TAARIFA MPYA KUHUSU HALI ya RC MAKONDA - RC KILIMANJARO ANAYEKAIMU NAFASI YAKE AZUNGUMZA na GLOBALTV

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2024
  • TAARIFA MPYA KUHUSU HALI ya RC MAKONDA - RC KILIMANJARO ANAYEKAIMU NAFASI YAKE AZUNGUMZA na GLOBALTV...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 399

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Місяць тому +13

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @sirkingsky108
    @sirkingsky108 Місяць тому +45

    We jamaa yaan uko very intelligent unaulza maswali technical mnooo czan kama hujasoma psychology kaka

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 Місяць тому +6

    Mungu amjalie afya njema rais wetu makonda tunamwombea🙏🙏

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Місяць тому +16

    Jamani Makonda Mungu wetu wa huruma akulinde huko uliko

  • @Nabeel_brand_official
    @Nabeel_brand_official Місяць тому +34

    Allah amlinde sana Mr president Paul makonda...kuna ktu tunafichwa hapa

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Місяць тому

      Sijui Samia na wapambe au mashushu wake wakisoma hii anajisikiaje. Kumbe Makonda ndiye mheshimiwa Rais. Je hiki ndicho kinyago ambacho hakimtishi mchongaji alichomaanisha Nappy Mapepe Nnauye.

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Місяць тому +42

    Mi mwenyewe nishaanza kupata mashaka na kiongozi Wetu...

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 Місяць тому +37

    Mmh jaman hili litawachafua sana viongozi wetu kuwen makin, pia waweken watu uwazi.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Місяць тому +36

    Mmm!!!kunakitu hapanyuma ya pazia. Alllah amludishe salama makonda popote haliko 😢

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv Місяць тому +31

    Hii watanzania mjifunze kitu, hapo kwani muandishi ana uliza maswali ya akili lakini kiongozi anakwepa kujibu,nini kimefichwa na mjifinze kumsoma anae jibu anaongopa lisije likapasukia mikononi mwake,

    • @pendowilfredmatahi5770
      @pendowilfredmatahi5770 Місяць тому +5

      Anaeulizwa majibu yake yanadhihirisha kabisa anajikanyaga kanyaga unaona kabisa anakosa la kujibu,na akijibu unaona kabisa ana hofu ya anachojibu. Hapa kuna kitu,sidhani kama huyu baba yuko salama jamani.

    • @pendowilfredmatahi5770
      @pendowilfredmatahi5770 Місяць тому +4

      Anaeulizwa majibu yake yanadhihirisha kabisa anajikanyaga kanyaga unaona kabisa anakosa la kujibu,na akijibu unaona kabisa ana hofu ya anachojibu. Hapa kuna kitu,sidhani kama huyu baba yuko salama jamani.

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi Місяць тому +6

      Kama wamemuumiza makonda.tusikae tu kwa kunung,unika ila tuonyeshe nguvu ya Uma ikoje tumuombe MUNGU awaazibu wahusika

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv Місяць тому +4

      @@LugomeRisasi kuna mambo yakuomba Mungu nisawa lakini Mungu ametupatia akili sisi tuwe na sauti moja ya pamoja bila woga , kutokuogopa tuungane kama wenzetu nchi jirani kenya,Uganda nk,

    • @hellenngwilla550
      @hellenngwilla550 Місяць тому +2

      Hapa kuna kitu jaman eeh Mungu msaidie mtumishi wako Makonda tunataka kumwona jaman kwan kuna shida ganiiiii???

  • @shabaniathumani1789
    @shabaniathumani1789 Місяць тому +21

    Kuna Jambo makonda alikuwa bado anaijenga arusha nivigumu yeye kuomba likizo ,,yaani tumetega sikio tuu mwaka huu tumechoka kuuwawa,,

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Місяць тому +3

    Namuomba mungu amrudishe salama Azory Gwanda, wenye hila waliamua kumpoteza ila naamini wewe Mungu ni fundi naomba yaliyo gizani yaweze kuwa hadharani na walio husika wote naomba Mungu uwaadhibu kwa walicho mtendea Azory.

