TOBA INAKUTOA KWENYE VIFUNGO VYOTE(BY Apostle Vera Muro)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 131

  • @Julita-y3c
    @Julita-y3c Рік тому +5

    Mama Bwana Yesu asufiwe,nimara yangu ya kwanza kushiriki kwa kipindi chako,yani yalenimepata kutoka kwako yamekua yamiujiza mikubw jana usiku nikiwa nikiomba Mungu akubariki zaidi na uzidi kuinuinuliwa mama

  • @cnm2976
    @cnm2976 Рік тому +10

    Mara kwa mara tunafanya usafi nyumba, tunafua nguo, tunaoga miili; lakini USAFI muhimu zaidi ni kutubu kwa Mungu wa Kweli mara kwa mara. Asante sana Apostle

  • @AnneOpondo-ie4ej
    @AnneOpondo-ie4ej Рік тому +3

    Nashukuru Mungu Kwa kupatana na hili ombi la toba maana lipenisaidia pakubwa sana niliyekua mtu sijui kutubu ndio nimejifunza Kwa nzia Leo Nina imani maisha yangu yanaenda kubadilika katika jina la Yesu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏

  • @SusanAshle-zj8do
    @SusanAshle-zj8do Рік тому

    Amen amen...katika jina la yesu Christo ...Niko huru Niko huru katika jina la yasu Christo....God bless you

  • @angelamwangulumba1510
    @angelamwangulumba1510 Рік тому +2

    SoMo hili limenigusa Sana mtumishi, Mungu wangu nipe nguvu nimshinde shetani niingie kwenye Toba ya kweli🙏🙏barikiwa Sana !

  • @FurahaJann-vx3rj
    @FurahaJann-vx3rj Рік тому +2

    Ndishimye cyane kuku nyigisha gusenga nivana mubyo banziiritse Jeanne kayonza kigari Rwanda❤😢 amenaaaa 🙏

  • @JohnKiboko
    @JohnKiboko 2 місяці тому

    Bwana yeah asifiwe

  • @veronicawilson4263
    @veronicawilson4263 Рік тому +1

    Ubarikiwe San Mtumishi wa MUNGU hakika MUNGU azidi kukutumia vile apendavyo nakupat nikiwa 🇮🇶

  • @JoyceHaule-o8c
    @JoyceHaule-o8c 8 місяців тому

    Amina Mungu atuhurumie na kutusamehe ahsante somo zuri sana

  • @KizitoMachota
    @KizitoMachota 7 місяців тому

    Mungu akubaliki sana kwamafundisho mazuli mtumishi

  • @maryongwae2409
    @maryongwae2409 3 роки тому +5

    Amen and Amen. Mungu nimwema kila Wakati. Barikiwa sana mutumishi.

  • @janeturio7414
    @janeturio7414 Рік тому +3

    Asante sana mtumishi wa Bwana, nimekombolewa na damu ya Yesu Kristo hallelujah Amen and Amen ❤🎉

  • @kashindiseti4493
    @kashindiseti4493 Рік тому +2

    Amen ❤️🙏

  • @hjgj3847
    @hjgj3847 2 роки тому +2

    Amen oh Hallelujah mutumisi balikiwa sana umenielimisha sana

  • @lindaruhinda9168
    @lindaruhinda9168 Рік тому +2

    Oooh God thank you for this servant of yours

  • @chikondimadalitso
    @chikondimadalitso Рік тому

    Umenihamisha kituo mtumishi ubarikiwe sana

  • @mariamwaweru6049
    @mariamwaweru6049 Рік тому +2

    Amen amen powerful God bless you very much

  • @revinaceliber5739
    @revinaceliber5739 Рік тому

    Asante kwa hili somo nimekupenda

  • @MiriamMigiha
    @MiriamMigiha 3 місяці тому

    Mama unanisogeza sna sna najiona nasogea

  • @RukiaKipenzi-k9f
    @RukiaKipenzi-k9f Рік тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @jenipherelihaki9531
    @jenipherelihaki9531 Рік тому

    Barikiwa sana Apostle Vera

  • @AnetNkya
    @AnetNkya Рік тому

    Shalom pastor from Tanzania Machame

  • @ibrahimgabriel6948
    @ibrahimgabriel6948 2 роки тому

    Najionganisha na uwepo wa Mungu katika hiyo madhabahuu tangu hivi Mungu anipe ufunuo mkuu zaidi Mungu abadili historiia yangu

  • @dorothywilliam7081
    @dorothywilliam7081 3 місяці тому

    Shalom Apostle

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Рік тому

    Barikiwa sana🎉naamini nitafunguaka .

