Nguvu zote ni nzuri bali mi ningependa kuwa katika EXPANT POWER nataka kuwa na kujikita zaidi katika kitu ninachotaka kukianzisha nataka baada ya miez au miaka niwe mtaalam zaidi juu ya hili ninalotaka kuanza kulifanya.. Ubarikiwe Kaka Joel unatufumbua masikio tunasonga mbele 👍👍👍
Nahitaji sana kuwa na Expert power mana nimekuwa Mtu wakunichangia ya san kwenye kazi bila kuwa na utaalam wowote na nashkuru Mungu ni referent power nnayo
expect power nataka niwe mtaalamu wa ufugaj wa kuku wa kienyeji wa mayai na wa nyama ila watu hunikatisha tamaa na kuzid kuua ñďòto ýàñģù ushaur wako kaka angu il nitimize ñďòto ýàñģù hyo ndo passion yangu
Mungu akuzidishie nguvu na hekima mm ni miongoni mwa watu uliowatoa sehemu moja na kunipeleka sehemu nyengine nakupenda Sana na nakubali Sana umenitia nguvu Sana pale nilipokqta tamaa
Asante sana kwa kutengeneza video hili, Nikitazama mazingira yangu,sina connection power,sina legitimate power, but I will never give up developing my expert power, I will never loose my referent power and through my skills and specialisation,I believe I will be able to hold my referent power too Thx Joel Nanauka,your messages always has an impact in my life ❤❤❤
Haipiti cku bila kukusikiliza kaka Joel nanauka ktk ratiba zng za Kila cku napenda kukusikiliza asubuh wkt wa break na jioni Kuna vitu vikubwa sana najifunza kwako
Asant San nimejifunza mengi kupitia video hi. Ymkn ngv zote ni nzr ,me natamani Sana kuwa na ngv ya expart power Natamani kujifunza mengi na kuwa na ujuhi wa kutatua jmb kwa ulahisi bila kuumiza kichwa sn.
connection power ndo nahitaji zaidi na naomba unisaidie lkn pia expert power tayari nina general knowledge ninachohitaji ni specific knowledge na namna ya kupata watu maalum ktk hiyo specific area
Cohesive, legitimate,Expant etc maneno haya hayana tafsir yake kwa kiswahili mbali na maelezo yake,Sio wote tunajua kizungu kaka. Elimu hii tunayoipata hapa twahitaji kuelimisha na wenzetu waipate,
Nilikuwa nakufatilia sana katika kila video unayopost kweli ninakushukuru sana nimejifunza mengi saana ahsante sana lkn naomba unisaidie kitu kimoja ambacho mpaka Leo ninakifanya lkn sijui nnafanya kivipi ambacho ni studying techniques or how to study kwa sababa mm bado ni mwanafunzi
Kaka Joel mm nipo ktk hiyo expert power coz Nina skills ambazo nahitaji kufanya how should I communicate with you ili unifundishe deeply according to my skill
Nguvu zote ni nzuri bali mi ningependa kuwa katika EXPANT POWER nataka kuwa na kujikita zaidi katika kitu ninachotaka kukianzisha nataka baada ya miez au miaka niwe mtaalam zaidi juu ya hili ninalotaka kuanza kulifanya.. Ubarikiwe Kaka Joel unatufumbua masikio tunasonga mbele 👍👍👍
Hallelujah
ubalikiw
Maryam Maram
For my self I prefer to use a expert power
Somo zuri kiongoz,napenda kujifunza zaidi kupitia vipindi,vyako kutokana haya maisha yapo kwy kujifunza zaidi
Barikiwa” natengneza nguvu ya kuwa Guru kwenye maswala ya ufugaji wa kuku na incubators Hp nitafika kwa jina la Yesu
Nahitaji sana kuwa na Expert power mana nimekuwa Mtu wakunichangia ya san kwenye kazi bila kuwa na utaalam wowote na nashkuru Mungu ni referent power nnayo
Asante sana kaka mimi nataka kutumia EXPANT POWER katika kitu ninachotaka kusomea asante sana kaka Mungu akubariki
Nashukuru sana kwa elimu hii...ningepeñda kujuana na watu waliyofanikiwa kibiashara.
