Mama Bwana Yesu asufiwe,nimara yangu ya kwanza kushiriki kwa kipindi chako,yani yalenimepata kutoka kwako yamekua yamiujiza mikubw jana usiku nikiwa nikiomba Mungu akubariki zaidi na uzidi kuinuinuliwa mama
Mara kwa mara tunafanya usafi nyumba, tunafua nguo, tunaoga miili; lakini USAFI muhimu zaidi ni kutubu kwa Mungu wa Kweli mara kwa mara. Asante sana Apostle
Nashukuru Mungu Kwa kupatana na hili ombi la toba maana lipenisaidia pakubwa sana niliyekua mtu sijui kutubu ndio nimejifunza Kwa nzia Leo Nina imani maisha yangu yanaenda kubadilika katika jina la Yesu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏
Amina ubarikiwe mtumishi 🙏 Ngoja ningie kwenye Toba ya kwelii ya majutoo na machoziii MUNGU nisamehe pale ambapo sijasimama sawasawa😭😭😭ukwelii tuna mambo mengii yanampa shetani uhalali ndani yetu
Aiseee this woman has touched my heart alot namshukuru Sana Mungu kunikutanisha na hii channel amenifunua na kunifunua pakubwa Sana zaid ya Sana yani I feel blessed 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hata mm Apostle karibu nichukie ii channel yako 😢😢,tulipo maliza maombi ya vita hapo ndo nlijua mm c mzinifu ki mwili tu Ila kiroho☹️☹️ mm ni player...yani ni ushuda mrefu sana😢😢😢...bt final Majini mahaba wanikaa wenyewe eti hawaezi nioa mm n mvivu siezi chunga mbuzi za wazazi wao , Jesus Christ continue hilling me plz 🤲🏽🧎🧎😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙌🏾🙌🏾
Yan haya maombi nimeyaona leo nikasema ata kama niya mda wacha nijaribu kuomba jmn nimejisikia vizur na nikapata kitu km likohozi limakaa kooni nikaliteka uwii nitaendelea kufatilia ila nimejiona walau na mm naweza kuomba sasa
Eeh mara.ya kwanza kuskia eti kuna Apostle mwanamke hata kwa bibilia nimetafuta hakuna.wanawake tuchunge vile tuna jiparade kwa miito tumeitiwa.mwanamke ana nafasi ya uinjilist ,unabii lakini sio Apostle na uchungaji.hata madhabau sio yake.sisemi kuwa niko na kinyume cha unayosema ila clag umejipa sio.samahani
@@nellydeborah943 soma waefeso 6:11-12 na pia hii toba na rehema inakuhusu ili kuondoa hicho kiburi cha uzima ndani yako. Yaan umeshajihesabia haki kiasi cha kujipa nafasi ya kumpangia Mungu nani awe nani ilikufanya kazi ya Mungu wewe dada ebu shuka Yesu ainuliwe loh
Mungu hana mipaka kama nyie mafarisayo Mungu anaangalia moyo uliotayari kumtumikia kama alivyosema kwenye yoel 2:28 matendo 2:18 kasome halafu kuwa muombaji sio unakremisha tu vitu vya rohoni vinahitaji maombi dada usipokuwa muombaji utakuwa na machuki na mawivu bila mpango wowote.
@@nellydeborah943 tena wewe ni mtumishi lakini unakiburi cha uzima na kama nimejipa hii huduma Mungu sio Mungu basi hata wewe ungejipa lakini kama ni Mungu amenipa na akuhukumu kwa maneno ya kinywa chako. Nimekuona unanifwatilia sana kwa roho mbaya na chuki sana. Reduce your bitterness ili uinuliwe na Mungu acha kujihesabia haki mwanamke mwenzangu.
