HUYU NI SHEIKH ABDALLAH SEIFU SHEIKH WA WILAYA YA MUHEZA TANGA AMBAE NI MWANAFUNZI WA SHEIKH NURUDIN BIN HUSSEIN SHADHULIY ALLAAH AMUHIFADHI NA AMRAHAM
Muhammad Nassoro Bachu yupo sahihi kwakuwa ametoa maneno yaliyopo kwenye vitabu vyao Sasa wao ilitakiwa kazi ni ndogo tu waseme maneno haya hayasemi hivi yanasema vile lakini kuingiza akili zao ndio eti wanajibu Hoja za Bachu ndio kwanza wanawafumbua macho watu.
Kwakweli huu ni msiba mkubwa mizee yote hii inashindwa kuelewa wanachotakiwa kujibu ili uma unao wafuata walau upate usingizi kwamaneno ya kijana mdogo bachu, cha kushangaza wameng'ang'ania vilemba utazaniwana majipu kichwani kilemba bila elimu ya ukweli ni mzigo mzito mbele ya Allah.
Watu Wa maulidi tuxhawazoe zao huwa ni mbwmbe tu nyingi lakini hakuna hoja za mxingi,vyao ni vichejesho tu vingi na kujifakhiri kwingi,tushawazoea hata hawatubabaixhi cc tulikuwa huko,sasa hwazi tuambia mtu kuwa maulidi nisawa tukamuekewa,kabisa kabisa na huu ndo ukweli wa mambo,sema ukweli ijapo kuwa niuchungu,watu wamaulidi hili Jambo washalizoea zanani sana sasa kuliacha basi nitaufiki ya Allah, Allah awajalie waione haki na waikubali haki,hatuendi kufurahixhana tu Bali kila mmoja arasimamixha peke yake mbele ya allah.atakaye okoa anaokoa nafsi yake
Masufi wamechanganyikiwa baada maji kwaingilia kwenye shimo lao, Sheikh M Bachu ku kashifu uwongo na ushirikina ya kitabu wanacho amini kama kitabu chenye tukufu sawa na kurani. Badili hao masufi kuzingia na kupima hicho kitabu chenye uwongo na shirikina , badilie wametunga mashairi kumtukana Sh M Bachu, mwenye hana suna ni amrad من شبه بقوم فهو منهم hana ndevu nimfano wamajusi
Acha akasome huyo mtoto wenu. Huyo ana Elmu kushinda Al Imam Barzanji??? Imam wa Madinatul Munawara.. 😂 😂 😂 Usingizi mwingi ni Uzembe pia Kaka wacha Maustadh wamnyoreshe
Ni wapi wewe muhabi umesikia aya za qur ani kutupwa muislamu mwenye imani kamili akalala sasa nafikiri sasa mume wafahamu ni nani wenye qur an.nyie mawahabi endeleeni kulala sbb kutupwa kwa maneno ya qur ani hakuwaumi Japo kijana wenu aliomba msamaha lakini hatulali lazima afanywe kuwa fundishio mwingine asije subutu kurudia huo ushenzi.
Masufi mnatumia lugha zenye ukakassi kuwasemea waislam wenzenu Nany mkijibiwa kwa mfano wa lugha hizo mnadai vijana hawana adabu jiheshimuni muheshimiwe
Wameishiankutukana tu hawawezi kujibu hoja hata moja ni matusi ndio fani yenu. Kutukana ni rahisi kusoma ndio kazi na hayo ndio majibu ya masufi hawa matusi ndio elimu yao
Narudia tena maneno yangu, elimu bora hasa hizi za kihistoria ni ile ya zamani, tatizo sikuhizi vijana wanasoma Nyambari Nyangwine wanajiona magwiji, hawa wazee walisomeshwa na wazee wenye fikra kubwa haswa na umri wao ulikua na baraka, huwezi kuwapata hata kidogo.
Sheikh twakuhutaji sana hiyo siku ili uje ufunzwe haki mana tunaona maneno ni mengi tu lakini ahluxunnah tupo we hiyo siku pia twakuhitaji sana kama inavyo dai sheikh
Huyu mzee n mganga wilaya yake hawamtaki kwasabab Ana tuhuma za ushirikina, nashangaa watu wa Bida'a mnahangaika sana wa kumpa heshima kwenu ni LAZMA awe mganga kama huyu mzee
Hakuna Taqwa hapo. N kuchekesha na kucheka tu basi hapo hakuna aliyoondoka na mazngatio. Msemaji hana TAQW wakitoka hapo ni kufanya UGANGA TU. Basi. Hawa, ndio walewale " Mama fulani mtoto hyu karogwa twende kupiga LAMRI . Hapo , kaimba tu nyimbo zilitungwa na MASHIA Haya cio Mawaidha ndugu zangu. Hawa ndio walee walioharibu Dini Africa MAShARK leo kijana wa kitwarqa anasoma quran lkn Haswali. Halaf mambo haya ni Afrika Masharik tu . Cjui Mtume SAW atasemaje kwa umma huu.
