Professor Jay Feat Fanani & Big Willy - Niamini 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 жов 2018
  • #MachoziJashoNaDamu

КОМЕНТАРІ • 94

  • @ndamayapejr7725
    @ndamayapejr7725 4 роки тому +11

    Bado ina Bang 2020 kama unamin weka like twende sawa

  • @lilymtui3099
    @lilymtui3099 4 роки тому +5

    Old is more than gold or silver......gonga like za kutosha 2020

  • @kingsweetmusic
    @kingsweetmusic 4 місяці тому +1

    Good music 🎶🎶
    Still rocking nerves 2024

  • @theafricannetworker8229
    @theafricannetworker8229 5 років тому +9

    Sichoki kusikiliza hii ngoma. Ngoma inastahili views 10M

    • @Lky589
      @Lky589 3 роки тому +1

      Kungekuwa na yuotub mda ule saiz zingefika 150M views😭

  • @dickzompaseven5714
    @dickzompaseven5714 Рік тому +5

    2022 still hot song...get well soon profesa

  • @kondesaidi2040
    @kondesaidi2040 4 роки тому +9

    Kama nawewe unampenda Fanani like.

  • @fredyphilimon38
    @fredyphilimon38 Рік тому +1

    Hii ngoma inanifanya nitamani siku zirudi nyuma aiseeee J wakitaa

  • @AffectionateFishWaffle-pn4cr
    @AffectionateFishWaffle-pn4cr 4 місяці тому

    2024 still good

  • @asserymmary2696
    @asserymmary2696 5 років тому +6

    I really miss these Jams.... thump up hon.prof Jay

  • @bedanchimbi8152
    @bedanchimbi8152 8 місяців тому

    Vichwa vitatu ndanii ya track moja

  • @senimashauri6696
    @senimashauri6696 4 роки тому +1

    Brother Jay jaribu pia kuzfanyia video ngoma kama hizi kiukwel hajawahi vunja record mwana hip hop mwingne Hapa Africa ispokuwa ww Jay ngoma zako ni mawe na sijui tu maproducer wakipindi hicho sab beat iko sambamba sana na mashairi

  • @menashilmar1682
    @menashilmar1682 4 місяці тому

    G. O. A. T

  • @josephnguruwe7288
    @josephnguruwe7288 5 років тому +2

    nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!

  • @paulinanjelekela1725
    @paulinanjelekela1725 4 місяці тому

    Nakumbuka back to those dayz...... Nyimbo zinarudisha moments za kitambo sana...

  • @festongandango4195
    @festongandango4195 4 роки тому +2

    Fanani ni kwere 2020

  • @Lky589
    @Lky589 3 роки тому +1

    Bado ipo fanani bhana! We ninomasana sema bast 2021

  • @damianbugumba4910
    @damianbugumba4910 5 років тому +6

    Keeping the good music alive

  • @stephenmubanga7711
    @stephenmubanga7711 2 роки тому

    Much love and respect for bongo flava. Zambia tunasikiliza Poa basi. Prof Jay big up

  • @joelntile9078
    @joelntile9078 5 років тому +2

    Hii miziki ilitufanya tuufurahie utoto wetu

  • @bonifacejames34
    @bonifacejames34 Рік тому

    Jamaa walivunja Sana humu!

  • @alphoncemnyambwa9720
    @alphoncemnyambwa9720 11 місяців тому

    2023

  • @laurentluya1856
    @laurentluya1856 5 років тому +1

    Mfalme Jay na wenzako wa wrong, heshima yenu. mziki umepoteza dira saizi

  • @djjoman
    @djjoman 5 років тому +2

    hii nyimbo niliitafuta siku nyingi sana asante jay

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper 3 роки тому

    From wasaffim ❤️❤️❤️💯💯🇰🇪🎊🎊🎊🎊🎊🎊

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 5 років тому +2

    Mashabiki wa Trap hawawezi elewa mzigo ulipotoka

  • @Kimbururu
    @Kimbururu 5 років тому +7

    Yeyote May 2019?

  • @stevenkimaro65
    @stevenkimaro65 4 роки тому +1

    Bonger LA go ma✌✌✌✌✌

  • @ramadhankayanda4056
    @ramadhankayanda4056 5 років тому +2

    Wanasema mi nimeshawataka wamekataa

  • @jirac1456
    @jirac1456 3 роки тому +1

    Mombasa huu wimbo uliwika sana.

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 4 роки тому +2

    2020 tupo pamoja . J ni 🔥🔥

  • @byamukamadavid778
    @byamukamadavid778 2 роки тому

    Dunia's best, salute Prof.

