Sheikh Muhammad watu wabidaa wasiachwe wakileta uzushi wao...wanatupotezea ndugu zetu hawa masheikh wakibidaa....wanasababisha mpaka wengine tunaoneka vituko mbele ya wazizi wetu...watu wabidaa ndio sa7bu ya ushirikina Allah awasimamie masheikh wetu Kassim mafuta,Muhammad bachu,sheikh kishiki ,baraiyan na wengine wote mnajitahidi kubainisha shiriki na bidaa...Allah awajalie mwisho mwema
Shekh Muhammad Bachou bado kauli yangu kwa wingi ni kukuombea umri mrefu wenye kheri kwako na kwa Ummah wa Kiislamu kiujumla, na nakuombea Afya njema na Nguvu ya kuisemea Dini ya Allaah Azza Wajalla بالعلم والحجة والبرهان. Masufi wameharibu sana na Mashekhe zetu kuna kama junaha fulani hivi wanaihisi endapo watasimama nao na kula nao sahani moja kwa kila hatua waipigayo ya kufanya uzushi na ushirikina. Allaah Mtukufu tunamuomba akulinde na hasad, shari za watu wabidaa na waovu wote kiujumla.
Huyu ndugu al-hatimy na wafuasi wake wataelewa tu insha'allaah biidhni-llaah.. Tunakupenda shaikh wetu Muhammad nassor bachu na tuko pamoja nawe katika kutufunza na kutuelewesha dini yetu ya kiislamu kwa ujumla wake.
Maa shaa Allah sheikh Bachu nakuunga mkono 100% na nimependa hiyo Nahau nimefurahia sana Allah akulipe kila la kheir na usichoke kuwafahamisha na kuwafundisha hawa sufiyah Kwa ajili ya kutaka Radhi za Allah
Natamani huu mjadala wa ki-elimu uendelee mpka mmoja aseme wazi mbele ya umma kwamba mimi sikuwa sahihi ninaomba radhi na kuomba maghfira kwa Allah (sw)
Mijadala ipi hebu kasomeni Dini muijue vizuri Hii mijadala watu wanaitumia kwa maslahi yao kuendesha na kukuza kipato hapa You tube nakukuza majina Yao ya urithi tu
Hii mijadala haifai kufanywa kwenye mitandao.Ubora wakutane masheikh wa mirengo tofauti wakae kikao kila mmoja alete dalili zake .wakielewana sawa la sivyo kila mtu afuate kwake.Hii inaleta mvurugano na kufarikisha umma na kuleta chuki na uhasama baina ya waislamu.Tofauti iliyopo ni lugha na itikadi.Watu wa banii israel walipovuka bahari ya sham waliabudu kigombe mbele ya na Nabii Harun akatulia akihofu kuwafarikisha. mashekhe wanafaa wavumiliane waheshimiane wote kweli wamesoma sehemu tofauti ibaki hivyo kwa umoja ya uislamu.maadui wetu wanatucheka .Tukipigana sisi kwa sisi tunampa mwanya adui wetu kutumaliza
MashaAllah tabaarakaAllah Nakupongeza Sana. Allah akuhifadhi na akuzidishie ilmu. Huyu Hatimy anakimbia mada ya nyuma anaruka nyengine. Lakini usichoke kumweka sawa manake wanapotosha waislamu na wao kujipa vyeo na utukufu usiostahiki. Shukran ustaadh
Shukran Ustadh Muhammad Bachu !!! Allah Akuhifadhi. viboko wape vya elmu na utunufaishe sote Jamii ISLAM. HUYU ANATHIBITISHA 100% SIMSOMI WACHA AKAPIGE MTEE KWENYE MAULID 😅😅😅
Ala akuhifathi sheikh najua unacho jaribu kutuelewesha waislamu ni wachache watakuelewa ila Allah akulipe ila tam us tuu Kuna watuu tu nakupenda na tunakufatilia kwaumakinii na una chozungumza unaeleweka it' make senc
Hii itakua ni darasa kwako wewe alhatimy na kwa watu mfano wako, na kwa wale wasaka tonge wanao taka kumchafua Shekh Muhammad Bachou Allaah akuhifadhi Shekh.
Shukran jazzakka ALLAH kheir kwa kutuonyesha shirki iliojificha na tuliokuwa tukidanganywa sn kwa mda mrefu , tena aswa kwa sisi tuliokuwa na elimu ndogo , ALLAH akuifadhi na akulinde na hasadi Mohammed bachu
Ma sha Allah Sheikh Mohammed Bachu Nakufuatilia Vizuri katika Kutuelimisha na Kutujuza ukwli Upande Huu wa Kuijuwa Haki Ilipo. Atakujawa sawa Na Kukuelewa In Sha Allah
Maasha Allah, Barakallahu feek sheikh M.Bachu, thumbs up👍👍Allah akuhifadhi akuzidishie ilmu na maarifa. Shukrani zote kwa Allah kutuletea ww kutufunza tunafaidika sana kwa mafundisho yako, Allah akuweke. The other brother should stay low tht is one missile has destroyed his image completely he shouldn't go further, aache tu sasa. M. Bachu si wakufunzwa ni mwalimu! He is good at his books, Allah amzidishie kila kheri amuepushie kila balaa yaa Rabb. Peace.
