Ila binadam mnatumia nguvu nyingi kumchafua mwamposa na mungu alivo wa ajabu mwamposa anazidi kung'ara na Hana mda wakumuongelea mtu zaidi ya kuhubili neno la mungu 🙏🙏🙏🙏
Asante yesu Kwa kunipa Neema yakujua maandiko nifunike Kwa dam yako takatifu na family Yang yote ili tuje kwako tusiufatishe namna ya ulimwengu uendavyo❤
Wewe hubiri neno la Mungu tu achana na habari za kusema watu na makanisa! Anayehukumu ni Mungu peke yake! Usijichanganye broo(Zingatia: acha kuongelea habari z watumishi wa Mungu na makanisa...wewe hubiri neno la Mungu tuu)
Hubiri habari ya mungu ,usihubiri habari zakuponda watumishi was mungu,kikubwa usihukumu usije ukahukumiwa, mwamposa mbn huwa amhubiri mtu,,,anatangaza habari njema tu ya ujumbe wamungu
Ukisoma Isaya 32:15, inasema kila mti ni Misitu, peleka Injili achana na kupinga pinga watu, Mzee. Utachoka Sana, kwa kufanya kazinambayo sio ya Mungu. Agizo kuu ni Injili, Amri kuu ni Upendo bro, Ukimpenda Mungu utafanya kazi yake achana na Mambo ya kina Mwamposa.
Mnatafuta umaarufu kupitia Mwamposa pole sanaaa Neema aliyopewa na Mungu ni kubwa sanaaaa Iman anayofundisha ni kumuamini Mungu tuu nyie badala mufundishe neno la Mungu mnashinda kukosoa watumishi Wa Mungu
Mtumishi mwema ni mzee wetu Mwakasege mwenye busara ya Mungu hajawahi kugusa huduma ya mtu mwingine na kama una ujasiri wa kupinga mbona ujawagusa waislamu na hali unajua ndio wapinga Kiristo kumbe wewe ni muoga wa kufa unajua wakiristo ni wapole na wanyenyekevu wa moyo shambulia waislamu kama kweli una ujasiri wa kimungu
Mpinga kristo anaweza akawa mkristo au mwislam husomi biblia? We unafikili waislam wote hawaendi mbinguni wapi watakao kwenda nikama vile wakristo wapo ambao hawatakwenda na wengine wataenda waislam na ni taifa ambalo MUNGU alimbalikia Ishumail mtoto wa Ibrahim Alie zaliwa na msichana wa kazi kwa hiyo mpinga kristo niyule anaepinga mafundisho ya YESU na kufuata mafundisho ya shetani
@@PendopasilikaMBINGUNI HATUONDI KWA DINI BALI KWA NENO LA KRISTO. MARKO 16::16 AAMINIE NA KUBATIZWA ATAOKAKA, ASIYE AMINI ATAHUKUMIWA. YOHANA:3:5 YESU AKAJIBU, AMIN,AMIN, NAKUAMBIA MTU ASIPOZALIWA KWA MAJI NA KWA ROHO HAWEZI KUUINGIA UFALME WA MUNGU. WALA SIYO SINI HIYO, BALI NI WOKOVU. UNAPASWA KUOKOKA.
@@DeusdeditMichael Ni kweli tunakwenda kwa njia ya wokovu ambalo ni neno la kristo lakini je? Na kwenye hizo keki mie naona hiyo ni miujiza ya kipepo MUNGU akubariki
@@Pendopasilika IBADA YA KUMUABUDU YESU KRISTO HUFANYIKA SAWASAWA NA NENO LA KRISTO. AMBALO LINATUAMBIA KUTUMIA JINA LAKE PEKEE. YOHANA 14:13-14 YOHANA 16: 23 YOHANA ; 16:26 (Soma) YAZIDIYO HAPO, YANATOKA KWA SHETANI. 2WAKORINTHO 11;14 (Soma) Neno linasema; Mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi yao.
Mjinga Sana Huyo Hana akili Anaowapa ahubiri neno la Mungu na siyo kuahambulia Mwamposa.Kama Mwamposa anawapotosha watu basi Mungu ndo atamuhukumu na siyo wapiga kelele kama wewe.Idiot
Nakushauri ACHA KUWAZUNGUMZIA WATUMISHI WENGINE, FANYA KAZI ALIYOKUPA YESU Walete watu kwa Yesu kwa KUWAFUNDISHA WATU WOTE WAMJUE YESU NA KUDUMU NDANI YA YESU KRISTO WA NAZARETI.
