Msukuma Anafunguka Mazito Mkataba wa Bandari I Awaonya Wanaopotosha I Sijahongwa Gari, Nina Hela

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Doodoma.

КОМЕНТАРІ • 409

  • @aminaramdan3283
    @aminaramdan3283 Рік тому

    Umeongea Point msukuma... Mbona Zanzibar Wameingia Mkataba wa miaka 20 na Oman.. Ili watengenezewe Bandari ya Malind na makwapwani... Kunatengenezwa Uzuri Kabisa... Mie naona Sawa tuu wacha Tutengenezewe Bandazi yetu Vizuri Jamani .. Maendeleo ya Inchi ndivyo Yanavyokuwa Mie Naunga mikonoooo🙌

  • @RachelNgailo-vn5bj
    @RachelNgailo-vn5bj Рік тому

    Mi nimejitahidi kumwelewa msukuma, Sidhani kama serikali Ina Nia ovu, Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Raisi wetu Mama Samia, Ninakupenda mama.

  • @FaustineKingu-w8d
    @FaustineKingu-w8d Рік тому +1

    Msukuma umenit
    Msukuma nilikuamini kwa hili we we sikuamini tena sitakuunga mkono kuuzwa bandari yetu,

  • @reubenbegashe2066
    @reubenbegashe2066 Рік тому +1

    Badala ya kushukuru Mungu Kwa Neema aliyokujalia eti unajisifia unamiliki hata ndege wenye ndege hawafi, umbo Mungu akupe Afya njema na hekima ya kuwajibu wenzako

  • @mzungu2012
    @mzungu2012 Рік тому +11

    MH MSUKUMA nimekusikiliza vizuri sana. Matarajio yangu ilikuwa kuwa umeona unauita upotoshaji umezidi hivyo ulikuwa na nia ya kuweka mambo sawa. Nilifikiri kuwa unafahamu kuhusu hiyo deal in details, kwamba makubaliano ya awali ni yapi? Sisi kama taifa tutafaidika na nini? Na masuala ya namna hiyo.
    ILA ISIVYOTARAJIWA maelezo yako yamejikita kujigawa na kupambana na watu wenye degree, kueleza uzuri wa kimitambo wa bandari nyingine na kuwatishia wale wenye maoni tofauti na wewe.
    HOFU YANGU ni kuwa ikiwa wewe ni moja ya wabunge wachache walio active na wenye ushawishi ila huna taarifa zenye mashiko kueleza wananchi kuhusu hiyo deal ya bandari na unatarajiwa nawe unajisifu kuwa utaenda kuamua hilo ikiwakilishwa wananchi nchi yetu ina nani wa kulinda maslahi???
    Unaweza kuwa mkweli hujaongwa hata kidogo lakini kwa maelezo uliyoeleza hautoshi kuwakilisha au kulinda maslahi ya wananchi kwenye hilo.
    TUFANYE NINI? Nafikiri haina haja ya haraka kwenye hilo, kama kuna makosa yalifanyika tusiendelee kukosea. Ni vizuri wawakilishi wetu na sisi wenyewe tukafahamu in details kuhusu faida tutakazopata kama taifa kwenye hiyo deal? Pia tuone kama hakuna namna ingine na hiyo ndio bora zaidi kabla ya kuingia hiyo mikataba. Kama wewe ni mkweli na haujakuwa influenced tafuta kwanza taarifa ndipo uchangie otherwise bora uchangie tusitishe kwanza huo mkataba mpaka tutakapokuwa tayari..

