30bil.nauhakika si bei halisi sema kila unapoenda kuuliza aina ya uwekezaji unakutana mtandao ni mmoja wa kuibia dunia akina BP, Statoil e.t.c 30bil.inaweza kujenga jiji lolote kubwa dunia tokea msituni.
@@pauldaniel5685 ..WEWE HATA MAANDIKO YAKO...uwezo wa kufikili...NENDA KAMALIZIE DARASA LA PILI ILI UJUE UNACHOKIANDIKA...VIJANA HAWA WAMESHINDWA SHULE LAKINI WANATAKA WATOE MAONI ..NA MAANDIKO YA LUGHA YANAWASUMBUA ALF WANATOA KASHFA... RUDI SHULE ALF UKIMALIZA UJE TUBISHANE KWA HOJA
Gesi tu tunayotumia kwenye umeme ni chini ya asilimia 5, ingine yote inasafirishwa kwenda kuuzwa nje. Hapa ndio kwenue ufisadi mkubwa wa kina JK na kina Membe.
Haya tena msaini mikataba ya kipumbavu na ya kisenge mnyang’ anywe mali asili yenu. Mabwege! Acheni Magufuli awawekee nchi kwenye utajiri na mstari sahihi.
KWANZA WATUAMBIE LINI WATAPUNGUZA BEI YA GESI..! KUNA NCHI ZINAUZA GESI MTUNGI MKUBWA KWA DOLLAR 5 TU WAKATI TZ MTUNGI MKUBWA UNANUNUA MPAKA DOLLAR 40 MTUNGI MDOGO UNANUNUA KWA DOLLAR 15-20 HAPO BADO GESI ETI INAPATIKANA NCHINI KWELI..?
Hivi Millard Ayo unajisikiaje unapomislead watu ktk taarifa zako?! Shame on you. Ktk hicho kichwa habari hakuna kitu GESI bali umeandika mafuta na kiasi cha lita ambazo hukusema ni za kitu gani. Taarifa za namna hii za kihuni huni zinakupunguzia weledi na umahiri ulioujenga kwa miaka mingi na tukakuamini sana Ayo. Sasa unataka kuhari kazi maani hii sio mara ya kwanza kufanya hivi
U have articulate it well
Mungu Unatupenda. TUNATOA ASANTE Ee YESU WETU
Wale tulioskia mafuta tukaangalia mafuta ya mwili wa huyu Mzee baba tujuane tu
ua-cam.com/video/iocL99T5LSk/v-deo.html
😂😂
😁😁😁😁😁
Duu full pressure hapa
Huyu sio mafuta ni steki imezidi
Duh
Napenda sana habari zenu azina chumvi na uongo ongera sana miladiayo
Sasa mbona inauzwa Kwa bei kubwa kama ipo nyingi?..
MLIWAUZIA GESI YETU WACHINA, WEWE NA KIKWEKWE SAIZ MNATUCHANGANYA TUU
Mpuuzi sana huyu eti gesi lazima ukaiuze Japan. Sisi tunauziwa gesi bei kubwa wakati tunayo hapa hapa. Majizi makubwa haya
@@ibrahkimesu2402 Kweli
Mumegundua kwenye kina cha bahari kubwa au Zanzibar.
30bil.nauhakika si bei halisi sema kila unapoenda kuuliza aina ya uwekezaji unakutana mtandao ni mmoja wa kuibia dunia akina BP, Statoil e.t.c 30bil.inaweza kujenga jiji lolote kubwa dunia tokea msituni.
Millard unazingua
Ajira chache sana
Muheshimiwa rais wetu mpendwa wataalam Kama hawa ni kuwatumbua , gesi hiyo ibaki kwetu watanzania watumie kwa bei nafuu na viwanda vyetu
Miili yenu tu inaashiria hamfikirii sana mnakula ovyo mnaibia wananchi
Humu ndani kwenyewe gesi ni ghali inabidi wananchi watumie kuni na mkaa tu.
Hatuoni faida ya hayo maelezo
Gilbert Vicent ndipo uwezo wako wa kufikilia umekomea hapo ndiyo maana hauoni faida ya maelezo hayo
ua-cam.com/video/iocL99T5LSk/v-deo.html
@@pauldaniel5685 ua-cam.com/video/iocL99T5LSk/v-deo.html
@@pauldaniel5685 ..WEWE HATA MAANDIKO YAKO...uwezo wa kufikili...NENDA KAMALIZIE DARASA LA PILI ILI UJUE UNACHOKIANDIKA...VIJANA HAWA WAMESHINDWA SHULE LAKINI WANATAKA WATOE MAONI ..NA MAANDIKO YA LUGHA YANAWASUMBUA ALF WANATOA KASHFA...