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Місяць тому +24

    Mwenye akili naaelewe jibu lipo wazi . Serikali ya tz mnawivu jamaa anapendwa ila mnamuua tu ivi ivi daah

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 Місяць тому +3

    Yaani hapo kuna shida sio bure kuna kitu asee watanzania tuingie Kwenye maombi tumwombee Makonda 🙏🙏🙏

  • @ConnieJohn-ts9rp
    @ConnieJohn-ts9rp Місяць тому +4

    Baba ktk Jina la Yesu Kristo watoto wako tuko mbele zako tunamwombea mpendwa wetu jasili shujaa Makonda POPOTE alipo Mungu ukamwokoe Makonda natuma majeshi ya Mungu yakawapige wote wanaopanga njama mbaya zidi ya Makonda Mungu ukamtetee Makonda uko aliko naachilia upako wa Yesu ukamponye na kufuta kila roho za uhalibifu zimwachilie Makonda akawe mzima, nafuta kila roho za mauti Makonda akawe hai kwa Jina la Yesu ,,na wote wanaopanga njama za kumuuwa Makonda washindwe na walegee hukumu ya Mungu. Iwatafune hao maadui mafisadi wapigwe wazimu mala 7 na Makonda wetu malaika 7 wamuhudumie. Wote tuseme Ameeeeen .

  • @ruthdavie1175
    @ruthdavie1175 Місяць тому +11

    Mungu wa mbingini amrejeshe Mh Makonda

  • @EventsClubD
    @EventsClubD Місяць тому

    Mama yetu kipenzi Samia kama mama mpenda jamii yake TU ya kitanzania tunaomba kujua kuhusu kaka yetu kipenzi mwanao kipenzi Paul makonda
    👍👍🙏🙏🙏

  • @MARIAMUBAJUTA
    @MARIAMUBAJUTA Місяць тому +20

    Mungu akulinde Makonda wetu

    • @pendowilfredmatahi5770
      @pendowilfredmatahi5770 Місяць тому +1

      Mi nishajikatia tamaa,kwa majibu haya ya kujikanyaga kanya hivi? Daaahh! 😢😢😢😢

    • @pendowilfredmatahi5770
      @pendowilfredmatahi5770 Місяць тому

      Mi nishajikatia tamaa,kwa majibu haya ya kujikanyaga kanya hivi? Daaahh! 😢😢😢😢

    • @alphoncewilliam4325
      @alphoncewilliam4325 Місяць тому +1

      Sina humani eti anakaim duu

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np Місяць тому +32

    Acha wa endelea kutujaza sumu kwawuwongo wao. Ndo wanatupa hasila na kuto waamini tena. Mukivuka hiili. Ccm. Muombe mungu. Hatuna imani nanyi tena

    • @rabanphotostudionyakanazi_4115
      @rabanphotostudionyakanazi_4115 Місяць тому

      Yani kwakweli,mtu anayepambana vizuri,anashambuliwa wana

    • @RahmaJuma-yi3gh
      @RahmaJuma-yi3gh Місяць тому

      Nikweli maana wanatupa mashaka

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 Місяць тому

      Jemedali Tundu Lissu alipo pigwa Risasi zile lengo kuuliwa watu wengi walikaa kimyaaa ni wachache sana tulo ongea japo mitandaoni na kulaani kitendo kile. ila kwa huyu aaahhh watu wana ongea. Ccm itatawala hadi lini? tunahitaji mabadiliko sasa

  • @nathanpallangyo5244
    @nathanpallangyo5244 Місяць тому +24

    KWANI TANZANIA KUNA VITA? TUKIAMBIWA UKWELI SHIDA IKO WAPI, KUNA MAMBO YA KUFICHA KUNA MENGINE YA KUWEKA WAZI TUU.