@@apostleveramuro1252 ww uelewa kabisa hapa sio bitterness or kiburi hapa ni kweli na kama utaki kuifuata kweli ya biblia basi ww ndiye unakibururi.Mtumishi wa kweli lazima atii Biblia.mwanamke aruhusiwe kuwa mchungaji wala mtume na wala haipo kwa biblia ila waweza kujiita nabii na mwilinjislist .jambo lengine wanawake wastahili kujipamba kwa kuvalia earings na neccklesses .soma 1timotheo 2:9,1petero 3:3-4.na biblia inasema Mungu analitazama neno lake ili kulitimiza.Mungu ni wa mipangilio.na pia jua hapa sio jambo la kuinuliwa hapa nikutembea kwa neno la Mungu na kutii kwa kulitenda.kumbuka Yesu akasema wengi watasema tulitoa unabii na kufanya miujiza lakini atasema ondokeni mimi siwajui ,ila anamjua yule tu atendae mapenzi ya Baba na ni kuheshimu yale yameandikwa Kwa biblia na kuyatenda.ww una kiburi ungetafakari kwanza na kusoma vifungu nimekupa kwanza ,lengo langu ni kuikomboa nafsi yako.mbingu sio vile mnaidhania .na nikupe advice anza maisha ya toba na utakaso na uachane na vitu vya yezebeli ,SAHIZI sio kutafuta umaarufu wa uongozi bali ni kuangalia roho yako na ya wale Mungu amekutuma kwao,isije kapotea.sina ubaya nawe lakini fungua moyo wako kwa yale na kuambia itakuwa ya msaada kwa haswa kwa roho yako umileleni.God bless you
Mama Bwana Yesu asufiwe,nimara yangu ya kwanza kushiriki kwa kipindi chako,yani yalenimepata kutoka kwako yamekua yamiujiza mikubw jana usiku nikiwa nikiomba Mungu akubariki zaidi na uzidi kuinuinuliwa mama
Mara kwa mara tunafanya usafi nyumba, tunafua nguo, tunaoga miili; lakini USAFI muhimu zaidi ni kutubu kwa Mungu wa Kweli mara kwa mara. Asante sana Apostle
Nashukuru Mungu Kwa kupatana na hili ombi la toba maana lipenisaidia pakubwa sana niliyekua mtu sijui kutubu ndio nimejifunza Kwa nzia Leo Nina imani maisha yangu yanaenda kubadilika katika jina la Yesu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏
Amen amen...katika jina la yesu Christo ...Niko huru Niko huru katika jina la yasu Christo....God bless you
SoMo hili limenigusa Sana mtumishi, Mungu wangu nipe nguvu nimshinde shetani niingie kwenye Toba ya kweli🙏🙏barikiwa Sana !
Ndishimye cyane kuku nyigisha gusenga nivana mubyo banziiritse Jeanne kayonza kigari Rwanda❤😢 amenaaaa 🙏
Bwana yeah asifiwe
Ubarikiwe San Mtumishi wa MUNGU hakika MUNGU azidi kukutumia vile apendavyo nakupat nikiwa 🇮🇶
Amina Mungu atuhurumie na kutusamehe ahsante somo zuri sana
Mungu akubaliki sana kwamafundisho mazuli mtumishi
Amen and Amen. Mungu nimwema kila Wakati. Barikiwa sana mutumishi.
Asante sana mtumishi wa Bwana, nimekombolewa na damu ya Yesu Kristo hallelujah Amen and Amen ❤🎉
Amen ❤️🙏
Amen oh Hallelujah mutumisi balikiwa sana umenielimisha sana
Oooh God thank you for this servant of yours
Umenihamisha kituo mtumishi ubarikiwe sana
Amen amen powerful God bless you very much
Asante kwa hili somo nimekupenda
Mama unanisogeza sna sna najiona nasogea
@@MiriamMigiha Amen amen sifa kwa Yesu
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Barikiwa sana Apostle Vera
Shalom pastor from Tanzania Machame
Najionganisha na uwepo wa Mungu katika hiyo madhabahuu tangu hivi Mungu anipe ufunuo mkuu zaidi Mungu abadili historiia yangu
Shalom Apostle
Barikiwa sana🎉naamini nitafunguaka .
Amen mutumishi wamungu ubarikiwe saana kwamafundisho mazuri amen
Mtushi wa mungu Amina.mungu akuongezee hekima ya kutufundisha
I'm
Nabarikiwa sana na mafundisho yk Mtumishi Mungu wetu akutunze na familia yako
Barikiwa, ni somo lina mwaka nimejifunza, nasikia moyo wangu unawaka moto natamani kupiga kelele
Amen Amen Amen
Najua kwa mama yako mbozi Mbeya😭😭
Amina ubarikiwe mtumishi 🙏
Ngoja ningie kwenye Toba ya kwelii ya majutoo na machoziii
MUNGU nisamehe pale ambapo sijasimama sawasawa😭😭😭ukwelii tuna mambo mengii yanampa shetani uhalali ndani yetu
Barikiwa sana mama.somo hili ni fireeeee
Shaloom shaloom mom
Shalom !! Apostle.