Allah akubarik na atuongoze sote shk Alhatmy usipanic zungumza kwa upole ili uweze kurakiz katika point zako huwezi kutetea uzushi dhidi ya sunna, Quran na sunna ndio mambo ya kuyatetea..
Al akhi Muhammad bachu Allah akuzidishie afya na uzima wallah tunanufaika sana Kila tukikusikiliza ... Na daawa unayo ifanya ni daawa kubwa Allah akulipe Janna tul firadaus ... Amiin
Allaah Akuhifadhi na Akuzidishie il'mu sheikh wetu Muhammad Bachu, uzidi kutujubia na kuwaweka Sawa hawa makhurafi mpaka waelimike na kuzungumza yaliyo Swahihi na ya kweli. Ama kweli wewe ndio kiboko ya hawa ma shekhe wa Bid'aa.. Allaah Akuongoze aameen.
Sh. Muhammad Bachu,Allah akuhifadhi na akuzidishie Elimu, Hekima na Subira. Huyo Al hatimy kisha fahamu na kishapata Darsa, iliyobaki ile kutete nafsi yake, kama inavyosema aya ya 14 ktk suratul Al Naml واستقنتها انفسهم ظلماًوعلوا
Alhamdulillah kwa hii ufafanuzi. Miaka waislamu wamepotoshwa ki hikma. Allah akuhifadhi na kila shari na akuzidishie ilm, umri, afya njema na imaan zaidi.
Shekh Al-Hatimiy Acha ukaidi usitetee jambo ambalo tayar shekh mwenzako Muhammad Bachu anakupenda kwanza anakufahamisha wewe umeshikilia umfundishe lugha ya kiarabu mfuate huyu kijana wetu Muhammad anafahamisha na anafahamika vizur
Maashaallah nilikua nasubir majibu Kwa shekh wa kenya kwahamu sana. Sasa sijui atarudi na hoja gani tena maana nilidhani atarudi kuitetea Hadith yake kumbe akarudi na Barazanj. Aache tu haukuwez kijana wetu Muhammad Bacho
Biidhinillah hakki itashinda, mm huwa napenda saana kuipa akil yangu uhuru wa kufikiria, shukuran Kwa mawaidha. Ikiwa twataka kumpenda Mtume Muhammad swalallah aleyh wasalaam bas tumfuate na tutende Yale aliyoyaleta Kwa vitendo na tumswalie, na tufanye Yale ya Sunna yenye manufaa., Kama kutembelea wagonjwa, kuwasaidia wenye uhitaji. In shaa Allah Mwenyezi Mungu akulinde sheikh Kwa ilimu
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته مع الأسف wewe Muhammad Bachu kwa unatakiwa ujuwe kuna kitu kina itwa ادب الحوار namna ya kuzungumza na watu khaswa wakumbuka zako kwa hivo na Swalha yangu kwanza kajifundishe ADABU
Mimi nakupenda sana Muhammad Bachu kwa ajili ya Allah kwa sababu unarekebisha sehemu ambayo ina makosa na hata wewe unapokosolewa kama umekosea kweli unakubali sasa huyu shekh wa mombasa mbona mkaidi
Wewe M. Bachu unaifahamu sana Dini na umetufingua Macho Watu wengi sana. Allah azidi kukupa Afya na Umri mrefu na wenye manufaa kwenye kuilingania Dini yetu hii ya Kiislam
Sheikh wangu mm nina kuombea umri ulio mzuri na mrefu na akuhifadhi shekh wangu muhammad bachu masufi ni waongo hao eti mtu afe halafu afufuke tena awaombe radhi jamaa zake kisha arudi kaburini na allah anasema mtu akifa harudi tena duniani hawa masufi vp sheikh wangu muhammad bachu wafundishe hawoo
SHUKRAN KWENU SHEKHE. MWENZIO KAAMUWA KUWA UBAO WASISI KUJIFUNZIA BASI NAWE UTUMIE VIZURI UBAO HUU TUPATE FAIDA NA USITOKE KATIKA MSTARI. JAPO KUNA WATU WATAONA NI USHINDANI KUMBE NI NJIA NZURI KUTUFAHAMISHA PENGINE HAYA TUSINGEYAPATA BILA YA KUPATIKANA SABABU. SHUKRAN KWENU NYOTE TUKO PAMOJA. NIKUOMBE TU NA DARSA ZINGINE UTUPE SISI TUNAFATILIA ZOTE. SIO KAMA WALE WANAOFATILIA MIJADALA TU JAPO INATOA FAIDA KWA WAJUZI. NA INAONEKANA NI TABU KWA WASOJUA WANAONA NI MALUMBANO BADALA YA KUJIFUNZA KITU. MWISHO KABISA NIKUOMBE DARSA LA QADARI MLANGO WA QADARI MAANA UMEKUA TATIZO KUUELEWA. WATU WANAFANYA MAOVU WAKITEGEMEA QADARI KAMA NI WAPEPONI BASI QADARI ITAMTANGULIA KARIBU NA KIFO CHAKE ATATENDA MEMA AINGIE PEPON. NA MJA MWEMA QADARI IKIMTANGULIA KAMA ALIANDIKIWA MOTON BASI ATAACHA MEMA NA KUA MUOVU AINGIE MOTONI.HIVYO NDIVYO WANAVOICHAMBUA HIO HADITHI SASA TUNAOMBA UTUPE DARSA HII VIZURI .