  • @leskarmeikok8956
    @leskarmeikok8956 Рік тому

    Mashairi makali sanaaaa🎉🎉🎉🎉

  • @eliasakumba6821
    @eliasakumba6821 Рік тому

    Safi sana

  • @hamiduhussein
    @hamiduhussein 4 роки тому +2

    Happy birthday professor jay

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 місяців тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @ireneanthony1158
    @ireneanthony1158 5 років тому +3

    2019
    bado moto kabisa

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas4522 4 роки тому +1

    Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane namm

  • @idrisahamza1023
    @idrisahamza1023 4 роки тому +1

    Professa jay ukisiliza hii ngoma halafu ukisiliza kamiligado hujioni bwege

  • @sammykhatibu946
    @sammykhatibu946 5 років тому +2

    Mziki unao ishi uwo

  • @athumanii
    @athumanii 5 років тому +7

    How about ukifanya video ya hii nyimbo kuienzi tu prof?

  • @godfreyphilipo4671
    @godfreyphilipo4671 5 років тому +1

    Heshima ya bongo flavour

  • @amojason1945
    @amojason1945 5 років тому +3

    Best Tz artist of all time

  • @CostaAlexanderCosta-bl8rz
    @CostaAlexanderCosta-bl8rz Рік тому

    Fanani where are you

  • @thomaskeya4092
    @thomaskeya4092 5 років тому +1

    Nakumbuka enzi hizo niliku.musuma

  • @alexmbaula5192
    @alexmbaula5192 3 роки тому

    jay jay jay nimekuita mala tatu salute broth

  • @galeisaac3472
    @galeisaac3472 3 роки тому

    Back in the day when we used to sneak into the club. Club silk kampala to be exact

  • @jumannemturi828
    @jumannemturi828 Рік тому

    Nimekumbuka siku mingi sana

  • @peterkayuwi8911
    @peterkayuwi8911 5 років тому +1

    Kipepeo cha moyo sema unachotaka

  • @user-lf5xx8yt2y
    @user-lf5xx8yt2y 6 місяців тому

    Naazizi vs jaffaray

  • @nicodemastambo847
    @nicodemastambo847 5 років тому +3

    Profesa nani kakupa akili hii saafi saaana weka zote na za HBC all album tunza mziki wako usipotee

  • @benyvoice9415
    @benyvoice9415 5 років тому +2

    Niamini bac bebe Wang😝😝

  • @mahesenitunduma2438
    @mahesenitunduma2438 5 років тому +2

    Tulifalakana tukakaa chini tukapatana
    Wanapatwa na bumbuwazi kuona bado hatujaachana

  • @2FlevaJin
    @2FlevaJin 9 місяців тому

    Hivi akina young lunya wanasikiliza hizi Ngoma?

  • @bibomax4273
    @bibomax4273 5 років тому +2

    21/5/019
    Bado iko kwa sikio

  • @nackamnchimbi6616
    @nackamnchimbi6616 5 років тому +2

    Hii ndiyo ngoma inayonikonga sna kwenye hii album

  • @salahjm2910
    @salahjm2910 5 років тому +3

    Full respect prof

  • @machakucharlz
    @machakucharlz 3 роки тому

    Dah still hitting in 2021......R.I.P Halima @Rajab Mazai/Roja

  • @clintonluyangi9419
    @clintonluyangi9419 5 років тому +2

    Ndo song nilikuwa nalitaka pia

  • @officaltreyyg5237
    @officaltreyyg5237 5 років тому +1

    Hizi nyimbo mzee me nataka nizi Download .sasa sizipati mze wangu

  • @zuwenasimfukwe2981
    @zuwenasimfukwe2981 5 років тому

    when music was music, the real nigga jay

  • @trevor9311
    @trevor9311 4 роки тому +1

    HAPPY BIRTHDAY

  • @abdallahlokole2147
    @abdallahlokole2147 3 роки тому

    Young killa

  • @begaca
    @begaca 5 років тому +6

    WA kwanza GONGA LIKE

  • @yonarashidimbwambo2299
    @yonarashidimbwambo2299 5 років тому +2

    Mbona Kama nishaisikiaga hii ngoma !.

  • @danieltunga7025
    @danieltunga7025 4 роки тому +1

    Wangap wamekuja baada ya kuona post ya mpoki?