Ok nyie mawahabi wenye kuabudu mingu mitatu mulikuwa ili hali nyie ndie mumutakasika mbona hamuku usambaza uwahabi afrca mashariki.kwanza hio imani ya waganga ni haramu kwa muoslamu yoyote mbona nyie mawaha minaiyakidi hio imani ya kichawi hata kww mawahabi kwa nyie ndio washirikina kuanzia imani hadi vitendo Mnaponga daawa ya tabligh.munapinga mihadhara..munapinga swallatul nabii.kisha rububia na uluhia ndio mungu wenu pamoja na mtume wenu muhamed wahabi saswa na makadiani pia wamejitengezea mtume wao ahmed mirzai gulam.katoto kenu kabachu kalikosa adabu kakatupa maneno ya qur an kakaomba msama.hata mtume wenu wahabi hajawahi tupa barzanji na aliikuta sasa anapelekewa moto mnaanza kuona kuwa ni waganga wanamuangamiza ni sawanafir aun alivo ona musa kazidisha miujiza akaanza kumuita musa mchawai Hata mtume muhamad wakina abujahal wali muita mchwi na huo ndio unakuwa mwisho wa mawahabi mukishindwa huwa mwaanza kuwatusi maulama kama walivo makafiri wa zama hizo. H
Hapo ndipo tunaofeli waislaam wenzetu wanapambania maslahi Yao ya bandali sisi tunagombana kwa sababu ya Maulidi ghtima na kujengea makaburi vitu ambavyo sisi tumevikuta na halazimishwi mtu kufanya wala kutokufanya wewe Kama hutaki acha hulazimishwi waache wanao fanya wafanye bwana
DAH!! MASHEKH WA BAKWATA JIBUNI HOJA ACHENI MATUSI....HAMNA HOJA
Mimi nnapata Shaka kwenye kupigwa dufu na wachezaji dufu wamekuwa kama wanamuziki..
Mashaallah.kheir hizoooo.
HUYU NI SHEIKH ABDALLAH SEIFU SHEIKH WA WILAYA YA MUHEZA TANGA
AMBAE NI MWANAFUNZI WA SHEIKH NURUDIN BIN HUSSEIN SHADHULIY
ALLAAH AMUHIFADHI NA AMRAHAM
Badilikeni njooni mumjibu masuwali hamuna uwezo mabwege muko wengi hapo hatandevu hamuna poleni Allah swaongoze
wafugeee ndevuuu hao masufiiiii thubutuuuu
Jopo lamashekhe wamekaa wanamdiscus Mtoto mdogo wabachu kutoka Mjini Unguja,sijui nani yupo sahihi
Muhammad Nassoro Bachu yupo sahihi kwakuwa ametoa maneno yaliyopo kwenye vitabu vyao Sasa wao ilitakiwa kazi ni ndogo tu waseme maneno haya hayasemi hivi yanasema vile lakini kuingiza akili zao ndio eti wanajibu Hoja za Bachu ndio kwanza wanawafumbua macho watu.
Kwakweli huu ni msiba mkubwa mizee yote hii inashindwa kuelewa wanachotakiwa kujibu ili uma unao wafuata walau upate usingizi kwamaneno ya kijana mdogo bachu, cha kushangaza wameng'ang'ania vilemba utazaniwana majipu kichwani kilemba bila elimu ya ukweli ni mzigo mzito mbele ya Allah.
Watu
Wa maulidi tuxhawazoe zao huwa ni mbwmbe tu nyingi lakini hakuna hoja za mxingi,vyao ni vichejesho tu vingi na kujifakhiri kwingi,tushawazoea hata hawatubabaixhi cc tulikuwa huko,sasa hwazi tuambia mtu kuwa maulidi nisawa tukamuekewa,kabisa kabisa na huu ndo ukweli wa mambo,sema ukweli ijapo kuwa niuchungu,watu wamaulidi hili Jambo washalizoea zanani sana sasa kuliacha basi nitaufiki ya Allah, Allah awajalie waione haki na waikubali haki,hatuendi kufurahixhana tu Bali kila mmoja arasimamixha peke yake mbele ya allah.atakaye okoa anaokoa nafsi yake
Tunaotaka majibu hoja 19 alizotoa sheikh Muhammad bachu.Acheni kujibabaisha
Mmrshindwa kihoja wataka kumnyonga pumbavu peupe ..
Maa Shaa Allwah
بمحمد دامت لنا الأفراح وقلوبنا بذكره ترتاح
Hawa kueli ni weslamu kueri?
