TAARIFA MPYA KUHUSU HALI ya RC MAKONDA - RC KILIMANJARO ANAYEKAIMU NAFASI YAKE AZUNGUMZA na GLOBALTV
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- TAARIFA MPYA KUHUSU HALI ya RC MAKONDA - RC KILIMANJARO ANAYEKAIMU NAFASI YAKE AZUNGUMZA na GLOBALTV...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
We jamaa yaan uko very intelligent unaulza maswali technical mnooo czan kama hujasoma psychology kaka
Fact
Kuna jambo hapo
Ni kweli kuna uficho sana
Mungu amjalie afya njema rais wetu makonda tunamwombea🙏🙏
Jamani Makonda Mungu wetu wa huruma akulinde huko uliko
Allah amlinde sana Mr president Paul makonda...kuna ktu tunafichwa hapa
Sijui Samia na wapambe au mashushu wake wakisoma hii anajisikiaje. Kumbe Makonda ndiye mheshimiwa Rais. Je hiki ndicho kinyago ambacho hakimtishi mchongaji alichomaanisha Nappy Mapepe Nnauye.
Mi mwenyewe nishaanza kupata mashaka na kiongozi Wetu...
Ata kwa magu ilikua hivihivi
liko jmbo
Mmh jaman hili litawachafua sana viongozi wetu kuwen makin, pia waweken watu uwazi.
Tatzo la viongozi wa ccm sio wa wazi na wakweli
Mmm!!!kunakitu hapanyuma ya pazia. Alllah amludishe salama makonda popote haliko 😢
Hii watanzania mjifunze kitu, hapo kwani muandishi ana uliza maswali ya akili lakini kiongozi anakwepa kujibu,nini kimefichwa na mjifinze kumsoma anae jibu anaongopa lisije likapasukia mikononi mwake,
Anaeulizwa majibu yake yanadhihirisha kabisa anajikanyaga kanyaga unaona kabisa anakosa la kujibu,na akijibu unaona kabisa ana hofu ya anachojibu. Hapa kuna kitu,sidhani kama huyu baba yuko salama jamani.
Anaeulizwa majibu yake yanadhihirisha kabisa anajikanyaga kanyaga unaona kabisa anakosa la kujibu,na akijibu unaona kabisa ana hofu ya anachojibu. Hapa kuna kitu,sidhani kama huyu baba yuko salama jamani.
Kama wamemuumiza makonda.tusikae tu kwa kunung,unika ila tuonyeshe nguvu ya Uma ikoje tumuombe MUNGU awaazibu wahusika
@@LugomeRisasi kuna mambo yakuomba Mungu nisawa lakini Mungu ametupatia akili sisi tuwe na sauti moja ya pamoja bila woga , kutokuogopa tuungane kama wenzetu nchi jirani kenya,Uganda nk,
Hapa kuna kitu jaman eeh Mungu msaidie mtumishi wako Makonda tunataka kumwona jaman kwan kuna shida ganiiiii???
Kuna Jambo makonda alikuwa bado anaijenga arusha nivigumu yeye kuomba likizo ,,yaani tumetega sikio tuu mwaka huu tumechoka kuuwawa,,
Namuomba mungu amrudishe salama Azory Gwanda, wenye hila waliamua kumpoteza ila naamini wewe Mungu ni fundi naomba yaliyo gizani yaweze kuwa hadharani na walio husika wote naomba Mungu uwaadhibu kwa walicho mtendea Azory.
Mwenye akili naaelewe jibu lipo wazi . Serikali ya tz mnawivu jamaa anapendwa ila mnamuua tu ivi ivi daah
Yaani hapo kuna shida sio bure kuna kitu asee watanzania tuingie Kwenye maombi tumwombee Makonda 🙏🙏🙏
Baba ktk Jina la Yesu Kristo watoto wako tuko mbele zako tunamwombea mpendwa wetu jasili shujaa Makonda POPOTE alipo Mungu ukamwokoe Makonda natuma majeshi ya Mungu yakawapige wote wanaopanga njama mbaya zidi ya Makonda Mungu ukamtetee Makonda uko aliko naachilia upako wa Yesu ukamponye na kufuta kila roho za uhalibifu zimwachilie Makonda akawe mzima, nafuta kila roho za mauti Makonda akawe hai kwa Jina la Yesu ,,na wote wanaopanga njama za kumuuwa Makonda washindwe na walegee hukumu ya Mungu. Iwatafune hao maadui mafisadi wapigwe wazimu mala 7 na Makonda wetu malaika 7 wamuhudumie. Wote tuseme Ameeeeen .