RUDI SHULE ALF UKIMALIZA UJE TUBISHANE KWA HOJA
Nakuunga mkono kale kamtungi kadogo ka gesi elf 20 kagunia kadogo ka mkaa elf 6 amua mwenyewe unataka nin ges au mkaa
Mradi wa LNG ni wa kitambo sana kila siku unazungumziwa bila matokeo yoyote ni afadhari mkae kimya siku ikifika ndo mlizungumzi maana mnatuchosha
ayo umeanza umbea sasa
Tunahitaji viongozi wenye weledi sana kufika mbali na taifa letu
Mbali na matumizi ya misitu kwa wananchi kwann tusianze kutumia kwa wingi kwa wananchi wote?
Sauti
Lakn bdo bei ya gas ipo juu
I trust this guy at all , am just saying
I meant i don't
Gas au mafuta??!!
Ajira 5000 tuu??😳😳😳😳😳😳😳
Ni neema juu ya neema
Hata mkigundua hmuwez weka bei nzur ges tunaiyona ss
Hata hiyo gas iliyopo ni utajiri mkubwa Sana tutakaoupata ni kama nchini quatar
Mmeshaanza kuwa waxinguaji ......kichwa cha habari n.a. uharisia wa habari haviendani.......uhakika ulishaanza kutoweka
Tatizo ni bei ya gesi bei ya gesi bei ya gesi
Ivi ile gas ya mtwara inatumikaga wapi??
Ni Umeme ndio maana sasa hivi hkuna mgao hata mabwawa ya kikauka c unasikiaga kinyerezi 1-2 ndio hiyo gas
ndo tunapikia
Kwa miungu wetu weupe!
Gesi tu tunayotumia kwenye umeme ni chini ya asilimia 5, ingine yote inasafirishwa kwenda kuuzwa nje. Hapa ndio kwenue ufisadi mkubwa wa kina JK na kina Membe.
@@ibrahkimesu2402 Duuuh hatari hatujui lini tutafunguka..je hua wanatoa mapato ya 95% namna yanaingia na kunufaisha nchi??
Tunausubiri kwa hamu huo mradi wa LNG kuwepo kwa TCF 47 za gesi Tz ni neema
big up milady ayo
nyinyi watanganya msije mukachi zanzibar tz tushachoka kutawaliwa
Munakosea kwenye kichwa cha habari kinasema kivingine na taarfa inazungumzia kivingne
Nyinyi mnawaza soko LA inje wakati soko LA ndani amuja kidhi, ni watanzania wangapi wanatumia gesi? Bei zenyewe si rafiki kwa wengi.
Wanazingua kweli
Huyu jamaa Leo Ni mwisho kuangalia channel yake
Mna oji au mnasikiliza 2 km adisi
*mi nahisi mafuta tunayoyatafuta yapo kwenye mwili wa huyu jamaa, badala ya kwenda baharini huo utafiti uanzie kwake.*
Nchi hii sio maskin jaman
Tyshatajirika tayari
Misleading headline bwa mkubwa😂😂😂
Haya tena msaini mikataba ya kipumbavu na ya kisenge mnyang’ anywe mali asili yenu. Mabwege! Acheni Magufuli awawekee nchi kwenye utajiri na mstari sahihi.
😁😁😁😁😁😁😁😁 una jazbaa
Bai ya gesi ishke kwa soko la ndani ili tulinde misitu yetu
uyo jama ndohmafuta ama nini mm sijaelewa
Huyu muandishi anajishusha hadhi
Mimi nimegundua mafuta kwenye mwili wako
Milard ameuliza ..hivi mafuta yamegunduliwa Tanzania? Sasa wengine wanawaka kama vile wamemwagiwa upupu bwana
TITLE OF VIDEO: Tanzania yagundua mafuta
FIRST LINE IN VIDEO: tanzania bado haijagundua Mafuta
Umesahau alama ?
Nn xx maana yake au tuelewe nn
Hapa ndo wanapoyumba cjui wanajua hatutasoma
KWANZA WATUAMBIE LINI WATAPUNGUZA BEI YA GESI..!
KUNA NCHI ZINAUZA GESI MTUNGI MKUBWA KWA DOLLAR 5 TU WAKATI TZ MTUNGI MKUBWA UNANUNUA MPAKA DOLLAR 40 MTUNGI MDOGO UNANUNUA KWA DOLLAR 15-20 HAPO BADO GESI ETI INAPATIKANA NCHINI KWELI..?
Wana lindi oyeee
Hiyo ni gesi siyo mafuta
zanzibar mbona mambo mazuri sio Tanzania ?...
Mamb mazur vip
Ayooo tv Nani aliye kurogaa maana headline nyingine maelezo menginee duuu hizo Ni dalili za njaaa
Ushaanza kuwa kama wale watafuta views bwana Millard
Mnazngua
Kilichotuponza wengi hatujaangalia hio alama ya ulizo.😁
Huyu atakuwa kapaka mafuta y nchi nzima.