Mashaa Allah. hapa nimepata faida ya kikweli.. kumbe barzanji ni chafu na shirki.. Allah atusamehe waja zake madhaifu.. Nimetoka huko Kwa moto yaarabi naomba uniongoze na Sunnah ..
Assalaam alaykum warahmatullah, Sheikh Muhammad hafidhwakallah nasaha yangu kwako ni moja tu, nayo ni hadith ya mtume صلى الله عليه وسلم, hadith ambayo waijua na kuielewa zaidi yangu ila kama unavyojitahidi kuitetea dini ya Allah basi furaha yangu ni kukwambia: قل آمنت بالله ثم استقم☝️..... Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuzidishia ilmu na kukuruzuku ufahamu zaidi ili tunufaike kupitia kwako🤲🏼, يآ أخي أحبك لأجل الله، na Allah amsamehe na kumrehemu mzee wetu, kipenzi chetu na sheikh wetu Sheikh Nassor bachu rahimahullah🤲, dua yangu ya mwisho na tamaa yangu ni Allah anitolee sababu kijana wangu aje awe mwanafunzi wako, kwani naamini atakuwa makini kusoma kwa mtu ampendae.
MashaAllah tabaarakallah, nimeipenda hii kama lugha haiwezi kukutofaitishia baina ya shirk na tawhid au baina ya bidàh na Sunnah, basi ni sawa na kina abi lahab maana aliijua lugha ya kiarabu kuliko...
Shukran wa JazakaAllaahu khayran yaa sheikh hyu Ustadh wa Kenya anataka watoto wa temeke ndio tena wamfuze lugha ya kiarabu walisha mkosowa sana kwenye lugha 😂
Yaani kila mtu akitoa ushabiki wake asikilize vizur ataelewa,kumbe hata elimu ya mantiki haifai nashukuru kwa faida hii kubwa uliyonipa,Allah akupe mwisho mwema
As-salaamu Alaikum Warahmatul-laahi Wabarakaatuh. Afwan, Swali langu ni hili:- ikiwa Abdu tumeinasibisha na utamwa Au (Ar-rajulul mamluuk) na vipi kuhusu istighaathah wal-istiaanah ambazo ni aina za ibaadah, mbona Amezinasibisha na mtume katika hicho kifungu chake cha kumsifu mtume kuwa ni mbashiri na muonyaji ? Maana shekhe ja3far baada ya kujipa hiyo sifa tuliotafsiriwa kuwa ni utumwa wala sio mja kama Alivyo sema ndugu yetu muhammad bacho , Shekh ja3far akaomba uokozi kwa kalima ya Al-stighaathah ambayo ni Aina ya ibaada. Au kulingana na misingi ya shekh ja3far istighaathah pia sio Aina ya ibaadah na Anaweza kumpelekea mtume bila kugeuka na kuwa shirki kwa kusema hivyo? NAOMBA ELIMU ZAIDI JUU YA HILO KIDALILI. Was-salaamu Alaikum Warahmatul-laahi Wabarakaatuh.
A blessed son from a blessed father may Allah bless you muhammad bachu
Allaahu Akuhifadhi sheikh M Bachu, Akujaalie ufanye yote hayo kwa kutaka radhi zake Allaahu, Akuepushe na ujbu, riaa, na hasad. أمين
Amiin inshaallah
Sheikh Muhammed Bachu Wallah nakupenda sana kwaajili ya Allah na Allah akupe umri mrefu, elimu na Mwisho mwema!!
