UNATHAMANI Mwita Isack. MWITA ISACK & FRIENDS

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 271

  • @tapindatapinda5043
    @tapindatapinda5043 10 місяців тому +5

    Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉

  • @johnpaul-c7u8m
    @johnpaul-c7u8m Місяць тому +1

    nafarijika sana na wimbo huu kwa mungu unathamani nashuru walio andaa mungu awaongezee ujuzi zaidi

  • @antonymumo1976
    @antonymumo1976 День тому +1

    Woow.....very nice song ❤

  • @JosephatNziku
    @JosephatNziku 23 дні тому +1

    Wooow wimbo mzuri mubarikiwe sana

  • @vennerandadonald2592
    @vennerandadonald2592 2 місяці тому +8

    Huu wimbo umekua favorite yangu, usiku kucha naweka uimbe na asubuhi naamka nao, kazini baada ya Rozari lazima nisikilize.
    Nani mwingine anafarijika na anapata ma tumaini akisikia wimbo huu.
    Let’s gather here.

  • @monicakaranja268
    @monicakaranja268 Рік тому +9

    "Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤

  • @EusilahRutto-h4q
    @EusilahRutto-h4q 10 місяців тому +5

    Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.

  • @christina40mwangosi97
    @christina40mwangosi97 Рік тому +2

    Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.

  • @MegaAbby1010
    @MegaAbby1010 2 місяці тому +1

    Wimbo wenye ujumbe mzuri wenye kujenga imani.

  • @pascalmsilombo6728
    @pascalmsilombo6728 17 днів тому +1

    Safi safi

  • @EliasMethod-t7n
    @EliasMethod-t7n 2 місяці тому +1

    Nawapenda sana elias method kutoka kwaya ya familia takatifu shinyanga mjini niwatakie utume mwema

  • @FeliciaMbonabucha
    @FeliciaMbonabucha Рік тому +3

    Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani

  • @thrillingpoint2132
    @thrillingpoint2132 2 місяці тому +2

    Kwa Mungu nina thamani🙏🙏🙏🙏

  • @ernesthaonga7640
    @ernesthaonga7640 Рік тому +1

    ❤❤❤❤tumeupiga mwingi

  • @PendoMakyao
    @PendoMakyao 11 місяців тому +1

    Amina..wimbo unabariki sana

  • @WITNESSJAMES-lr6jz
    @WITNESSJAMES-lr6jz 4 місяці тому +1

    Much love❤🎉

  • @PeacefulDaisies-jk2xq
    @PeacefulDaisies-jk2xq Рік тому +1

    Hakika kwa Mungu nina thamani

  • @EinothMollel-vb1tc
    @EinothMollel-vb1tc Рік тому +1

    Ujumbe mzuri

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 2 роки тому +19

    Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.

  • @estherwanjiru6001
    @estherwanjiru6001 11 місяців тому +1

    Wow ❤ I love your song

  • @aikabernard
    @aikabernard Рік тому +38

    Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake

    • @Mwita_Isack
      @Mwita_Isack Рік тому +2

      Barikiwa sana 🙏

    • @ashrafmohamed7966
      @ashrafmohamed7966 Рік тому +2

      Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani

    • @PAULGATTI_21PG
      @PAULGATTI_21PG Рік тому

      Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa ua-cam.com/video/ZkqeC2bhzsk/v-deo.html

    • @duobledrittedeoritte2787
      @duobledrittedeoritte2787 7 місяців тому +1

      Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz

    • @erastorichard8290
      @erastorichard8290 4 місяці тому

      Hakika ndgu

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 11 місяців тому +2

    Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 2 роки тому +11

    Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana

  • @okumuobudho5495
    @okumuobudho5495 3 місяці тому

    Properly composed be blessed.

