Maandamano Kenya: Katibu Mkuu UN anafuatilia kwa karibu huku akitaka haki ya kuandamana iheshimiwe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 чер 2024
  • #HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili
    Pata taarifa ya habari, makala, habari kwa picha , mahojiano na matukio kuhusu masuala ya kibinadamu, SDGs na mengine mengi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Ni "Habari za UN" kutoka makao makuu ya UN New York City.

КОМЕНТАРІ •