NICOLE GOROFA LANGU NI BILIONI MOJA/PETE ZANGU MAMILIONI YA HELA/NINA HELA SANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лис 2022
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    NICOLE GOROFA LANGU NI BILIONI MOJA/PETE ZANGU MAMILIONI YA HELA/NINA HELA SANA
    #Bonatv #Wolper #Nicole
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 296

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Рік тому +16

    Guys nicole ana hela toka yupo iringa ana miliki ekari nyingi za mazao na anajua sana kusimamia vitu vyake

  • @doricemwakasengo4049
    @doricemwakasengo4049 Рік тому +15

    Hongera Nicole. Maisha bhaana ukiangalia umri wako na WA Nicole mpo sawa lakin mwenzio anamiliki mjengo wa b Moja lakin mwenzangu na mm kodi ya 40000 inakutoa jasho🤣🤣 na unapambana kinyama sa unajiuliza wengine wanapambana VP kweli maisha hayaitaji hasira

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +73

    Mimi nampenda sana sijui kwann, Yan kazuri alafu kanashushua alafu kapo kazungu Yan nampenda tu huyu dada😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍Alafu kalevi🤗🤗🤗🤗

  • @lorettahamaro9065
    @lorettahamaro9065 Рік тому +20

    Nicole is such a vibe..so eloquent and sharp na hana drama, something majority of Tanzanian female celebrities lack,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ashampinji1041
    @ashampinji1041 Рік тому +16

    Anafanana na wolper lkn

  • @zainabukhamis3667
    @zainabukhamis3667 Рік тому +16

    I really appreciate u Nicole😍

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Рік тому +17

    Nakushangaeni sana ndugu zng wa Bongo. Mkiwa na pesa kidogo. Mnajifanya hamjui kiswahili vizuri. Mnajifanya wazungu. Ni ushamba tu. Kuiga lugha za watu. Mimi nipo nje ya Tz miaka 40 sasa. Na naongea kiswahili vizuri, Km nipo Tz. Ni uongo mtupu, kujifanya kuisahau lugha ilio kukuza. Mimi naji proud sana kuongea kiswahili vizuri. Na naipenda sana nchi nilyozaliwa. Na nakuja Tz kwa mwaka mara mbili. I ❤️ Tanzania. 💕

    • @noraazan9124
      @noraazan9124 Рік тому +1

      Nice nice

    • @mariachannel2047
      @mariachannel2047 Рік тому +7

      Kuchanganya kiswahili na kingereza si kwamba kujifanya mzungu ndugu. She is Code_Mixing. Ni okay kukodimix. Hivyo si kujifanya mzungu. By the way in Tanzania tuna lugha mbili zinazokubalika na ambazo zilikwenda process of standardization. She is right nami sioni shida. Don't judge

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 Рік тому +5

      Hahahha we nawe Asa si ni wewe endelea kuongea kiswahili na kinachokufanya ukae huko Kwa watu miaka yote hiyo ni nini we mwenyewe huna uzalendo na nchi yako ilitakiwa urudi nchini kwako kukuza nchini kwako acha kuwasema watu na huoni na wewe unachokosea na Nicole hajifanyi kama unavyomuhukumu jinga wewe rudi nchini kwako na wewe uendeleze nchi yako kama ni kuexplore Kwa miaka 40 unatakiwa uwe usharudi nchini kwako

    • @adamukibona8354
      @adamukibona8354 Рік тому

      Hongera sana,,,,hawa wanajivuna tu

    • @hawaahamis6179
      @hawaahamis6179 Рік тому

      Hamna pesa hapo amevaa gold coted sio original nyumba ya Billion anaeza wapi kuijenga ????? Uliskia wapi nyumba ya gorofa mbili ikajengwa na billion bac aaah hebu wakae watafute pesa waache kuenda mahotelini wakisema ni majumba wamejenga upuuzi