  • @hamzaswaibu9470
    @hamzaswaibu9470 Рік тому

    Mama Samia kuwa na msimo husiyumbishwe wanadamu hawana shukrani hata kidogo

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Рік тому +3

    Amelamba asali,musukuma amebadilika kumbe watu wanabadilika alikuwa mtetezi saizi amekuwa mkwelezi nae amekuwa

  • @JosephLeonardMatemba
    @JosephLeonardMatemba Рік тому +4

    Nice brother Jamaa aje tupige kazi aise faida ipo kubwa san🎉

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 Рік тому +1

    leo umejidhalilisha waziwazi,huwa unasema degree hazina issue ukiwa bungeni ila leo unaweka wazi kuwa darasa la saba ni tatizo,pole sana leo umekosea soma acha ujinga jifunze na soma upate uelewa

  • @AnaniaMvingira-pb9ps
    @AnaniaMvingira-pb9ps Рік тому

    nilikuwa nakukubali saiv

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 Рік тому +8

    Msukima kaka nakupa maua Yako 🙏🙏

    • @yonasmbele
      @yonasmbele Рік тому

      Ahhh mkataba miaka mingapi?

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Рік тому

    Nampongeza MH...rais...kwa kuliona hili...maana Ticks....wanatufanya maisha kuwa magumu

  • @mwitamasisi2509
    @mwitamasisi2509 Рік тому +3

    Uzalendo! uzalendo! uzalendo!,
    Mungu lisimamie taifa langu la Tanzania

  • @simonmakaranga
    @simonmakaranga Рік тому

    Rais kuja kuishi kama ninavyoishi mimi huo ni uongo kaka Joseph 😂😂😂

  • @hidnakirungi6546
    @hidnakirungi6546 Рік тому

    Uko saii sana msukuma"

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Рік тому +4

    Huaga ukiongea jambo nakuamini sana best

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Рік тому

      Jamaa muelewa na anaonge Points sababu ni Mzoefu (anatumia Bandari Kwa Biashara zake). ATatizo Wapigaji na Watangaza Nia 2023 Wanafanya Fitna kumchamfua mama na Serikali yake

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Рік тому +1

      hakuna rorote huyo msuma alikuwa anapoint kipindi cha uongozi uliopita ila kwa sasa ni msaka tonge kama watu wengine sina imani tena huyu msukuma mwenzangu kwaheli🚶🚶🚶🚶🚶

  • @georgealphonce100
    @georgealphonce100 Рік тому

    Musukuma ulikoenda hukujifunza kitu,suala la mkataba wa Bandari ya Dar es salaam huujui una vifungo vigumu sana watanzania watakuja kujuta

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 Рік тому

    Aibuu kushindwa kujiendesha acha tu wazungu walazimishe ndoa za jinsia moja tatizo

  • @AmbroseGeorge-sm7ni
    @AmbroseGeorge-sm7ni Рік тому +2

    Nyerere alisema wa Tanzania wakiwa na elimu watazitumia mali zao vizuli matokeo yake mnauza mnawatafta wazungu walio watesa baba zetu msukuma asali uliolamba itakugalm danganyasana Apo kumbuka machoz ya wazee wetu walio mwaga damu kwajili yakufukuza madudu yenu ayo mnayo yaleta inawatazama na itawala nyie na watot wenu acha uongo Tena acha Mungu anakuona ww usidanganye watu

  • @wilson.bigupboyskamugisha1498

    Sawa ngosha lakini watanzania wanawasiwasi na ukomo wa mkataba jalibu kuishauri serikali angalau mkataba wa awali wapewe miaka20 tuwatazame kwanza wakifanya vizuri waongezewe mda sawa ngosha kalibu bukoba

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Рік тому

    Nibora Kenya ipate ushuru kwa msukuma kuliko kukubali ubovu wa mkataba huu wa bandari ambao sasa mmeupeleka kwenye majukwaa ya kisiasa na mnaosema lazima upitishwe kuna nini mbona mnatumia nguvu kubwa kulikokusikiliz watanzania maskini kama mimi😭😭😭

  • @mwitamasisi2509
    @mwitamasisi2509 Рік тому

    Magufuli John Pombe

  • @frankmassawe4472
    @frankmassawe4472 Рік тому

    Sasa Hilo bomba linafaida gan mbona mafuta ni bei kubwa

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 Рік тому +3

    Jamaa huyu ndio mmoja wapo ya watu .ambao ni bendera tu.kama anavyo jisema wa rasaba

  • @4hestatecompany20
    @4hestatecompany20 Рік тому

    Msomi mwenzangu kulkon

  • @evaristmgeni4984
    @evaristmgeni4984 Рік тому +1

    Msukuma unacho kiongea unaonaje tukitoka kwenye suala la bandari twende tupate mwekezaji wa kuendesha ikulu ni suala la kuelewana tu na kuandaa andiko jipya la ikulu.