@@Kamkono nakwambia wewe Acha to Ndo hivyo atuoneshe Mungu wake kafanya Nini Juu yake na kupitia Yeye na Kwa wengine Huku anapopasema kila siku shuhuda ni nyingi saana
@@JoyceMbise-zr2xh hakunaga wito wa namna hiyo msitufanye km hatujui neno. kuna mahali amesema kwenye maandiko we ni nani unayekitoa kibanzi cha mwenzio. wakati kwako kuna boriti? wakemee dhambi za watu wote ili yule anayezitenda ahukumiwe abadirike, kutaja jina la mtu ni uchochezi
Imani yako ndo itakayo kuponya acha kukifikiria mwmpos yeye anafundisha neno ra mungu kazi yako nik🎉ua naiman na kire unacho fundisha make mungu anacho kiangaria niimani yako amin
Kwel broo fundisha neno la mungu achanana na mambo ya kuwaongelea watu mwenzio ameinuliwa waza na wewe mungu akuinue kama mwaposa huna kabisa maneno mengne watu wanashida na kiu tafuta vtu utakuwa juu tuu kama mwenzio acha wenge
pastor paschal sijaluelewa kila mtumishi wamungu kwako unasema anakosea na hakuna mwanadamu aliye kamilika nadhani hata wewe unamapungufu mengi sana na ujakamilika
YESU Kristo ni yule yule Jana na leo na kesho, na Neno la MUNGU wa Mbinguni MUNGU YEHOVA wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Ndie anaehubiriwa na Mwamposa , na MUNGU ni pendo, aliupenda ulimwengu akamtoa Mwanawe Pekeee kila amwaminie ataokoka
Zaburi 30:3 [3]Umeniinua nafsi yangu, Ee BWANA, kutoka kuzimu. Umenihuisha na kunitoa Miongoni mwao washukao shimoni. O LORD, thou hast brought up my soul from the grave: thou hast kept me alive, that I should not go down to the pit.
Hakuna binadamu.awezaye kukuombea ili Mungu afute maovuyako isipokuwa wewemwenyewe kujiombea kabula yakifo chako. ndiyo maana hataka bulayakifo chaYesualijiombea yeye mwenyewekabula yakifochake kwakuwa yeye duniani hakuwanataji la uunguali alibebeshwa madhaifu ya binadamu ili kujumuikanao.
Mungu awape hekma watumish wake waihubr kwel ya Mungu na sio kufata Oman potofu, swez mzungumzia mwamposa sabu sjamfahamu kiundan zaid, ila wateule kuwen macho hz ni Siku za mwisho shika sana ulcho nacho asje mtu kukunyang'anya
Hata ukiwazungumzia unapoteaa muda kwasababu MAANDIKO yalikwisha tabiri manabiii wa uongo au watumishi wa uongo watakuwepo so huwezi kulizuia ,wewe unachotakiwa wafundishe watu kweli ya NENO la Mungu ,wamjue Mungu only that,Yesu NDIE atakayehukumu siku ya mwisho
Kama Mwamposa atumiwi na Mungu na miujiza inayotendeka kwenye ya arise and shine ni feki basi nyie mliowatumishi wa kweli fanyeni basi hiyo miujiza ya kweli tuone na kama hamwezi
Nilichogundua watumishi wengi wanaoshambulia wenzao wana Roho ya kifarisayo misishangai kuona watu kama hawa mm nashangaa sana badala ya kuhubiri injili wanahubiri mambo ya watu oh yule hivi oh yule vile is that a gospel? Biblia inasema kwenye matendo ya Filipino alishuka Samaria napale Samaria palikuwa na mtu mmoja mashuuri jina lake aliitwa Elima mchawi aliwashangaza watu wengi kwa uchawi wake lakini siku moja mtumishi wa Mungu alipokuja Mungu akamtumia Filipino kwa miujiza mikubwa sana watu walifunguliwa sana hata yule .mchawi akaonekana si kitu kwahiyo na hawa watumishi wanaoshambulia wanatakiwa kuudhiirissa za Mungu kama na kama hawawezi basi wakae kimya wasitabishe watu wakati wao hawawezi kuwasaidia
Kila siku maji ya upako hakuna upako isipokuwa neno lenyewe wazee tusali kwa imani akuna maji wala kitambaa waku tuwe makini shinda zisitufanye tukae mbali na mungu wetu🙋♂️