    • @jumannemalungo5018
      @jumannemalungo5018 Місяць тому +3

      Usili umezidi nchi yetu

    • @dorothyannan8184
      @dorothyannan8184 Місяць тому +1

      Mkiwa mmemtenda Makondaa.Hio zambi itawarudia mara 100000

    • @ZainabuOmary-ys8oq
      @ZainabuOmary-ys8oq Місяць тому

      tutaomba kila dini kwa ajili ya makonda mtetea watu

    • @latifasuleiman7527
      @latifasuleiman7527 Місяць тому

      Kweli kilicho chema hakidumu inasikitisha mpaka nimeingia hofu

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 Місяць тому

      Hata Tundu Lissu wetu nae alipigwa Lisasi. lengo ilikua ni kumuua. na walo mpiga eti hadi sasa hawajulikani wala serikale ya wakati ule haikuunda tume ya uchunguzi. nasi bado tuna uchungu na maumivu yale japo watu wengi walikaa kimyaaa hawakupaza sauti japo mitandaoni kama hivi wanavyo paza sauti hapa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Місяць тому +3

    Kidoogo ajisemee ukweli akashtuka ila mdomo umeweza kumkaba hadi nimekuongezea asilimia KAZI Yako ni nzuri hongera🎉🎉

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Місяць тому +5

    Hii ni nchi ya ajabu sn yaan wananchi wanahoji yuko wap kiongozi wao halaf watu wanaficha kwan kun dhambi gn km kwl yupo salam akajitokeza huko alipo ili kuwatuliza wananchi wake hp kuna jambo sio bure

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Місяць тому +12

    Yaleyale ya Magufuli! Anatafutiwa ugonjwa hapo Makonda, ili mwisho wa siku waseme alikuwa anatatizo la muda mrefu, ila sijui kwann hawagundui kuwa wanafahamika wanachokifanya, au ni makusudi kwasababu hawafanywi chochote hata kkama inafahamika, ni bora wafanye hadharani tu maana hata hiyo amani inayozungumziwa na uhuru kwasasa Tanzania ni uongo hakuna tena

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Місяць тому +9

    Mungu amtetee Makonda 🙏🙏

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u Місяць тому +4

    Mbona majibu ya Rc kilimanjaro yana laleta utata hapa Kuna kitu nyuma ya panzia mnatulixha matango pori. Watanzania tunajua mlichokifanya. Viongozi mnajitengenezea kutowaamini kabisa. Tunaomba Mh Makonda awe salama arudi salama.

  • @Machinootz
    @Machinootz Місяць тому

    YESU tulindie makonda

  • @ShabaniBakari-p4r
    @ShabaniBakari-p4r Місяць тому +5

    Makonda hayupo hai jaman tusidanganywe kama watoto wadogo😢😢😢😢,mimi nimeshaweka msiba mda mrefu maskani kwangu!

  • @FrenkKahigi
    @FrenkKahigi Місяць тому

    Jaman makonda wetu tunakupenda sana mungu awe nawe huko uliko japo hatupajui ulipo

  • @alfristricks7515
    @alfristricks7515 Місяць тому +5

    Likizo ya kiongozi siyo Siri. Inapaswa tu kusemwa, ana likizo ya wiki kadhaa, yupo nchi Fulani, atarudi siku hii, anakaimu Fulani nafasi yake Hadi siku Fulani. Na nyongeza, inaweza kusemwa, Sheria za likizo kwa viongozi wa umma zinasemaje kuhusu likizo husika.

    • @DullaMsanja-x9r
      @DullaMsanja-x9r Місяць тому

      Nchi gani isio mawasiliano ata asijitokeze kuongea makonda ? Lipo jambo

  • @HamisMajogoro
    @HamisMajogoro Місяць тому

    Mungu ampe wepesi

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Місяць тому +27

    Mwandishi una maswali mazuri sana

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 Місяць тому

      Na muhusika ana manibu mazuri pia

    • @fridaminja7191
      @fridaminja7191 Місяць тому

      Hii ndo global bwana, yan napenda San hii chanel wako vizuri sana

  • @mosesibmshangamshanga7885
    @mosesibmshangamshanga7885 Місяць тому +26

    Makonda ndokwanza katimiza miezi mine.. likizo yanini?

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Місяць тому +2

    Serikali semeni ukweli kuhusu RC . Kufa ni mkataba wa kiumbe na Mungu wake na kunaweza kutokea wakati wowote, lkn akifa RC wetu kama Magu hatutaelewana kamwe.
    Likizo ya Mfanyakazi ni mwezi mmoja kila baada ya mwaka wa UTUMISHI, RC ana miezi 5 tu Ofisini kaenda likizo ya nini? Angekuwa mwanamke tungedhani kateuliwa RC akiwa mjamzito kaenda kujifungua, lakini dume kabisa. Ipo namna!

