Halleluya Halleluya Halleluya Siri za kutusaidia sana katika maisha na kisha tuingie Mbinguni kwa UWEZA wa AJABU wa ROHO Mtakatifu. Mungu Akutie nguvu sana na team ya huduma ya Mana.
Tunaiweka wakifu siku zote 4 tunachiria dam ya YESU waliyo kusudiwa KUPOKEA wakapokee , na baba yetu mtumishi wa MUNGU mwalim Christopher mwakasege tunamtegemeza MBELE za MUNGU akamtumie vile apendavyo na roho mtakatifu atumie kwa maelekezo yote, likasekalika kwa jina la YESU
Halleluya Halleluya Halleluya Siri za kutusaidia sana katika maisha na kisha tuingie Mbinguni kwa UWEZA wa AJABU wa ROHO Mtakatifu. Mungu Akutie nguvu sana na team ya huduma ya Mana.
Mungu akubariki baba yetu mwl. Hakika sifa NA heshima ni kwako ww Mungu wetu maana unaotupenda sana. Ndomana umetuletea somo hili. Amen ❤
Amen baba MUNGU andelee kukuweka kwaajili ya tanzania 🙏
Mtumishi wa mungu ,mungu akubariki sanaa neno ni zuri na linaeleweka ,be blessed.
Haleluya, Haleluya. Nakupata Mtumishi wa Mungu.
Atukuzwe Mungu ambae Anasema katika kinywa Cha mtumishi wake Bwana Yesu tufunulie masikio yetu yapate kuelewa mafunuo haya.
MUNGU BABA AKUBARIKI KWA UTUMISHI WAKO🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana baba,
Baba njoo huku dar es salaam
Mungu mbariki mtumishi wako🙏🏾🙏🏾
Amina
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Ubalikiwe. Sana. Mtumishi. Bwana. Yesu. Kubaliki. Sana. Sana. Asate. Sana. Mungu. Kwa. Kumleta. MwANZA
Mungu akubariki akupake mafuta mengi zaidi kwa kazi yake
Ubarikiwe mwalim wangu 🙏🙏😊
AaaaahAaaaah’ EeeeehEeeeeh’ Yesu wasitahiri heshima🙌🏾🙌🏾🙌🏾AMEEE
Amen Amen 🙏🙏
Mungu akubariki zaidi Kwa haya maarifa ya kutufungua kuhusiana na mifumo yetu
Naachilia damu ya Yesu ipite Itete,Sebe,Ndandalo kyela ofisi zote ,mikoa yote moro,Dom mbeya Sumbawanga Dar na penginepo
Mungu nitunze Na Familiar yangu Magonjwa yakawe mbali nami
Ubarikiwe Sana Baba Mwl Christopher Mwakasege Kwa Maarifa haya Adimu hasa Kwa nyakati hizi ngumu.
Amen ❤👏
Ubarikiwe
Ameeeen
Tunaiweka wakifu siku zote 4 tunachiria dam ya YESU waliyo kusudiwa KUPOKEA wakapokee , na baba yetu mtumishi wa MUNGU mwalim Christopher mwakasege tunamtegemeza MBELE za MUNGU akamtumie vile apendavyo na roho mtakatifu atumie kwa maelekezo yote, likasekalika kwa jina la YESU
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yako ya kutufumbua macho na kufaham yale ambayo hatukuwa tunajua
Ameen Ameen🎉🎉🎉BABA.
Naachilia damu ya Yesu ikafunike Mwanza na vitongoji vyake vyote,amen
Amen mutumishi🙏🏼
Amina baba mungu aendelee kukutumia uweze kutimiza Kaz yake
Amina mtumishi wa Mungu
Amen🙏🙏🙏🙏
Wingu la Mbinguni liendelee kukufunika mwal wetu hakika tunamuona Mungu kupitia mafundisho yako🙏🙏🙏
Amina Amina
Amen
Amen 🙏🙏🙏
AMINA.
Sadaka bila Imani kimatendo Haina nguvu kimatokeo
Naiombea anga la Bukoba nalo lifunguke kwa damu ya Yesu, ili uende nao wapate mafundisho
Ameen
MUNGU awabariki sana watumishi Kwa kutuletea neno Kwa wakati sahihi
Cristophfer
𝑼𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊𝒘𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂
Ameni mungu abarikie Kwa kipawa na Ka Rama aliyoachilia ndani yenu.
Sifa na utukufu ni zakowYesu.
Baba naomba upeleke mkutano na mkoa wa Geita baba pamoja na mikoa yake mkoa wa Geita ukumbuke baba
Kahama na Geita kuna tofauti gani maana upande wa Geita semina kila mwaka ufanyikia uko uko mkoa wa Geita eneo la kahama.
AMEN❤❤🙏
Amen
Amen
AMEN