mkoa mambo yangeenda vizuri

    • @user-ng6yt2od7l
      @user-ng6yt2od7l 3 роки тому

      Amen ubarikiwe sana

  • @olivervalentino9788
    @olivervalentino9788 Рік тому

    Hongera uko na hofu ya Mungu

  • @ozld4864
    @ozld4864 3 роки тому +7

    Kweli kabisa afande Ashraf
    Kuna watu wakiwa barabarani wana pretend kuwa wao always wako perfect na Ndio wenye right na mwingine ndiye amekosea.

  • @joycechaz2840
    @joycechaz2840 3 роки тому +1

    Hii ndio raha ya kufanya kazi unayoipenda😘😘 safii afande Mungu akubariki sanaaaaaa

  • @christinammassy1550
    @christinammassy1550 3 роки тому +13

    Anatenda kutoka moyoni, tuzipende kazi zetu kihiviiii...

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 роки тому

      Hahaha inategemea na kazi km uliyokuwa unawish kufanya ndio hiyohiyo umeipata, maana nowdays unafanya kazi unayopata na sio unayopenda

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Рік тому

      @@joycechaz2840 umenena vyemaa hahaaaa dunia hii banaa!

  • @jalalybabilas4213
    @jalalybabilas4213 4 роки тому +23

    Anapend kazi yke ndo maan yuko bora

  • @NuruMalangalila
    @NuruMalangalila 22 дні тому

    Mungu akubariki bro asee

  • @LucresherGerald
    @LucresherGerald Рік тому

    MUNGU akubariki sanaa hakika unaipenda kaz yako more blessing 2 him

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 3 роки тому +3

    Huyu mwamba Ofcourse anaipenda sana kazi yake, 2017 alikuwa pale maringo round about nilikuwa nasalimiana nae kila asubui nikiwa nasubiri daladala, juzi nimempita tank bovu!. All the best!.

  • @allyjuma9244
    @allyjuma9244 3 роки тому

    uk vizuri Afande

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 2 роки тому

    Maashaallah mimi nakupenda sana wewe afande Ashraf Allah akupe nguvu inshaallah katika kazi yako

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 3 роки тому +3

    Uki ipenda kazi yako raha sana

  • @adensir630
    @adensir630 3 роки тому +1

    Ukifaham kazi ,,,na ukaipenda kazi yako....Ni Raha sana...

  • @cristianoronaldofans9022
    @cristianoronaldofans9022 3 роки тому +1

    Enjoy your work, he is the best example

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 4 роки тому +31

    Anaipenda kazi yake,yaan kwa madaha zaidi

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 3 роки тому

    Nec brother yan ukipenda kaz yako lazma huifuraiye na ufanye kaz vzr na kwa mikogo saf sana brother na unajina la mtto wang Ashilafu mwanangu wahoo mung akubarik🤲🤲🤲🤲😍😍😍😍😍😍😍👏👏👏

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 3 роки тому +1

    Anafanya kazi nzuri sana Mungu ambariki

  • @mariamhance7627
    @mariamhance7627 Рік тому

    Namkubar mala nyingi huwepo pale tank bovu mataa namkubar sana jembe lakiz polisi mzur hana roho mbaya mungu abalik..jeshi letu la polisi na mangene asante tanzania gd tz nakupenda tz

  • @maimunamohamed1320
    @maimunamohamed1320 2 роки тому

    Kazi nzuri afande

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 3 роки тому +5

    Nimependa alivyo smart

  • @williaellymarawiti4937
    @williaellymarawiti4937 4 роки тому +46

    Mhesimiwa Rais Magufuli, naomba umuone huyo traffic Police.

  • @leinaamos
    @leinaamos 3 роки тому +5

    Safi Sana

  • @jomba6514
    @jomba6514 4 роки тому +6

    Afande yupo vizuri sana kazini 👍

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Рік тому

    Nakubali Afande Ashirafu Abassi Shaban

  • @dalmasruwa1479
    @dalmasruwa1479 3 роки тому +5

    Am kenyan kudos bro

  • @iddatysupergirl6581
    @iddatysupergirl6581 3 роки тому +3

    Yuko vzur sana very interesting

  • @anganilestephen1086
    @anganilestephen1086 3 роки тому +1

    Nakubali sana utendaji kazi wa uyu kamanda......ata nikiwa kwa daladala pale tangbovu natamani tugande niendelee kumtizama.

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 роки тому +4

    Wow amazing 😃

  • @ericamwakyokile5797
    @ericamwakyokile5797 Рік тому

    Huyu trafic Ashraf yuko vizuri sana. Hata ukiongea nae mcheshi, ni trafic anajua kazi Yake.

  • @khamismbwana8981
    @khamismbwana8981 2 роки тому

    Wow so nice afande

  • @momjayden1047
    @momjayden1047 3 роки тому +2

    Yaan nimeipenda Sana hii anapenda Sana kazi yake

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 3 роки тому +3

    Ashrafu upo juu sana namekupenda bureee!!!