  • @sheikhamumin9911
    @sheikhamumin9911 Рік тому +11

    She's cute and kind too

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Рік тому +20

    Huyu dada mi anani inspire sana

  • @anneakimana4987
    @anneakimana4987 Рік тому +9

    Ilaa nagupenda sana nicole

  • @maryodo1810
    @maryodo1810 11 місяців тому +3

    Nicole kafanana na wolper jmn 👌👌👌👌

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Рік тому +20

    Uyu dda ndoo star wa kwanza bongo anapesa afu ni mkweli

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 Рік тому +4

    Nice 👏 mashallah

  • @bilihoramadhan5778
    @bilihoramadhan5778 Рік тому +4

    Nimelipenda hii

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Рік тому +4

    Nakupenda sana Nicole 😍😍😍😍😚😚😚🔥

  • @user-im3nb1ed2e
    @user-im3nb1ed2e 8 днів тому

    Honguera sana Nicole

  • @user-cj7tn9uk3f
    @user-cj7tn9uk3f 11 місяців тому +1

    Nakupenda sana sana nikole ubarkiwe zaidi

  • @user-of1st9bh7h
    @user-of1st9bh7h Рік тому +1

    Hongera dada usisahaw wewe nim africa wacha kijidai hujui kiswahili hamjiwi vile tunapatashida watoto wao potea luga huku inchi za nje

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Рік тому +1

    WASANI WA TANZANIA BORA WAJIONYESHE .NA HAWANA LOLOTE. NICE 1 NICOLE. WOLPA JENGA KWAKO MYAKA YOTE HII UNAISHI MMANYUMBA YAKUPANGA MMM🤔🤔

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 Рік тому +23

    Haka kadada kazuri nampenda saaana,❤️❤️❤️❤️🌹 harafu anaga maringo pesa nyingi lakini anaishi kawaida saaana

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 Рік тому +5

    I love Nikole❤❤❤

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Рік тому +2

    I love you my sis Nickole

  • @shamixxvick380
    @shamixxvick380 2 місяці тому

    Nakupenda sana Nico wangu💕

  • @nafigasper2814
    @nafigasper2814 Рік тому +1

    Nimetokea kumpenda huyu dada❤❤❤

  • @SophiaMoses-jk4cv
    @SophiaMoses-jk4cv 4 місяці тому

    Madam uko vizuri sana

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Рік тому +2

    Hata mm nakapenda

  • @gracechalle7629
    @gracechalle7629 Рік тому +2

    Uyu dada nampenda

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Рік тому +18

    Baadhi yawatanzania mko nawivu mmm Wolper nidada nzuri anajiheshim mm hongera mno❤

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah8323 Рік тому +9

    Kujituma ni vizur

  • @kendimutunga
    @kendimutunga Рік тому

    Hongera dada

  • @hollysheila9479
    @hollysheila9479 Рік тому

    Yan I really love nicole

  • @mariyammaria669
    @mariyammaria669 Рік тому +7

    I uv yuur nicole😂😂😂bwana Nicole ety ana interview iyo kazi imempendeza

  • @ruthsugar5940
    @ruthsugar5940 Рік тому +1

    ❤️hongera dada

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 Рік тому +7

    Nawapenda wadada wa aina hiii wa ndoto kubwa na wasio jali KBS

  • @mageefrahm626
    @mageefrahm626 Рік тому +1

    Nzuriiii

  • @MakwegaMkanga
    @MakwegaMkanga 11 днів тому

    Napenda mwanamke ambae anajielewa na nitamfatilia mwanzo mwisho

  • @Queen-fq9zj
    @Queen-fq9zj Рік тому +4

    Yani huyu dada mwenye nguo nyeusi kama jini anajichekesha kama chizi kuna watu wanajua kukera jamn

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Рік тому +4

    Mashallah umbo had sauti.
    Sijui roho. Yake 💕💕💕💙❤️Nicole

    • @halimasulaiman3229
      @halimasulaiman3229 Рік тому +2

      Mtu mwenyewe upendo anajulikana jamani inaonyesha anaroho nzuri napia sijawahi kusikia mambo mabaya kwakweli mungu Amlinde

