Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.
Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.
Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine
@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi
Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.
magufuri kazi kaifanya noma alafu acheni kufanya kama mme saau magu ndio tanzania 🇹🇿 one kwa upande wangu
Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.
💯🙌
Sisi timu Magu hawa tutendei haki, maneno yao ya unafiki eti awamu ya sita, kwahiyo Jembe lililo tifua udongo mpaka tunaona kustwi mmea wamesahau
@@DeogratiusAndrew-zi7zv Kwan maendeleo yalianza kw magu alijitahidi kiasi chake
Rest in peace Magufuli 🙏🙏🇹🇿
Ila harmonize😊😊😊😊😊😊😊
Pazuri kama airport safi tunaendelea jamani watz tusipachafue sasa kwa uchafu 😅
Hizo ni akili na nguvu za magufuri,tena angekuepo ingeshaisha kitambo sana,R.I.P magufuri wetu
Aliyemalizia ndio anaekula sifa Kwan bill ya juhudi za wapigania Uhuru ingejengwa hiyo magu ni kama Nyerere
@@AmanaAmos-hv3yz kwakuwa anaviwanda
@@AmourAmour-ux3nm asiejua maana usimwambie maana🧠,but ukiumia sema💉
Ni kwel ndugu yangu naungana na ww ingekuwa kitambo
Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine
Aliyethubututu hayupo hizo ruti mpya mnazowaza mtaota tu.
Mbowe na tundi nawana chadema tunawaalika SGR, please you guys, we need you😅😅
Hahahahahaha 😂😂🤣😂 hawajawahi hata kuizungumzia nahis wanasubiri ipate ajali hahahhaha
@@ndukulusudikucho_ 🤣🤣
😮😮😮 Siasa humu marufuku
Hongera sana uongoz wa awamu ya sita ❤
Awamu ya tano haikufanya kitu?
@@DeogratiusAndrew-zi7zv nilikua sijazaliwa
Congratulations
YAOYAO JESHII❤
Mkurugenzi wa shirika anaakili sana
Harmonize wakupongezwa ni rais marehemu sio samia
Kama asingemalizia ingeisha
@@MussaMussa-u5f tumpongeze kwa kusimamia
Ukweli kabisa watanzania wote wamesahau sana kama Ile ni Mradi wa magufuli
@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi
@@AmourAmour-ux3nm tutulie kwani tunaruka ruka sio ilani ni kodi zetu
Ni vema kupongeza Jitihada za Viongozi wote walioshiriki katika hatua mbalimbali. Na sio kupongeza kiongozi mmoja.
Sema reli sio leri
Kweli alie kufa ndiye mjinga...Kazi ya magufuli mnayo malizia nasiyo ya samia rip magu
Wewe unazo akili nyingi lakini kuna mmoja anasema hongera serikali ya awamu ya sita kwani ya awamu ya tano haija fanya kitu ?
@@DeogratiusAndrew-zi7zv yulee mpumbavu tu anamsifia mvisiwani mwenzie
@@allysanya8346 aahahaha
HONGERA MUHESHIMIWA KADOGOSA. UMEPAMBANA SANAA
🔥🔥
Ongera konde boy konde jeshi
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
R I p John Joseph pombe magufur milele regace umeiacha mwamba
🎉🎉🎉🎉🎉
Waeleze watanzania kwa uyakinifu acha kingereza
Kazi ya magufuli hiyo
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
Magufuli hoyeeee
Kazi ya magufuli hiyo
Kirandage