  • @HashimuJuma-zp8ls
    @HashimuJuma-zp8ls Рік тому

    Nimekuelewa sana ulieyasema

  • @thomaskigocha8141
    @thomaskigocha8141 Рік тому

    Nakuombea Mungu akupe kibali na ujasili ukaitetee nchi

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg Рік тому +3

    Umeongea vizur na tumeelewa. Swali ni moja, mkataba unasemaje na ukomo wake ni linii!?

  • @mrumakan
    @mrumakan Рік тому

    Big up

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Рік тому +5

    Ila best yangu Islamic inakupendeza sana,hebu njo kwa MUHAMMAD siku moja tukutane peponi Inshallah

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому +1

      kwani kuvaa kanzu na kofia ya duara ni uislamu? hahaha pole sana mii nilizani uislamu wa mtu uko moyoni kumbe uko kwenye makanzu hahahaa

    • @muharuroamani8703
      @muharuroamani8703 Рік тому +3

      Elewa alichoongeya mwenzako sio kujibu kwa kejeli na ujinga wa hali ya juu

    • @mosimba467
      @mosimba467 Рік тому

      @@ramadhanmahongole9293 Hujitambui we we

    • @spabiton7989
      @spabiton7989 Рік тому

      Time kaa Sana huko urop Hati Taki mjinga wewe tu wite tuna akili Mavi wewe Hu a usalama uli jenga really Mavi wewe

    • @spabiton7989
      @spabiton7989 Рік тому

      Ume hongwa. A I wewe Hu a akili

  • @remtulanassary
    @remtulanassary Рік тому

    I wish na Bunge lingebinafsishwa pia..
    C bora tungetumia hela za kununua ndege kulet mitambo ya bandari???
    Nlazma tuwape emerate kwa miaka 100???
    Je nchi haiwez kununua mitambooo???

  • @mpokihardware9421
    @mpokihardware9421 Рік тому

    Msukuma Hebu Zungumzia mkataba Mjadala hapa ni mkataba na Sio mwekezaji Jitambue basi broo.

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Рік тому

      Anko huo mkataba wewe unakusaidia nini ....hoja Ticks ....wanaukiritimba sana ...tunalishwa bidhaa bei kubwa

  • @frankmassawe4472
    @frankmassawe4472 Рік тому

    Musukima nilikuwa nakukubal sana ila kwa hili nimekukaa kabisa

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Рік тому +1

    Msukuma usidanganye watu! Watu tunajua mengi sana...

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Рік тому

    HONGERA MHE. MSUKUMA. MSAIDIE MAMA SAMIA NA WATANZANIA KWA UJUMLA.

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Рік тому

    Jikite kuelimisha sio kurusha vijembe. Ambao hawajasoma ni shida

  • @pillymohamed3100
    @pillymohamed3100 Рік тому

    Antony john

  • @bensonmasawa4749
    @bensonmasawa4749 Рік тому +5

    Ifike wakati wene pesa, wenye elimu na wenye vipaji tuheshimiane na kila mtu afanye kwa nafasi yake. Kwenye mambo ya sheria na biashara za kimataifa, Musukuma waachie wasomi. Kuwa na pesa zaidi yao haina maana unaelewa kila kitu kuliko wao. Tumejengwa tofauti na kazi ilotuleta duniani ni tofauti. Nikihitaji nyumba nitamtafuta mwashi sio wew, nikiumwa nitamtafuta daktari sio wewe, nikihitaji kiti nitamtafuta selemala sio wewe na nikihitaji kujua bandari nitawatafuta wataalamu husika sio wewe.
    Acha wasomi waplay part yao. wamejengwa kufanya hayo, na wasipowajibika kuhoji na kudadisi kesho ya mimi, wewe, watt na wajukuu wetu haiwezi kuwa salama. Darasani walifundishwa kuiangalia historia, kuyaelewa mazingira ya sasa na kuitabiri kesho yetu tuwaache waisome na kuichambua hio mikataba. kufanya ubabae wa madaraka na fedha kuwaziba midono ni hatari kwa ustawi wa taifa.