Sheikh Muhammad watu wabidaa wasiachwe wakileta uzushi wao...wanatupotezea ndugu zetu hawa masheikh wakibidaa....wanasababisha mpaka wengine tunaoneka vituko mbele ya wazizi wetu...watu wabidaa ndio sa7bu ya ushirikina
Allah awasimamie masheikh wetu
Kassim mafuta,Muhammad bachu,sheikh kishiki ,baraiyan na wengine wote mnajitahidi kubainisha shiriki na bidaa...Allah awajalie mwisho mwema
Sheikh upo wazi maelezo yako. Unajua kuelezea kwa mifano mizuri. Jazakallah million kheir
Shekh Muhammad Bachou bado kauli yangu kwa wingi ni kukuombea umri mrefu wenye kheri kwako na kwa Ummah wa Kiislamu kiujumla, na nakuombea Afya njema na Nguvu ya kuisemea Dini ya Allaah Azza Wajalla
بالعلم والحجة والبرهان.
Masufi wameharibu sana na Mashekhe zetu kuna kama junaha fulani hivi wanaihisi endapo watasimama nao na kula nao sahani moja kwa kila hatua waipigayo ya kufanya uzushi na ushirikina.
Allaah Mtukufu tunamuomba akulinde na hasad, shari za watu wabidaa na waovu wote kiujumla.
Amin
Ww unamjuwa mtume wako kwanza
Ikiwa Kwanzaa u amjuwa mtume wako Mohamed basi Kwanzaa Soma siira ya mtume utajuwa mtume amemsomeya nani duca katika wahabi ni watu ahli suna
Mtume ame wa apiza wahabi ahlu najdi ndiwo mawahabi
Huyu ndugu al-hatimy na wafuasi wake wataelewa tu insha'allaah biidhni-llaah..
Tunakupenda shaikh wetu Muhammad nassor bachu na tuko pamoja nawe katika kutufunza na kutuelewesha dini yetu ya kiislamu kwa ujumla wake.
Good
MashaAllah bacho Allah Akuhifadhi
Unafafanuwa Kwa makini
Nalisema kitambo
Mohmed Alhatmy
Afafadhali unyamazi au utaadhirika
Zaidi.
Maa shaa Allah sheikh Bachu nakuunga mkono 100% na nimependa hiyo Nahau nimefurahia sana Allah akulipe kila la kheir na usichoke kuwafahamisha na kuwafundisha hawa sufiyah Kwa ajili ya kutaka Radhi za Allah
Nawaonamburura
Natamani huu mjadala wa ki-elimu uendelee mpka mmoja aseme wazi mbele ya umma kwamba mimi sikuwa sahihi ninaomba radhi na kuomba maghfira kwa Allah (sw)
Mijadala ipi hebu kasomeni Dini muijue vizuri Hii mijadala watu wanaitumia kwa maslahi yao kuendesha na kukuza kipato hapa You tube nakukuza majina Yao ya urithi tu
Hii mijadala haifai kufanywa kwenye mitandao.Ubora wakutane masheikh wa mirengo tofauti wakae kikao kila mmoja alete dalili zake .wakielewana sawa la sivyo kila mtu afuate kwake.Hii inaleta mvurugano na kufarikisha umma na kuleta chuki na uhasama baina ya waislamu.Tofauti iliyopo ni lugha na itikadi.Watu wa banii israel walipovuka bahari ya sham waliabudu kigombe mbele ya na Nabii Harun akatulia akihofu kuwafarikisha. mashekhe wanafaa wavumiliane waheshimiane wote kweli wamesoma sehemu tofauti ibaki hivyo kwa umoja ya uislamu.maadui wetu wanatucheka .Tukipigana sisi kwa sisi tunampa mwanya adui wetu kutumaliza
InshaAllah jumapili hii yakesho kutwa mombasa itakuwa mjadala inshaAllah haki itasmama
Na wala asijihisi atakuwa mjinga bali kukubali kushindwa kwa ajili ya kuokoa nafsi yake na waislamu wanaokuamini ni kheri kubwa hiyo!
MAASHA ALLAH, Sheikh Muhammad Bachu ALLAH akuhifadhi na akupe umri mrefu, umeeleweka vizuri sanaa.
MashaAllah tabaarakaAllah
Nakupongeza Sana.
Allah akuhifadhi na akuzidishie ilmu.
Huyu Hatimy anakimbia mada ya nyuma anaruka nyengine.
Lakini usichoke kumweka sawa manake wanapotosha waislamu na wao kujipa vyeo na utukufu usiostahiki.
Shukran ustaadh
ALLAAH AKUHIADHI SHEKH M.BACHU AMA KWA HAKIKA ALLAAH AMEKUTEUA UJE UWAFUNDISHE UMMA,MIMI NAKUOMBEA KWA ALLAAH
Jazzaka llahu kheira shekh wetu marhem katuwachia tunda zuri allah akuhufadhi, usiwatolee nafasi makhurafi, nawasio kupenda kzi wanao
Shukran Ustadh Muhammad Bachu !!! Allah Akuhifadhi. viboko wape vya elmu na utunufaishe sote Jamii ISLAM. HUYU ANATHIBITISHA 100% SIMSOMI WACHA AKAPIGE MTEE KWENYE MAULID 😅😅😅
Hhhhhhhhh. Mteeeee
Ala akuhifathi sheikh najua unacho jaribu kutuelewesha waislamu ni wachache watakuelewa ila Allah akulipe ila tam us tuu Kuna watuu tu nakupenda na tunakufatilia kwaumakinii na una chozungumza unaeleweka it' make senc
Hii itakua ni darasa kwako wewe alhatimy na kwa watu mfano wako, na kwa wale wasaka tonge wanao taka kumchafua Shekh Muhammad Bachou Allaah akuhifadhi Shekh.