Jamani mbona wachungaji na manabii hawatumii muda mwingi kubuni mbinu za kuleta ukombozi na uponyaji na amani wanajitahidi kukosoa wenzao ? Nakuwapinga wenzao tafuteni amani watu wapone mtapata baraka
Nikweli kabisa maaandiko yanasema jima latest linatosha hakuna kuambatanisha na kitu chochote ila jina la yesu latosha ila watu wengi hasa akina mama wanafuata miujiza
Madhabahu ni kwaajili ya kumzungumzia Yesu kristo pekee yake na sio kumzungumzia mtumish yeyote,watumishi wa Mungu wapo na WA shetani wapo USIPOTEZE MUDA kuwajadili watu kwenye madhabahu Bali tumia madhabahu kujadili mambo yahusuyo ufalme wa Mungu
Tatzo hujui nguvu ya Mungu wewe, the power of God has no limit, can conquer every where it doesn't matter on water, cake, soil or whatever So you just focus on what you believe
Tangu umeanza kuwasema wenzio vibaya sijaona hata mmoja amekujibu ,wala hakuna aliyeanguka ,kaka fanya yako mwenye mamlaka ya kuhukumu ni MUNGU,huo muda unaopoteza kujisifa na kuwaponda wenzio ungewekeza sana kuombea watu wamjue huyo MUNGU wako
Injili ya fitina ni injili ya kusemana. Vibaya watumishi, Tunawaomba mutuhubilie neno la Mungu ili roho Zetu zikamuone Mungu, acheni kusemana vibaya mnawachanganya watu waongo ni lazima wawepo na wa kweli nilazima wawepo Hapo ndipo utumishi unanoga walio wa Mungu watakwenda kwenye ukweli waliowashetani watakwenda kwenye uongo , Ukiacha kuhubili injili ya Yesu ,ukanza kuwasema watumishi unaowaona waongo hapo unamsaidia shetani kufanya kazi
Mhubirini MUNGU, na Mwanae Mpendwa Yesu Kristo. Achana na kuhubiri mapungufu ya wenzio. Mbona wengi wenu m asema ' Mungu ameniambia.. ' Nani alikuona au kusikia ukiongea na MUNGU? 😅
Tunajua wengine amutakubali kuambiwa ukweli akuna neno la mungu itakayo itaji pesa mtu yeyote ana nena neno la mungu ni zadaka tu sio pesa na zadaka aina kiwango ni chocho kitu Ulicho nacho sio ivyo walivyo manabii wa uwongo apana
@@shadrackjuliuskaboya5239 2TIMOTHEO:4:2 2 lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. 2 Timotheo 4:2 BASI, TUNAWEZA MSAIDIA PASCAL KAMA KUNA MAHALI AMEENDA NJE YA NENO HILO.
kama kweli Mungu tunayemwabudu yupo hai na aishi tumwachie yeye atoe hukumu ya haki huwezi kuhukumu maana hata ww mwenyewe unatumika.kuwachafua viongozi wenzako huewezi kuhubiria watu habari za kanisa lingine Mwache.Mungu mwenyewe apitishe Mundu kuvuna ngano na magugu ww una jicho lipi la kufichua uovu wa wenzako?
Huu mchungaji hafaai Hana lolote maana anaonyesha kuwa neno la mungu limegeuka kiwanja cha wanasiasa. Labda nataka niulize kitu Sasa yeye mbona anahitaji manabii wote wafungiwe makanisa yeye ataweza kutusaidia matatizo yetu au anataka tuwarudie waganga wa kienyeji???
Ila umetuchosha sana kasian yaani tumekuchoka mno, hubili injili achana na mwamposa, tumekuchoka sana, Kaz Yako kuharibu watu wa mungu,
LABDA ungehubiti Neno La Mungu kuliko kumtumia Nguvu nyingi kuhubiri watu. Yesu amekutuma kufanya hivyo kweli?? Pole sana
Ndivyo Yesu anachotaka. Kumuelewa mtumishi huyu ni neema ya Mungu. Usipoelewa unapungukiwa neema yake. Ukiona humwelewi shika imani yako hulazimishwi.
Kumjua Mungu si kutuma Nguvu,hata wewe ni mmojawapo unatafuta ulaji tu Amerika si Mbinguni,na niambie Maandiko yaliandikwa na nani.
Pole yake.kwa.kweli
Mtumishi MUNGU akibariki sana kutimiza kusudi ra Mun gu ni gharama kubwa sana Mungu akutie nguvu
Mungu atuokoe
We ufie mbali unaetualibia apostal wetu mungu anakuona
Ameen barikiwa Sana baba Mungu akuinue, sema tupone.