    • @rahmaawadh1695
      @rahmaawadh1695 Рік тому +1

      Ana moyo huyu mtu acha tu

  • @mwajabujumanne9025
    @mwajabujumanne9025 Рік тому +2

    Ilove nicole sana

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 Рік тому +7

    Kafanana sana Jacklin

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 Рік тому +4

    Nimegundua wolper kaiga sauti ya mama white

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 Рік тому +5

    Nicole hujuhi kuringa alafu ni mzuri

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Рік тому +5

    mie nakapenda hata kanavoongea kanaleta Raha mno

  • @mamass7481
    @mamass7481 Рік тому +2

    Nampenda huyu dada jamani

  • @tausimohd9622
    @tausimohd9622 Рік тому +10

    We catty milaya achana na kingereza 😂😂😂 hujawah kuhojiwa umevurugwa

  • @GamalielMmary
    @GamalielMmary 6 днів тому

    ❤❤ nicole

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 Рік тому +11

    Nicole is so charming

  • @imanidaraja8275
    @imanidaraja8275 Рік тому +3

    Hahahaaaa bongo raha kweli kwrlii

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 Рік тому +1

    Lov you Nicole

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Рік тому +4

    Mjini kuna pilika sana 🙌🙌🙌

  • @shirondungu4412
    @shirondungu4412 Рік тому

    haka kasubufu but nakapenda

  • @qatarabcde8228
    @qatarabcde8228 Рік тому +2

    Na kaburi lako je umeliandaa vp Nicole Mana hio ndio ya milele

  • @mariamariki7132
    @mariamariki7132 Рік тому +7

    Nakupenda bure,, nalomba tuu milioni kumi Nina shida sna Mimi mwananmke mwenzako, Niko seriously kweli,, naamini utanipa

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Рік тому +6

    Raha ya uyu dada akitaja ela inaendana naee kabisa sijui kwannn

    • @raphaelchumila5283
      @raphaelchumila5283 Рік тому

      Kabisa yan mi akitajaga uwaga namwamini sijui kwann ila zuena na milion Saba zake🤣🤣🤣

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Рік тому +13

    Ishi maisha yako,ukiiga maisha ya watu utajikuta unaingia pabaya

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 Рік тому +3

    Mbona kama comedy 🤣 😂 😆 😄

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 Рік тому +9

    Yesu yuwaja jmn tubuni

    • @shamilamgata7754
      @shamilamgata7754 5 місяців тому

      Jaman yesu alikataza watu kutafuta pesa na kupendeza 🤣🤣

  • @esperancenathali
    @esperancenathali Рік тому +12

    Huyu dada napenda skendo zake 😂😂😂😂😂

  • @assmamohd2876
    @assmamohd2876 Рік тому +4

    Nicole nigaiye aftatu😂😂

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Рік тому

    Nikweli dd

  • @sanianan6586
    @sanianan6586 4 місяці тому

    nakupenda san ninashida unisaidie mimi mwanamke mwenzako

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Рік тому +1

    Mzurii Tajiri mhangaikaji anaatako la kuongeza na alicho niudhi kuongeza ziwa tu. Azae sasa sio kubeba vimbwa tu! Aolewe au aoe maana ukiwa napesa unamuoa mwanaume

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Рік тому +5

    bilioni unaijua wewe dada 🤣 ila nakupenda nicole

  • @bintik2311
    @bintik2311 Рік тому +2

    I like him.heeeee mbwa huyo Kawa mtu.

  • @user-zn7ou6lq2t
    @user-zn7ou6lq2t 4 місяці тому +1

    Yan mnachezea pesa wakati kuna watu hawana hata pakula wa pakulala dah

  • @zaitunigosbert3622
    @zaitunigosbert3622 Рік тому

    Salehe bwanaaaaaaaa

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +2

    Mpo happy Sana

  • @tunajaribu
    @tunajaribu Рік тому +11

    Nicole ni wetu waTanzania ee😮

  • @alimanana7564
    @alimanana7564 Рік тому +1

    Tuonyeshe vizur ayo madini utakuja kupigwa risasi bure

  • @hawaahamis6179
    @hawaahamis6179 Рік тому +2

    Bado unadanganya peupe beste yako kasema ni shule hhhhhhh woooiye

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Рік тому +6

    Mm napendaga kasauti kake etiiiiiii 💞vile anaongea

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Рік тому

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @edward-mq4fp
    @edward-mq4fp Місяць тому

    kwa kweli ni ujinga sana

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Рік тому +3

    Watu kama hawa? We kaka tokea lini mbwa wakaitwa watu?

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 14 годин тому

    Maisha feki siogorofa lake nahameshama hspo anaishi yegeta bahati beach nilifiiri lile gorofa lake alipanga mastar kadhahama hapo sio kwakwe

  • @mbonijabu1164
    @mbonijabu1164 Рік тому +3

    Nampenda uyu dada

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Рік тому

    Hovyoooooooooooooooo.