Masufi wamechanganyikiwa baada maji kwaingilia kwenye shimo lao, Sheikh M Bachu ku kashifu uwongo na ushirikina ya kitabu wanacho amini kama kitabu chenye tukufu sawa na kurani.
Badili hao masufi kuzingia na kupima hicho kitabu chenye uwongo na shirikina , badilie wametunga mashairi kumtukana Sh M Bachu, mwenye hana suna ni amrad من شبه بقوم فهو منهم hana ndevu nimfano wamajusi
Na awawezi kumjibu kwa sababu wao ni waabudia ma babu
Swalluu alaa Muhammad.
Mwamwita Mtoto lakini kawatimua mpka sasa mwababaika hamuaminiani jazba zawapanda
😂😂😂 Mtoto wa shk Bachu amewanyima usingizi, na bado hamjajibu nukta hata moja.
Dawa imeingia barabara kila mahala...neno Bwege kama limesemwa kweli basi wajitafakari kama ni sahihi
Acha akasome huyo mtoto wenu. Huyo ana Elmu kushinda Al Imam Barzanji??? Imam wa Madinatul Munawara.. 😂 😂 😂 Usingizi mwingi ni Uzembe pia Kaka wacha Maustadh wamnyoreshe
Wanajiharishia tu
@@ibnhassan9980 😅😅😅 Masufi yamewafika ya shingo, wanahara na kutoa mapovu tu.
Ni wapi wewe muhabi umesikia aya za qur ani kutupwa muislamu mwenye imani kamili akalala sasa nafikiri sasa mume wafahamu ni nani wenye qur an.nyie mawahabi endeleeni kulala sbb kutupwa kwa maneno ya qur ani hakuwaumi
Japo kijana wenu aliomba msamaha lakini hatulali lazima afanywe kuwa fundishio mwingine asije subutu kurudia huo ushenzi.
Masufi mnatumia lugha zenye ukakassi kuwasemea waislam wenzenu Nany mkijibiwa kwa mfano wa lugha hizo mnadai vijana hawana adabu jiheshimuni muheshimiwe
Wameishiankutukana tu hawawezi kujibu hoja hata moja ni matusi ndio fani yenu. Kutukana ni rahisi kusoma ndio kazi na hayo ndio majibu ya masufi hawa matusi ndio elimu yao
Narudia tena maneno yangu, elimu bora hasa hizi za kihistoria ni ile ya zamani, tatizo sikuhizi vijana wanasoma Nyambari Nyangwine wanajiona magwiji, hawa wazee walisomeshwa na wazee wenye fikra kubwa haswa na umri wao ulikua na baraka, huwezi kuwapata hata kidogo.
Mzee amepoteza mwelekeo hizo ni dhambi unazo zifanya
Hivi vigenge uzushiii maulidi Bado vipo tu.Uislamu tunaupeleka wapi na bidaa hizi
Sheikh twakuhutaji sana hiyo siku ili uje ufunzwe haki mana tunaona maneno ni mengi tu lakini ahluxunnah tupo we hiyo siku pia twakuhitaji sana kama inavyo dai sheikh
Rajab nyie ni mawahabi .masalafi sio ahlu sunnah nyie
Hamna kitu apo,minhaj ya kielimu haipo apo labla kuwasifu walomfunga kilemba.
Uislamu hauna vilemba wala majoho. Ndio maana tupo nyuma. Hatuna dunia wala akhera kwa kukumbatia uzushi.
Maulidi yatazidi Kuwa MAKUBWA.
Nyie hamumuwezi
Chukueni sehemu mtakapo paona sawa ila sehemu za shirki zimo humo
Nilichogundua Hawa wenzanke wanamcheka kwa kejeli uskute km hajavta bangi ugoro au tembo hpo
Munacheka nini sasa nyinyi watu bidaa? hakuna hata mwana twarqa mmoja aliejibu hoja zote 19, bali mna bwabwaja tu, hakuna chochote
Mh😮
weemzee acha uongo kama unaweza jibu hoja mwazikimbia
Mzee atajibu hoja Baada ya wewe kua na adabu
Mzee wako kachangwa na Bachu na akachanganyikiwa kabisaaaaa! 😂😂😂😂😂
vilemba vya maruhan??? hii inamaanisha nn??
Just a joke
Huyu mzee n mganga wilaya yake hawamtaki kwasabab Ana tuhuma za ushirikina, nashangaa watu wa Bida'a mnahangaika sana wa kumpa heshima kwenu ni LAZMA awe mganga kama huyu mzee
Elimu juu yaelimu mungu tuwekee wazee wetu Hawa
Ahal Al Bidaa
Mzee kidevu cheupe kanzu ya kuburuza akiteremsha mkono vidole havionekani jamaa huku ndio kumpenda bwana mtume.kaa chini atafta fea yakurudi kwao mtuzeni akae.uchinzi mwingi tu.
