Mbarikiwe sana! Mmeamua kuimba melody za mkatoliki zinazotakiwa mmekuwa chagua langu Bora sana! Nawaombea muendelee zaidi na zaidi kuziupdate hizo nyimbo za akina Mgandu, mwarabu, Fr kayeta na WENGINE wote nguli wa mziki mtakatifu
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa wimbo iyi ya dominika iyi ya 3 ya kwaresma Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za rogo mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
Wacha leo niwe wa kwanza kucomment,,,,Hongereni kwa kazi nzuri ya uinjilishaji ,, Lazaro na Despina na wengine wote ,,, Mbarikiwe mpaka mshangae.
Hongereni sana nakumbuka mtunzi makoye
Hakika kazi imetulia sana.
Ninawapenda. Kila la kheri katika utume.
Tumsifu Yesu Kristo😍❤️🙏
Nyimbo,,,zako,,zinanitia nguvu xana ,,, hongera,,,sana ,,karb Tena matuu parish,,kyasion village
Wazee mnafanya kazi safi
Wimbo mzuri 😍 kazi nzuri waimbaji endeleeni kuinjilisha kwa nyimbo 🙏 Mungu awabariki!
Mbarikiwe sana! Mmeamua kuimba melody za mkatoliki zinazotakiwa mmekuwa chagua langu Bora sana! Nawaombea muendelee zaidi na zaidi kuziupdate hizo nyimbo za akina
Mgandu, mwarabu, Fr kayeta na WENGINE wote nguli wa mziki mtakatifu
ijpl9l
.m
.
....
njlu⁹
Hongereni nyimbo nzuri sana mbarikiwe sana wapendwa
Mungu azidi kukuimarisha kiafya dada despina kwani nimengi tunavuna kwako.
Uinjlishaj mwem wapndwaa mschokee kutangza hbrii njmaa za mungu
Vraiment de belles mélodies.Dieu nous a envoyé les anges du ciel transformés aux humains pour chanter sa louange ici-bas.
Hakika kazi inapendeza
Good song 2:06
Despina sio wewe unaye imba Bali roho mtakatifu anaekuwa ndani mwako,ubarikiwe.
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃daaaah hongera sana Dear Mungu akublless sana umependeza
Patiu tumekumis Sana karibu bashnet
Hongereni sana kwa uinjilishaji mungu awabariki
Nabarikiwa sana nisikilizapo nyimbo zako dada
Mpangulio wa sauti najikuta natamani kuabudu muda wote.mbarikiwe sn
nyimbo nzur saaaana mwenyezi Mungu aendelee kuwasimania
Mungu awabariki🎉
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa wimbo iyi ya dominika iyi ya 3 ya kwaresma Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za rogo mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
The galaxy pro mko vizuri hongereni sana Mungu wetu wa upendo awabariki sana mzidi kutuinjilisha kwa njia ya nyimbo🙏
Da Despina i wish to join you
Barikiweni watu wa MUNGU
Hongeni sana waimbaji,,MUNGU awape maisha marefu kama mchanga wa baharini ❤❤
Kazi Pouw Sanaaa
Nice song be blessed Linah
Hongera ,💝💝💝🤩🤩🤩🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya twawaenzi 💝
Very nice
Noumaaa
Kazi nzuri Sana wapendwa Katika kristu
Naombeni namba ya Despina jaman
Through singing we are all saved🙏
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu kristu
Ospina great job
Beautiful voices
Mbarikiwe Guys
Amina
mlipo nipooooooooooooo
Nina wa penda sana
❤❤
💐💚💞
Good
u9