Ila binadam mnatumia nguvu nyingi kumchafua mwamposa na mungu alivo wa ajabu mwamposa anazidi kung'ara na Hana mda wakumuongelea mtu zaidi ya kuhubili neno la mungu 🙏🙏🙏🙏
Acheni kuupiga mwili wa kristo vita wote mnaburi yesu, mambo keki katika amri za Mungu haijaandikwa kula keki ni dhambi
Sawaaa yesu atapokuja atazihukumu Siri za wanadamu nani aweza kujisitri kwa macho ya mungu?
Asante yesu Kwa kunipa Neema yakujua maandiko nifunike Kwa dam yako takatifu na family Yang yote ili tuje kwako tusiufatishe namna ya ulimwengu uendavyo❤
Yesu na sio yesu✊
ameni ameni ameni
Ev.Paschal we are together, I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Mungu akulinde cku zote mtumishi waambie ukweli wajinasue
Wew kila mtumishi wa Mungu ni wa uongo em tuambie watumishi wa ukweli walipo!?
Wew hupaswi kutenda hayo kaka angu Unaonaje hiyo nguv yote kubwa ungeingia mtaan kushuhudia watu?
Mnatupoteza tunaowasikiliza na kutufundisha neno la Mungu.Kila mtumishi afundishe alichoinuliwa na Mungu.Msibadilike kuwa Wana siasa wanaoomba kura.
Barikiwa mwinjilist paschal
Anakupoteza vip sasa
Fanya kazi achana na watu wa Mungu mnafiki wee mbona unaomba sadaka?
Wewe fundisha ulichotumwa na mungu
Imani yako ndiitakayo kuponya na mpenda San mwamuposa
Sijui kwann Wakristo tunapigana vita kiasi hiki Ee Mungu
Wewe hubiri neno la Mungu tu achana na habari za kusema watu na makanisa! Anayehukumu ni Mungu peke yake! Usijichanganye broo(Zingatia: acha kuongelea habari z watumishi wa Mungu na makanisa...wewe hubiri neno la Mungu tuu)
sawa hao wanamwabudu shetaniii Mungu mwanamke
Hubiri habari ya mungu ,usihubiri habari zakuponda watumishi was mungu,kikubwa usihukumu usije ukahukumiwa, mwamposa mbn huwa amhubiri mtu,,,anatangaza habari njema tu ya ujumbe wamungu
Ukisoma Isaya 32:15, inasema kila mti ni Misitu, peleka Injili achana na kupinga pinga watu, Mzee. Utachoka Sana, kwa kufanya kazinambayo sio ya Mungu. Agizo kuu ni Injili, Amri kuu ni Upendo bro, Ukimpenda Mungu utafanya kazi yake achana na Mambo ya kina Mwamposa.
Ndugu Mwamposa we are together I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪🙏
Wewe ubiri kutufundisha acha kukandia wenzako fanya kazi ya Mungu tupe neno c maneno ya kukandia wenzako
Mungu kamfundisha mwamposa kunyamaza kimya. Asije kuwa kama mataifa.
Hakika
Kabisaa
Mnatafuta umaarufu kupitia Mwamposa pole sanaaa Neema aliyopewa na Mungu ni kubwa sanaaaa Iman anayofundisha ni kumuamini Mungu tuu nyie badala mufundishe neno la Mungu mnashinda kukosoa watumishi Wa Mungu
Hivyo hubiri utukufu wa mungu siyo kuwasema watumishi
Mungu akusaidie sana, hujui unakokwenda
Fanya kazi ya Mungu mtumishi ukweli unauma sana wenye kupona watapona wajehanamu watakwenda kwa ugumu wa mioyo Yao!
Muhubir Yesu achaaa kuwasema watumishi wa Mungu.
Je wew umejuaje haya congratulations kwa mwaposa maisha marefu
Pole acha kuteseka na karama ya mwenzako
@@janethesron1111 kichwachako kigumu sana kuelewa janethesron soma biblia kila sku loho mtakatifu atakushukia uelewe mengi ya silini 🙏✋
Muhubiri au mtumishi wangu unakosoa maneno is ya Mungu Mtumishi Mtumishi gani
Mtumishi mwema ni mzee wetu Mwakasege mwenye busara ya Mungu hajawahi kugusa huduma ya mtu mwingine na kama una ujasiri wa kupinga mbona ujawagusa waislamu na hali unajua ndio wapinga Kiristo kumbe wewe ni muoga wa kufa unajua wakiristo ni wapole na wanyenyekevu wa moyo shambulia waislamu kama kweli una ujasiri wa kimungu
Aliye lwambia wapinga Kristo ni waislamu tui?.