  • @darlingdarling8251
    @darlingdarling8251 Рік тому

    Nampenda sn uyu askari ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Georgekipusa
    @Georgekipusa 3 роки тому +6

    Kama wote wangekuwa kama huyu askali kweli tungekuwa atuana stress maana wapo maasikali wengine pasua kichwa hatar

  • @issamohamed5109
    @issamohamed5109 2 роки тому

    Hongera sana Kaka Allaah,akulinde Uendelee kusimamia Haqi

  • @rusimbitumaini7772
    @rusimbitumaini7772 Рік тому

    Hongera sana.

  • @BongoPlatformTv
    @BongoPlatformTv 3 роки тому +5

    Hata mm nilimuona live Jamaal yuko vizur sana. Na anafurahisha.

  • @duasufiani2782
    @duasufiani2782 Рік тому

    Ongela Sana afande ukiipenda kazi yako ata uchoki mungu anakupa nguvu

  • @nashamcmtamu2411
    @nashamcmtamu2411 3 роки тому +2

    Namkubari sana Afande

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 роки тому +56

    Nasoma koments huku naangalia video

  • @zeynabzawadi1238
    @zeynabzawadi1238 2 роки тому

    Safisana nampenda kwa kazi zake mungu akutangulie🙏🤲

  • @khadijaallyfikirin358
    @khadijaallyfikirin358 3 роки тому +1

    Saf sanaaa afande ashraf mtt wa mie

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 роки тому +11

    Piga kazi kaka maisha yaendelee

  • @stevensosipita5673
    @stevensosipita5673 3 роки тому

    Hakika anaonyesha kuipenda kazi yake hongera sana afande ashrafu

  • @julianampwata2945
    @julianampwata2945 3 роки тому +2

    NAMKUBALI,ANAFANYA KAZI HUKU AKIBURUDISHA NA KUBURUDIKA,RAHA JIPE MWENYEWE,NO STRESS

  • @nchumaTz
    @nchumaTz 2 роки тому +1

    Huyo mwislaeri mweusi noma sana

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 3 роки тому

    the real black african Traffic men much love you from Congo zaire welcome in congo

  • @johnmasawe9795
    @johnmasawe9795 3 роки тому +3

    Jamaa yupo vizuri aisee

    • @emanueleliapenda2443
      @emanueleliapenda2443 3 роки тому

      Mimi nimefanikiwa kumwona jamaa yuko vizuri.Changamoto kubwa anamatusi sana hasa kwa madereva wa daladala.Alimtukana dereva mmoja siku moja kwangu Kama devera nilijisikia vibaya kwelikweli.Aache hiyo tabia.

  • @neemiandondole6168
    @neemiandondole6168 Рік тому

    Hongera sana afande. Tunakupenda

  • @brillianthalisi2259
    @brillianthalisi2259 3 роки тому +2

    Afande Ashrafu ulichosema ni kweli madereva wengi wanaroho mbaya sana

  • @claressamrisho134
    @claressamrisho134 3 роки тому +2

    Huyu afande namkubali sana,inaonekana wazi anaipenda na kuiheshimu kazi yake.Yuko makini sana na kazi yake huku akituonyesha manjonjo yake.Inawasaidia pia wale wanaonuna

  • @joycesalvatory7768
    @joycesalvatory7768 3 роки тому +1

    Viongozi wampandishe cheo huyu Traffic, anatoa sana mafundisho kwa waendeshaji, hakimbilii kutoza faini, anaipenda kazi yake anaifanya kwa passion, please please please apewe cheo

  • @mohammedalnabahan.4127
    @mohammedalnabahan.4127 3 роки тому +3

    Nakukubali broo

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 роки тому +2

    Dah umetisha sana

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 4 роки тому +8

    Yaani hua nacheka dah😁😁😁,,, njia panda yakawe alimaarufu kwa dito,,, na njia panda yakwenda kawe mzimun

  • @grayxonmmary6893
    @grayxonmmary6893 4 роки тому +5

    Mm namkubali Afande hance pale mataa ya fire yule ananifurahisha zaidi zizan hata kama anachukuaga rushwa......

    • @hjlpoi8739
      @hjlpoi8739 4 роки тому +4

      Jamani jamani msimsahau afande hansi pale faya yupo vizuri mno.kuna siku nimemshuhudia gari la mwendo kasi lilipo mpush akaanguka chini na kofia yake ikazagaa . Na alipo inuka hakutaka longolongo akaruhusu mwendo kasi liondoke na yeye akiendelea kuchapa kazi .