  • @sakinaamundala8314
    @sakinaamundala8314 3 роки тому +2

    Amen mutumishi wamungu ubarikiwe saana kwamafundisho mazuri amen

  • @BeatriceHenry-t3i
    @BeatriceHenry-t3i Рік тому

    Nabarikiwa sana na mafundisho yk Mtumishi Mungu wetu akutunze na familia yako

  • @luganomwaulesi8761
    @luganomwaulesi8761 Рік тому

    Barikiwa, ni somo lina mwaka nimejifunza, nasikia moyo wangu unawaka moto natamani kupiga kelele

  • @innocentkituma2714
    @innocentkituma2714 7 місяців тому

    Amen Amen Amen

  • @JohnKiboko
    @JohnKiboko 2 місяці тому

    Najua kwa mama yako mbozi Mbeya😭😭

  • @nasmamsangi284
    @nasmamsangi284 Рік тому

    Amina ubarikiwe mtumishi 🙏
    Ngoja ningie kwenye Toba ya kwelii ya majutoo na machoziii
    MUNGU nisamehe pale ambapo sijasimama sawasawa😭😭😭ukwelii tuna mambo mengii yanampa shetani uhalali ndani yetu

  • @ashasalum7287
    @ashasalum7287 2 роки тому +1

    Barikiwa sana mama.somo hili ni fireeeee

  • @SarahWilson-g7l
    @SarahWilson-g7l 9 місяців тому

    Shaloom shaloom mom

  • @catherinekiondo955
    @catherinekiondo955 9 місяців тому

    Shalom !! Apostle.

  • @madamleticia94
    @madamleticia94 Рік тому

    Ameen Mtumishi wa Mungu 🎉🎉

  • @neemakimaro9954
    @neemakimaro9954 2 роки тому

    Namshukuru mungu nitatoka nilipo kwa damu ya yesu

  • @AnetNkya
    @AnetNkya Рік тому

    Am blessed

  • @seerdoreen8005
    @seerdoreen8005 Рік тому +3

    Alleluia 🙏🏽

  • @theonamagese5857
    @theonamagese5857 2 роки тому

    Amina mtumishi umenifundisha toba ya kweli

  • @abdallahmabubu5847
    @abdallahmabubu5847 2 роки тому +1

    Shalom.. Mama Mungu abariki kazi yako

  • @ashamabunya2616
    @ashamabunya2616 2 роки тому +1

    Asanteee mama nimejifunza leooo

  • @monicakijazi6351
    @monicakijazi6351 Рік тому

    Blessed mummy

  • @lovenessjoseph5718
    @lovenessjoseph5718 2 роки тому +5

    Aiseee this woman has touched my heart alot namshukuru Sana Mungu kunikutanisha na hii channel amenifunua na kunifunua pakubwa Sana zaid ya Sana yani I feel blessed 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah943 4 місяці тому

    Bwana Asifiwe ,mtumishi kumbuka kutoa earings maana ni kinyume na Mungu soma.1timotheo 2:9 na 1petero 3:3-4

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 2 роки тому

    Shalom Dada yangu, Amina natamani niwe na Huduma kama yako

  • @placidiensabimana4993
    @placidiensabimana4993 3 роки тому

    Mungu akubaliki sana sana na ubalikiwe sana

  • @naemah8359
    @naemah8359 Рік тому +1

    Hata mm Apostle karibu nichukie ii channel yako 😢😢,tulipo maliza maombi ya vita hapo ndo nlijua mm c mzinifu ki mwili tu Ila kiroho☹️☹️ mm ni player...yani ni ushuda mrefu sana😢😢😢...bt final Majini mahaba wanikaa wenyewe eti hawaezi nioa mm n mvivu siezi chunga mbuzi za wazazi wao , Jesus Christ continue hilling me plz 🤲🏽🧎🧎😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙌🏾🙌🏾

  • @ashaabdallah2003
    @ashaabdallah2003 Рік тому

    Apostle wangu

  • @jeannekatembe6396
    @jeannekatembe6396 2 роки тому

    Nipo pamoja nawe mtumishi wa Mungu

  • @anyubangu4148
    @anyubangu4148 3 роки тому

    Ameen Apostle...Hili somo nalisikiliza kila wakati.

  • @kitoiartworks3876
    @kitoiartworks3876 Рік тому

    Amen ameen

  • @happinesssweke7821
    @happinesssweke7821 Рік тому

    Ameen

  • @davidmwasomola1172
    @davidmwasomola1172 Рік тому

    ❤❤ameni

  • @ElizabethMalombola
    @ElizabethMalombola 11 місяців тому

    Shalom.

