USIKU HUU HARMONIZE NA MKURUGENZI KADOGOSA WAKITOKA MOROGORO KWA TRENI YA UMEME WAFUNGUKA ILIVYOKUWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 58

  • @afraeliazaelayo
    @afraeliazaelayo 3 місяці тому +4

    Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.

  • @starjay3052
    @starjay3052 3 місяці тому +23

    magufuri kazi kaifanya noma alafu acheni kufanya kama mme saau magu ndio tanzania 🇹🇿 one kwa upande wangu

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому +3

      Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.

    • @emmanuelfari8924
      @emmanuelfari8924 3 місяці тому

      💯🙌

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 місяці тому +1

      Sisi timu Magu hawa tutendei haki, maneno yao ya unafiki eti awamu ya sita, kwahiyo Jembe lililo tifua udongo mpaka tunaona kustwi mmea wamesahau

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому

      @@DeogratiusAndrew-zi7zv Kwan maendeleo yalianza kw magu alijitahidi kiasi chake

    • @Peace-x6s
      @Peace-x6s 3 місяці тому +1

      Rest in peace Magufuli 🙏🙏🇹🇿

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 3 місяці тому +3

    Ila harmonize😊😊😊😊😊😊😊

  • @sund2553
    @sund2553 3 місяці тому +2

    Pazuri kama airport safi tunaendelea jamani watz tusipachafue sasa kwa uchafu 😅

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 3 місяці тому +12

    Hizo ni akili na nguvu za magufuri,tena angekuepo ingeshaisha kitambo sana,R.I.P magufuri wetu

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому

      Aliyemalizia ndio anaekula sifa Kwan bill ya juhudi za wapigania Uhuru ingejengwa hiyo magu ni kama Nyerere

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому

      @@AmanaAmos-hv3yz kwakuwa anaviwanda

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz 3 місяці тому

      @@AmourAmour-ux3nm asiejua maana usimwambie maana🧠,but ukiumia sema💉

    • @mikidadymohammedy7603
      @mikidadymohammedy7603 2 місяці тому

      Ni kwel ndugu yangu naungana na ww ingekuwa kitambo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 місяці тому +5

    Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 3 місяці тому +1

      Aliyethubututu hayupo hizo ruti mpya mnazowaza mtaota tu.

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf 3 місяці тому +3

    Mbowe na tundi nawana chadema tunawaalika SGR, please you guys, we need you😅😅

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 місяці тому +1

      Hahahahahaha 😂😂🤣😂 hawajawahi hata kuizungumzia nahis wanasubiri ipate ajali hahahhaha

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 3 місяці тому

      @@ndukulusudikucho_ 🤣🤣

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 3 місяці тому +2

    😮😮😮 Siasa humu marufuku

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 3 місяці тому +1

    Hongera sana uongoz wa awamu ya sita ❤

  • @salimsuweid1499
    @salimsuweid1499 3 місяці тому +2

    Congratulations

  • @hadija846
    @hadija846 3 місяці тому

    YAOYAO JESHII❤

  • @michaelmisago3671
    @michaelmisago3671 3 місяці тому +1

    Mkurugenzi wa shirika anaakili sana

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 3 місяці тому +5

    Harmonize wakupongezwa ni rais marehemu sio samia

    • @MussaMussa-u5f
      @MussaMussa-u5f 3 місяці тому

      Kama asingemalizia ingeisha

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 3 місяці тому

      @@MussaMussa-u5f tumpongeze kwa kusimamia

    • @timothypengejoshua8692
      @timothypengejoshua8692 3 місяці тому +1

      Ukweli kabisa watanzania wote wamesahau sana kama Ile ni Mradi wa magufuli

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 3 місяці тому

      ​@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 3 місяці тому

      @@AmourAmour-ux3nm tutulie kwani tunaruka ruka sio ilani ni kodi zetu

  • @denissanchawa7689
    @denissanchawa7689 2 місяці тому

    Ni vema kupongeza Jitihada za Viongozi wote walioshiriki katika hatua mbalimbali. Na sio kupongeza kiongozi mmoja.

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 3 місяці тому +1

    Sema reli sio leri

  • @timothypengejoshua8692
    @timothypengejoshua8692 3 місяці тому +1

    Kweli alie kufa ndiye mjinga...Kazi ya magufuli mnayo malizia nasiyo ya samia rip magu

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 місяці тому

      Wewe unazo akili nyingi lakini kuna mmoja anasema hongera serikali ya awamu ya sita kwani ya awamu ya tano haija fanya kitu ?

    • @allysanya8346
      @allysanya8346 3 місяці тому

      @@DeogratiusAndrew-zi7zv yulee mpumbavu tu anamsifia mvisiwani mwenzie

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 місяці тому

      @@allysanya8346 aahahaha

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 3 місяці тому

    HONGERA MUHESHIMIWA KADOGOSA. UMEPAMBANA SANAA

  • @ColethaKomba
    @ColethaKomba 3 місяці тому +1

    🔥🔥

  • @TresorMajibu-t7w
    @TresorMajibu-t7w 2 місяці тому

    Ongera konde boy konde jeshi

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 місяці тому

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 місяці тому

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 місяці тому

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @akidakombo259
    @akidakombo259 2 місяці тому

    R I p John Joseph pombe magufur milele regace umeiacha mwamba

  • @shigetemteremko7551
    @shigetemteremko7551 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 3 місяці тому

    Waeleze watanzania kwa uyakinifu acha kingereza

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 місяці тому

    Kazi ya magufuli hiyo

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 місяці тому

    Kazi ya magufuli hiyo 3:13

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 3 місяці тому

    Magufuli hoyeeee

  • @DioufMuze
    @DioufMuze 3 місяці тому

    Kazi ya magufuli hiyo

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 3 місяці тому

    Kirandage