Hakuna Taqwa hapo.
N kuchekesha na kucheka tu basi hapo hakuna aliyoondoka na mazngatio.
Msemaji hana TAQW wakitoka hapo ni kufanya UGANGA TU. Basi.
Hawa, ndio walewale
" Mama fulani mtoto hyu karogwa twende kupiga LAMRI .
Hapo , kaimba tu nyimbo zilitungwa na MASHIA
Haya cio Mawaidha ndugu zangu.
Hawa ndio walee walioharibu Dini Africa MAShARK
leo kijana wa kitwarqa anasoma quran lkn Haswali.
Halaf mambo haya ni Afrika Masharik tu .
Cjui Mtume SAW atasemaje kwa umma huu.
Kuwa na akil unachobisha nn kwan!?
Ok nyie mawahabi wenye kuabudu mingu mitatu mulikuwa ili hali nyie ndie mumutakasika mbona hamuku usambaza uwahabi afrca mashariki.kwanza hio imani ya waganga ni haramu kwa muoslamu yoyote mbona nyie mawaha minaiyakidi hio imani ya kichawi hata kww mawahabi kwa nyie ndio washirikina kuanzia imani hadi vitendo
Mnaponga daawa ya tabligh.munapinga mihadhara..munapinga swallatul nabii.kisha rububia na uluhia ndio mungu wenu pamoja na mtume wenu muhamed wahabi saswa na makadiani pia wamejitengezea mtume wao ahmed mirzai gulam.katoto kenu kabachu kalikosa adabu kakatupa maneno ya qur an kakaomba msama.hata mtume wenu wahabi hajawahi tupa barzanji na aliikuta sasa anapelekewa moto mnaanza kuona kuwa ni waganga wanamuangamiza ni sawanafir aun alivo ona musa kazidisha miujiza akaanza kumuita musa mchawai
Hata mtume muhamad wakina abujahal wali muita mchwi na huo ndio unakuwa mwisho wa mawahabi mukishindwa huwa mwaanza kuwatusi maulama kama walivo makafiri wa zama hizo.
H
We ni Jahili huna elimu ya dini kasome ndo uanze kupambana na wasomi
Hapo ndipo tunaofeli waislaam wenzetu wanapambania maslahi Yao ya bandali sisi tunagombana kwa sababu ya Maulidi ghtima na kujengea makaburi vitu ambavyo sisi tumevikuta na halazimishwi mtu kufanya wala kutokufanya wewe Kama hutaki acha hulazimishwi waache wanao fanya wafanye bwana
Wenye kuelewa wameelewa
We unaonaje maana isije kuwa ushaa vuta bangi lako huko sasa huwajui
Hivi nyinyi mbona wapuz sana mtusi yaninu Sasa km imekuuma tulia
19-0
Ahlu bid'aa wanapigania ugali wao
Povu lote hilo wanaona hivi Sasa hawapokei michango mingi ya kufanya Maulidi wanaona vijana wanazinduliwa
Sidhani kama Kuna kijana yupo ktk utafutaji maeneo ya mbali na kwao Kisha akiambiwa atume pesa za mchango wa maulidi na Arobaini au Hitma kama atatuma
@@ibnhassan9980 Hakuna, hata aliye karibu na kwao. Ila yule aliyeghafilika.
@@ibnhassan9980 😀😀
Kweli machizi bado wengi wewe hata ndevu na kanzu zanisfi saki hamujuwi kuwa nisuna nyinyi suna zenu za masharubu
Videvu kama wanawakeeee
Upumbavu kama huu Bado mupo tu na uyo mwehu
Majaahill murakkab, watu wa motoni, hakuna chochote cha kielimu hapo. Upuuzi mtupu,
Uko motoni unawapeleka wewe au umeoteshwa kuweni na hikma basi
Matusi ya nini basi waungwana hawawi hivyo
Huwezi kumuita binadamu kuwa ni mtu wa motoni ikiwa hujui mwisho wake wala wako
ushaa anza kugawa moto na ww nikiumbe dhaifu jee ukimkuta peponi na ww uka angukia motoni utasemaj
User xi4 wewe sio kazi yako kumpa mtu moto au pepo.
Mjadala Wa Sakina. Kujengea na Kuyavunja Makaburi. Salafi v Sufi
ua-cam.com/video/seVn6oGRQpo/v-deo.htmlsi=ulI2k3GxEmO6saG-
Hawa wajinga wa napenda sifa
موتوا بغيظم
Hawa kueli ni weslamu kueri?
Kwani waislamu wapo VP..?
Apana muislamu ni wewe tuu
Hao niwachekeshaji ALLAH awaoneshe haki na waifuate
Siwo hao si hio dini umeletewa peke yako
Waisilamu ila wazushi