Shukran jazzakka ALLAH kheir kwa kutuonyesha shirki iliojificha na tuliokuwa tukidanganywa sn kwa mda mrefu , tena aswa kwa sisi tuliokuwa na elimu ndogo , ALLAH akuifadhi na akulinde na hasadi Mohammed bachu
Ma sha Allah Sheikh Mohammed Bachu Nakufuatilia Vizuri katika Kutuelimisha na Kutujuza ukwli Upande Huu wa Kuijuwa Haki Ilipo. Atakujawa sawa Na Kukuelewa In Sha Allah
Bachu niskilxe unajua unafanya jambo kubwa sana katka hii Dunia kwasab sijaona Kaz kubwa kama kuondoa shirki
Jazakallah sheikh! Tupo tunamsubir tuone atarukia mtawi gani awamu hii
Mashaallah hawa masufi walitudanganya sana wakifikir sisi hatupimi maneno hatimi nimuongo japo nimbishi balili insaanu alaanafsihii baswiira Alihamdulillah Allah akuhifadhi sheikh wangu
Maasha Allah, Barakallahu feek sheikh M.Bachu, thumbs up👍👍Allah akuhifadhi akuzidishie ilmu na maarifa. Shukrani zote kwa Allah kutuletea ww kutufunza tunafaidika sana kwa mafundisho yako, Allah akuweke. The other brother should stay low tht is one missile has destroyed his image completely he shouldn't go further, aache tu sasa. M. Bachu si wakufunzwa ni mwalimu! He is good at his books, Allah amzidishie kila kheri amuepushie kila balaa yaa Rabb. Peace.
Iyo imeisha shekhe mpamaamuma ameelewa hiyo yeye anaongea lunga anatufunika funika tusielewe mantwiq hatujui maskini kumbe ndio ilivyo baarakallahu fiika.
Kazi Ya Bachu NI huruma kwenu mnapotea anawaongoza. Lake limeisha kufukufikishieni Ujumbe. Hamna AKILI kuwazidi waliopita
Asalaam Alaykum sheikh Mohammed bachu allah akupe umri utakao nifaisha wa Islam kwa imu yako
Hafidhakal llah... Twamshukuru Allah Alomchukua sheikh Nasour Bachu Akatupa Sheikh Muhammad Bachu.... Darasa imeeleweka
Jamani tunasoma hapooo mm nimekumbuka taaluma alkaanuun, mubtadau walkhabar mudhwafu wamudhwafu ilayhi dhwamaairuljarri tunasomaaaa MAASHAALLAH
Allah akubarik na atuongoze sote shk Alhatmy usipanic zungumza kwa upole ili uweze kurakiz katika point zako huwezi kutetea uzushi dhidi ya sunna, Quran na sunna ndio mambo ya kuyatetea..
Mabrouk sheikh muhammad bachu, usimuache huyo khurafi mpe ilmu wanalazima wapotoshe watu kwa maslahi yao wapate tonge hao
Allah akuhifadhi sheikh Al Faadhil Muhammad Nasor Bachu.
Allah akulinde akuhifadhi akuzidishie elimu akupe afya njema uzid kutunufaisha na sisi. Endelea kushusha nondo mpk wanyooke
Inshaallah sheh muungu akuongoze uwenabusara kama ulionayo hapa muungu amlazepema babayako nawe muunguakuongoze hivindivyo tuvotaka sisi wafuasiwenu mashehzetuu
Al akhi Muhammad bachu Allah akuzidishie afya na uzima wallah tunanufaika sana Kila tukikusikiliza ... Na daawa unayo ifanya ni daawa kubwa Allah akulipe Janna tul firadaus ... Amiin
Hapo nimekumbuka khabar na mubtadau mudhwafu wamudhwafu ilayhi na dhwamairuljarri dah kijana yupo vizuri anafukua taaluma ya nahau, mashaallah.
Nyinyi mashehee munaipelekaa wapi dini ya alhaa waislamu hawatakiwi kua namnaa huu muogopeni munguu
@@abdilahiriyami jitahidi uwe unaandika vizuri, kama hujui uliza ,na kusoma dini ni muhimu, dini ya alhaa hii unekosea andika ALLAH kwa ufasaha
Allaah Akuhifadhi na Akuzidishie il'mu sheikh wetu Muhammad Bachu, uzidi kutujubia na kuwaweka Sawa hawa makhurafi mpaka waelimike na kuzungumza yaliyo Swahihi na ya kweli. Ama kweli wewe ndio kiboko ya hawa ma shekhe wa Bid'aa.. Allaah Akuongoze aameen.