Je Kristo alipingwa au kukataliwa na waislamu?
Mpinga kristo anaweza akawa mkristo au mwislam husomi biblia? We unafikili waislam wote hawaendi mbinguni wapi watakao kwenda nikama vile wakristo wapo ambao hawatakwenda na wengine wataenda waislam na ni taifa ambalo MUNGU alimbalikia Ishumail mtoto wa Ibrahim Alie zaliwa na msichana wa kazi kwa hiyo mpinga kristo niyule anaepinga mafundisho ya YESU na kufuata mafundisho ya shetani
@@PendopasilikaMBINGUNI HATUONDI KWA DINI BALI KWA NENO LA KRISTO.
MARKO 16::16
AAMINIE NA KUBATIZWA ATAOKAKA, ASIYE AMINI ATAHUKUMIWA.
YOHANA:3:5
YESU AKAJIBU, AMIN,AMIN, NAKUAMBIA MTU ASIPOZALIWA KWA MAJI NA KWA ROHO HAWEZI KUUINGIA UFALME WA MUNGU.
WALA SIYO SINI HIYO, BALI NI WOKOVU. UNAPASWA KUOKOKA.
@@DeusdeditMichael Ni kweli tunakwenda kwa njia ya wokovu ambalo ni neno la kristo lakini je? Na kwenye hizo keki mie naona hiyo ni miujiza ya kipepo MUNGU akubariki
@@Pendopasilika IBADA YA KUMUABUDU YESU KRISTO HUFANYIKA SAWASAWA NA NENO LA KRISTO. AMBALO LINATUAMBIA KUTUMIA JINA LAKE PEKEE.
YOHANA 14:13-14
YOHANA 16: 23
YOHANA ; 16:26
(Soma)
YAZIDIYO HAPO, YANATOKA KWA SHETANI.
2WAKORINTHO 11;14
(Soma)
Neno linasema; Mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi yao.
MR. C. MBONA UNATUMIA NGUVU NYINGI SANA KUMPINGA MWAMPOSA? AISEE UTAINGIA MBINGUNI UMECHOKA SANA.
Je wewe sawa
❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂 mbingun uyu akanyag ngooo badala haubir neno kakazan kukosoa yeye kama nai ndo mahn anakipand uso sabbu ya wivu 😂
@@nataliedayana9824 of corse
Mjinga Sana Huyo Hana akili Anaowapa ahubiri neno la Mungu na siyo kuahambulia Mwamposa.Kama Mwamposa anawapotosha watu basi Mungu ndo atamuhukumu na siyo wapiga kelele kama wewe.Idiot
Pole Sana,kila mtu anaamini panapomsaidia
Nakushauri ACHA KUWAZUNGUMZIA WATUMISHI WENGINE, FANYA KAZI ALIYOKUPA YESU Walete watu kwa Yesu kwa KUWAFUNDISHA WATU WOTE WAMJUE YESU NA KUDUMU NDANI YA YESU KRISTO WA NAZARETI.
Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy to kuchafua watumishi,
Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy kuwasema vibaya to unajua Mtu Mara nyingi aliyeshindwa hutaka kufanya na wengine washindwe to
Ni kweli kila siku anatufundisha Mungu wa MWAMPOSA, atufundishe Mungu wake. Mimi binafsi siamini kama ndicho alichotumwa na YESU.
@@Kamkono nakwambia wewe Acha to Ndo hivyo atuoneshe Mungu wake kafanya Nini Juu yake na kupitia Yeye na Kwa wengine Huku anapopasema kila siku shuhuda ni nyingi saana
Kweli sikio la kufa halisikii dawa
Sijawahi kumuona huyu pascal kasian,akihubiri naona aanawapinga watumishi wa mungu,mungu akusamehe tu
Sio huyu tu yupo na mwingine yeye hadi anatukana❤
Ndo wito alioitiwa
@@JoyceMbise-zr2xh hakunaga wito wa namna hiyo msitufanye km hatujui neno. kuna mahali amesema kwenye maandiko we ni nani unayekitoa kibanzi cha mwenzio. wakati kwako kuna boriti? wakemee dhambi za watu wote ili yule anayezitenda ahukumiwe abadirike, kutaja jina la mtu ni uchochezi
Imani yako ndo itakayo kuponya acha kukifikiria mwmpos yeye anafundisha neno ra mungu kazi yako nik🎉ua naiman na kire unacho fundisha make mungu anacho kiangaria niimani yako amin
Kwel broo fundisha neno la mungu achanana na mambo ya kuwaongelea watu mwenzio ameinuliwa waza na wewe mungu akuinue kama mwaposa huna kabisa maneno mengne watu wanashida na kiu tafuta vtu utakuwa juu tuu kama mwenzio acha wenge
Mimi ni Mkatoliki na Nina amini Sana mafundisho yanayofindisha kabisa Katoliki la Roma, hakuna WA kutoa huko. Imani yako ndiyo inayokuponya.
