RAIS SAMIA ASIMULIA ALIVYOKAMATWA NA TRAFFIC USIKU "ALINIULIZA WEWE NI NANI NIKAMWAMBIA MI SAMIA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 гру 2021
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Desemba, 202 ameshiriki katika Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uofisa Kozi No. 1/2021 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar es Salaam
    akihutubia mbele ya maafisa hao na viongozi mbalimbali amesimulia changamoto za Traffic alizowaikukutana nazo barabarani.

КОМЕНТАРІ • 788

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 2 роки тому +39

    Huyu Mama nimpole sana tena sana tumpende wote kwaujumla iliaweze kuchapa kazi kwa bidii, angekuwa mtu mwingine angefukuza mkuu wamapolice TZ nahao majambazi Traffic police ambao walikuakazini usiku huo. No one like Mama samia" JAH bless🙏

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 2 роки тому +25

    Hapa unaweza kujifunza mengi kupitia hii story,kwanza ni jinsi ya uendeshaji mbovu wa taasisi hii,pili ni harufu ya rushwa iliyokithiri na tatu ni uwajibikaji mdogo na uvunjwaji wa sheria,mm nilishangazwa majizi niliwaona trafic ni viumbe wazito sana wao wapo kuangalia magari yenye makosa tu kuna mama anakatiza kwenye congestion badala wamsaidie yaani kama hawaoni vile wanasumbuka na fine za kijinga tu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 роки тому +21

    Huyu Mtu yeye anasema taratibu hila Anajua Mengi Sana Moyoni mwake...Bravo Samiath Suluhu Hassan.Songa mbele Usiogope.

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 2 роки тому +50

    Salute,
    Tujifunze kitu hapo wewe polisi angalia kauli na vitisho hunaye mtisha leo hujui kesho yake atakuwa nani.

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому +1

      Kwa kweli shida tu!

    • @autorashautoelectrician2205
      @autorashautoelectrician2205 2 роки тому

      Kweli uwa wapuuz Sana awa jamaa

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому

      @Angelina meki wewe ikiwa una mambo ya ufuska kauze uko uko kwa wenzio usituletee sie mambo ya Kisenge senge apa fuck off!!!

    • @stanslausmhema1482
      @stanslausmhema1482 2 роки тому

      Wana bahati sikuwa Mimi baada yao kuniweka kwenye mmbu na wao wangeipata pata POLICE WASINGEKUWEPO TU TUKABAKI NA JESHI

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 2 роки тому +53

    MAMA SAMIA SULUHU HASSAN MAY ALLAH GIVE YOU MORE YEARS TO LIVE ALLAHUMMA AMEEN.

  • @salimally8496
    @salimally8496 2 роки тому +35

    Maaasha Allah mama nakukubali sana umekuwa msfahmilivu tangu zamani maskini walikubagua ila leo umefika mahali Mungu aliamua ufike. Hongera sana nakupenda sana na nakukubali kinowmaa

  • @kandayaziwa378
    @kandayaziwa378 Рік тому +11

    Maneno ya busara na hekma kutoka kwa Rais wetu na mama yetu SSH, Allah akupe afya njema na akupe umri mrefu inshaa Allah, Nakupenda sana mama ❤ hii video imeniuma sana eti "waarabu" kwahiyo angelikua mwafrika yasingetokea hayo wala kauli hizo za kibaguzi na ukabila!!, waarabu ni ndugu zetu na tunawapenda sana, wewe unaewachukia utajua mwenyewe, huwapunguzii chochote. Mama piga kazi, wabaguzi wapo tu, hata ukiingia mitandao ya jamiiforum n.k wapo tu, sisi ndugu zako tuko nyuma yako inshaa Allah, Allah awe nawe ❤

  • @dennowderullow1118
    @dennowderullow1118 2 роки тому +17

    Watanzania mnabahati sana huyu Mama nimkarimu kiasi kisicho mithilika la sivyo jeshi zima la polisi lingehara kwa maamuzi yake("watching from🇰🇪")