Ameen Mtumishi wa Mungu 🎉🎉
Namshukuru mungu nitatoka nilipo kwa damu ya yesu
Am blessed
Alleluia 🙏🏽
Amina mtumishi umenifundisha toba ya kweli
Shalom.. Mama Mungu abariki kazi yako
Asanteee mama nimejifunza leooo
Blessed mummy
Aiseee this woman has touched my heart alot namshukuru Sana Mungu kunikutanisha na hii channel amenifunua na kunifunua pakubwa Sana zaid ya Sana yani I feel blessed 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Double coincidence of want 🙏🙏🙏
Amen najiungamanisha na maombi haya
❤
Bwana Asifiwe ,mtumishi kumbuka kutoa earings maana ni kinyume na Mungu soma.1timotheo 2:9 na 1petero 3:3-4
Shalom Dada yangu, Amina natamani niwe na Huduma kama yako
Muombe Mungu
Mungu akubaliki sana sana na ubalikiwe sana
Hata mm Apostle karibu nichukie ii channel yako 😢😢,tulipo maliza maombi ya vita hapo ndo nlijua mm c mzinifu ki mwili tu Ila kiroho☹️☹️ mm ni player...yani ni ushuda mrefu sana😢😢😢...bt final Majini mahaba wanikaa wenyewe eti hawaezi nioa mm n mvivu siezi chunga mbuzi za wazazi wao , Jesus Christ continue hilling me plz 🤲🏽🧎🧎😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙌🏾🙌🏾
Apostle wangu
Nipo pamoja nawe mtumishi wa Mungu
Ameen Apostle...Hili somo nalisikiliza kila wakati.
Amen ameen
Ameen
❤❤ameni
Shalom.
Mungu akubariki unatufunua sana ni wengi wanafaidika na mafundisho yako
Barikiwa
Sharoom
@@apostleveramuro1252 Ameen
Amina mtumishi mungu azidi kukupigania
Mungu akubariki
Ameeeeeeen and ameeeeeeen
Amen
Shalome shalome
Amen dada
Ameeen
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu tunaomba acess ya kudowload ili tuweze kusikiliza vizuri
amen
Nimeelewa kitu bwana azidi kukuinua zaidi na zaidi milele yote
Amennn mafundisho ya lazima saana mungu akubari saana
Shalom shalom
Amennn ni kweli kabisa
Sina la kusema ila nashukuru sana kwa yale nimepokea kutoka kwako
😢😢😢Niko omani lakin kila siku naota nafanya kazi nzito kijijini alikozaliwa mama na kuruka sehem mbali mbali
Hii iliishia kati
@@tyroneshao395 imefika mwisho mpendwa
Naomba uniunganishe na maombi yako
Sharom apostle
Mara yangu ya kwanza ku
Powerful
Mama naomba hiki kipindi maana nakihitaji sana niwe nakipitia kila wakati
Chukua mpendwa download au jitumie whatsap
Shalom mama ndo naanza kukufatilia
Yan haya maombi nimeyaona leo nikasema ata kama niya mda wacha nijaribu kuomba jmn nimejisikia vizur na nikapata kitu km likohozi limakaa kooni nikaliteka uwii nitaendelea kufatilia ila nimejiona walau na mm naweza kuomba sasa
Ameen mbona hufungulii tuinyonye tuidonload mahubiri
Shalom mama nimekuwa mnge kwako lakin toka niazi kukusikiliza natamani kila wakati nipate maombi yangu niko tanzania
Karibu salome tutakuwa tz mwezi wa sita pale mapinga kwa maombi ya kufunga na kuomba 3days karibu sana kuanzia tar 29-21 jube
@@apostleveramuro1252 ok karibu mama naomba mungu atufikishe ukikalibia nijulishe
Apostle mimi niko saudia arabia na niko mgojwa sana naomba maombi tuuu
Amen apostle
Wajina
@@apostleveramuro1252 Asante kwa mafundisho mazuri.wajina
Amen mtumishi wa Mungu somo zuri sana
Shalom
AMINA
Shalome mutumishi wamu
Najionganisha na wewe mtumishi
Dada kwali Munugu azidi kuku ongeza nguvu
Nimesikiliza leo tumbo limevulugika Sana na nasikia kitu kinataka kutoka kooni nakooa Sana ila yanatoka mate tu
Isaya 52:1-2
Amen amen 🙏🏿
Naona uliyoyapitia ni Kama yangu naomba namba ya cm
Hapa ndio chanzo cha kusogea
Chule David uje usikilize haya maombi yatakusaidia sana ila tu omba kwa mzigo na kumaanisha sio uishie kusikiliza tu utabakia hivyo
watu wanatumia bundle ambayo ni pesa please.kama ni ujumbe ni vyema uende moja kwa moja adi kwa ujumbe
Yani nimetulia kimya naelewa na kuelewa
Shalom 🙏🏾🙏🏾
Bwana Yesu asifiwe🙏🙏🙏
Mtumishi naweza kuwasiliana na wewe vipi,?