Allah akuhifadhi sh.wetu kk yetu! Achana nao weuoni wanavyo ongea kwa jazba.
Sh. Muhammad Bachu,Allah akuhifadhi na akuzidishie Elimu, Hekima na Subira. Huyo Al hatimy kisha fahamu na kishapata Darsa, iliyobaki ile kutete nafsi yake, kama inavyosema aya ya 14 ktk suratul Al Naml واستقنتها انفسهم ظلماًوعلوا
Hamtawadhinda mwasahaba kumpenda Mtume s.a.w katu. Mnapoteza MDA na kuziangamiza nafsi zenu.
Alhamdulillah kwa hii ufafanuzi. Miaka waislamu wamepotoshwa ki hikma. Allah akuhifadhi na kila shari na akuzidishie ilm, umri, afya njema na imaan zaidi.
Allah akuhifadhi Muhammad Bachu.
@mahfoudhcalender2747 Ameen.
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. sheikh Mohammed bin Bachu tuna kuomba umsikilize khalfa Mussa wa Twarikatul Qadiria anavyo ongea maneno ya upotoshaji
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. sheikh tupo mapoja na ww mpaka waelewe
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. piga nyundo sheikh langu wataelewa tu taratibu
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Tunakuoenda kwa ajili ya ALLAH. Namuomba ALLAH atupe mwisho mwema
Allah akulipe makubwa sheikh Muhammad
Shekh Al-Hatimiy Acha ukaidi usitetee jambo ambalo tayar shekh mwenzako Muhammad Bachu anakupenda kwanza anakufahamisha wewe umeshikilia umfundishe lugha ya kiarabu mfuate huyu kijana wetu Muhammad anafahamisha na anafahamika vizur
Maashaallah nilikua nasubir majibu Kwa shekh wa kenya kwahamu sana. Sasa sijui atarudi na hoja gani tena maana nilidhani atarudi kuitetea Hadith yake kumbe akarudi na Barazanj.
Aache tu haukuwez kijana wetu Muhammad Bacho
Biidhinillah hakki itashinda, mm huwa napenda saana kuipa akil yangu uhuru wa kufikiria, shukuran Kwa mawaidha. Ikiwa twataka kumpenda Mtume Muhammad swalallah aleyh wasalaam bas tumfuate na tutende Yale aliyoyaleta Kwa vitendo na tumswalie, na tufanye Yale ya Sunna yenye manufaa., Kama kutembelea wagonjwa, kuwasaidia wenye uhitaji. In shaa Allah Mwenyezi Mungu akulinde sheikh Kwa ilimu
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته مع الأسف
wewe Muhammad Bachu kwa unatakiwa ujuwe kuna kitu kina itwa ادب الحوار namna ya kuzungumza na watu khaswa wakumbuka zako kwa hivo na Swalha yangu kwanza kajifundishe ADABU
pili wewe huna sifa hata moja ya wana vyuwoni wewe ni mwana CHOONI مع الأسف
Mimi nakupenda sana Muhammad Bachu kwa ajili ya Allah kwa sababu unarekebisha sehemu ambayo ina makosa na hata wewe unapokosolewa kama umekosea kweli unakubali sasa huyu shekh wa mombasa mbona mkaidi
Wewe M. Bachu unaifahamu sana Dini na umetufingua Macho Watu wengi sana. Allah azidi kukupa Afya na Umri mrefu na wenye manufaa kwenye kuilingania Dini yetu hii ya Kiislam
Sheikh wangu mm nina kuombea umri ulio mzuri na mrefu na akuhifadhi shekh wangu muhammad bachu masufi ni waongo hao eti mtu afe halafu afufuke tena awaombe radhi jamaa zake kisha arudi kaburini na allah anasema mtu akifa harudi tena duniani hawa masufi vp sheikh wangu muhammad bachu wafundishe hawoo
Hatimy yupo sawa kabisa kielimu humfiki hata kidogo.
SHUKRAN KWENU SHEKHE. MWENZIO KAAMUWA KUWA UBAO WASISI KUJIFUNZIA BASI NAWE UTUMIE VIZURI UBAO HUU TUPATE FAIDA NA USITOKE KATIKA MSTARI. JAPO KUNA WATU WATAONA NI USHINDANI KUMBE NI NJIA NZURI KUTUFAHAMISHA PENGINE HAYA TUSINGEYAPATA BILA YA KUPATIKANA SABABU. SHUKRAN KWENU NYOTE TUKO PAMOJA. NIKUOMBE TU NA DARSA ZINGINE UTUPE SISI TUNAFATILIA ZOTE. SIO KAMA WALE WANAOFATILIA MIJADALA TU JAPO INATOA FAIDA KWA WAJUZI. NA INAONEKANA NI TABU KWA WASOJUA WANAONA NI MALUMBANO BADALA YA KUJIFUNZA KITU.