  • @ngogedecoration3649
    @ngogedecoration3649 2 роки тому +24

    Rais wetu mungwana sana M/mungu ametaka kukuonyesha hali halisi ya askari unaowaongoza na dhulma wanazo zifanya kwa raia spat picha hali ingekuaje rais wa nchi angelikua mbabe

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani3283 2 роки тому +18

    Mama umeongea point kubwa Sana kutoka oman mama fanya kazi mashaallaah

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому

      Ucjali bro tutalifanyia Kazi apa Kazi💯 kwenda mbele tu!! 😜

  • @danielmpigasupi2212
    @danielmpigasupi2212 2 роки тому +11

    Pole sana Mama yetu ndiyo Askari Traffic wetu wanaotusumbua mitaani hao

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 роки тому +12

    Mimi kweli kweli unawajua wao wao kasheshe hawa jamani ukikutana nao hawana mchezo afadhali uwajua ubarikiwe Rais wetu

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 роки тому +38

    Safi sana mama, nimependa busara yako, hao askari wana tabia chafu sana. Hua wanatumia nguvu kuliko akili. Bora nawe ulishapitia hayo, hawana akili wala ustaarab hata kidogo

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 2 роки тому +1

      Shule Yao ndo hiyo waliofeli shule wanatumia nguvu kuliko akili Wana maneno mabaya Sana busara hekima hawakupewa kabisa

    • @bodosam7798
      @bodosam7798 2 роки тому

      Ni mwafrika akipewa cheo kidogo hawatumii kutoa huduma bali kunyanyasa wananchi. Hi tabia iko kila pahali kwanza hi Kenya wacha tu.

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 роки тому +23

    Yaani mama Samia ndivyo walivyo kabisa afadhali umepitia kuwajua bila kuambiwa

    • @gideonmwenda2959
      @gideonmwenda2959 2 роки тому

      Trafick wabogo wanakera wengine cio wastarabu kabisa mwez uliopita wameniandikia fain nipo na jeneza naenda kubeba mwili hospital kisa buku

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 2 роки тому

      @@gideonmwenda2959 😂😂😂😂😂😂

  • @mosesnandi
    @mosesnandi 2 роки тому +29

    Inafurahisha na kusikitisha vilevile!

  • @kipandesonlinetz4602
    @kipandesonlinetz4602 2 роки тому +59

    Kiukweli Trafiki wanakera sana Hasa huku Kigoma.
    Gari YANGU ilisajiliwa kufanya biashara, hivyo basi nilivyochelewa kupata Plate number nyeupe nilipigwa faini nikakubali na huku nina risiti za kulipia hizo Plate number.
    Nilivyoenda kuuliza jamani hizi Plate Number zinachelewa nafanyaje sasa wakaniambia mwambie Dereva wako atembee na risiti za malipo ya Plate number kwenye gari,
    Nikasema sawa, ruhusa nimeipata leo, kesho narudisha gari barabarani tu nakamatwa na kupigwa faini tena, na WAKATI wao ndio waliniruhusu kuingiza Gari barabarani,
    Wanakera sana,kwa kweli wanakera.

  • @eddynassor9223
    @eddynassor9223 2 роки тому +14

    Baadhi ya police Wana ubaguzi Sana hasa wakiona wanzibar anatuona sisi washamba sana

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 2 роки тому

      Walizani yeye ni barawa ya somalia.aw Malika Mohamed ndogo wake

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy895 2 роки тому +17

    Mama Mungu akukinge na ajali za roho na mwili ,unaongea point sana

  • @cristalclear2499
    @cristalclear2499 2 роки тому +43

    Just imagine if the bosses didn't know her.

  • @esterandson7367
    @esterandson7367 2 роки тому +2

    Hongera Sana Malikia Samia Kwa KAZI nzuri Rais wetu kipenzi

  • @annamelchiard9363
    @annamelchiard9363 2 роки тому +2

    Asante mama..afadhali umeyaongea yatasaidia ktk jeshi la polisi ktk kujitekebisha

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 2 роки тому +16

    Hapo ndo utajua mtu baki atazidi kunyanyasika tu mwenye cheo na fedha ndo atathaminiwa, ila Kwa Mungu uwe na fedha uwe hauna sote tutakuwa sawa tu.