  • @jsangelinakitengeso6196
    @jsangelinakitengeso6196 3 роки тому +3

    Mungu akubariki unatufunua sana ni wengi wanafaidika na mafundisho yako

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 2 роки тому

    Mungu akubariki

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 2 роки тому

    Ameeeeeeen and ameeeeeeen

  • @johnkyara5026
    @johnkyara5026 2 роки тому

    Amen

  • @bornfacechengah7100
    @bornfacechengah7100 2 роки тому

    Shalome shalome

  • @neginalmahundi1914
    @neginalmahundi1914 2 роки тому

    Amen dada

  • @cocushubilabalongo6202
    @cocushubilabalongo6202 2 роки тому +1

    Ameeen

  • @HappyAnton-yv4ms
    @HappyAnton-yv4ms 2 роки тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu tunaomba acess ya kudowload ili tuweze kusikiliza vizuri

  • @fatumandejesalim7592
    @fatumandejesalim7592 2 роки тому +1

    amen

  • @Julita-y3c
    @Julita-y3c Рік тому

    Sina la kusema ila nashukuru sana kwa yale nimepokea kutoka kwako

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому

    😢😢😢Niko omani lakin kila siku naota nafanya kazi nzito kijijini alikozaliwa mama na kuruka sehem mbali mbali

  • @tyroneshao395
    @tyroneshao395 4 місяці тому

    Hii iliishia kati

  • @jeskaswai8129
    @jeskaswai8129 2 роки тому

    Naomba uniunganishe na maombi yako

  • @janethpaschal1587
    @janethpaschal1587 2 роки тому

    Sharom apostle

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Рік тому

    Mara yangu ya kwanza ku

  • @sarrysichy5726
    @sarrysichy5726 2 роки тому +1

    Powerful

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 8 місяців тому +1

    Mama naomba hiki kipindi maana nakihitaji sana niwe nakipitia kila wakati

  • @MremboWakisukuma
    @MremboWakisukuma Рік тому

    Shalom mama ndo naanza kukufatilia

  • @queenmassawe4298
    @queenmassawe4298 Рік тому +4

    Yan haya maombi nimeyaona leo nikasema ata kama niya mda wacha nijaribu kuomba jmn nimejisikia vizur na nikapata kitu km likohozi limakaa kooni nikaliteka uwii nitaendelea kufatilia ila nimejiona walau na mm naweza kuomba sasa

  • @mkdg.4skolo891
    @mkdg.4skolo891 11 місяців тому

    Ameen mbona hufungulii tuinyonye tuidonload mahubiri

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 8 місяців тому

    Shalom mama nimekuwa mnge kwako lakin toka niazi kukusikiliza natamani kila wakati nipate maombi yangu niko tanzania

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  8 місяців тому

      Karibu salome tutakuwa tz mwezi wa sita pale mapinga kwa maombi ya kufunga na kuomba 3days karibu sana kuanzia tar 29-21 jube

    • @SalomeKhalfani-cm9xy
      @SalomeKhalfani-cm9xy 8 місяців тому

      @@apostleveramuro1252 ok karibu mama naomba mungu atufikishe ukikalibia nijulishe

  • @fatumandejesalim7592
    @fatumandejesalim7592 2 роки тому

    Apostle mimi niko saudia arabia na niko mgojwa sana naomba maombi tuuu

  • @veransyenga2427
    @veransyenga2427 3 роки тому +1

    Amen apostle

  • @roymuwowo4607
    @roymuwowo4607 2 роки тому

    Shalom

  • @vivianlyimo6830
    @vivianlyimo6830 3 роки тому

    AMINA

  • @ibrahimgabriel6948
    @ibrahimgabriel6948 2 роки тому

    Najionganisha na wewe mtumishi

  • @esperancemuco1475
    @esperancemuco1475 3 роки тому

    Dada kwali Munugu azidi kuku ongeza nguvu

  • @buyegiandrew882
    @buyegiandrew882 2 роки тому +1

    Nimesikiliza leo tumbo limevulugika Sana na nasikia kitu kinataka kutoka kooni nakooa Sana ila yanatoka mate tu

  • @wannaproducts
    @wannaproducts 2 роки тому

    Isaya 52:1-2

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 Рік тому

    Amen amen 🙏🏿

  • @AimtongaKimaro
    @AimtongaKimaro Рік тому

    Naona uliyoyapitia ni Kama yangu naomba namba ya cm

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 2 роки тому

    Hapa ndio chanzo cha kusogea

  • @apostleveramuro1252
    @apostleveramuro1252  Рік тому

    Chule David uje usikilize haya maombi yatakusaidia sana ila tu omba kwa mzigo na kumaanisha sio uishie kusikiliza tu utabakia hivyo

  • @EstherOduor-qq3hl
    @EstherOduor-qq3hl Рік тому

    watu wanatumia bundle ambayo ni pesa please.kama ni ujumbe ni vyema uende moja kwa moja adi kwa ujumbe

  • @AnetNkya
    @AnetNkya Рік тому

    Yani nimetulia kimya naelewa na kuelewa

  • @fridashani6562
    @fridashani6562 3 роки тому +2

    Shalom 🙏🏾🙏🏾

  • @mashlizo
    @mashlizo 2 роки тому +2

    Mtumishi naweza kuwasiliana na wewe vipi,?