  • @asharamadhani4641
    @asharamadhani4641 3 роки тому +5

    Mashallah

  • @dishasuwa7616
    @dishasuwa7616 3 роки тому +1

    Big respect bro😘😘

  • @samsonzablon
    @samsonzablon 3 роки тому +1

    Nimefuatilia sana style hizi zinanikumbusha mafunzo yangu ya Udereva kwenye ile mikao ya askari wa usalama barabarani

  • @gambalesmanoni9399
    @gambalesmanoni9399 4 роки тому +4

    Ninamkubali Sana huyu jamaa. Big up

  • @jonathankazimili4767
    @jonathankazimili4767 3 роки тому

    Hongera sana afande shiraff unaipenda kazi yko sana

  • @felizbonbonface8275
    @felizbonbonface8275 3 роки тому +1

    He so funny ...me nampenda coz anapenda anachokifanya mpka raha anawamotivate wale ambao wanadream ya kufanya hyo kaz hata kama syo hyo kaz anatuelimisha tupende tunachokifanya

  • @sullemanisullemaniathumani6107
    @sullemanisullemaniathumani6107 2 роки тому

    Mungu akulinde afande uko vizurri sana nimeipenda utendaj kaz wako mkuu

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba4715 4 роки тому +3

    Very good

  • @kombojumaa3348
    @kombojumaa3348 3 роки тому

    Very good uko poa sana wengi wao wakiwa trafc wanaona wameshafika mbingu

  • @rahimdikungule3737
    @rahimdikungule3737 4 роки тому +3

    Nakubali sana kaka

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 3 роки тому +2

    Ukiipenda kazi lazima utakua na vitu vya ziada

  • @nassoroidd5756
    @nassoroidd5756 3 роки тому +5

    Yani huyu mshikaji na mkubali sana yani lazima nimpe hi nikipitaga hapo mbezi

    • @ahmedrashid6629
      @ahmedrashid6629 3 роки тому

      Nikipita tango bovu nakuletea mananasi kwa wingi

  • @ersinbalaban6071
    @ersinbalaban6071 3 роки тому

    napendeza kazı esrafu..mungu seidia🧿

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 3 роки тому +2

    Mungu akupe mema ya nchi unafanya kazi vizuri sana Mh Magufuli mimi sipo tz ila naomba umwangalie huyu afande kwa upande wa pili

  • @lewissinkalatz.3914
    @lewissinkalatz.3914 2 роки тому

    Waoooh,hivi ndivyo unapaswa kutambua kipaji chako na kukiishi na pia unapaswa kujituma na kuipenda Nazi yako,syo kama trafiki wengi walivyo,nimpenda

  • @halimamustafa3181
    @halimamustafa3181 3 роки тому +1

    Nime mpenda akifanya kazi kwa furaah

  • @shabanimnondwa6094
    @shabanimnondwa6094 Рік тому

    Huyu Trafic kwakweli ni mtu ambaye hii kazi iko kwenye damu yake yaani anaipenda ,anafanya kazi yake kwa umakini na kwa upendo Mungu ambariki ktk kazi yake

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 3 роки тому +11

    Huyu Mwandishi kanjanja, hajui kufanya interview hajamtambulisha mgeni tukamjua, swali la kwanza katika interview, hivi afande wewe ni nani? Ulizaliwa wapi na mwaka gani? Elimu yako ni ipi? Ulisoma wapi? Nino habari za familia yako, ukianza kazi mwaka gani, wapi? Na umefikaje hapa? Tukio unalolikumbuka? Angekuwa mwandishi angeshajua kuwa huyu askari alishapata tukio la mwenzake kuuawa na yeye kukimbia, nini alichojifunza kwenye tukio lile

    • @ayubungao4028
      @ayubungao4028 3 роки тому

      Good

    • @husnaameen9309
      @husnaameen9309 2 роки тому +1

      Dada Rosemary unajua mno yaani hivyo ulivyo uzaliza wewe ndiyo ilivyo takiwa aulize yeye lakini ameshindwa ,angekuwa tiki tv shayo tungeilewa vizuri ,au milad ayo ndiyo tungejivunia haya mahojiano.

  • @tinawanandi2446
    @tinawanandi2446 3 роки тому +1

    Duuuh nimekupenda bule

  • @mduluhtiddy7392
    @mduluhtiddy7392 4 роки тому +22

    Anaimbisha kwaya au anaongoza magari inaelekea hiyo kazi ippo kwenye damu yake

    • @fridaymwaseba5848
      @fridaymwaseba5848 4 роки тому +1

      Humjui Huyu inaonekana uko mbali na Dar this guy is cool na kwa muda wa rush hour huwezi kwama ata kama kuna foleni

    • @gracelauzi9746
      @gracelauzi9746 3 роки тому

      Ana imbisha kwaya yake ya marafiki yuko poa Anivunja mbavu haki afurahisha

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 роки тому

      Uko vinzuri ashirafu nimeipenda hiyo unafurahisha Sana na unaonejana ni jinsi gani unaipenda kazi yako madreva wengi watakupenda

    • @nuruanaqoqona8284
      @nuruanaqoqona8284 3 роки тому

      @@asteriambwei3349 ombi langu umpandishe cheo

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 3 роки тому

    Anapenda Sana kazi yake ndo maana wao ongera sana afande👨‍🍳👮‍♂️👮‍♂️👮‍♂️👮‍♂️

  • @valenceshayo806
    @valenceshayo806 3 роки тому +1

    Huyu jamaa binafsi namkubali sana kwa utendaji wake wa kazi