  • @shabanhassan4272
    @shabanhassan4272 2 роки тому +11

    Umefanyiwa wewe Samia ambaye historia imesimama nawe, wasiojulikana wana hali gani.

  • @evansmudaki4772
    @evansmudaki4772 2 роки тому +18

    Mama your humility is good for the country. But the people in uniform need more training on how to conduct themselves

  • @watototunawezatuwezeshwe6126
    @watototunawezatuwezeshwe6126 2 роки тому +5

    Raha sana kiongozi ukiwa kujulikani kwa sura maana unagundua madhaifu mengi ya viongozi wengine. Kwa sababu wanafanya bila ya kujua wewe nani.

  • @samuelmuchiri7587
    @samuelmuchiri7587 Рік тому +7

    That soft spoken meaning laden SWA is poetically heavenly

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 роки тому +18

    Police wanacheka! Ni mbaya Sana,uonevu wa police ni mkubwa Sana waonye mama.

  • @BrunoMushi-uc1tv
    @BrunoMushi-uc1tv Місяць тому

    Hongera. Kaka. Kwa mvi. Zako

  • @hamisikaberege2759
    @hamisikaberege2759 2 роки тому +2

    Mama yetu ana busara sana. Mungu akusimamie Rais wetu, watu wanaumizwa San katika mambo mengi hali ya kuwa wao hawajui.

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica Рік тому +5

    Words of wisdom mama💪🏿

  • @adriamushi9297
    @adriamushi9297 2 роки тому +4

    Yaani umeongea ukweli mama! Yaani shida kidogo ya kuonya tu lkn utasumbuliwa hata siku nzima

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba5009 2 роки тому +12

    Mama samia kanichekesha kweli...Daah,, "kuwa mbu hawana shamba, duuh..Jamani ndo polisi wetu hawa

  • @TiffahMihayo
    @TiffahMihayo Місяць тому

    Nakupenda sana kiongozi wangu Mama angu kipenzi Mama samia suluhu Hassan. Mungu akuzidishie hekma na busara nyingi kama Suleiman love u Mama

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 2 роки тому +14

    Sheria ifanyiwe marekebisho, police Wana mamlaka kubwa Sana znazoumiza raia Kwa upande mwingine,

  • @penetronadvancedwaterproof664
    @penetronadvancedwaterproof664 2 роки тому +3

    yes muda mwengine hekma kwa kila mtendaji wakazi.

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 2 роки тому +1

    Asante ,mama,kiukweli,baadhi ya polisi,sii wote,kuna baadhi yao,ni hatari kweli,akikumata anakuwekea bangi alafu anakwambia,ngoja uone Kama hii kesi utatoboa.huku kitaa polisi hawapendwi wanaonekana ni maadui kinyume na kazi yao na pia wanatumika kisiasa.hatari,Asante mama kwa kulijua Hilo mapema.kunahitajika rifomu kubwa ndani ya jeshi la polisi.

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 2 роки тому +12

    Mpaka nimependa manake yanatukuta kila siku hatuna pakuyasemea ukienda kusemelea polis unapewa kesi kubwa zaidi

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 2 роки тому +2

    Wanatumia nembo ya jeshi vibaya, mama Samia kumbe unawajua hao vizuri. Duh sio poa hata kidogo.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +2

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yangu kama hautojali

  • @sebastianjacob8915
    @sebastianjacob8915 2 роки тому +13

    Hiyo mama iliyokukuta ww hatamie iliwahikunikuta hivyohivyo hawana lugha za kingwana kabisa badala wao wawe msaada Wao ndio shida hamna anaowapenda labda awe na masirahi nao.