Huyu jamaa ameelezea vzr sn hata mtu ambae hajaenda shule anaelewa
Hai ingii akilin kabisa yaan watanzania 2na 2mia miaka alafu Muna uza gesi nje ya nchi jaman hivi kweli ina ingia akilin
Ushaanza mizinguo bro
Tatizo bei itakua juu tuu
Mimi ningekuwa serikali kuu ningeachana na umeme wa maji nikawekeza zaidi kwenye gasi. Maji ningetumia kulima
Lile bomba LA mafuta pale Tanga limefikia wapi mkuu
Mqambie uyo jamaa apunguze unene ni hatari Sana
pleased tuanze na soko la ndani then tuhamie na huko nje
Yaani magu angeendelea kuwa raisi kwa kweli...ili aijenge tanzania na hizi lasilimali
ua-cam.com/video/iocL99T5LSk/v-deo.html
Umeanza uchizi au sio usipe NDE sanaaa kujiona wa mana tutajitoa
Gesi ghali sn humu nchini. Km tuna gesi nyingi basi iuzwe kwa bei ya chini ili kila mwananchi afaidike ndio baadae muize nje ya nchi
Mangufuli hajaipa gas kipaumbelaa kabisaaa
Ayo unayumba sasa soon utafail endapo utaendelea hivi
Hiii video imenikera Millard Ayo nawe umeeanza uongo Sasa umeandika Nini mbona Ni tofauti na maelezo ?
Kuna Alana ya ulizo kwny kichwa ch habar ujaona
Hujaelewa ameuliza swali na majibu yake ndio hayo alisema msemaji
Msimlaumu uyuu anajia kiswahili cha mdomo mdomo cha darasani hakuna kitu yan hata alama za maandish hajui lipo lipo kazi lawamaaa
watanzania hali inatisha. -@???!!!!""###=/vina tuchanganya ati!!
Hakuna tatizo..umeelewa message I hope
Chimbeni basiiiiii. Mambo kusema sema tu kazi hakuna. Mmetuchosa na kiswahili kingi.
Naona Millard ayo umeanza kutuchoka watanzamaji wako hatujakuzoeya kutudanganya sio poa
Soma vizuri mkuu aafu usisahau ile alama ya ulizo mwisho ,utagundua kuwa hakudanganya
@@jumamwesa3170 lakini hata hivyo habari nzima anaifahamu hakukua nahaja yakuanza nahayo maneno sasa hapo alikua anamuuliza nani
Wew uliekuwa unaandika mafuta ulikuwa unamaanisha ya huyu jamaa au?
Huyu mbona mgeni,ni nani?
Kwn ww kila mtu unamjua.
Fisadi huyo, yupo kazini muda wote toka uongozi wa Kikwete hajulikani Hata kwa kazi anayoifanya
Sasa mnauza nje si tunaumia vichwa namna ya kununua gesi daaah,kumbe tungenuNua gesi sawa na bure
siasa tu mamae,, gesi mtungi kilo6 mdogo tunabadirisha kwa elfu 23 (Tsh23,000) nchi imelaaniwa hii
Mafuta yote anayo huyu jamaa mwilini
Msomi na mtendaji akiliongelea jambo huwa hadi raha kama hapa mkuu anaflow tu kama maji yanashuka mlima ingekuwa mwanasiasa hapo ni kisanga
Kaka milard hapa umetuzngua bhn 🤔 me nmekuja fasta nlpo ona Tz tuna mafuta
Kama mimi
@@kilimanjaro_media katuchanganya kwel yan 🤔
ua-cam.com/video/iocL99T5LSk/v-deo.html gusa na hii
oya checkini channel yng alf gongeni like comment na sub. Tutashinda pamoja
Tucheck nini hukoooo
Tutashinda nn unataka hela tu
Kuweni makini na matanfazo yenu bac
Hivi Millard Ayo unajisikiaje unapomislead watu ktk taarifa zako?! Shame on you. Ktk hicho kichwa habari hakuna kitu GESI bali umeandika mafuta na kiasi cha lita ambazo hukusema ni za kitu gani. Taarifa za namna hii za kihuni huni zinakupunguzia weledi na umahiri ulioujenga kwa miaka mingi na tukakuamini sana Ayo. Sasa unataka kuhari kazi maani hii sio mara ya kwanza kufanya hivi
Mafuta ya kujipaka
ua-cam.com/video/iocL99T5LSk/v-deo.html
maandiko tovauti na maelezo
mafuta kwene mwili wako au mana we mwenyew hapo ni mafuta ya kutosha
ua-cam.com/video/iocL99T5LSk/v-deo.html
kejeli
nisamehe jokes tu
Mafuta ayo apo yanaongea
mtuwangu wa nguvu na wewe umeanza kuandika heading za kipumbavu.... duh sasa sijui ntamwami nani tena?