pastor paschal sijaluelewa kila mtumishi wamungu kwako unasema anakosea na hakuna mwanadamu aliye kamilika nadhani hata wewe unamapungufu mengi sana na ujakamilika
Mungu ni mwingi wa rehema
❤❤❤ iko kweri kabsaa waambie waache hyo tbia
Muombe Mungu akupe upako na miujiza wewe na ukoo wako kwani kanisa lako linajaza kama unayemsema😂😂 TUMIA AKILI MUNGU NDO AYEUKUMU NA SIO WEWE ,
Mtumishi mhubiri yesu yakina mwamposa waachie wao
YESU Kristo ni yule yule Jana na leo na kesho, na Neno la MUNGU wa Mbinguni MUNGU YEHOVA wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Ndie anaehubiriwa na Mwamposa , na MUNGU ni pendo, aliupenda ulimwengu akamtoa Mwanawe Pekeee kila amwaminie ataokoka
@@corrolesscps BWANA YESU AMETUAMURU KUTUMIA JINA LAKE PEKEE (MARKO 16;17)
HIVYO YAZIDIYO HAPO NI YA SHETANI.
@@gospeltv2415 kabisa yaani Yuko busy na kina mwamposa badala atangaze Jina la Yesu Tanzania nzima imjue
Mungu akuongoze MTU wa Mungu
Wewe unawivu nawatumishi wa mungu Anya kazi ulioitiwa acha mungu ahukumu mwenyewe
Iyo ndiyo kazi ambayo MUNGU alikuitia??? Au kiki na wivu wa kishetani?
We kama una Mungu tuonyeshe zaidi maana watu wana shida.
Tunataka upako aliouacha yesu
Zaburi 30:3
[3]Umeniinua nafsi yangu,
Ee BWANA, kutoka kuzimu.
Umenihuisha na kunitoa
Miongoni mwao washukao shimoni.
O LORD, thou hast brought up my soul from the grave: thou hast kept me alive, that I should not go down to the pit.
Hakuna binadamu.awezaye kukuombea ili Mungu afute maovuyako isipokuwa wewemwenyewe kujiombea kabula yakifo chako. ndiyo maana hataka bulayakifo chaYesualijiombea yeye mwenyewekabula yakifochake kwakuwa yeye duniani hakuwanataji la uunguali alibebeshwa madhaifu ya binadamu ili kujumuikanao.
Wewe nae c li ombaomba tu unafikitu tu wakusema wengine kila siku si ufanye yako au unajikuta mungu wa duniani Fanya kazi uombaomba tu
Simama kwa nafasi yako muhubiri Mungu , sio kumhubiri watu kajipange upya
Mungu awape hekma watumish wake waihubr kwel ya Mungu na sio kufata Oman potofu, swez mzungumzia mwamposa sabu sjamfahamu kiundan zaid, ila wateule kuwen macho hz ni Siku za mwisho shika sana ulcho nacho asje mtu kukunyang'anya
Mungu hafananishwi na chochote Asante Kwa ujumbe mzr Mungu akubariki sana pokea maua 🎉🎉kwa utukufu wa Mungu.
Tufundishe basi mungu wako,acha kufuatiria Imani za watu,
Mungu awe nawe
Hata ukiwazungumzia unapoteaa muda kwasababu MAANDIKO yalikwisha tabiri manabiii wa uongo au watumishi wa uongo watakuwepo so huwezi kulizuia ,wewe unachotakiwa wafundishe watu kweli ya NENO la Mungu ,wamjue Mungu only that,Yesu NDIE atakayehukumu siku ya mwisho
Wewe lijinga pumbu ndo walewale
Fact, afundishe kweli yake, asitumie muda wake wote kuwa ATTACK hawa watu.