  • @EmmanuelAndrew-e1p
    @EmmanuelAndrew-e1p 11 місяців тому +1

    congratulate to a good song

  • @bobrobert3374
    @bobrobert3374 2 роки тому +5

    Hongera kwa tunzo na sauti nzuri

  • @NazarKaduri
    @NazarKaduri 2 місяці тому +1

    Wimbo huu jaman unanifariji mnooo hakika me niwathamani

  • @KizaSango-g6v
    @KizaSango-g6v 3 місяці тому +2

    Ongera sana kwa aliyetunga hii wimbo,pia waimbaji ongrereni kwa kuimba wimbo huu vizuri sana MUNGU awabariki kwa kazi ya uhimbaji

  • @rahabkuria1064
    @rahabkuria1064 3 місяці тому

    This is My favorite Marian hymn, thanks ms Bhakita

  • @ElvisNacham-eg8ep
    @ElvisNacham-eg8ep 7 місяців тому +3

    Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu

  • @thobiasluanda-mg4qf
    @thobiasluanda-mg4qf Рік тому +3

    Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏

  • @anataliangalowoka3906
    @anataliangalowoka3906 Рік тому +3

    Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno

  • @aidandidace8207
    @aidandidace8207 2 роки тому +6

    Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥

  • @LadislausmzibaMhasa
    @LadislausmzibaMhasa 3 місяці тому +2

    Kwa kweli kazi ni nzuri kinoma nimekubali mungu awazidishie afya njema

  • @baremaleonard9980
    @baremaleonard9980 7 місяців тому +2

    Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,

  • @johnrikanga3953
    @johnrikanga3953 2 місяці тому +1

    Hii ni tungo Bora sana za Mtunzi Mwita

  • @patricktuseko79
    @patricktuseko79 2 роки тому +7

    Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed

  • @SteveWakaba-ke7iz
    @SteveWakaba-ke7iz 3 місяці тому

    I listen to the song every day. Pls nisaidie na notes ikiwezekana.

  • @DariaJosephat
    @DariaJosephat 5 місяців тому +3

    Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu

  • @GasperTarimo-j2w
    @GasperTarimo-j2w 5 місяців тому +1

    Samahani kwani ww ulianza kujifunza mwaka gani

  • @robertkyanzue9994
    @robertkyanzue9994 8 місяців тому +1

    kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @EdwardWankyo
    @EdwardWankyo 4 місяці тому +2

    Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu

  • @MathiasJohn-m6n
    @MathiasJohn-m6n Рік тому +2

    Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤

  • @martensnshimi3613
    @martensnshimi3613 4 місяці тому +1

    Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu

  • @tempochoir
    @tempochoir Рік тому +1

    Blessings.

  • @sarikasluvanga7780
    @sarikasluvanga7780 3 місяці тому

    Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 Рік тому +2

    Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.

  • @martinabel3896
    @martinabel3896 3 місяці тому +2

    Daah nimeurudia huu wimbo zaidi ya mara 100 lkn hamu haiishi kuusikiliza, barikiwa sana mtunzi na waimbaji wote

  • @aquenthony6199
    @aquenthony6199 5 місяців тому +1

    mi nilikua wapi jmn😢

  • @Kiza-m1l
    @Kiza-m1l 3 місяці тому +1

    Yaani huu wimbo unanitia moyo sana

  • @margaretwanjau2607
    @margaretwanjau2607 3 місяці тому +2

    Oh what a wonderful song! What a powerful message here!
    Asanteni sana Mwita and friends. I play this song everyday. It is so encouraging. ❤❤

  • @DennisDara-i4i
    @DennisDara-i4i 5 місяців тому +1

    Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha

  • @carolineflueckiger7457
    @carolineflueckiger7457 6 місяців тому +1

    Yesu nakupenda

  • @GasperTarimo-j2w
    @GasperTarimo-j2w 7 місяців тому +1

    Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi

  • @christinaraymond1928
    @christinaraymond1928 Рік тому

    Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl

  • @josephmuthusi9055
    @josephmuthusi9055 4 місяці тому

    Una thamani. On endless auto-repeat this morning.
    I feel this is how music will be in heaven.

  • @AnethLebwanga
    @AnethLebwanga Рік тому +1

    Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi

  • @MaryNdondu
    @MaryNdondu Рік тому +1

    Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana

  • @EmmanuelMarco-v1q
    @EmmanuelMarco-v1q 9 місяців тому

    Ok very nice

  • @JohnMasondole-u9m
    @JohnMasondole-u9m 4 місяці тому

    Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana UA-cam pekee ake mediaa nyingine hapana

  • @LudvicNgugi-kx5xb
    @LudvicNgugi-kx5xb Рік тому +1

    Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.

  • @NicholasMutuku-rh6fz
    @NicholasMutuku-rh6fz 6 місяців тому

    Alleluia,"amina.

