Huu wimbo umekua favorite yangu, usiku kucha naweka uimbe na asubuhi naamka nao, kazini baada ya Rozari lazima nisikilize. Nani mwingine anafarijika na anapata ma tumaini akisikia wimbo huu. Let’s gather here.
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa hongereni kwa kazi njema
Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉
nafarijika sana na wimbo huu kwa mungu unathamani nashuru walio andaa mungu awaongezee ujuzi zaidi
Woow.....very nice song ❤
Wooow wimbo mzuri mubarikiwe sana
Huu wimbo umekua favorite yangu, usiku kucha naweka uimbe na asubuhi naamka nao, kazini baada ya Rozari lazima nisikilize.
Nani mwingine anafarijika na anapata ma tumaini akisikia wimbo huu.
Let’s gather here.
✋✋❤❤
Nisadie kuupata yotubu siwez danilod
"Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤
Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.
Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.
Wimbo wenye ujumbe mzuri wenye kujenga imani.
Safi safi
Nawapenda sana elias method kutoka kwaya ya familia takatifu shinyanga mjini niwatakie utume mwema
Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani
Kwa Mungu nina thamani🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤tumeupiga mwingi
Amina..wimbo unabariki sana
Much love❤🎉
Hakika kwa Mungu nina thamani
Ujumbe mzuri
Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.
INADHAMANI.
Wow ❤ I love your song
Keep it up
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Barikiwa sana 🙏
Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani
Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa ua-cam.com/video/ZkqeC2bhzsk/v-deo.html
Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz
Hakika ndgu
Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana
Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana
Properly composed be blessed.
congratulate to a good song
Hongera kwa tunzo na sauti nzuri
Wimbo huu jaman unanifariji mnooo hakika me niwathamani
Ongera sana kwa aliyetunga hii wimbo,pia waimbaji ongrereni kwa kuimba wimbo huu vizuri sana MUNGU awabariki kwa kazi ya uhimbaji
This is My favorite Marian hymn, thanks ms Bhakita
Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu
Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏
Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno
Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥
Kwa kweli kazi ni nzuri kinoma nimekubali mungu awazidishie afya njema
Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,
Hii ni tungo Bora sana za Mtunzi Mwita
Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed
I listen to the song every day. Pls nisaidie na notes ikiwezekana.
Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu
Samahani kwani ww ulianza kujifunza mwaka gani
kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu
Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤
Amina 🙏 sana
Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu
Blessings.
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.
Daah nimeurudia huu wimbo zaidi ya mara 100 lkn hamu haiishi kuusikiliza, barikiwa sana mtunzi na waimbaji wote
mi nilikua wapi jmn😢
Yaani huu wimbo unanitia moyo sana
Oh what a wonderful song! What a powerful message here!
Asanteni sana Mwita and friends. I play this song everyday. It is so encouraging. ❤❤
Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha
Yesu nakupenda
Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi
Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl
Amina 🙏
Una thamani. On endless auto-repeat this morning.
I feel this is how music will be in heaven.
Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi
Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana
Ok very nice
Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana UA-cam pekee ake mediaa nyingine hapana
Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.
Alleluia,"amina.
Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake
Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki
So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...
Mungu anaijua dhamani yako.
A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏
Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏
Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta
Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰
Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu
Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu
Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia
Nice😊
Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.
Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏
Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa
Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet
Mungu awabariki ukweli nimepata Tumaini jipya kupitia huu mungu awabariki
Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.
Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu
Mungu akubariki mno Isack kwa hiki kipaji alichokupa
Amina sana
Hongereni sana waimbaji 👏👏👏
Mungu awabariki mno, kazi nzuri
Ongereni
Mungu abariki kazi ya mikono yenu
Kazi Safi sana
#Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..
Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo
🙏
Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
hongereni kwa kazi njema
Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake
Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..
Asante sana mkuu
Kunanjia gan yakpata huu wimbo Jaman?
Hakika kwa MUNGU Kuna thamani 🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana
Hongera sana mwalimu
Kabisa!! kwa Mungu ndio kimbilio pekee
Nisikiapo wimbo huku nafarijika sana.
Hongeren kazi nzuri Sana
Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda
Umetiachia pengo Huku