Tuma whatsap kwa namba hii +1678 270 7594
Eeh mara.ya kwanza kuskia eti kuna Apostle mwanamke hata kwa bibilia nimetafuta hakuna.wanawake tuchunge vile tuna jiparade kwa miito tumeitiwa.mwanamke ana nafasi ya uinjilist ,unabii lakini sio Apostle na uchungaji.hata madhabau sio yake.sisemi kuwa niko na kinyume cha unayosema ila clag umejipa sio.samahani
@@nellydeborah943 soma waefeso 6:11-12 na pia hii toba na rehema inakuhusu ili kuondoa hicho kiburi cha uzima ndani yako. Yaan umeshajihesabia haki kiasi cha kujipa nafasi ya kumpangia Mungu nani awe nani ilikufanya kazi ya Mungu wewe dada ebu shuka Yesu ainuliwe loh
Mungu hana mipaka kama nyie mafarisayo Mungu anaangalia moyo uliotayari kumtumikia kama alivyosema kwenye yoel 2:28 matendo 2:18 kasome halafu kuwa muombaji sio unakremisha tu vitu vya rohoni vinahitaji maombi dada usipokuwa muombaji utakuwa na machuki na mawivu bila mpango wowote.
@@nellydeborah943 tena wewe ni mtumishi lakini unakiburi cha uzima na kama nimejipa hii huduma Mungu sio Mungu basi hata wewe ungejipa lakini kama ni Mungu amenipa na akuhukumu kwa maneno ya kinywa chako. Nimekuona unanifwatilia sana kwa roho mbaya na chuki sana. Reduce your bitterness ili uinuliwe na Mungu acha kujihesabia haki mwanamke mwenzangu.
@@apostleveramuro1252 ww uelewa kabisa hapa sio bitterness or kiburi hapa ni kweli na kama utaki kuifuata kweli ya biblia basi ww ndiye unakibururi.Mtumishi wa kweli lazima atii Biblia.mwanamke aruhusiwe kuwa mchungaji wala mtume na wala haipo kwa biblia ila waweza kujiita nabii na mwilinjislist .jambo lengine wanawake wastahili kujipamba kwa kuvalia earings na neccklesses .soma 1timotheo 2:9,1petero 3:3-4.na biblia inasema Mungu analitazama neno lake ili kulitimiza.Mungu ni wa mipangilio.na pia jua hapa sio jambo la kuinuliwa hapa nikutembea kwa neno la Mungu na kutii kwa kulitenda.kumbuka Yesu akasema wengi watasema tulitoa unabii na kufanya miujiza lakini atasema ondokeni mimi siwajui ,ila anamjua yule tu atendae mapenzi ya Baba na ni kuheshimu yale yameandikwa
Kwa biblia na kuyatenda.ww una kiburi ungetafakari kwanza na kusoma vifungu nimekupa kwanza ,lengo langu ni kuikomboa nafsi yako.mbingu sio vile mnaidhania .na nikupe advice anza maisha ya toba na utakaso na uachane na vitu vya yezebeli ,SAHIZI sio kutafuta umaarufu wa uongozi bali ni kuangalia roho yako na ya wale Mungu amekutuma kwao,isije kapotea.sina ubaya nawe lakini fungua moyo wako kwa yale na kuambia itakuwa ya msaada kwa haswa kwa roho yako umileleni.God bless you
Ameen
Amen
Amen apostle
Ameeen
Ameen
Amen
Amen
Amen