LATRA yatangaza nauli za Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 30

  • @ramadhanikawe7842
    @ramadhanikawe7842 3 місяці тому +2

    Ahsante kwa taarifa njema

  • @SelinaChares
    @SelinaChares Місяць тому

    Mbona elf31 haipo inaanzia elf40 elf80 na elf90

  • @filbertdamiani101
    @filbertdamiani101 3 місяці тому +1

    Nyie latra mnamwangusha mh rais, mmeshindwa kudhibiti nauli ,mmewaachia wapiga debe wawatoze abiria Bei kubwa ,huku mkiwaadhibu wamiliki. Mnatunga kuleta mifumo isiyotekelezeka na nyie mmeshindwa kuweka utaratibu kwenye vituo vya mabasi. Nauli ya elfu 10 inatozwa 20 na mmiliki anafikishiwa elfu 7 kazi yenu ni kumbebesha mmiliki mzigo ,ndo maana sekta ya usafiri haipafom kwaajili ya mifumo mnayoleta bila kuandaa mazingira.

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 3 місяці тому +3

    Sahihi Sana nauli ziko poa sana

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 3 місяці тому

      sio nauri ni nauli

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 3 місяці тому

    Tanzania tuna wasomi wajinga sana . Hizo nauli mmewaangalia watu wa Dar na mijini tu ila wa vijijini hamjawaangalia . Kwa mtu anayetoka dodoma vijijini hyo elf31 ni nyingi sana kama dodoma tu ni elf31 hiyo kigoma si itakuwa70

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 2 місяці тому

    Nauli kumbwa sana ni bora kupanda bas ukiwa unaenda singida kwa hiyo bei

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 3 місяці тому +1

    Nauli kubwa. Toka Dar mpada Dom 30. Wakati mgr ni hiyo hiyo

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 місяці тому

    Sasa leteni chombo hicho tuanze kupanda

  • @salmamohamed1506
    @salmamohamed1506 3 місяці тому

    Safi sana raisi wetu wa tanzania tunasema asante watanzania ote

  • @butotanto
    @butotanto 3 місяці тому

    Kwa sisi watu wazika ni watoto zaidi ya miaka 12?

  • @lajumaofficial521
    @lajumaofficial521 3 місяці тому

    Si mbaya sana lakini nauli zingepungua kwa kilometer kadri umbali unavyoongezeka.

    • @lawimanumbu5103
      @lawimanumbu5103 3 місяці тому

      Sawasawa na mabasi hakuna tofauti

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 3 місяці тому

      We mwehu kweli, DSM mpaka Dodoma Kwa basi nauli shingapu?​@@lawimanumbu5103

  • @athumaniamiri880
    @athumaniamiri880 3 місяці тому

    Nauli iko vizur mashallah

    • @amanijampion3045
      @amanijampion3045 3 місяці тому

      Nzuri wakati huu ni umeme. Inaenda sawa na diesel

  • @zuhuraomary2782
    @zuhuraomary2782 3 місяці тому

    Ziko poa ni affodable

  • @LeocardiaNyakia
    @LeocardiaNyakia 3 місяці тому

    Safi Sana 😂

  • @luswagawamba2232
    @luswagawamba2232 3 місяці тому

    Nauli kubwa sana

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 3 місяці тому

      Tembea kwa miguu

    • @ulimbombonaulindi5088
      @ulimbombonaulindi5088 3 місяці тому

      shirika linatakiwa lijiendeshe kibiashara, nauli ziko reasoble kabisa. Pia kuna option ya basi na treni ya zamani unaweza kuchagua iliyo nafuu kwako.

  • @SudyySuday
    @SudyySuday 3 місяці тому

    Nauli kubwa sana