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому +1

      Mie yashanikuta alafu kweli kabisa wana Ubaguzi mkubwa Siku wakiamka nao ikiwa ndio wamekerwa uko alipotoka hasira yake yote ata kumalizia ww!

  • @geroldmwinuka6411
    @geroldmwinuka6411 2 роки тому +9

    Duuuh Pole polisi walikuwa hawakujui wewe ni nani?

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому +1

      Wameingia cha kike 😂😂😜

    • @mwana4599
      @mwana4599 2 роки тому +1

      Kwa JPM ilikuwa hamna nani wala nani?

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 роки тому +1

      Ni kitambo sana. Hakujigambia cheo!

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 роки тому +1

      @@mwana4599 Unayumba. Wakati wa JPM alikuwa hatembei bila king'ora. Hiyo ni kitambo kabla ya kuwa makamo wa rais!

    • @princevan3747
      @princevan3747 2 роки тому +1

      Sas kam ni nan askamatwe police walifanya kaz yao nawao mm naona saw tu tukamatwage ss tu😂😂😂😂😂

  • @junaytadarwesh4708
    @junaytadarwesh4708 2 роки тому +14

    Lugha zao kweli mbaya sana. Na kuwaita watu waarabu sujui wahindi ndio kauli zao. Sasa uarabu na uhindi umekhusi nini kutajwa, hata kama umefanya kosa, kwani kabila ndio lilofanya kosa. Waache hizo kauli, hebu wafundisheni adabu kidogo kuheshimu watu.

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому

      Sahihi ni ivyo alivyoambiwa Mheshimiwa Rais yeye mwenyewe kaambiwa ivyo na inabidi kiukweli kuweka sheria Askari akikuletea lugha mbaya unakua na haki ya kumshitaki kwanini lkn wanakua na Viburi ivyo???

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 роки тому +8

    Leo mama umesema labda sasa wataweka ubinadamu kidogo🙏 asante mama yetu 🙏🙏🌺🌺🌺

    • @mariajoseph3743
      @mariajoseph3743 2 роки тому +2

      Mama Leo umesema ukweli

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому +1

      Mheshimiwa Rais Mamaetu kipenzi chetu kiukweli wewe ni Muungwana sana na kiukweli unahitajia heshima kubwaa lkn watu walikua hawajakuelewaa! Mungu akulinde na akupe Afya njema ya kuliongoza Taifa letu la Tanzania Mungu Ibariki Tanzania Ameen!!!

  • @drnickysarapion134
    @drnickysarapion134 2 роки тому +5

    Mama leo umeupiga mwingi sana leo.
    Yaani nimecheka sana leo.
    Numb nawe unazijua kero za barabarani ndo akili zao zilivyojongea za ovyooo

  • @ruu6592
    @ruu6592 2 роки тому +1

    Eeh I imagine uhuru kenyatta afanyiwe ivi waaaah eeeeeeeeeh ongera tz

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji7149 2 роки тому +2

    Mwalimu nyerere was absolutely right...tanzania talking about tribes....what tribes got to do with citizenship...if you are tanzanian...

  • @c2nfcommunications238
    @c2nfcommunications238 2 роки тому +5

    All praise President Nwalimu in his blessed memory and prayers to these current presidents to carry on and no to always be carried away by crowd laughters.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 роки тому +10

    Hii nchi kuilewa inatakiwa uwe punguani kwa kweli ,juzi wamesema wanataka askari ambao walipata ziro na hiyo ndio outcome ya ziro.

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 2 роки тому +2

    yaani kwamba maafisa hawamjui Rais? mbona ajabu hii!!

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 5 місяців тому +1

    Mama kazi njema

  • @biddii1972
    @biddii1972 2 роки тому +15

    Polisi wa sasa wanajali watu wenye pesa kama ww nimaskini siku ikatokea bahati mbaya unabahati

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 2 роки тому +10

    Eti warabu hawa wamezidi. Kwani mwarabu sio binadamu!? Kweli mama ubaguzi hautakiwi nchi hii.