Kama Mwamposa atumiwi na Mungu na miujiza inayotendeka kwenye ya arise and shine ni feki basi nyie mliowatumishi wa kweli fanyeni basi hiyo miujiza ya kweli tuone na kama hamwezi
Nilichogundua watumishi wengi wanaoshambulia wenzao wana Roho ya kifarisayo misishangai kuona watu kama hawa mm nashangaa sana badala ya kuhubiri injili wanahubiri mambo ya watu oh yule hivi oh yule vile is that a gospel? Biblia inasema kwenye matendo ya Filipino alishuka Samaria napale Samaria palikuwa na mtu mmoja mashuuri jina lake aliitwa Elima mchawi aliwashangaza watu wengi kwa uchawi wake lakini siku moja mtumishi wa Mungu alipokuja Mungu akamtumia Filipino kwa miujiza mikubwa sana watu walifunguliwa sana hata yule .mchawi akaonekana si kitu kwahiyo na hawa watumishi wanaoshambulia wanatakiwa kuudhiirissa za Mungu kama na kama hawawezi basi wakae kimya wasitabishe watu wakati wao hawawezi kuwasaidia
Uyu nae ni muongo mahn anasimang watumish wa mungu na kuukum wakt yeye ni mwanadam 😂😂
ww siyo mtumishi wa mungu una majungu usihukumu atakae hukumu mungu peke yake
Hakili2 ndoumekosa ww
Kila siku maji ya upako hakuna upako isipokuwa neno lenyewe wazee tusali kwa imani akuna maji wala kitambaa waku tuwe makini shinda zisitufanye tukae mbali na mungu wetu🙋♂️
Naomba namba za sim
Bwana yesu asifiwe,,,,kila anayetazama hizi clips na kumsikiliza asome,injili ya mathayo 7:1 na kuendelea usihukumu usije kuhukumiwa
Mungu ambariki sana mtumishi wa mungu ( mwamposa) amjarie umri mrefu
Fundisha neno la Mungu ,Usimjadili mtu.
Unajidhoofisha
Usiogope mungu akulinde
Mbwa ww
Watu wametekwa ufahamu watu wanahitaji ikomboz wa fikra YESU atusaidie kujua neno lake na kupata maarifa ya neno lake
Jamani mbona wachungaji na manabii hawatumii muda mwingi kubuni mbinu za kuleta ukombozi na uponyaji na amani wanajitahidi kukosoa wenzao ? Nakuwapinga wenzao tafuteni amani watu wapone mtapata baraka
Fanya yako usiwaongelee wenzako mungu anakuona
UENDA MUNGU NDO KAMTUMA ILI WATU WAFUNGUKE MACHO NA KUJUA UKWELI
Ubarikiwe na bwana
Nikweli kabisa maaandiko yanasema jima latest linatosha hakuna kuambatanisha na kitu chochote ila jina la yesu latosha ila watu wengi hasa akina mama wanafuata miujiza
Watu hawana Imani na Mungu sasa hivi Wana imani kwa hawa manabii wa uongo wanaojitokeza kila siku
Anae hukumu siku zote ni Mungu pekee usimuhukumu mwanadamu mwenzioo.
Kaka unapotea sio Mungu aliekutuma unene hayo
Mwambie yesu akuongezee salio
Tumwombe mungu atsaidie jaman😅
0:00
Madhabahu ni kwaajili ya kumzungumzia Yesu kristo pekee yake na sio kumzungumzia mtumish yeyote,watumishi wa Mungu wapo na WA shetani wapo USIPOTEZE MUDA kuwajadili watu kwenye madhabahu Bali tumia madhabahu kujadili mambo yahusuyo ufalme wa Mungu
Muurize humuelewi usiogope mfwate what'sapp yupo hapo kwaajili Yako
ANAGOMBANA NA MUNGU
You too you are not fair
@@ElizabethMubanga-mn1np ni USHAURI tu nimetoa sijamzungumzia mtumish wa Mungu yeyote vibaya
Hata ninyi hamjuw asipotaja watu watajuwaje kuwa wamepotea Iv huwa mnasoma biblia gan?maana huwezi kusoma au kutumia biblia bila kutaja watu?
Tatzo hujui nguvu ya Mungu wewe, the power of God has no limit, can conquer every where it doesn't matter on water, cake, soil or whatever
So you just focus on what you believe
Chizi huyu mchungaji feki. Fanya kazi yako au tangulia mirembe
UKWELI UNAUMA EEEEE
Tumwachie Mungu vyote ni imani
Ila nyie munae waabudi binadamu kuliko mungu endeleeni kuwaabudu muacheni mungu alie hai na kutenda
wewe uhukumiyo ni mungu acha unafiki unaya yamani sana ya mwaposa hunajeuri
Mtumishi Mimi na kutia moyo endelea vivyo hivyo Mungu akutie nguvu
Kweli kabisa.
