Rais Samia ahutubia washiriki wa Siku ya Kiswahili duniani New York
Вставка
- Опубліковано 2 лип 2024
- #HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili
Pata taarifa ya habari, makala, habari kwa picha , mahojiano na matukio kuhusu masuala ya kibinadamu, SDGs na mengine mengi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Ni "Habari za UN" kutoka makao makuu ya UN New York City.
Ubarikiwe saana Mhe SSH , Hotuba imejitoleza na imeleweka vizuri
Hongera sana rais Suluhu Hasan!
Kweli mama... Kiswahili kwa sasa kipo mbele... Tanzania🇹🇿 moja