Aaaamen
Na iwe hivyo Kwa jina la yesu
Mungu wa mbingini amrejeshe Mh Makonda
Mama yetu kipenzi Samia kama mama mpenda jamii yake TU ya kitanzania tunaomba kujua kuhusu kaka yetu kipenzi mwanao kipenzi Paul makonda
👍👍🙏🙏🙏
Mungu akulinde Makonda wetu
Mi nishajikatia tamaa,kwa majibu haya ya kujikanyaga kanya hivi? Daaahh! 😢😢😢😢
Mi nishajikatia tamaa,kwa majibu haya ya kujikanyaga kanya hivi? Daaahh! 😢😢😢😢
Sina humani eti anakaim duu
Acha wa endelea kutujaza sumu kwawuwongo wao. Ndo wanatupa hasila na kuto waamini tena. Mukivuka hiili. Ccm. Muombe mungu. Hatuna imani nanyi tena
Yani kwakweli,mtu anayepambana vizuri,anashambuliwa wana
Nikweli maana wanatupa mashaka
Jemedali Tundu Lissu alipo pigwa Risasi zile lengo kuuliwa watu wengi walikaa kimyaaa ni wachache sana tulo ongea japo mitandaoni na kulaani kitendo kile. ila kwa huyu aaahhh watu wana ongea. Ccm itatawala hadi lini? tunahitaji mabadiliko sasa
KWANI TANZANIA KUNA VITA? TUKIAMBIWA UKWELI SHIDA IKO WAPI, KUNA MAMBO YA KUFICHA KUNA MENGINE YA KUWEKA WAZI TUU.
Usili umezidi nchi yetu
Mkiwa mmemtenda Makondaa.Hio zambi itawarudia mara 100000
tutaomba kila dini kwa ajili ya makonda mtetea watu
Kweli kilicho chema hakidumu inasikitisha mpaka nimeingia hofu
Hata Tundu Lissu wetu nae alipigwa Lisasi. lengo ilikua ni kumuua. na walo mpiga eti hadi sasa hawajulikani wala serikale ya wakati ule haikuunda tume ya uchunguzi. nasi bado tuna uchungu na maumivu yale japo watu wengi walikaa kimyaaa hawakupaza sauti japo mitandaoni kama hivi wanavyo paza sauti hapa
Kidoogo ajisemee ukweli akashtuka ila mdomo umeweza kumkaba hadi nimekuongezea asilimia KAZI Yako ni nzuri hongera🎉🎉
Hii ni nchi ya ajabu sn yaan wananchi wanahoji yuko wap kiongozi wao halaf watu wanaficha kwan kun dhambi gn km kwl yupo salam akajitokeza huko alipo ili kuwatuliza wananchi wake hp kuna jambo sio bure
Yaleyale ya Magufuli! Anatafutiwa ugonjwa hapo Makonda, ili mwisho wa siku waseme alikuwa anatatizo la muda mrefu, ila sijui kwann hawagundui kuwa wanafahamika wanachokifanya, au ni makusudi kwasababu hawafanywi chochote hata kkama inafahamika, ni bora wafanye hadharani tu maana hata hiyo amani inayozungumziwa na uhuru kwasasa Tanzania ni uongo hakuna tena
Awamu hii watatwambia makonda alikuwa anasumbuliwa na taifod
Hhhhh
Mungu amtetee Makonda 🙏🙏
Mbona majibu ya Rc kilimanjaro yana laleta utata hapa Kuna kitu nyuma ya panzia mnatulixha matango pori. Watanzania tunajua mlichokifanya. Viongozi mnajitengenezea kutowaamini kabisa. Tunaomba Mh Makonda awe salama arudi salama.
YESU tulindie makonda
Makonda hayupo hai jaman tusidanganywe kama watoto wadogo😢😢😢😢,mimi nimeshaweka msiba mda mrefu maskani kwangu!