    • @mwana4599
      @mwana4599 2 роки тому +1

      Kwani Raus ni mwarabu?

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 роки тому +2

      Watz tunatofautiana kwa rangi, kwa kabila, kwa jinsia, kwa dini, kwa vyama, lakini sisi sote Watz... Tuheshimiane, jamaani ! Mungu ibariki Tz

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому +2

      Si wanaangalia Rangi wao wanajua nani mwarab nani sio mwarab??? ndugu ilo sio suala apa kinachoongelewa ni Ubaguzi sio chingine au una lako na ww??

    • @hoseaseif2720
      @hoseaseif2720 Рік тому

      Doria yapolice wakikukamata umepakiza mshikaki ujuwe pesazitakutoka nirushwa

  • @domisianpeter558
    @domisianpeter558 2 роки тому +2

    Ndo umejionea sisi raia wa kawaida tunavyo onewa

  • @shadrackaluoch8863
    @shadrackaluoch8863 2 роки тому +11

    This is touching, it's high time we need to change for things to go well

  • @amdunshomali3971
    @amdunshomali3971 2 роки тому +6

    Mimi nauliza police waliambiwa kuwa FUSSO na CENTER azirusiwi kupita mbele yao? Hata uwe umekamilika lazima wakuzingue tu. Ndo maana tunatembea usiku mara nyingi sisi wenye hizo gari make mchana wanaboa sana hata jamaa

    • @alhajbayakas6622
      @alhajbayakas6622 2 роки тому

      sio fusotu coster na hice ata kama ilikua kalala ataamka2

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 роки тому +2

    KAZI NI NDOGO TUU, VUNJA JESHI LOTE LA POLISI ULIUNDE UPYA, LINA MAASKARI HOVYO KABISAA SIJAPATA WAHI ONA

  • @mamudidrisa385
    @mamudidrisa385 2 роки тому +1

    Imani....ukweli na busara nimeiona kwako mama yetu...mungu akutangulie

  • @jumasimba572
    @jumasimba572 2 роки тому +3

    Mamangu naanza kukuelewa sasa,bola ulivoanza kuwatambia mapema hao hizo tabasamu zao wakikitana na mwananchi had rushwa.

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 2 роки тому +1

    NAMUOMBA M/MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUONDOSHEE MARAZI.NA AKUPE UFAHAMU KATIKA UONGOZI WAKO WA KILA SIKU.INSHALLAH.

  • @Mzalendo-
    @Mzalendo- 2 роки тому +8

    Kama umewaona askari wamepeana tano😀 baada ya mama kusema aliambiwa hao mbu hawana shamba waache wale.......like kwa sana🔥🔥

  • @masumbukoclement4582
    @masumbukoclement4582 6 місяців тому

    Mama Wona Sikuzote Madereva Tunanyanyaswa Sana Barabarani 🙏♥️🇹🇿

  • @crershawmafia1009
    @crershawmafia1009 2 роки тому +8

    Polisi wana makusudi sana sikuhizi anakusimamisha na kukusingizia kosa ukigoma anakuandikia kibabe sababu cha kwanza anaomba leseni yako akiishika tu utaamua mawili umpe elfu 10 au akuandikie 30!

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 роки тому

      Ivyo ivyoo izo ndio zao wanasumbua sana km wakishika leseni kuangalia ndio wanapokupiga apo apo alafu wanakuaga na Viburi Sanaa!

  • @rajabmohamed2631
    @rajabmohamed2631 2 роки тому +3

    Hawana shamba hao acha wale 😂😂😂

  • @abednegosimoni7716
    @abednegosimoni7716 2 роки тому +5

    Hapo ungeweka rushwa hata usingeenda

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 роки тому +2

    Safi sana wanakera sana hao kosa la kukuonya kesho usirudie wanakomandi sana

  • @user-og4wh1xr2c
    @user-og4wh1xr2c 6 місяців тому

    Huku Kenya raise hutembea na.convoy nzito...police bosses ndio huwa kwenye guard ...walahi kidudu mtu hawezi mfikia...pole maa. . you're very humble

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 роки тому +3

    Sasa ixo changamoto na ss twapitiaaaaaa jua ivyo mama

  • @manasengobei9968
    @manasengobei9968 2 роки тому +1

    Goodest, mama tunaomba sana mradi wa umeme wa Rufiji uendelee!