  • @benardpeter3562
    @benardpeter3562 Місяць тому +2

    Daah hatari sana kwakweli hii nchi yetu....

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Місяць тому +3

    Waandishi was habar tupazien sauti tunataka majibu kwa serikar Makonda Yuko wapi? Ni haki yet kujua

  • @ChoghoghweDaudi
    @ChoghoghweDaudi Місяць тому +3

    Yanihapa labda ameomba likizo kwakua serekali nachama nikitukimoja kwakua alikua kwenye chama ila inanitatiza bado hatauongeze naniezi mi 5 aliohudumu ndani yachana bado likizoyamwaka haijafika labda wataalamu watusaidie likizo inapatikana kwa vigezo ainangap?

  • @MnanilaMrsmnanila
    @MnanilaMrsmnanila Місяць тому

    Hii nchi haina amani.wanaoniunga mkono weka like zenu.haiwezekani kabisa hii inchi iwe na amani na ikiwa kiongozi anayesimamia Haki anaupotea ktk mazingira ya ajabu.sasa subirien Mungu anainua watu kwa ajili ya taifa wanapotezwa Sasa kweli Ikiwa Mungu atiacha inchi hii itakuwaje?kiongozi mmepewa kuisimamia Haki jueni hii nchi siyo Mali yenu wenyewe hii nchi mmewekwa kusimamia Haki ya wanainchi.

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter Місяць тому +8

    Kwa magufuli mlitudanganya mnataka kuona hii nchi ni ya mamaenu

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Місяць тому +2

    duh kweli kazi ipo

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Місяць тому +1

    Duuu kwa makonda tarifa na majibu 😢😢😢

  • @EMAPLUSTV
    @EMAPLUSTV Місяць тому +3

    MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI TUNAMKABIDHI MKUU WA MKOA WA ARUSHA PAUL MAKONDA MIKONONI MWAKO TUNAAMINI YUPO SALAMA KWA WEMA NA FADHILI ZAKO

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo1969 Місяць тому +1

    Eti wamempanga mtu anafanya maxoezi wamevisha Tshirt wameiandika MAKONDA nyuma wanatudanganya ni yey. Hakuna mtoi huku tunaelewa vizuri

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 Місяць тому

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba msimamie RC wetu Makonda asipatwe na lolote. Na kama kuna mkono wa mtu simama nae eeh Mola. RC wetu uko wapi pse ongea tupate amani

  • @simonMollel-rr3gb
    @simonMollel-rr3gb Місяць тому +2

    Kwa hapa Tz ndo nchi pekee viongozi tu ndo watu wazima sis wengne tupo chekechea tunafumbwa macho kwa lazma duh ee MUNGU baba tuokoe

  • @RichardMassawe-dq9us
    @RichardMassawe-dq9us Місяць тому

    Ni haki yetu kujua taafifa kuhusu taarifa ya kiongozi wetu mteuliwa au mchaguliwa lakini kuhusu hili- naomba maswali yasiwe mengi.MUDA utaongea.Mimi binafsi sijui chochote na sifosi kujua chochote ila muda utaongea...Yaani kila mtu anaongea hili mwingine anaongea lile na mitandao ndio inatuchanganya zaidi hatujui mkweli wala muongo.Mimi namsubiri Raisi wangu kipeenzi atoe neno.

  • @abednego3876
    @abednego3876 Місяць тому +3

    Mm nnadhani deepstate na usalama wa taifa wana matatizo makubwa sana na ni vibaraka.