    • @youandme1593
      @youandme1593 Рік тому +1

      Nikuuulize benson wasomi unaowaongelea wako Tanzania ya angani ama? Kama wapo Tanzania ina umri gani sasa na wametusaidia nini😃? They have done nothing for this country.. we gave them power they feed themselves and their families. If I was me I would have gave even 10000 yrs to manage the port .for more than 50yrs they have been benefiting themselves..some big fish have more money than thé government( kuna mijitu imeiba hapo bandari kiasi kwamba wana pesa kuliko serikali) wakati kuna watu wanalala njaa, matibabu duni na mengine kibao. Bandari inafaidisha wachache waondoke mifumo ifanye kazi.
      Watanzania tulikua tunalilia kuwa na mifumo bora.. tunapta mifumo tunaanza kupayuka. Mbona hamkua mnapiga kelele siku😂zote wakati bandari ilikua ina fanya madudu mpaka magufuli alipoingilia kati??

    • @bensonmasawa4749
      @bensonmasawa4749 Рік тому +1

      @@youandme1593 when things go fine, they go unrecognised! Ni kukosa shukurani tu, ila wasomi wanaisaidia sana jamii.

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Рік тому

    Huo mkataba usainiwe mara moja hao waizi watoke haraka naamini waarabu naamini waisilamu sana

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 Рік тому +1

    Et sisi watu ambao atuna elimu kubwa darasa la sana 😅😂 mpeni uliñzi msukumaaa😊

  • @maphandeahmed7732
    @maphandeahmed7732 Рік тому

    Mfumo wenu wa bunge haupo sawa mnaongwa pesa ndani yay bunge mnauza nchi historia itawasoma

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Рік тому +1

    kazi iendelee

  • @mazikumaziku8434
    @mazikumaziku8434 Рік тому +1

    Tatizo sio UJENZI wa bandari TATIZO ni Makubaliano Nyuma ya UJENZI....!

  • @menshitunze
    @menshitunze Рік тому

    Ajira Gani,wakati wenzetu wanatumia robot,WEWE ni HOVYO KABISA huna point za mashiko yoyote,ni mbinafsi,unaelekea kuhusu biashara zako kuliko utaifa,bungeni utapasikia kwa jirani 2025.

  • @c.m.iconstructionltd
    @c.m.iconstructionltd Рік тому

    Upewe uraisi mzee✌️

  • @thobiasmajaliwa9282
    @thobiasmajaliwa9282 Рік тому

    Ishu siyo kukodisha ishu ni mkataba umeuelewa we msukuma ,nipe mda wa ukomo na nipe hayo matalajio yasipo fikiwa mtamtoa vip?

  • @lubashavenas2902
    @lubashavenas2902 Рік тому

    Naww kumbe ni mpinga dili?

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 Рік тому

    Tafadhali Msukuma, usitueleze kuwa mnapitisha. Watanzania wanakubali?

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Рік тому

    Tunakuunga mkono......

  • @gakubajeandedieu5254
    @gakubajeandedieu5254 Рік тому

    Swali liko hapa. Vp watakapoferi mnauaezo wa kusimamisha mkataba😂😂😂. Hakuna

  • @abelimwakijungu1226
    @abelimwakijungu1226 Рік тому

    Mzee hayo unayoongelea mbele yako siyo masega ya asali uliyoonjeshwa kama unavyodhani, ni Mizinga ya Nyuki. Endelea kuwachokozea ujinga, Wadudu wamo ndani.