Asije akawa amekufa jamani😭😭
😭😭😭😭
Afe mara ngapi@@rehemajuma7094
😭😭😭😭
Jamani nafuta maneno yako kwa jina la Yesu
Jaman makonda wetu tunakupenda sana mungu awe nawe huko uliko japo hatupajui ulipo
Likizo ya kiongozi siyo Siri. Inapaswa tu kusemwa, ana likizo ya wiki kadhaa, yupo nchi Fulani, atarudi siku hii, anakaimu Fulani nafasi yake Hadi siku Fulani. Na nyongeza, inaweza kusemwa, Sheria za likizo kwa viongozi wa umma zinasemaje kuhusu likizo husika.
Nchi gani isio mawasiliano ata asijitokeze kuongea makonda ? Lipo jambo
Mungu ampe wepesi
Mwandishi una maswali mazuri sana
Na muhusika ana manibu mazuri pia
Hii ndo global bwana, yan napenda San hii chanel wako vizuri sana
Makonda ndokwanza katimiza miezi mine.. likizo yanini?
ni kweli..
Kweli kabisa
Kweli kabisa kuna jambo
Serikali semeni ukweli kuhusu RC . Kufa ni mkataba wa kiumbe na Mungu wake na kunaweza kutokea wakati wowote, lkn akifa RC wetu kama Magu hatutaelewana kamwe.
Likizo ya Mfanyakazi ni mwezi mmoja kila baada ya mwaka wa UTUMISHI, RC ana miezi 5 tu Ofisini kaenda likizo ya nini? Angekuwa mwanamke tungedhani kateuliwa RC akiwa mjamzito kaenda kujifungua, lakini dume kabisa. Ipo namna!
Daah hatari sana kwakweli hii nchi yetu....
Waandishi was habar tupazien sauti tunataka majibu kwa serikar Makonda Yuko wapi? Ni haki yet kujua
Yanihapa labda ameomba likizo kwakua serekali nachama nikitukimoja kwakua alikua kwenye chama ila inanitatiza bado hatauongeze naniezi mi 5 aliohudumu ndani yachana bado likizoyamwaka haijafika labda wataalamu watusaidie likizo inapatikana kwa vigezo ainangap?
Hii nchi haina amani.wanaoniunga mkono weka like zenu.haiwezekani kabisa hii inchi iwe na amani na ikiwa kiongozi anayesimamia Haki anaupotea ktk mazingira ya ajabu.sasa subirien Mungu anainua watu kwa ajili ya taifa wanapotezwa Sasa kweli Ikiwa Mungu atiacha inchi hii itakuwaje?kiongozi mmepewa kuisimamia Haki jueni hii nchi siyo Mali yenu wenyewe hii nchi mmewekwa kusimamia Haki ya wanainchi.
Kwa magufuli mlitudanganya mnataka kuona hii nchi ni ya mamaenu
😂😂😂😂😂
duh kweli kazi ipo
Duuu kwa makonda tarifa na majibu 😢😢😢
MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI TUNAMKABIDHI MKUU WA MKOA WA ARUSHA PAUL MAKONDA MIKONONI MWAKO TUNAAMINI YUPO SALAMA KWA WEMA NA FADHILI ZAKO
Eti wamempanga mtu anafanya maxoezi wamevisha Tshirt wameiandika MAKONDA nyuma wanatudanganya ni yey. Hakuna mtoi huku tunaelewa vizuri
Mwenyezi Mungu Tunakuomba msimamie RC wetu Makonda asipatwe na lolote. Na kama kuna mkono wa mtu simama nae eeh Mola. RC wetu uko wapi pse ongea tupate amani
Kwa hapa Tz ndo nchi pekee viongozi tu ndo watu wazima sis wengne tupo chekechea tunafumbwa macho kwa lazma duh ee MUNGU baba tuokoe
Ni haki yetu kujua taafifa kuhusu taarifa ya kiongozi wetu mteuliwa au mchaguliwa lakini kuhusu hili- naomba maswali yasiwe mengi.MUDA utaongea.Mimi binafsi sijui chochote na sifosi kujua chochote ila muda utaongea...Yaani kila mtu anaongea hili mwingine anaongea lile na mitandao ndio inatuchanganya zaidi hatujui mkweli wala muongo.Mimi namsubiri Raisi wangu kipeenzi atoe neno.
