Naamini kwamba. Hakuna muda mrefu haki ya Palestine itafikia .kwani hata isa bin Mariam au yesu waliotaka kumuua ni hao hao. na mungu aliwalaani! Tuwaombee amani iwafikie tu.
Vinaturuhusu, kwasababu israel ikishindwa watatukujia ,Hao majambazi wa makundi yawaslam , hatutaaponyoka. Let's pray ushindi kwa israel ni usability kwetu. Angalia sudan, Somalia,....
Mungu ibariki Israel ishinde vita hii Kwa utukufu wa jina lakoo. Maaana taifa hili ndilo ulilolichagua kwa jina lako.
Allah will protect his religion .
Mungu akupenguvu yaushindi kutoka taifa kubwa buniani
safi sana naona unamkalibia salim kikeke
Habari zake ni 3 tu lakini anapotrza wakati kumhiji mtalamu mnada mrefu. Salim kikeke tafauti
Hongera sana
Ongera sana kijana wetu,kwa ubunifu wa kulipia maji
Polen wa kenya
Wanajificha eeh
Km wao wanaume kweli wajitokeze, Israel inakula vichwa tu
Daaaa
Wakenya hawajui kiswahili, Roda Roda jifunze kiswahili fasaha , kwa zile symptoms, # Kwa zile dalili .
Daaaa israelii hatarii sanaa
Unafanya kosa nyumba ya jilani unakimbilia kwa baba ako wanakuja wanakuchapa mbele ya baba ako 😂😂😂
Allah atampa ushindi mwenye haki ya ardhi ya palestina na ghaza kwa ujumla..
Israel💪
Inashangaza sana BBC ni kituo cha karine nyingi lakini taarifa ya habari haionyeshi niyasiku gani tarehe gani mwaka gani sisi tunasikiliza tu
Kaka weka naomba Yako tukutafute uniwekee namimi hapo nje
Hatama Israel itawaua wapalestina wengi. Lakin nchi za kiarabu Zina nguvu na ushirikiano mkubwa Sana sambamba na itikadi za dini ya kiislamu
Kuvunjika Kwa koleo sio mwisho wauhunzi
Tuletee mita za kulipia nikitumia Arusha
Nisaidieni namba za mbunifu wa sarafu ya maji
Sahivi ni 3
Israel imekula kichwa tena
Izrael hana nguvu yoyote yakupambana na wanaume wa hamas, anaepigana na hamas ni marekeni na umoja wa ulaya bila kumsahau muingereza.
Naamini kwamba. Hakuna muda mrefu haki ya Palestine itafikia .kwani hata isa bin Mariam au yesu waliotaka kumuua ni hao hao. na mungu aliwalaani! Tuwaombee amani iwafikie tu.
Sisi ni waafrika siyo waisrael,vita vyahoo avituhusu
Vinaturuhusu, kwasababu israel ikishindwa watatukujia ,Hao majambazi wa makundi yawaslam , hatutaaponyoka. Let's pray ushindi kwa israel ni usability kwetu. Angalia sudan, Somalia,....
We need president Trump