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 4 місяці тому +1

    Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake

  • @lilianwillium8381
    @lilianwillium8381 Рік тому

    Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana

  • @KulabaStephen
    @KulabaStephen 4 місяці тому

    Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Рік тому +1

    Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki

  • @kwayamalaikagabrielparokia506
    @kwayamalaikagabrielparokia506 2 роки тому +6

    So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...

  • @Musadaniel-l7y
    @Musadaniel-l7y 7 місяців тому +2

    A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏

  • @IGNASMBILINYI-tl3mp
    @IGNASMBILINYI-tl3mp Рік тому +2

    Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏

    • @Mwita_Isack
      @Mwita_Isack Рік тому +1

      Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta

  • @despinae.mdende
    @despinae.mdende 2 роки тому +9

    Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.

    • @benardlameck7340
      @benardlameck7340 2 роки тому

      🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰

    • @norberttwamba8467
      @norberttwamba8467 2 роки тому

      Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu

  • @nellyogwang6320
    @nellyogwang6320 Рік тому +1

    Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu

  • @dignakayombo74
    @dignakayombo74 Рік тому +1

    Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia

  • @Arati3
    @Arati3 9 місяців тому

    Nice😊

  • @benomahema3011
    @benomahema3011 Рік тому +1

    Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.

  • @janerosezanzibar5372
    @janerosezanzibar5372 2 роки тому +4

    Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏

  • @alphoncembassa6401
    @alphoncembassa6401 5 місяців тому +1

    Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa

  • @geofreydawa4399
    @geofreydawa4399 Рік тому +1

    Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji

  • @dianamseka1233
    @dianamseka1233 5 місяців тому +1

    Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.

  • @waromokello
    @waromokello 8 місяців тому

    The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet

  • @CeciliaBeatus-i3t
    @CeciliaBeatus-i3t 3 місяці тому +1

    Mungu awabariki ukweli nimepata Tumaini jipya kupitia huu mungu awabariki

  • @janemwangi605
    @janemwangi605 4 місяці тому +1

    Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.

  • @HappyGoodluck-v3p
    @HappyGoodluck-v3p 5 місяців тому +1

    Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 4 місяці тому +1

    Mungu akubariki mno Isack kwa hiki kipaji alichokupa

  • @PaulBulolo
    @PaulBulolo Рік тому +1

    Hongereni sana waimbaji 👏👏👏

  • @LucyNyeura-op6mg
    @LucyNyeura-op6mg Рік тому +1

    Mungu awabariki mno, kazi nzuri

  • @AlphoncinaCharles
    @AlphoncinaCharles 9 місяців тому

    Ongereni

  • @AndreaAbery
    @AndreaAbery 6 місяців тому

    Mungu abariki kazi ya mikono yenu

  • @ephraimkashusha3987
    @ephraimkashusha3987 2 роки тому +3

    Kazi Safi sana
    #Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..

  • @michaelmaige9300
    @michaelmaige9300 2 роки тому +1

    Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo

  • @norbertsungu3922
    @norbertsungu3922 Рік тому +1

    🙏

  • @janemusyoki5218
    @janemusyoki5218 Рік тому +1

    Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.

  • @edithamakanzo6023
    @edithamakanzo6023 Рік тому +1

    nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
    hongereni kwa kazi njema

  • @EmmanuelMarco-v1q
    @EmmanuelMarco-v1q 9 місяців тому

    Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake

  • @SirJames065
    @SirJames065 2 роки тому +4

    Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..

  • @fiderisbahebe
    @fiderisbahebe 4 місяці тому

    Kunanjia gan yakpata huu wimbo Jaman?

  • @MHOZYAKILIGI
    @MHOZYAKILIGI 8 місяців тому

    Hakika kwa MUNGU Kuna thamani 🙏🙏🙏🙏

  • @REBECAMMUSA
    @REBECAMMUSA Рік тому +2

    Wimbo mzuri sana

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 Рік тому +1

    Hongera sana mwalimu

  • @AnithaModest-b5t
    @AnithaModest-b5t Рік тому

    Kabisa!! kwa Mungu ndio kimbilio pekee

  • @dainesrhobi7172
    @dainesrhobi7172 2 роки тому

    Hongeren kazi nzuri Sana
    Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda
    Umetiachia pengo Huku