Mm nnadhani deepstate na usalama wa taifa wana matatizo makubwa sana na ni vibaraka.
mmmmh Mungu tumbe macho ya rohoni tuone sawsaw
Makonda kama yupo mungu amrinde nafamiria yake amina
kweri atarindwa pamoja na ruru wa majizo😂
Ndg umesoma wapi kiswahili una tatizo la r kiswahili ulipata f kabisq😊
😅😅😅😅😅😅
@rosemaryki😅😅😅😅😅😅😅😅 ajuh kusoma huyo 😅😅😅😅math9337
Kweri ataridwa
Unajua hii Nchi ni ngumu sana yaani watu hawataki maendeleo ya nchi yao wanaona ufisadi ndiyo wanaotaka ukiwa mkweli wao hawapendi
Kwani mke wake Mary yupo wapi na kwanini wasimtafute mke wake wamuulize yeye ndiye atakuwa na majibu sahihi hata ndugu zake makonda watakuwa wanajua hali ya ndugu yao.
Hapo mke kafichwa
Magufuli aliuawa hata make wake hakujua aliambiwa Yuko fiti kalikiti tz bana mmmh!!!
Jiangalie maneno yako uwe tayari kuthibitisha mahakamani
Tz ni nchi yetu mambo mengi semeni ukwel
Mtajua Mungu atawahukumu mmoja mmoja
Mbona anaongea kama ana sizia???😮😮 sasa munaficha nini??? Sisi ndiyo tuliwachagua lazima tujue kinacho endelea!!!
Mumeuwa makonda rakin wanainchi nyie mafisadi tutakuja vuruga inchi nzima mumezoea kuuwa wenzenu
Jamani mbona nimepata hofu kubwa kwa anayejibu maswali,eee mungu mlinde makonda kwa ufalme wako
Mwenye D 2 Kasaelewa
Nyie makonda mzama kweli au mbona sielewi jamani
Aisee kama unazo akili timam unajiongeza hapo kuna kitu akiko sawa.
Imani yangu inanituma vibaya sana naogopa kusema
Ata mm nina hofu juu ya hili😢@@josephineokama2200
kaka tumesha juwa kilichomkuta magu ndio kinamkuta makonda tunasubiri likizo ishe ni mwez watatueleza tu uchaguzi wa safari hi hatupigi kura kwa mambo yakishenz kama hay
Ameuliza "KWANI KUNA NINI?😂😂😂😂BASI HAJUI NCHI INAENDAJE. HANNA NEWS NO COMMUNICATION HANA TAARIFA AU HEKAHEKA ZA WATU WAKE Arusha well done Actor
Siasa ni mchezo mchafu sana,makonda ana tatizo kubwa lililomkuta ambalo hawataki kulizungumzia😢
Makonda yupoo mzima salamah muombeeeni Affiyaa na duwaa kwa wingi….
Hapo nashituka sana
Kwanza hyu anaeulizwa maswali kama nahis yupo bar analewa sasa kwan kun siri gan kuhus makonda au tuandamane ndo watasema
Wewe umejiongeza maana anayeulizwa kama yupo vibe hivi
Umelaaalaaaaa yoooooooooo
Yani weweeeeeeee
😂😂😊@@starfocus-9
Global mpo viziuri na mkuu wa Mkoa kaimu kajibu vizuri
Mshkaj kazima wanafichaficha tu haya endeleen ukwel uwa haujifich trh 10 aifik Kila kitu kitakuwa waz😂
Kama chizi vile nakujichekesha mxuuu.huna haya
Mnafanya mzaha na maisha ya wanadamu Mungu atawawezeni TU kwa wakati wake mtu unaulizwa swali unaongea unavyojisikia ww utafikili unaongea na wajukuu zako uliyozoea kuwadanganya
Mh kwa majibu tuu tayar tuna mashaka na Hali ya mpendwa wetu
Tuweni makini yaleyale ya jpm
Sasa hii nchi yetu itaendelea kwel kwa style hii ya kuwauwa viongozi wetu wanaofanya kazi kwa moyo mmoja na kujitolea ? Asee its very sad😢😢😢😢
Nimemkumbuka sana
Yesu akuponye haleluya
Hivi bado mnadhani wa Tanzania ni wehu
Bado najaribu kujifunza siasa za tz lakin bado sizielewi kabisaaa,,, yani unakaimu nafasi ya mtu na hujui utakaimu Kwa muda gan? Tz bhana tuna mambo ya hovyo sana, tuombe Mungu awe mzima huko aliko, kinyume na hapo viongozi mtakuwa mmetukosea mnoooo, na mtakuwa mnaendelea kutengeneza bomu ambalo siku likilipuka hii nchi haitakalika.