MWISHO KABISA NIKUOMBE DARSA LA QADARI MLANGO WA QADARI MAANA UMEKUA TATIZO KUUELEWA. WATU WANAFANYA MAOVU WAKITEGEMEA QADARI KAMA NI WAPEPONI BASI QADARI ITAMTANGULIA KARIBU NA KIFO CHAKE ATATENDA MEMA AINGIE PEPON. NA MJA MWEMA QADARI IKIMTANGULIA KAMA ALIANDIKIWA MOTON BASI ATAACHA MEMA NA KUA MUOVU AINGIE MOTONI.HIVYO NDIVYO WANAVOICHAMBUA HIO HADITHI SASA TUNAOMBA UTUPE DARSA HII VIZURI .
Yap umeongea kit
Mkizidi Msijejuta ALLAH NATUONA MNAHARIBU DINI YAKE
ASALAM ALAIKUM, SHEIKH MUHAMMAD NASSOR BACHU. ALLAH AKUHIFADHI.... TUNAKUOMBA SHEIKH WETU MFUATE HUKO HUKO ATA KM HATAKI,,,, MVIZIE ILI TUJUE MOJA
Hii nzuri sana Nimependa.
Usimuache, mkamate hivyo hivyo asifurukute.
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad bachu
Yeye ndo kapewa cheo Cha kutetea,,Wacha sisi Hadi mitume wote,,hua Shafii ya bachu
Maaashallah Ustadh Muhammad Bachu M Mungu azid kukuhifandhi,na uendelee kutowa elimu ya uhakika,na endelea kunyoosha na kukosowa yalikuwa hayako sawa.
Subhanallah aibu kubwa ,mashekhe kidinii ni makosa makubwa sana ,Allah atuongoze manaa mashekhe WA sasa balaaa
Tunamuomba Allah atukinge na bid-a'
Mashaa Allah. hapa nimepata faida ya kikweli.. kumbe barzanji ni chafu na shirki.. Allah atusamehe waja zake madhaifu.. Nimetoka huko Kwa moto yaarabi naomba uniongoze na Sunnah ..
Masheikh wa mitandao. Wenye uchu wa vyeo vya kilimwenguni. Ogopeni Allah. Na adhabu yake.
Aslm aleikumu ndugu yangu haqqi iko wazi ole wao ole wao wanao ng'ang'ania huu upotovu wa uzuka Na wakome.
Allah akupe umri sheikh wangu
Watu wabidaa hawana tawheed ndipo wa katawasali kwa makaburi Mungu atuongodhe sote ammin ammin
Assalaam alaykum warahmatullah, Sheikh Muhammad hafidhwakallah nasaha yangu kwako ni moja tu, nayo ni hadith ya mtume صلى الله عليه وسلم, hadith ambayo waijua na kuielewa zaidi yangu ila kama unavyojitahidi kuitetea dini ya Allah basi furaha yangu ni kukwambia: قل آمنت بالله ثم استقم☝️.....
Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuzidishia ilmu na kukuruzuku ufahamu zaidi ili tunufaike kupitia kwako🤲🏼, يآ أخي أحبك لأجل الله، na Allah amsamehe na kumrehemu mzee wetu, kipenzi chetu na sheikh wetu Sheikh Nassor bachu rahimahullah🤲, dua yangu ya mwisho na tamaa yangu ni Allah anitolee sababu kijana wangu aje awe mwanafunzi wako, kwani naamini atakuwa makini kusoma kwa mtu ampendae.
Wallahi nam natamani amsomeshe kijana wangu sema si tunaishi inchi jirani
@Sidra Sidra in shaa Allah tumuombe Allah huenda akatutolea sababu,
Hawez elewa huyu Al hatimiy amelewa uzushi analeta taawili nyingi kutetea uzushi na shirki wallah Al mustaanu
Assalam A'laykum Warah'matullahi Wabarakatuhu.Mtume Swalallahu Alaihi Wasalam.Angekuwa Ana moyo kama nyinyi Uislam Usingetufikia.Acheni kushambuliana.
mashaallah sheikh unatoa dawa yenye kutibu maradhi na tukapona
Allah akuhifadhi shekh Muhammad na akulipe Jannah kwa rehma zake
Shekh bachu Allah akuzidishie elimu amin
Tumekufahumu vizuri sana sheikh letu..may Allah safeguard you!
Tafadhali tuacheni kugombana hadharani Mashekhe wetu.Kukosoana Kwa njia nzuri.
Kuna tofauti kati ya Abdullah na Abdu muhammad.
