Nikweli kabisa mzee wetu mwenye macho haambiwi ona sijui tunataka maendereo Gani Tena..ushauri kwa chama changu .tujaribu kuboresha zaidi upande wa elimu ....zaidi kwenye shule za binafusi tutoe tozo zote zakiserikali waendeshe shule kiuraisi zaidi.. kwasababu nap wanaisaidia sana serikali kutoa jamu kubwa mlundikano kwa wanafunzi madarasana pia nakutoa ajila kwa wale hawakupata ajira serikali. hili tuliangalie vizuri
MIMI HUPENDA KUMSIKILIZA MZEE WASIRA.MZEE DAWA ❤🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿🙏🏽🙏🏽🙏🏽.
Karibu sana Dar Makamu wetu Na mwaka huu lazima tuwanyooshe uchaguzi mkuu
Ccm wanaheshimu dini. Nimeona hapo mzee amesimamisha khutba kwa ajili ya adhana
Nikweli kabisa mzee wetu mwenye macho haambiwi ona sijui tunataka maendereo Gani Tena..ushauri kwa chama changu .tujaribu kuboresha zaidi upande wa elimu ....zaidi kwenye shule za binafusi tutoe tozo zote zakiserikali waendeshe shule kiuraisi zaidi.. kwasababu nap wanaisaidia sana serikali kutoa jamu kubwa mlundikano kwa wanafunzi madarasana pia nakutoa ajila kwa wale hawakupata ajira serikali. hili tuliangalie vizuri
Mheshimiwa tun'akubali utetezi wako lakini hebu mtizame mchina tangu amalize reli ya uhuru na dd hivi yupo wapi na sisi tupo vipi
Ivi ccm aina vijana wenye uwelewa mpaka nafasi hii anapewa mzee ambaye anaturudisha nyuma kimawazo
Ninyi si ndio mlisema Mr Mbowe, m/ kiti gani amekaa sana cdm...sahizi mnakula maneno yenu yaani siasa ni balaa.
Sasa Dolan gani sasa unalotaka kukamata. Wakati tayari mna dola
Kweli iki chama akina maendeleo sasa Babu yako ni ww uyu mzee anastaili kupumzika tu
Mmmmmmh
Akili imeishia kukamata kukamata dola.
Si waridhi wa kutawala
🎉