  • @thateielius6177
    @thateielius6177 Рік тому

    Ok hujaona miaka miamoja je nimingapi

  • @mungunimwemakilawakati1299
    @mungunimwemakilawakati1299 Рік тому

    MBONA HUKUTUELEZA WATANZANIA, MARA MLIPORUDI KUTOKA DUBAI?? KWANINI SASA NDIO UNAONGEA!

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Рік тому +2

    Mm Ni shabiki wako lakini kwa hili twende polepole

  • @Dancan33
    @Dancan33 Рік тому

    Inasikitisha msukuma nae katekwa
    Tunapoteza imani na Msukuma

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 Рік тому

    Fanyeni na tanesco

  • @ronaldmandari3084
    @ronaldmandari3084 Рік тому

    Kilichowashinda kuweka uongozi dhabiti wa kuweza kuendesha bandari?

  • @killiankingDr
    @killiankingDr Рік тому

    Hiyo mifumo mibovu kaiweka nani Mr Dr? Siyo chama chenu? No we are not that much stupid. Kama ni kweli huo mpango ni mzurini kwa nini za Zanzibar hakuna hata moja? No we are not that much foolish Mr Dr sir

  • @DaudJames-jc2zn
    @DaudJames-jc2zn Рік тому

    Zungumzia mkataba ambao unaonekana hauna muda maalumu pia kipato au tija tutakayoipata na mgawanyo wa asilimia za mapato ,pia zungumzia mkataba kumiliki ardhi na anga na maziwa na bahari

  • @Papaa_Hillary_Mrema
    @Papaa_Hillary_Mrema Рік тому +7

    Tanzania ya Viwanda bila kuwa na Uwekezaji Mkubwa katika Uchukuzi hususani Bandarini bado tutakuwa nyuma Kimaendeleo. Bandari ya Uingereza la London Gate Away na Southampton zote zinaendeshwa na DP World ya Dubai. Naomba tumuunge mkono Mheshimiwa Rais Samia. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿

    • @samsondominick81
      @samsondominick81 Рік тому

      Hatukataiii kwa Conditions ganii boss .... Acha kufata upepo

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Рік тому +1

      Hoja siyo kuwekeza hoja ni maslahi gani Kwa taifa? Imekuwapo mikataba mingi ambayo ilipigiwa debe sana na matokeo yake ni 0

    • @josephmnzavas9747
      @josephmnzavas9747 Рік тому

      Masharti yaliyopo katika mkataba wetu ni sawa na Southampton?acha kujizima Data bro,hata Mimi darasa la nne B nisingekubali kusaini masharti ya kijinga

    • @robertwambura
      @robertwambura Рік тому

      Basi hawa waarabu wapewe mkataba wa miaka 10 tu kwanza tuone na vifungu vya kumpa ardhi mwarabu vifutwe.

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo Рік тому +6

    Mbona nguvu inayotumika ni kubwa kuna siri gan

  • @frankmassawe4472
    @frankmassawe4472 Рік тому

    Nachukia sana

  • @dominicmawala5614
    @dominicmawala5614 Рік тому

    KWANINI WASIPELEKWE VIJANA WASOMI KUJIFUNZA TECHNOLOGY HIYO NA BAADAE SERIKALI IWEKEZE KTK TECHNOLOGY HIYO?

  • @KITMREGISTRAR
    @KITMREGISTRAR Рік тому

    MSUKUMA, mkataba wenyewe umesoma ? au umesimliwa

  • @DaudJames-jc2zn
    @DaudJames-jc2zn Рік тому

    Msukuma kumbe hela ni SABUNI ya roho umetusaliti baba

  • @salumuamerica4997
    @salumuamerica4997 Рік тому

    Viongozi wetu mungu awaguse acheni uzembe jamani uwo ujamaaaa na walabu mmeanza lini ??? Msukuma mbona tunakuamini alafu unaongea fyongo

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 Рік тому +2

    Kumbe kweli inabinafsishwa eeee

  • @dismasngowi6285
    @dismasngowi6285 Рік тому +1

    Uwekezaji ni mzuri.
    ...swali ni kwamba:
    Terms na conditions za mikataba waliyowekeza nchi za nje kama marekani na Canada ni sawa na hizi za mkataba wetu....?
    Kama ni sawa wekeni mikataba mezani watanzania tuijadili maana nchi ni yetu sote.