Sheikh acheni ubishi neno uwanamaana tofauti acheni kupotosha umaa
Alhatimy bachu hawumuwezi hiko chuma ndugu naomba pumzika tuu
Mashallah sheikh m.bachu Allah akuhifadhi akulinde uadui na hasad za watu
Wanyooshe shekhe Bachu huwenda baadhi yao wakaacha kutupotoshea watotowetu
Alhatimy' si ukubali tu kaka, Kuna kushindwa ujue utaaibika
Unanivitia sana nije nisome kwako sh bachu upo very clear mashallah
MashaAllah.......mambo yamewekwa sawa,ubishi hamna tena hapa
جزاكم الله خيرا
MashaAllah tabaarakallah, nimeipenda hii kama lugha haiwezi kukutofaitishia baina ya shirk na tawhid au baina ya bidàh na Sunnah, basi ni sawa na kina abi lahab maana aliijua lugha ya kiarabu kuliko...
Kweli al-hatimiy hapa kakosea njia ataabika sana kijana wa bacho yupo sawa
Mwache apinge ukweli atanyooka tu!!
Ningelikua mimi ni ndio uyu malemba ningelikua nishakimbia.uyu sheikh muhamed bachu humuezi ata chembe na wenzako walikuja na wakakimbia.
Bachu nkpnd xn kwa ajili ya Allah Nlkua nachukia sana masalaf ila now watakoma wametupotosha sana hawa
Natamani ningesoma kiislam
Allah ibarik Mohammed bachu naam sahihi kabisa
Sheikh Mimi binafsi ntakuomba tu
Ushike Adabu ktk Da'wa yako
Sio vizuri Hio , utaaribu niya yako.
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
Sheikh Nasser Basho, Mungu amrehemu, ni miongoni mwa mihadhara bora, yenye ufanisi mkubwa
Allah Akbar, MashaAllah mpe ilim uyo ana ona aibu kuku fwata umpe ilim basi mpe apa kwenye TV nina imani ata pata faida
{ وَٱلسَّـٰبِقُونَ ٱلۡأَوَّلُونَ مِنَ ٱلۡمُهَـٰجِرِینَ وَٱلۡأَنصَارِ وَٱلَّذِینَ ٱتَّبَعُوهُم بِإِحۡسَـٰنࣲ رَّضِیَ ٱللَّهُ عَنۡهُمۡ وَرَضُوا۟ عَنۡهُ وَأَعَدَّ لَهُمۡ جَنَّـٰتࣲ تَجۡرِی تَحۡتَهَا ٱلۡأَنۡهَـٰرُ خَـٰلِدِینَ فِیهَاۤ أَبَدࣰاۚ ذَ ٰلِكَ ٱلۡفَوۡزُ ٱلۡعَظِیمُ }
[Surah At-Tawbah: 100]
Mohamed Bachu Sheikh wa Mchongo
*Sheikh nakupenda kwaajili ya ALLAH ILA sharupu hizo zitoe haramu*
Shukran wa JazakaAllaahu khayran
yaa sheikh hyu Ustadh wa Kenya anataka watoto wa temeke ndio tena wamfuze lugha ya kiarabu walisha mkosowa sana kwenye lugha 😂
MashaaAllah mijadala kama hiii iendelee ila msigombane tuuu tunafaidika sana
Bachu unaonekan umejipanga Mwenyez mung akuongoe awaongowe na wale wasio tak kuyafaham haya kuona kam nifedheha wakat kweny Elimu hakuna aibu.........
SubhanaAllah SubhanaAllah nimtihani wallah 😢🤔🤔
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
ماشاء الله يا محمد
Yaani kila mtu akitoa ushabiki wake asikilize vizur ataelewa,kumbe hata elimu ya mantiki haifai nashukuru kwa faida hii kubwa uliyonipa,Allah akupe mwisho mwema
As-salaamu Alaikum Warahmatul-laahi Wabarakaatuh.
Afwan, Swali langu ni hili:-
ikiwa Abdu tumeinasibisha na utamwa Au (Ar-rajulul mamluuk) na vipi kuhusu istighaathah wal-istiaanah ambazo ni aina za ibaadah, mbona Amezinasibisha na mtume katika hicho kifungu chake cha kumsifu mtume kuwa ni mbashiri na muonyaji ? Maana shekhe ja3far baada ya kujipa hiyo sifa tuliotafsiriwa kuwa ni utumwa wala sio mja kama Alivyo sema ndugu yetu muhammad bacho , Shekh ja3far akaomba uokozi kwa kalima ya Al-stighaathah ambayo ni Aina ya ibaada. Au kulingana na misingi ya shekh ja3far istighaathah pia sio Aina ya ibaadah na Anaweza kumpelekea mtume bila kugeuka na kuwa shirki kwa kusema hivyo?
NAOMBA ELIMU ZAIDI JUU YA HILO KIDALILI.
Was-salaamu Alaikum Warahmatul-laahi Wabarakaatuh.
Wala hatujibupo kielimu labda kunguruu amee mvii.
Allah akupe umri mrefu