  • @user-el3jf1yx1k
    @user-el3jf1yx1k 6 місяців тому

    The fast women in the ward mama Samia chapa kazi kiongozi

  • @mathewssilungwe7692
    @mathewssilungwe7692 2 роки тому +17

    Afadhali wewe Mama Samia ulikua unajulikana na hawo ma boss. Mimi nimejuta jamani na hawa police. Sitaki niyaseme hapa. Ila wapeni elimu ya ki psychology wafanye kazi yawo vizuli.

  • @ashamakwaiya8749
    @ashamakwaiya8749 2 роки тому +2

    Waambie mama.,uonevi umezidi ,mafuta alikuwekea wakati wa kukurudisha

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 2 роки тому +11

    Waboresheeni maslahi yao na makazi, wanaishi katika mazingira magumu sana na pengine ndiyo sababu ya wao kufanya wanayoyafanya.

    • @bennie7239
      @bennie7239 2 роки тому

      Kila mtu anaeishi mazingira magumu akiamua kujitoa kwa style hizo patakalika humu!!? Sababu wao wanajikwamua kupitia barabarani wapo wataojikwamua kuingia majumbani huko...mazingira magumu sio sababu ya msingi.

    • @swahibually1723
      @swahibually1723 2 роки тому

      Hao wana LAANA,hata waboreshewe maslahi,hali yao ni hiyohiyo

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 2 роки тому +3

    Trafick ni watu wa hovyo sana waseme sana

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 2 роки тому +2

    Mama na elimu ya watu wanaojiunga na jeshi iangaliwe upya. Yaani kuna madudu mengi

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 2 роки тому +9

    GOD BLESS OUR POLICEMEN, WE LOVE THEM

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 2 роки тому +4

    Umshukuru mungu ww upo serikalini upo na vyeo vyako sasa uliza lahiya wako 😭😭😭😭

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 роки тому +1

    Kama wameweza kumfanyia Boss wao hivi.,.
    Wwngine watakua kweny hali gan😁😁😁😁

  • @musaumutinda6541
    @musaumutinda6541 Рік тому +2

    I wish you were our president mama much love from kenya 🇰🇪

  • @innocentsteve9160
    @innocentsteve9160 Рік тому +2

    This is very sad. It's like policemen across the world doesn't know their duties. Instead they have become rouge

  • @denniskadhreasternafricatv9583
    @denniskadhreasternafricatv9583 2 роки тому

    Dennis kadhr from.Nakuru city Kenya 🇰🇪🤭🥰🥰🇰🇪 we need you to.also talk this sense to.Kenyan police your our leader in Africa sote HE HON President Samia Hassan Suluhu🔥🔥

  • @Nsabimanamaxedouard-sc2td
    @Nsabimanamaxedouard-sc2td 4 місяці тому

    Mama ametumia siasa kubwa
    Ongea sana mama Samia suluhu mungu aendele kukupanguvu zakuongoza inchi vzr

  • @lottikishapui7377
    @lottikishapui7377 2 роки тому +2

    Mama umenichekesha sana pole sana my mum

  • @user-zy5ru7pu9m
    @user-zy5ru7pu9m 2 місяці тому

    Ewalaaa mama Samia umeona apoe. Hatupendwi Zanzibar naneno muarabu niuadui kwahao wenzetu.