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah943 4 місяці тому

    Eeh mara.ya kwanza kuskia eti kuna Apostle mwanamke hata kwa bibilia nimetafuta hakuna.wanawake tuchunge vile tuna jiparade kwa miito tumeitiwa.mwanamke ana nafasi ya uinjilist ,unabii lakini sio Apostle na uchungaji.hata madhabau sio yake.sisemi kuwa niko na kinyume cha unayosema ila clag umejipa sio.samahani

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  4 місяці тому

      @@nellydeborah943 soma waefeso 6:11-12 na pia hii toba na rehema inakuhusu ili kuondoa hicho kiburi cha uzima ndani yako. Yaan umeshajihesabia haki kiasi cha kujipa nafasi ya kumpangia Mungu nani awe nani ilikufanya kazi ya Mungu wewe dada ebu shuka Yesu ainuliwe loh

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  4 місяці тому

      Mungu hana mipaka kama nyie mafarisayo Mungu anaangalia moyo uliotayari kumtumikia kama alivyosema kwenye yoel 2:28 matendo 2:18 kasome halafu kuwa muombaji sio unakremisha tu vitu vya rohoni vinahitaji maombi dada usipokuwa muombaji utakuwa na machuki na mawivu bila mpango wowote.

    • @apostleveramuro1252
      @apostleveramuro1252  4 місяці тому

      @@nellydeborah943 tena wewe ni mtumishi lakini unakiburi cha uzima na kama nimejipa hii huduma Mungu sio Mungu basi hata wewe ungejipa lakini kama ni Mungu amenipa na akuhukumu kwa maneno ya kinywa chako. Nimekuona unanifwatilia sana kwa roho mbaya na chuki sana. Reduce your bitterness ili uinuliwe na Mungu acha kujihesabia haki mwanamke mwenzangu.

    • @nellydeborah943
      @nellydeborah943 4 місяці тому

      @@apostleveramuro1252 ww uelewa kabisa hapa sio bitterness or kiburi hapa ni kweli na kama utaki kuifuata kweli ya biblia basi ww ndiye unakibururi.Mtumishi wa kweli lazima atii Biblia.mwanamke aruhusiwe kuwa mchungaji wala mtume na wala haipo kwa biblia ila waweza kujiita nabii na mwilinjislist .jambo lengine wanawake wastahili kujipamba kwa kuvalia earings na neccklesses .soma 1timotheo 2:9,1petero 3:3-4.na biblia inasema Mungu analitazama neno lake ili kulitimiza.Mungu ni wa mipangilio.na pia jua hapa sio jambo la kuinuliwa hapa nikutembea kwa neno la Mungu na kutii kwa kulitenda.kumbuka Yesu akasema wengi watasema tulitoa unabii na kufanya miujiza lakini atasema ondokeni mimi siwajui ,ila anamjua yule tu atendae mapenzi ya Baba na ni kuheshimu yale yameandikwa
      Kwa biblia na kuyatenda.ww una kiburi ungetafakari kwanza na kusoma vifungu nimekupa kwanza ,lengo langu ni kuikomboa nafsi yako.mbingu sio vile mnaidhania .na nikupe advice anza maisha ya toba na utakaso na uachane na vitu vya yezebeli ,SAHIZI sio kutafuta umaarufu wa uongozi bali ni kuangalia roho yako na ya wale Mungu amekutuma kwao,isije kapotea.sina ubaya nawe lakini fungua moyo wako kwa yale na kuambia itakuwa ya msaada kwa haswa kwa roho yako umileleni.God bless you

  • @happinesssweke7821
    @happinesssweke7821 Рік тому

    Ameen

  • @winniegichuru7248
    @winniegichuru7248 2 роки тому +1

    Amen

  • @priscatemba2311
    @priscatemba2311 2 роки тому

    Amen apostle

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 2 роки тому

    Ameeen

  • @syalilingamwalla3229
    @syalilingamwalla3229 Рік тому

    Ameen

  • @winniegichuru7248
    @winniegichuru7248 Рік тому

    Amen

  • @helenachami1349
    @helenachami1349 Рік тому

    Amen

  • @apazmunisi2133
    @apazmunisi2133 Рік тому

    Amen