  • @zaramuneer3257
    @zaramuneer3257 Місяць тому +2

    mmmmh Mungu tumbe macho ya rohoni tuone sawsaw

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm Місяць тому +2

    Makonda kama yupo mungu amrinde nafamiria yake amina

    • @fayzfadhil5921
      @fayzfadhil5921 Місяць тому

      kweri atarindwa pamoja na ruru wa majizo😂

    • @rosemarykimath9337
      @rosemarykimath9337 Місяць тому

      Ndg umesoma wapi kiswahili una tatizo la r kiswahili ulipata f kabisq😊

    • @willmarmpunga9265
      @willmarmpunga9265 Місяць тому +1

      😅😅😅😅😅😅

    • @willmarmpunga9265
      @willmarmpunga9265 Місяць тому +1

      ​@rosemaryki😅😅😅😅😅😅😅😅 ajuh kusoma huyo 😅😅😅😅math9337

    • @EnjoyReonald
      @EnjoyReonald Місяць тому

      Kweri ataridwa

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Місяць тому +1

    Unajua hii Nchi ni ngumu sana yaani watu hawataki maendeleo ya nchi yao wanaona ufisadi ndiyo wanaotaka ukiwa mkweli wao hawapendi

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 Місяць тому +7

    Kwani mke wake Mary yupo wapi na kwanini wasimtafute mke wake wamuulize yeye ndiye atakuwa na majibu sahihi hata ndugu zake makonda watakuwa wanajua hali ya ndugu yao.

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 Місяць тому +1

      Hapo mke kafichwa

    • @philemonnestory4239
      @philemonnestory4239 Місяць тому +1

      Magufuli aliuawa hata make wake hakujua aliambiwa Yuko fiti kalikiti tz bana mmmh!!!

    • @bukurunestory3540
      @bukurunestory3540 Місяць тому

      Jiangalie maneno yako uwe tayari kuthibitisha mahakamani

  • @rosemarykimath9337
    @rosemarykimath9337 Місяць тому +13

    Tz ni nchi yetu mambo mengi semeni ukwel

  • @zianasalimuhivikunamchunga5224
    @zianasalimuhivikunamchunga5224 Місяць тому

    Mtajua Mungu atawahukumu mmoja mmoja

  • @vero57
    @vero57 Місяць тому +4

    Mbona anaongea kama ana sizia???😮😮 sasa munaficha nini??? Sisi ndiyo tuliwachagua lazima tujue kinacho endelea!!!

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Місяць тому +5

    Mumeuwa makonda rakin wanainchi nyie mafisadi tutakuja vuruga inchi nzima mumezoea kuuwa wenzenu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Місяць тому +1

    Jamani mbona nimepata hofu kubwa kwa anayejibu maswali,eee mungu mlinde makonda kwa ufalme wako

  • @petertemba6594
    @petertemba6594 Місяць тому +5

    Mwenye D 2 Kasaelewa

  • @jonasimwanzi
    @jonasimwanzi Місяць тому +8

    Nyie makonda mzama kweli au mbona sielewi jamani

  • @stephanonyembedodo758
    @stephanonyembedodo758 Місяць тому +26

    Aisee kama unazo akili timam unajiongeza hapo kuna kitu akiko sawa.

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 Місяць тому +1

      Imani yangu inanituma vibaya sana naogopa kusema

    • @simonMollel-rr3gb
      @simonMollel-rr3gb Місяць тому

      Ata mm nina hofu juu ya hili😢​@@josephineokama2200

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze Місяць тому +4

      kaka tumesha juwa kilichomkuta magu ndio kinamkuta makonda tunasubiri likizo ishe ni mwez watatueleza tu uchaguzi wa safari hi hatupigi kura kwa mambo yakishenz kama hay

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Місяць тому +1

      Ameuliza "KWANI KUNA NINI?😂😂😂😂BASI HAJUI NCHI INAENDAJE. HANNA NEWS NO COMMUNICATION HANA TAARIFA AU HEKAHEKA ZA WATU WAKE Arusha well done Actor

  • @ShabaniBakari-p4r
    @ShabaniBakari-p4r Місяць тому +2

    Siasa ni mchezo mchafu sana,makonda ana tatizo kubwa lililomkuta ambalo hawataki kulizungumzia😢

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Місяць тому

    Makonda yupoo mzima salamah muombeeeni Affiyaa na duwaa kwa wingi….