  • @naamanhaji4913
    @naamanhaji4913 2 роки тому +1

    Love u so much my mama president♥️♥️♥️♥️♥️

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 роки тому +5

    Mama yetu raisi wetu tunakushukuru kwa kuzema ukweli mm jusi nimepingwa tochi ikiwa ina soma 59 wakanilazimisha kutoarushwa nilikata nikaona bora waandike watu hata musamaha hawajui utasani hawana watoto wala ndugu nili mwambia baada ya haya kuna maisha mengine Mungu akulinde raisi wetuu

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 2 роки тому +4

    Hii n nchi inoongozwa kwa mfumo wa non_ democracy.. tusishughulishane uwo ndo ukweli... hmna chochote..

  • @alekastv1156
    @alekastv1156 2 роки тому

    Wako sawa wanafanya kazi yao hongera kwa hao asikari

  • @KhalphaJy-kb8oj
    @KhalphaJy-kb8oj Рік тому +1

    Nice melody🎉🎉

  • @christianmtei2671
    @christianmtei2671 2 роки тому +2

    Hawa traffic wamezoa sana kula jasho la watu kunasiku zitawatokea puani

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 роки тому +2

    Na Leo wewe ndy rais wao...waache kiburi wanaona Kama wamemaliza kila kitu wanajibu kwa jeuri sana

  • @elimumwawa8373
    @elimumwawa8373 2 роки тому +3

    Kweli kabisa mama tunateswa sana na hawa jamaa. Ni miungu dunia wakiwa barabarani

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 2 роки тому +3

    Bora mh.raisi ulivyosema ukweli kuhusu tabia za hawa ndugu zetu

  • @arokodaniel8686
    @arokodaniel8686 2 роки тому +2

    Rais wangu huyooo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 роки тому +3

    Lugha ya vitisho inatumika ili ujae upepo na uingiwe ubaridi, lengo ni Rushwa tu hapo, Anzeni na kituo cha Msimbazi maana pale wangekuwa wanaomba Rushwa ya pesa tungejua ndio Tanzania yetu, ila wanawadhalilisha saaana wanawake na wadada yaani wanaombwa rushwa za ngono hatari, na kuwajua ni kazi rahisi saaana muwahoji askari wapelelezi wa pale watasema yote

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 2 роки тому +3

    Unachokisema nikweli Askari wetu wamejaa rushwa na uonevu kwa waendesha magari na bodaboda mm mwenyewe mashahindi nimetoka Mwanza to Arusha basi likasimamishwa sasa nikiwa dirishani wakawa wanapeana rushwa sasa dreva akaniona nimechungulia dirishani nasoma mchezo akaaza kuniambia unachungulia nn mm nikajiuliza hawa wenye mabasi kila siku watu wanakufa kwa sababu za high speed kumbe wanashirikiana kutoa na kupokea rushwa iliwatuue vzr hilonalo lichunguzwe siyo utani especially magari ya mkioani yana rushwa za kutosha ndiyo maana ajari haziishi basi likipata ajari kwmateni madreva wafungwe maisha jera wanatusababishia vifo

  • @salimalrumhy7575
    @salimalrumhy7575 2 роки тому +1

    Wape vidonge vyao Mama angu.

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 2 роки тому

    It's not our fault mum it's the Orders and rules we as Citizens we have to follow then northing is Easy..inshort it's Complicated.. good thing you know how to follow thenm kudos Mum look at you Now You're the Boss.#Tanzaniamoja.

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 2 роки тому +1

    Kweli mama inasikitisha sana tunakuwa kma sio WATANZANIAA NA NCHI YETU DUNIA NZIMA INAJUAA TANZANIA NI NCHI YA AMANI.KWELI MAPOLISI TUNAWAPENDA.mapolisi msjtuonee jamaniii.
    MUNGU AKUBALIKI RAIS WETU

  • @melchizedeknyarora2490
    @melchizedeknyarora2490 2 роки тому +3

    Rais Samia namtilea Ghofia kwa mawaidha mazuri sana. Police wanahitaji kubadirisha tabia na kumakinika na kuwahudumia wananchi kwa nidhamu ya hali ya juu.Mama Rais SAMIA ni kiongozi shupavu.

  • @collinskiprotich1029
    @collinskiprotich1029 2 роки тому

    Our own president should hear this....we are going through alot...