  • @jafaryamiry-ys4rg
    @jafaryamiry-ys4rg Рік тому

    Tatizo ni kwann mkataba hauvunjwi na nikwann uwe ni wamilele

  • @sumamelody6197
    @sumamelody6197 Рік тому

    Mi nabariki kabisa hilo serikali haiwezi kutufanyia jambo la kutuumiza wana nchi wake

  • @menshitunze
    @menshitunze Рік тому

    Ni vilaza kweli .

  • @Pastorbarakamwanjala
    @Pastorbarakamwanjala Рік тому

    Ety Sia akistaafu ataish kama sisi.
    Ataish wapi. ??
    Tanganyika au Zanzibar...?

  • @rashidathumani6756
    @rashidathumani6756 Рік тому

    Lugha zinakua tamu sana...
    Hii mikataba si ndio wabunge hawahawa pale bungeni walipitisha mikataba ya madini???
    JPM akaja akasema tunalogwa na nani kwenye mikataba????

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto8017 Рік тому +1

    UKO SAFI KWA UFAFANUZI.....WALE JAMAA WANA MTAJI MKUBWA NA VIFAA BORA

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Рік тому

    Kina Msukuma wamehongwa na warabu ili waupingie debe mkataba.

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Рік тому +4

    Swala ni muda wa mkataba,na serikali iwe huru kuwaangalia,hayo yote tunajua,ili wakileta ubebari tunawakataa,wasije kuleta utumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

  • @SharifuMajani-tf9ih
    @SharifuMajani-tf9ih Рік тому +1

    Inamaana tanzania hatuna uwezo wakuendesha bandar

  • @lazarojassely4178
    @lazarojassely4178 Рік тому +1

    Wanaopinga hili la bandari wengi ni wakwepa kodi, wanaogopa njia zao zitashindwa kufanya kazi endapo tutaanza kuiendesha kisasa

  • @musakucheje3477
    @musakucheje3477 Рік тому

    Msukuma watu awajakataa muwekezaji watu wanataka kujuwa mkataba unasemaje sio maneno sema mkataba unasemaje

  • @BasumegeMbotwa-bo7td
    @BasumegeMbotwa-bo7td Рік тому

    Hahahahaa kufika Dubai kumemuvuluga bila kuangalia mazara ambayo Tanzania inaweza ikasilika na watu wake

  • @mwananzengotv6048
    @mwananzengotv6048 Рік тому

    Kiufupi mm cijaelewa hapa ni ishu mkataba ni wamda gani halafu kwanini bandari isiwe chini ya serikali

  • @MariamAbeid-gl4rx
    @MariamAbeid-gl4rx Рік тому

    Kibaraka wa serikali,na mnafiki na msaliti mkubwa

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 Рік тому

    Wewe Musukuma umeusoma mkataba?

  • @robertmayeji141
    @robertmayeji141 Рік тому

    Pesa ya bandari lazma mtumie nguvu nyingi kujinasua .hahahahahah

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 Рік тому +2

    Clouds mwambien msukuma dada yake naomba mtaji jamani

  • @Kasembe123
    @Kasembe123 Рік тому +3

    Uwekezaji ni kitu kizuri sana tatizo ni mkataba.Bila ya kuwa na mikataba mizuri inayolinda maslahi ya nchi hatuwezi kupata tija katika uwekezaji.Tusirudie makosa kama ya TICTS na IPTL au hata Urafiki na Tazara mwisho wa siku ni sababu ya vita.

    • @ramadhanimakange9766
      @ramadhanimakange9766 Рік тому

      Swali? JE NI MKATABA UPI AMBAO UMESAINIWA TANZANIA AMBAO UNAWARIDHISHA WATANZANIA KWA ASILIMIA %

  • @eliamsoselo6033
    @eliamsoselo6033 Рік тому

    hujui kilichopo kwenye mkataba wala hujausoma unafuata upepo

  • @jbdedon
    @jbdedon Рік тому +5

    😂😂😂 hapo kwenye kuishi maisha kama ya kwetu rais ni UONGO..!!