Hata aliyekaimu anapiga chenga live anajua alipo na kilichompata Makonda😢
Hatari hii
Kuna kitu mnatuficha, kwani mtu akiwa likizo haonekani au hata kuzungumza?
swali nsuli ilo😢😢😢😢
Hivi likizo inachukuliwa mda gani baada kuanza ajira au imejumlishwa na alipokuwa katibu mwenezi!!
Mwandishi uko vzr xn lkn huyo mheshimiwa anajikanyanga xnaaaa tena xnaaaa hapo kuna kitu hakiko saw kikubwa watuletee makonda wetu
Wana shida CCM. Mtu akiwa anaelekea kuwa kiongozi hawamtaki. Wanataka jitu pumbavu maneno mengi rushwa tele tele.
sijui kwanini alikubali mutego huo wakupewa uongoz wakati alikua kajipumzika baba wawatu, asa wamekamilisha ndoto zao eeh mungu tunakuomba kama viongozi wa tz wanatumia mdaraka yao kuwaua wasema ukweli bas laana ziwapate mafisad wote
yaani danganya toto ila IPO siku litajulikana Mungu akuinue ewe makonda umeonyesha kujali wanyonge
Kama makonda kapatwa na Jambo nahama ccm
Msiwe na Shaka mheshimiwa Yuko salama na Hana tatizo lolote la kiafya. atarudi soon❤
Lakini ipo siku mtajuta
WAOMBE SANA MAKONDA ASIKUTWE NA JAMBO BAYA. AREJEE KAZINI Vinginevyo NI AIBU KUBWA KWA TAIFA
Hawa watu Mungu anawaona! Wakitaka kukumaliza wanakuinua kwanza ili ukipotea hata wao wanajifanya kuhuzunika!! Kama una akili umeelewa
Please please Tanzania 🇹🇿 tupee makonda kiti cha rais
Mmmh MUNGU tusaidie wa TANZANIA
Sina uhakika sana ila nikikuacho mm kuwa mkuu wa mkoa akienda likizo humpendekeza mkuu mmoja wa wilaya moja wapo iliyopo kwenye mkoa wake kukaimu nafasi hiyo hadi yy atakarudi kutoka likizo
Acheni huongo mnaekt hayo maneno makonda yupo wapi
Kama umeelewa kama mimi gonga like na tumuombee Makonda popote alipo.
wewe umeelewaje?
Tanzania ninchi yetu lakini unapokuwa kama.kiongozi au hata kama.unanguvu yakuongea kiasi gani usiwe unajioendekeza KWAKILA mtu kwasababu Tanzania ninchi ya chuki Tanzania haitaki kuona mtu anawasaidia wananchi yaani Tanzania inataka wale viongozi wenye cheo ndoo waseme wao kama.wao.asa makonda kayatimba ndoo watu mpunguze vipaumbele
Tuombe Mungu iwe heli maana hatuombi yakitokea ya kutokea ccm haitaeleweka na uchaguzi itakuwa mgumu sana
Yani ikitokea hayo tunayo hisi CCM wata poteza muelekeo
Ety likizo ya mwaka,kweli likizo ya mwaka kwa Serikali aice viongz wapo wa hovyo sana
Mmmh jmn aisee apo kuna jambo kwakweli😢
Makonda hata Kama amepumzika hawezi Acha kuzungumza tena anavyopenda kupiga kazi
Hivi Kwa nn wanashindwa kuweka wazi juu ya makonda jamani huyu nikiongozi Wa umma
Likizo ya mwaka? Mtuelezee makonda yuko wapi?
WANA HABARI WA SASA, WANAJIKITA SANA KUTAFUTA MIPASHO BADALA YA HABARI ZA MAENDELEO
Kwahiyo hapa kama Makonda atakuwa mgonjwa inamanisha Tanzania tunamkosi kupata viongozi wawazi kama Makonda na JPM au kanda yaziwa tunamkosi kuwa naviongozi wawazi
Ivi Kuna nn mm sielewi ,mungu tusaidie