expect power nataka niwe mtaalamu wa ufugaj wa kuku wa kienyeji wa mayai na wa nyama ila watu hunikatisha tamaa na kuzid kuua ñďòto ýàñģù ushaur wako kaka angu il nitimize ñďòto ýàñģù hyo ndo passion yangu
Mungu akuzidishie nguvu na hekima mm ni miongoni mwa watu uliowatoa sehemu moja na kunipeleka sehemu nyengine nakupenda Sana na nakubali Sana umenitia nguvu Sana pale nilipokqta tamaa
network power aisee hii nilishaianzaga lakini sikua najua kwamba ni muhimu na sio vibaya kuitafuta! asante nanauka
Asante sana kwa kutengeneza video hili,
Nikitazama mazingira yangu,sina connection power,sina legitimate power, but I will never give up developing my expert power, I will never loose my referent power and through my skills and specialisation,I believe I will be able to hold my referent power too
Thx Joel Nanauka,your messages always has an impact in my life ❤❤❤
#SeeYouAtTheTop
Ninaona hizo nguvu zote tayari unazo kaka Joel, siyo kwa passion hiyo ya kutaka kuwaona watu at the top, I love you Muheshimiwa
Asante Nashukuru
#SeeYouAtTheTop
Nafurahia sana kwa masomo yako, kuna jambo natamani kushare na wewe, ukipata muda tuwasiliane, ubarikiwe na Bwana
Namshukuru Mungu kwa kukutumia ww ili nijue anasema nn namimi umenisaidia kuishi kwenye uwezo wangu wakipekee Mungu akubaliki sana kaka joel
Joel asante sana. Mimi ningependa kutengeneza zaidi nguvu ya kwanza.
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Mimi nataka kuitengeneza kuvu ya Coherent Power. Mimi ni muimbaji so I find that the majority of people Loving me so much
Asante Sana Kaka Joel
Nguvu ya Network ndio ninayohitaji
Nishauri juu ya hili.
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Asante sana, mimi natamani niwe na conection power
Unakuwa na nguvu zote au baadhi Ila persistence na continuation ni kikwazo...tatizo kwangu
Haipiti cku bila kukusikiliza kaka Joel nanauka ktk ratiba zng za Kila cku napenda kukusikiliza asubuh wkt wa break na jioni Kuna vitu vikubwa sana najifunza kwako
Nguvu ya kutengeneza hapo kwa upande wangu ni CONNECTION POWER ,kwani mbinu hiii itasaidia Mengi sana
Good
Connection power
Ndg Joel mungu akubariki sana kwa masomo yako mazuri.
#SeeYouAtTheTop
Asante kwa kuendelea kutupa madini mimi nahitaji connection ya watu.
my morning lesson for today be blessed my Broo your the best
Thanks
#SeeYouAtTheTop
Asant San nimejifunza mengi kupitia video hi.
Ymkn ngv zote ni nzr ,me natamani Sana kuwa na ngv ya expart power
Natamani kujifunza mengi na kuwa na ujuhi wa kutatua jmb kwa ulahisi bila kuumiza kichwa sn.
asante ndogo wangu, nahitaji expert & connecting power. be blessed.
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
nahtaji sana expert power, asante bro joel
Good
Naipenda zaidi connection power,nahisi inanisaidia mno, naipenda niifuatilie Zaidi.
We noma kaka nakukubli San mim nahitaji kua mfany biashar hebu niambie n kitu gan ambacho natkiw kufanya
Thanks brother nahitaj sana connect power network
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
connection power ndo nahitaji zaidi na naomba unisaidie lkn pia expert power tayari nina general knowledge ninachohitaji ni specific knowledge na namna ya kupata watu maalum ktk hiyo specific area
Nakuewaga sana kka love u
Nahitaji kuwa na Connection powers,,, nifanyaje? Maana ni mgumu kuanzisha connection na watu.&Ahsante kwa somo zuri.
M nnahitaji kutenge neza connection power,nna amin katika ilo
Vizuri Anza Leo
For me ineed expert power for sure
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Me nahitaji nguvu namba 1 iwe hiyo nd inanifaaa
Ahsante ,Iyo ya nne inabidi kuizingatia sana kwa sababu ninayo lakin na ya tatu itabidi kuanza kuifanyia kazi pia
Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
@@joelnanauka sawa Kaka sitohitaji kuchelewa
Njema Kaka Sana Kaka Mungu akubarikiii
Shukran kk, I think exp power & connection power
Good
#SeeYouAtTheTop
nguvu katika somo la chemistry
Nataka connection power na wewe Joel uwe sehem ya connection yangu
Powerful. Thank you my brother
Asante sana kaka ww ni shujaa wangu sijuti kukufuatilia
#SeeYouAtTheTop
Nimekuelewa vizur
natengeneza nguvu ya kuwa mrekebishaji magari bora
Vizuri Weka Nguvu Katika Eneo Hilo
#SeeYouAtTheTop
Nimejifunza kitu hapa
Hongera sana kaka kwa mafunzo mazuri.