  • @imtiaznoor129
    @imtiaznoor129 2 роки тому

    Pona haraka jembe

  • @balloondecorationtz3190
    @balloondecorationtz3190 3 роки тому +1

    Mziki sio view mziki ni information miaka na miaka kubadilika sio rahisi

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 4 роки тому +1

    Music genius

  • @silastemu778
    @silastemu778 2 роки тому

    Dah hivi hii nyimbo ilitokaga mwaka gani? Nakumbuka nimekua nikiuskia huu wimbo

  • @Kimbururu
    @Kimbururu 5 років тому +25

    [Hook - Professor Jay] x2
    Niamini (sema)
    Nataka uwe na mimi (mama)
    Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye)
    Hivi kwanini (sema)
    Hutaki kuniamini (mama)
    Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye)
    [Verse 1 - Professor Jay]
    Nakupenda sana ingiwa wanakuita demu wa uswazini
    Penzi lako la kweli ndo kitu nachothamini
    Kipepeo cha moyo we sema unachotaka
    Jinsi unavyoenzi kipenzi sina mashaka
    Tulipanda milima tukaja kwenye mabonde
    Na sasa ni tambarare tufanye wanga wakonde
    Kote tunakopita wamemwagia mbigiri
    Njoo nikumbatie tufe tukiwa wawili
    Hushangai, tukigombana tu wanafurahi
    Na tukiwa pamoja wanashindwa kutusabahi
    Walishakuja kwangu kunipa habari zako
    Nikawatoa mbio kulinda heshima yako
    Kwangu wamenishindwa wamegeuza kibao
    Changanua mapema upime akili zao
    Ni maisha yo Liz, twende tujikongoje
    Maisha safari ndefu sijui mbele kukoje
    Wanasema mi nakunywa wee, nalala kwenye baa
    Wanasema mi ni bingwa la ngono kwenye mitaa
    Wanasema mi nimeshawataka wamekataa
    Kwako napiga goti yoh twende ki-superstar
    [Hook - Professor Jay] x2
    Niamini (sema)
    Nataka uwe na mimi (mama)
    Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye)
    Hivi kwanini (sema)
    Hutaki kuniamini (mama)
    Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye)
    [Verse 2]
    Yoh, nikwamba
    Mi nashukuru sana, umeniamini kwa sana
    Hukufata maneno ya wanga waliochonga kwa sana
    Miss Manana baab kubwa, hiyo ndo dhana
    Wala hukunikana asante sana mi sitokukana
    Tulifarakana tulikaa chini, tukapatana
    Bila kugombana na ndio maana hatujatengana
    Tukasamehana bila kutosana, endelea kukazana
    Visa vizabina maji ya shingo sa chupi zinabana
    Vichwa vinagongana wanaulizana, hatujaachana
    Wanapigwa na bumbuwazi kuona bado tunakumbatiana
    Tunashirikiana, na tunafanya vitu vya maana
    Na haki ya Mungu mi nakuahidi mi ndo wa dhamana
    Nakata mzizi wa fitina we ni wangu wa kuzikana
    Mwingine hakuna, vita vya manyoya sasa hapana
    Kwani maneno yalizidi hasa kwa wanga na mahasidi
    Na wengine waliahidi lazma watumwagie acid
    Eti hakomi kutupwa na napiga sana mchupa
    Hautachukua round kwangu mi ntakutupa
    Haukufanya pupa haukuogopa, haukunitupa
    Ya Mungu mengi leo hii mambo ni super
    Na yote aliyoahidi kwangu mi lazima kukupa
    Usiwe na pupa, tulia, mi ndo simba
    Unanipaga hamu, na hilo napenda ufahamu
    Nakumbuka maneno yako matamu, mi nakupenda wewe
    Unanipa kiwewe, ubavu wangu wa pili ni wewe
    Napenda uelewa, niamini ni mimi na wewe
    [Hook - Professor Jay] x2
    Niamini (sema)
    Nataka uwe na mimi (mama)
    Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye)
    Hivi kwanini (sema)
    Hutaki kuniamini (mama)
    Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye)
    [Verse 3]
    Amini amini, tuko pamoja safarini
    Wala sigeuki, nipo pamoja na wenye chuki
    Hivi ujabaini? Wanakudanganya maneno lukuki
    Eti napenda chini, eti nakuhasi na hugutuki
    Hivi inaingia akilini? Ni muda gani na ni lini!
    Siku hiyo hatukuwa pamoja? Kama si huzushi ni nini?
    Wanga wanajikongoja navyokupenda kwa ukalando
    Mwana wametunga hoja, tutengane iwe furaha
    Iwe tazamia vioja, usiwaamini hata mara moja
    Wengi ni vizabi zabina, wapiga majungu na wafitina
    Magwiji washirikina, pima vyema tena kwa kina
    Tusije tukaachana, tutawapa msemo wageni iwe meno
    Itakuwa haina maana, mara tu tumefarakana
    Pia itakuwa aibu, tujaribu tu kuvumiliana
    Mapenzi ni taratibu, mambo ya jana sio ya leo
    Tusije tukaharibu, hebu sikia sogea karibu
    Nani wa kunigiribu? Kwako sioni, sisikii
    Ukiacha utaniadhibu, we nipe raha, nipe zabibu
    Mpaka ntakapokufa, tushirikiane kuziba ufa
    Wanga wasitufate, nafurahi unavyonipenda
    Sinyo nasema asange, we nipe denda, nipe mate
    Mama subiri fungate, mzizi wa fitina tena tukate
    Wewe na mimi (mimi), niko radhi kula yamini
    Wewe na mimi (mimi), mama Lily hebu niamini

  • @oldskuladimuzabongo8873
    @oldskuladimuzabongo8873 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿✌️

  • @nagonation7855
    @nagonation7855 3 роки тому

    3/3/2021

  • @amanjohnmrisho2210
    @amanjohnmrisho2210 5 років тому +3

    salute

  • @josephnguruwe7288
    @josephnguruwe7288 5 років тому +2

    nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!

  • @muhdhars
    @muhdhars Рік тому

    2023