Ameeen katika Jina la Yesu Kristo shetani wa kuumwa na nyoka ashindwe katika Jina la Yesu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mara saba katika Jina la Yesu Kristo Ameeen Ameeen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Ameeen 💯
Mimi niliona nilikua nikingoa viazi tamu na nikaumwa mikono na ilikua imejificha na na nilikata shingo na nikaona nilijitibu na mchanga kwenye ndoto na nikapona hivyo aikufura na palenilikua nikitoa viazi ilibaki kiunochake ikiwa hai na sikurudi kutoa hizo viazi
Pastor. Mimi nimeota nyoka imejifunga kwenye mguu wangu wa kulia wakati Niko ndotoni nikawa natafutakitambaa niitoe kwa hasira nikastuka usingizini Ni nyoka mdogo Lin alikua amejifunga kabisa Nini maana ya ndoto hii?..
Amen 🙏 🙏
Nakataa in the name of jesus
Nimeota asubui nimeumwa na nyoka mguuni,mungu nisaidie nisipatane na madharau yeyote
Mimi nimeota nimeng'atwa na nyoka mguuni
Mimi nimeota nyoka kaninga'ta shingo nini maana yake.
Kwa Jina la yesu nimekataa roho za aibu na ya kunirundisha nyuma
Nmeota nyoka amening'ata kwa mkono
Ameeen katika Jina la Yesu Kristo shetani wa kuumwa na nyoka ashindwe katika Jina la Yesu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mara saba katika Jina la Yesu Kristo Ameeen Ameeen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Ameeen 💯
Amen
Kwajina la yesu kristo nakataha
Pastor mm nimeota nyoka alitaka kuning'ata mguun
*Romans 16:20*
The GOD of peace will soon crush Satan under your feet.
*The grace of Lord Jesus be with you*
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Weeee miliota nimeumwa na nyoka mguuun wa kulia😢😢
hata mimi
Mimi niliona nilikua nikingoa viazi tamu na nikaumwa mikono na ilikua imejificha na na nilikata shingo na nikaona nilijitibu na mchanga kwenye ndoto na nikapona hivyo aikufura na palenilikua nikitoa viazi ilibaki kiunochake ikiwa hai na sikurudi kutoa hizo viazi
Nakata roho zagiza Kwa maisha yangu in Jesus name🙏🙏
Mmi nmeota nmeumwa na nyoka,,,,tena mahana,,,,,na tena huyo nyoka alitokezea ndani ya maskio yangu😢😢
niliota nimeumwa na nyoka kubwa kwenye mkono wangu wa kulia ukafura😢😢
Kwa jina la Yesu nakataa roho za aibu zishindwe katika jina la Yesu kristo
Nimeota na Pambana nae nikamuuwa nyoka Kwa kinu akafa ila aliacha sumu mkononi kwenye ndoto nikanawa na sabun Ila bado nikiwa nataka Kwenda hospital
Niombeye mimi nasumburiwa naizo ndoto
Nimeota nyoka mdogo amening'ata mguuni lakini nimemuuwa na mimi maana yake nini?
Naka roho chafu kwa kz yangu pia maisha yangu kwa jina la hyesu
Mchungaji mm ni mjamzito ila nimeot ndoto nimeumwa na nyoka mguuni nisaidie kwa maombi na pia ina maana gani
Pastor. Mimi nimeota nyoka imejifunga kwenye mguu wangu wa kulia wakati Niko ndotoni nikawa natafutakitambaa niitoe kwa hasira nikastuka usingizini Ni nyoka mdogo Lin alikua amejifunga kabisa Nini maana ya ndoto hii?..
Evah Charles nitakuwa live usiku Saa tatu nitakupa maana yake.
Niliota ndoto nimwumwa na nyoka mkononi lakin bahadae yule nyoka alihuliwa alikufa na kunamtu akaja kunipukizia kama spley kutoa sumu ya nyoak
Na pastor mwingne nilimwambia nliota nimeumwa na nyoka anasema hyo ni ishara ya kushambuliwa na magonjwa sugu;cancer;diabetes and pressure
Subscribe kwa channel hii utapata notification utafsiriwe ndoto live.kila siku saa nne na saa mbili usiku saa za Africa Mashariki
Mim nmeota nyoka ananing'ata mgui
Nimeota mpenzi wangu ameumwa na nyoka katika mguu maana yake.
Mchungaji mm Leo usku nimeota nanga'twa nanyoka lkn mda huohuo akatokea kijana mmoja akawa amenifunga sumu isisambae chungaji niombee
Subscribe kwenye channel hii utapewa tafsiri ya ndoto zako live.kila siku saa nne asubuhi na saa mbili usiku saa za Africa Mashariki
Mimi nimeumwa lwe
Niliota mwanangu ameng'atwa na nyoka kwenye maji pia nikaota nakinbuzwa na nyoka
Jambo pastor ,kuota nyota zinaanguka mikononi
Jambo pastor ,Mimi nimeota nyoka 3 zinanizunguka wakati zilitaka kuniuma nikalamuka Sasa nyoka wa kwanza alikuwa kama mtu sikumujuwa
Mungu tusaidie
Mimi niliota nyoka wawili wakubwa mmoja akipita Dani ya maji mtoni na mwingine akipita kando ya maji wakija kwenye Niko
Mchungaji miniliota nimegongwa nanyoka ubavuni
Ni hatari subscribe kwa channel hii utapata notification uingie live atatafsiri ndoto yako saa nne asubuhi na saa mbili usiku saa za Africa Mashariki
mimi nimeota nimengatw nq nyoka miguu miwili ila katika hiyo ndoto niliitia jiba la yesu sumu ikyeyuka nikawa sawa
Ndiyo mimi niliota ndoto mdogo wangu ameumbwa na nyoka nahata sasa uchumi wangu umeshuka
Nashukuru kujua maana ya ndoto hii,nisaidie mchungaji kwa maombi kwa maana nmeota nyoka imeniuma kidole ikafura saana mpaka inaturn red
@Latefa Latefa mdogo wako ako chini ya mashambulizi ya kichawi.
Nakuombea pia unaweza nipigia tuombe pamoja
Niliota ndoto nimeng'atwa na nyoka mkono wa kushoto lkn walikua nyoka wawili mmoja nilimchoma moto nn maana yake
Mi ndo nimeota mwana ameumwa na nyoka
Nimeota nyoka kaniuma lakini sumu yake ainidhuru
Habari nimeota usiku mkubwa nyoka aina ya cobra ameniuma kwenye mkono lakini niliwahi kumpiga na nilimkata vimbande viwili
Niombe mtumishi wa Mungu nimeota kuumwa na nyoka
Nimeota nyoko mdogo mweuzi akiniuma kwenye mdomo but before iniume nikagutuka . Ina maana gani?.
kwa jina la yesu kristo ninakataa roho ya Aibu roho ya kushindwa roho ya kukataliwa roho ya kufell maisha roho ya kunyanyaswa roho za kichawi
Baada yakuwa umeota unachotakiwa kufanya nikitu gani mchungaji
Maombi ya kufungu kuombea hiyo ndoto.
Amen
Niombeye mimi nasumburiwa naizo ndoto
Mimi nimeota nimeng'atwa shingoni na mguuni
Mtumishi niombee na aliniuma mara tatu