Cohesive, legitimate,Expant etc maneno haya hayana tafsir yake kwa kiswahili mbali na maelezo yake,Sio wote tunajua kizungu kaka. Elimu hii tunayoipata hapa twahitaji kuelimisha na wenzetu waipate,
The power of expert nimeipenda zaidi
asante. good topic in life
#SeeYouAtTheTop
God bless you much
Ubarikiwe kwa somo nzuri
Nilikuwa nakufatilia sana katika kila video unayopost kweli ninakushukuru sana nimejifunza mengi saana ahsante sana lkn naomba unisaidie kitu kimoja ambacho mpaka Leo ninakifanya lkn sijui nnafanya kivipi ambacho ni studying techniques or how to study kwa sababa mm bado ni mwanafunzi
Nataman zaid na expant power na connection power naomba ushaur nifanyeje
Mtu mwenye connection power teacher!
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Asant brother me nahitaji mtu mwenye connection power
safi sana joel wetu ubarikiwe sana kwa masomo yako
Vizuri Ndugu Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Naisi nipo ivyooo yan natafutwa na watu juu ya ujuzi nilio nao ila cjajua jinc ya kupata pesaaa nisaidie.
Kaka Joel mm nipo ktk hiyo expert power coz Nina skills ambazo nahitaji kufanya how should I communicate with you ili unifundishe deeply according to my skill
Kaka nimezpenda nguvu ya Kwanza natamani kuwa mfugaji was kuku lakini pakuanzia pananipa shida Sana nifanyeje kaka
Asante kaka expert power
Connection power and referent power are best power to reach our target.
Ktk maisha yangu nahitaji networking mi nina utaalamu wa kufuga kuku
Expert power ndo jambo la msng
Good
#SeeYouAtTheTop
Joel Nanauka Mungu akubariki tunapata kitu katika masomo yako naomba uni - add katika group yk 0767 -860840 Mpangala
asante brother mm ninataka niwe na expert power sababu mm ni daktari kwa hiyo niwe na mikakati gani niweze kuijenga?
Jaman nawezaje kufungua channel Yutube,naomba mnisaidie natamani sana!
Piga Simu Hii Hapa 0754811753
+Joel Nanauka Oooooh,Amina Sana Kaka,!Ubarikiwe Sana
@@joelnanauka nami nitapga kaka maana nami pia nataman kufungua na nmeshajalibu ila nashindwa kuiweka hadharan
Great master mind
Dizaini kama akuelewa hivi
Natamani sana kupata vitabu yako
mm ningependa kuwa Expart Wa masuala ya welding fabrication
Thank you brother!
Natamani nguvu ya expert power najua itanifikisha mbalu
Hello!!asante kwa vipindi vyako mungu akubariki kaka!mimi naitaji kupata expart power na conection power
Shukran nmeipenda nguvu y a kwanza na ya 3 nifanye jitihada gan?
Nina malengo ya kufungua mpesa asante sana kuna KT nimekupata
asante kwa somo kaka angu
Asante ubarikiwe
Connection Power 🔥
Jinsi gani naweza kuwasiliana na wewe bro
I live outside the county.I'm trying to reach you.Which are the best way to reach you.
Hiyo Referent Power nadhani unamzungumzia Bw. Konki Konki Konki Master au? Nahitaji ufafanuzi hapo.
Kak nafrah san kupata maharifa haya naomba uniunge kwene grp namba angu 0652288857
Connection power
Connection power kaka yangu
Connection power kaka yangu
Connection power is the best to me
thanks brother
thanks brother
thanks brother
Legitimate power nitengeneze zangu binafsi nitaazaje?
Nakushukuru sana kaka nilikuahidi naanza upya na kweli nimeanza upya, naomba uniunge kwenye group lako la WhatsApp nijifunze zaid
Me kwngu mmi naitaji kutengeneza nguvu ya kujua kufanya biashara naitaji san kufaamu kaka naomba nisaidie
I've charisma and I need legitimate power ( position )
M ni mtaaramu wa kilimo na mifugo nataka kuwamtaaramu wa mtaaramu zaidi ktk eneo hili lakini pia nataka niwe na connection power
Vizuri Inawezekana Anza Leo
#SeeYouAtTheTop
Mi kwa upande wangu nahitaji sana kuwa na expert power & connection power
Connection and network power
Nguvu ya mtu mwenye network
Thanks broh
Asant Sana
Asante sana kaka
Connection power
Connection power
Poa mwalim mimi naishi Burundi nawe zaje pata vitabu ?
Mungu akubariki kaka
Expert power
me nahitaj network power bro