Tangu umeanza kuwasema wenzio vibaya sijaona hata mmoja amekujibu ,wala hakuna aliyeanguka ,kaka fanya yako mwenye mamlaka ya kuhukumu ni MUNGU,huo muda unaopoteza kujisifa na kuwaponda wenzio ungewekeza sana kuombea watu wamjue huyo MUNGU wako
You are right
Kweli kabisa ndugu yangu@@MoksMokah
Injili ya fitina ni injili ya kusemana. Vibaya watumishi,
Tunawaomba mutuhubilie neno la Mungu ili roho Zetu zikamuone Mungu, acheni kusemana vibaya mnawachanganya watu waongo ni lazima wawepo na wa kweli nilazima wawepo Hapo ndipo utumishi unanoga walio wa Mungu watakwenda kwenye ukweli waliowashetani watakwenda kwenye uongo ,
Ukiacha kuhubili injili ya Yesu ,ukanza kuwasema watumishi unaowaona waongo hapo unamsaidia shetani kufanya kazi
Mhubirini MUNGU, na Mwanae
Mpendwa Yesu Kristo. Achana na kuhubiri mapungufu ya wenzio. Mbona wengi wenu m asema ' Mungu ameniambia.. ' Nani alikuona au kusikia ukiongea na MUNGU? 😅
Tunajua wengine amutakubali kuambiwa ukweli akuna neno la mungu itakayo itaji pesa mtu yeyote ana nena neno la mungu ni zadaka tu sio pesa na zadaka aina kiwango ni chocho kitu Ulicho nacho sio ivyo walivyo manabii wa uwongo apana
Ata yesu alitenda miujiza kwanini Nas tusifate miujiza
Jamani acheni ujinga wa kutukanana kwani hamsomi maandiko ? Zitafakarini hizoroho kama zimetokana na Mungu au laa
Kaka wew kinacho kuuuma nini ya kina mwamposa waachie wenyewe wewe Muhubiri tuu kristo na maisha mengine mbinguni niushauri wangu tuuu*
@@shadrackjuliuskaboya5239
2TIMOTHEO:4:2
2 lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
2 Timotheo 4:2
BASI, TUNAWEZA MSAIDIA PASCAL KAMA KUNA MAHALI AMEENDA NJE YA NENO HILO.
LAZIMA ASEME UKWELI ILI WATU WAJUE KULIKO KUNYAMAZA ILHALI KUNA WATU ANGEWAOKOA KWA KUSEMA UKWELI
Wee acha kuomba hela kwa wapagani ni vizuri kuomba kwa God
Wewe mwenyewe tutakuamini vipi
Ushenzi na ushetani mambo leo
Acha mwamposa afanye kazi aliyopewa na yesu
Binadam hana jema ata cku moja
Cassan paza sauti nakuyakemea mungu atakulinda
Sio kazi yake hiyo ya kung'oa magugu ni kazi ya Mungu
Wew utateseka sana,achana na kalama za watu utafika uendapo umechoka
Huna maarifa pastor kachaji kichwa
Mnaumia sana mbona jaman
Acheni awaambie ukweli makasiliko yann sema baba wapate kuponaaàaaa
Acha majungu usimchafue mtumishi wa mungu. Fanya miujiza ya mungu wako tuone.huna lolote
Shetani hana nguvu kufanya miujiza zinazotendeka katika kanisa la Mwamposa.
Pole sana tena Sana umedandia imani kwa mbele eeeh Mungu akuhurumie sana
Yaani mpaka umtaje mwamposa ndio Kiki yako pole sana
Anafunua uovu unaotendwa na mtu.... Mwaposa ni mtu....
UCHAWI NI KITU KIBAYA
kama kweli Mungu tunayemwabudu yupo hai na aishi
tumwachie yeye atoe hukumu ya haki
huwezi kuhukumu maana hata ww mwenyewe unatumika.kuwachafua viongozi wenzako
huewezi kuhubiria watu habari za kanisa lingine
Mwache.Mungu mwenyewe apitishe Mundu kuvuna ngano na magugu
ww una jicho lipi la kufichua uovu wa wenzako?
Huu mchungaji hafaai Hana lolote maana anaonyesha kuwa neno la mungu limegeuka kiwanja cha wanasiasa. Labda nataka niulize kitu Sasa yeye mbona anahitaji manabii wote wafungiwe makanisa yeye ataweza kutusaidia matatizo yetu au anataka tuwarudie waganga wa kienyeji???