  • @SamoraTabaga
    @SamoraTabaga Місяць тому +2

    Hapo nashituka sana

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 Місяць тому +4

    Kwanza hyu anaeulizwa maswali kama nahis yupo bar analewa sasa kwan kun siri gan kuhus makonda au tuandamane ndo watasema

    • @mwanzacarpenter
      @mwanzacarpenter Місяць тому

      Wewe umejiongeza maana anayeulizwa kama yupo vibe hivi

  • @YahayaKunga-le7mr
    @YahayaKunga-le7mr Місяць тому +4

    Umelaaalaaaaa yoooooooooo

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM Місяць тому +1

    Global mpo viziuri na mkuu wa Mkoa kaimu kajibu vizuri

  • @dismaboytz4849
    @dismaboytz4849 Місяць тому +5

    Mshkaj kazima wanafichaficha tu haya endeleen ukwel uwa haujifich trh 10 aifik Kila kitu kitakuwa waz😂

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Місяць тому

      Kama chizi vile nakujichekesha mxuuu.huna haya

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Місяць тому

    Mnafanya mzaha na maisha ya wanadamu Mungu atawawezeni TU kwa wakati wake mtu unaulizwa swali unaongea unavyojisikia ww utafikili unaongea na wajukuu zako uliyozoea kuwadanganya

  • @marcoenock4596
    @marcoenock4596 Місяць тому +2

    Mh kwa majibu tuu tayar tuna mashaka na Hali ya mpendwa wetu

  • @IsayaMpalanzi-qu7iv
    @IsayaMpalanzi-qu7iv Місяць тому +3

    Tuweni makini yaleyale ya jpm

  • @emanuelelias2082
    @emanuelelias2082 Місяць тому

    Sasa hii nchi yetu itaendelea kwel kwa style hii ya kuwauwa viongozi wetu wanaofanya kazi kwa moyo mmoja na kujitolea ? Asee its very sad😢😢😢😢

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Місяць тому +1

    Nimemkumbuka sana

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Місяць тому

    Yesu akuponye haleluya

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Місяць тому

    Hivi bado mnadhani wa Tanzania ni wehu

  • @alexandermanase8956
    @alexandermanase8956 Місяць тому +8

    Bado najaribu kujifunza siasa za tz lakin bado sizielewi kabisaaa,,, yani unakaimu nafasi ya mtu na hujui utakaimu Kwa muda gan? Tz bhana tuna mambo ya hovyo sana, tuombe Mungu awe mzima huko aliko, kinyume na hapo viongozi mtakuwa mmetukosea mnoooo, na mtakuwa mnaendelea kutengeneza bomu ambalo siku likilipuka hii nchi haitakalika.

  • @NaftaryMgoye
    @NaftaryMgoye Місяць тому +2

    Hata aliyekaimu anapiga chenga live anajua alipo na kilichompata Makonda😢

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz7607 Місяць тому +2

    Hatari hii

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Місяць тому +15

    Kuna kitu mnatuficha, kwani mtu akiwa likizo haonekani au hata kuzungumza?

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 Місяць тому +2

    Hivi likizo inachukuliwa mda gani baada kuanza ajira au imejumlishwa na alipokuwa katibu mwenezi!!

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw Місяць тому +2

    Mwandishi uko vzr xn lkn huyo mheshimiwa anajikanyanga xnaaaa tena xnaaaa hapo kuna kitu hakiko saw kikubwa watuletee makonda wetu

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 Місяць тому

    Wana shida CCM. Mtu akiwa anaelekea kuwa kiongozi hawamtaki. Wanataka jitu pumbavu maneno mengi rushwa tele tele.

  • @RobartShello-qj4vr
    @RobartShello-qj4vr Місяць тому +1

    sijui kwanini alikubali mutego huo wakupewa uongoz wakati alikua kajipumzika baba wawatu, asa wamekamilisha ndoto zao eeh mungu tunakuomba kama viongozi wa tz wanatumia mdaraka yao kuwaua wasema ukweli bas laana ziwapate mafisad wote

  • @EdithTelemark
    @EdithTelemark Місяць тому

    yaani danganya toto ila IPO siku litajulikana Mungu akuinue ewe makonda umeonyesha kujali wanyonge