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 Рік тому

    Hehehheheh eti mzuri huyu mavi huyu

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 Рік тому +10

    NAMPENDAGA NICOLE SANA HASA SAUTI YAKE

  • @rahmaawadh1695
    @rahmaawadh1695 Рік тому +5

    Nicole mzungu mtu na roho yake jamaniiiii nampenda sana huyu dada bhana

  • @DM_15
    @DM_15 Рік тому +2

    Bongo hii hii jamani yaani full komedi

  • @wardahamisi5918
    @wardahamisi5918 Рік тому +1

    hahahaha duh jaman maisha hay wengine wanaishi halaf wengine wanaisha

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 Рік тому +4

    Nicole hanaga roho mbaya

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Рік тому

    Eti kajenga ghorofa ya bilioni moja sie wenyewe huku uzunguni pamoja na wazungu wenyewe hatuna uwezo huo na tuna kazi nzuri sasa yeye kwa kazi gani anayoifanya aweze kujenga ghorofa wasanii acheni kufeki maisha yalimkuta wema sepetu aliposena kanunua nyumba ya milioni 400 baadaye akafukuzwa na mwenye nyumba

    • @dianadavis955
      @dianadavis955 Рік тому

      Punguza makasiriko, we na kazi yako nzuri mtu mambo yakimnyokea usijifananishe nae just look at her na biashara zake 😂 wabongo bhana

    • @happynelson1180
      @happynelson1180 Рік тому

      @@dianadavis955 punguza makasiriko wewe mwenyewe hapo tu njaa inakuuma

    • @happynelson1180
      @happynelson1180 Рік тому

      @@dianadavis955 tafuta hela

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Місяць тому

      ​@@dianadavis955😂😂😂😂😂Kwan wew kaz yako mbaya?😂😂😂😂😂ila watu

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Місяць тому

      ​@@dianadavis955ninong'oneze asisikie mtu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @benadetamtabo7437
    @benadetamtabo7437 Рік тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 napenda hizo babai

  • @shamixxvick380
    @shamixxvick380 2 місяці тому

    I like you so much coz u like smiling Everytime but karibuni ata Pete haita kuwa hummmm yote hawa mapambo hummm kweli dunia si kitu

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Рік тому +1

    Watu wa ajabu sana

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Рік тому +1

    Mpaka raha jamani

  • @Hahaha-yf4ug
    @Hahaha-yf4ug Рік тому +8

    Huyu dada Hanaambo mengi ana hakili nyingi muno

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 Рік тому

      Hahaha na wewe hakili ndo nini sasa

    • @Hahaha-yf4ug
      @Hahaha-yf4ug Рік тому

      Inamana hujuwi manaake ya kuwa na akili?

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 Рік тому +1

      @@Hahaha-yf4ug jinga wewe sio hakili ni akili unavyojishauwa sasa utafkiri umeandika kwa usahihi hahaha eti hakili 😹😂

    • @Hahaha-yf4ug
      @Hahaha-yf4ug Рік тому

      Jinga niww mumbwa ww

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Рік тому +2

    Kazi yakuuza mwili

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Рік тому +4

    hata kakiwa kanafoka kanavutia

  • @IradukundaSysteme
    @IradukundaSysteme 4 місяці тому

    Jamani mbona Nyumba hatuja ona

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah8323 Рік тому

    Nicole nakupenda nipe no yako

  • @judymonyangi7971
    @judymonyangi7971 Рік тому

    huyu kweli kichuna

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Рік тому +2

    ❤❤❤❤❤❤

    • @beatricemuyengi3738
      @beatricemuyengi3738 Рік тому

      Me nkupnda tyu wew dada nkupnda bas tu...ntmn at uwe rfk angu tu

  • @RechoKihombo
    @RechoKihombo 4 місяці тому +1

    Duu nicole utadhan sio mzaliwa wa iringa watu wanatoka mbal jaman

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Рік тому

    Uyu dada aliyepanda juu sijui kafata nn😂kashindwa kusema😂😂eeeh jamaniii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AminaAlly-wo9ul
    @AminaAlly-wo9ul 4 місяці тому

    Nikweer anafana san worper had saut

  • @bilihoramadhan5778
    @bilihoramadhan5778 Рік тому +1

    White

  • @faithzamani1965
    @faithzamani1965 Рік тому +5

    Nicole umeupiga mwingiiii