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Рік тому

    Viongozi wengi wazalemdo wamewekwa kusimamia bandari mwisho wasiku wanaishia kujinufaisha na familiazao mapato ya bandari hayaonekani Rais yuposawa acha abinafsishe tupate kingi zaidi kwa naendelea ya nchi.

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Рік тому +2

    Tuambie ile gari yako mpya umeitoa wapi?

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Рік тому

    DP world yupo vizuri kwenye uwekezaji katika sekta ya Bandari katika nchi za Africa alizowekeza ni Senegal,Djibouti,Somaliland,Somalia,Mozambique, Angola ,Togo..

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Рік тому

      Una any data zozote za ku-support hii deal?

    • @charlesmakasabi2157
      @charlesmakasabi2157 Рік тому

      @@kambamazig02024 google utapata taarifa. Na kwa africa Djibout, senegal, somalia, Mozambique ni kati ya nchi zenye rank kubwa kwa bandari, istoshe Djibout ni ya kwanza kiafrika na 16 hivi kidunia. Bandari yetu mwaka juzi ilikua ya 361 kati 380 duniani, ila mwaka jana tulikua kama sikosei 316. Tumepanda na kwa mara ya kwanza tumeipita bandari ya Mombasa kenya ambayo ni ya 326 kama sikosei.
      Tatizo ni hizo terms, kama tukiona zinatu favour, sio mbaya wakawekeza.

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Рік тому

      DP world ....wapo vizuri maana Ticks waondolewe tuu

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk Рік тому

    Docter mwamba ila?

  • @samsondominick81
    @samsondominick81 Рік тому +1

    Ukiona nguvuu ya ushawishi inakuwa kubwa sana basii juaa hilo jambo siyo jema ....Jambo jema halijawahii kutumiaa nguvuu kubwa ya ushawishii.... HATUKATAII UWEKEZAJIII ...NDIOO LAKIN UWEKEZAJII UNA CONDITION GANI WEKENI CONDITIONS WAZI NCHII HII NI YETUU SOTE SIYOO YA FAMILIA AU WATU FULANI ....HATA KAMA WAMEWEKEZA LONDON SIJUII SOUTHAMPTON...LAKIN CONDITIONS ZINAMATTER SANA MAANA NDIZO ZINAZOUMIZAAA....

  • @Pastorbarakamwanjala
    @Pastorbarakamwanjala Рік тому +1

    Ah. Hali Si shwari.
    Viongozi wa taifa wakianziwa na rais wanathubutu kukimbia kukabili ukilitimba Kwa kukodisha bandari.
    Shame on us Kwa kuchagua viongozi wasi na uwezo wa kutumia rasilimali tulizonazo mpaka wampe mgeni ... Kwa mda usiojulikana.
    Kwa mda usiotaka kusemwa.

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Рік тому +2

    Huyu ameshapewa gari huko Dubai anakuja hapa kupiga debe.
    Mkataba wenyew umeandikwa kwa kiingereza anao uwezo wa kujua kimeandikwa nn we msukuma?? Watanzania hawakatai uwekezaji, ila wanakataa masharti ya mkataba

  • @InnocentChaba
    @InnocentChaba Рік тому +1

    Wewe ni mbwa Huna lolote soma vipengele vya mkataba

  • @travellingandadventures2549

    😂kwahyo Dubai mlijifunza nn danganya washamba wasitembea. Cha msing atutakk mkataba wa milele..msitulazimishe kwa Maslai ya matumbo ya wachache

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m Рік тому +1

    Wewe bwege kilichoandikwa kwenye mkataba huo ni lugha ya kisheria je unakijua au unabwabwaja tu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Рік тому

    Wewe tumia ilicho pewa tu lakini Mungu atakuwadhibu. Una nini unacho jifunza basi biashara hata sisi tunafanya biashara kama wewe lakini si mazezeta