  • @DannyWiston-xo4hx
    @DannyWiston-xo4hx Місяць тому +2

    Kama makonda kapatwa na Jambo nahama ccm

  • @johncharles2686
    @johncharles2686 Місяць тому

    Msiwe na Shaka mheshimiwa Yuko salama na Hana tatizo lolote la kiafya. atarudi soon❤

  • @mariamshabani7107
    @mariamshabani7107 Місяць тому +5

    Lakini ipo siku mtajuta

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Місяць тому

    WAOMBE SANA MAKONDA ASIKUTWE NA JAMBO BAYA. AREJEE KAZINI Vinginevyo NI AIBU KUBWA KWA TAIFA

  • @mako331
    @mako331 Місяць тому

    Hawa watu Mungu anawaona! Wakitaka kukumaliza wanakuinua kwanza ili ukipotea hata wao wanajifanya kuhuzunika!! Kama una akili umeelewa

  • @johnsfabian4070
    @johnsfabian4070 Місяць тому +1

    Please please Tanzania 🇹🇿 tupee makonda kiti cha rais

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 Місяць тому +1

    Mmmh MUNGU tusaidie wa TANZANIA

  • @allyrashid1235
    @allyrashid1235 Місяць тому

    Sina uhakika sana ila nikikuacho mm kuwa mkuu wa mkoa akienda likizo humpendekeza mkuu mmoja wa wilaya moja wapo iliyopo kwenye mkoa wake kukaimu nafasi hiyo hadi yy atakarudi kutoka likizo

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Місяць тому +3

    Acheni huongo mnaekt hayo maneno makonda yupo wapi

  • @emmanuelkereto4344
    @emmanuelkereto4344 Місяць тому +8

    Kama umeelewa kama mimi gonga like na tumuombee Makonda popote alipo.

  • @josephchacha7456
    @josephchacha7456 Місяць тому +1

    Tanzania ninchi yetu lakini unapokuwa kama.kiongozi au hata kama.unanguvu yakuongea kiasi gani usiwe unajioendekeza KWAKILA mtu kwasababu Tanzania ninchi ya chuki Tanzania haitaki kuona mtu anawasaidia wananchi yaani Tanzania inataka wale viongozi wenye cheo ndoo waseme wao kama.wao.asa makonda kayatimba ndoo watu mpunguze vipaumbele

  • @rennyleo4874
    @rennyleo4874 Місяць тому +1

    Tuombe Mungu iwe heli maana hatuombi yakitokea ya kutokea ccm haitaeleweka na uchaguzi itakuwa mgumu sana

    • @RahmaJuma-yi3gh
      @RahmaJuma-yi3gh Місяць тому

      Yani ikitokea hayo tunayo hisi CCM wata poteza muelekeo

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka Місяць тому +1

    Ety likizo ya mwaka,kweli likizo ya mwaka kwa Serikali aice viongz wapo wa hovyo sana

  • @winfridamushimushi7025
    @winfridamushimushi7025 Місяць тому +5

    Mmmh jmn aisee apo kuna jambo kwakweli😢

  • @WilliamSamwel-re3ic
    @WilliamSamwel-re3ic Місяць тому

    Makonda hata Kama amepumzika hawezi Acha kuzungumza tena anavyopenda kupiga kazi

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm Місяць тому +5

    Hivi Kwa nn wanashindwa kuweka wazi juu ya makonda jamani huyu nikiongozi Wa umma

  • @ceciliaonyango5367
    @ceciliaonyango5367 Місяць тому

    Likizo ya mwaka? Mtuelezee makonda yuko wapi?

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 Місяць тому

    WANA HABARI WA SASA, WANAJIKITA SANA KUTAFUTA MIPASHO BADALA YA HABARI ZA MAENDELEO

  • @AbelAnthony-sw8si
    @AbelAnthony-sw8si Місяць тому

    Kwahiyo hapa kama Makonda atakuwa mgonjwa inamanisha Tanzania tunamkosi kupata viongozi wawazi kama Makonda na JPM au kanda yaziwa tunamkosi kuwa naviongozi wawazi

  • @winifridakasibu2900
    @winifridakasibu2900 Місяць тому

    Ivi Kuna nn mm sielewi ,mungu tusaidie