NDOTO UKIUMWA NA NYOKA NINI MAANA YAKE?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • WATU WENGU WAMEUMWA NA NYOKA KWA NDOTO NA IKA SABABISHA MAGONJWA NA HATA KIFO KWA MAISHA YA WENGI. YESU KRISTO AKO TAYARI AKUWEKE HURU.

КОМЕНТАРІ • 59

  • @MaryIkongo
    @MaryIkongo 24 дні тому

    Amen 🙏 🙏

  • @hellenjemeli4971
    @hellenjemeli4971 2 дні тому

    Nakataa in the name of jesus

  • @faithafandi5797
    @faithafandi5797 14 днів тому

    Nimeota asubui nimeumwa na nyoka mguuni,mungu nisaidie nisipatane na madharau yeyote

  • @OleLucas
    @OleLucas Місяць тому +1

    Mimi nimeota nimeng'atwa na nyoka mguuni

  • @MariamKinui
    @MariamKinui 17 днів тому

    Mimi nimeota nyoka kaninga'ta shingo nini maana yake.

  • @PriscillahMutemi
    @PriscillahMutemi 23 дні тому

    Kwa Jina la yesu nimekataa roho za aibu na ya kunirundisha nyuma

  • @elizabethsamwelMusa
    @elizabethsamwelMusa 10 днів тому

    Nmeota nyoka amening'ata kwa mkono

  • @rapandoselfa5557
    @rapandoselfa5557 Рік тому +1

    Ameeen katika Jina la Yesu Kristo shetani wa kuumwa na nyoka ashindwe katika Jina la Yesu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mara saba katika Jina la Yesu Kristo Ameeen Ameeen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Ameeen 💯

  • @AngelWakati
    @AngelWakati Рік тому

    Amen

  • @pahides-pro4989
    @pahides-pro4989 4 місяці тому +2

    Kwajina la yesu kristo nakataha

  • @eliamsumari7902
    @eliamsumari7902 Рік тому

    Pastor mm nimeota nyoka alitaka kuning'ata mguun

  • @KeruboIrene1333
    @KeruboIrene1333 9 місяців тому +1

    *Romans 16:20*
    The GOD of peace will soon crush Satan under your feet.
    *The grace of Lord Jesus be with you*
    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MariyumaHosssam
    @MariyumaHosssam 11 місяців тому

    Weeee miliota nimeumwa na nyoka mguuun wa kulia😢😢

  • @irineDancan
    @irineDancan 2 місяці тому

    Mimi niliona nilikua nikingoa viazi tamu na nikaumwa mikono na ilikua imejificha na na nilikata shingo na nikaona nilijitibu na mchanga kwenye ndoto na nikapona hivyo aikufura na palenilikua nikitoa viazi ilibaki kiunochake ikiwa hai na sikurudi kutoa hizo viazi

  • @CateClare-fb1wk
    @CateClare-fb1wk 4 місяці тому

    Nakata roho zagiza Kwa maisha yangu in Jesus name🙏🙏

  • @PatienceWamakuria
    @PatienceWamakuria 5 місяців тому

    Mmi nmeota nmeumwa na nyoka,,,,tena mahana,,,,,na tena huyo nyoka alitokezea ndani ya maskio yangu😢😢

  • @sheilahkadenge1581
    @sheilahkadenge1581 11 місяців тому

    niliota nimeumwa na nyoka kubwa kwenye mkono wangu wa kulia ukafura😢😢

  • @roseadisa9256
    @roseadisa9256 7 місяців тому +1

    Kwa jina la Yesu nakataa roho za aibu zishindwe katika jina la Yesu kristo

  • @erickbabu4404
    @erickbabu4404 4 місяці тому

    Nimeota na Pambana nae nikamuuwa nyoka Kwa kinu akafa ila aliacha sumu mkononi kwenye ndoto nikanawa na sabun Ila bado nikiwa nataka Kwenda hospital

  • @AngelWakati
    @AngelWakati Рік тому

    Niombeye mimi nasumburiwa naizo ndoto

  • @LuciaGasper
    @LuciaGasper 9 місяців тому

    Nimeota nyoka mdogo amening'ata mguuni lakini nimemuuwa na mimi maana yake nini?

  • @SosisRoti
    @SosisRoti 2 місяці тому

    Naka roho chafu kwa kz yangu pia maisha yangu kwa jina la hyesu

  • @Magdalena-j4z
    @Magdalena-j4z Рік тому

    Mchungaji mm ni mjamzito ila nimeot ndoto nimeumwa na nyoka mguuni nisaidie kwa maombi na pia ina maana gani

  • @evahcharles4032
    @evahcharles4032 2 роки тому +1

    Pastor. Mimi nimeota nyoka imejifunga kwenye mguu wangu wa kulia wakati Niko ndotoni nikawa natafutakitambaa niitoe kwa hasira nikastuka usingizini Ni nyoka mdogo Lin alikua amejifunga kabisa Nini maana ya ndoto hii?..

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому

      Evah Charles nitakuwa live usiku Saa tatu nitakupa maana yake.

  • @rehemamachela4621
    @rehemamachela4621 Рік тому

    Niliota ndoto nimwumwa na nyoka mkononi lakin bahadae yule nyoka alihuliwa alikufa na kunamtu akaja kunipukizia kama spley kutoa sumu ya nyoak

  • @phibianamsafari8280
    @phibianamsafari8280 Рік тому

    Na pastor mwingne nilimwambia nliota nimeumwa na nyoka anasema hyo ni ishara ya kushambuliwa na magonjwa sugu;cancer;diabetes and pressure

    • @irenemwanri3023
      @irenemwanri3023 Рік тому

      Subscribe kwa channel hii utapata notification utafsiriwe ndoto live.kila siku saa nne na saa mbili usiku saa za Africa Mashariki

  • @ZidinaAbbas
    @ZidinaAbbas 9 місяців тому

    Mim nmeota nyoka ananing'ata mgui

  • @CarolBosco-hq6ik
    @CarolBosco-hq6ik 8 місяців тому

    Nimeota mpenzi wangu ameumwa na nyoka katika mguu maana yake.

  • @pendopenias5617
    @pendopenias5617 Рік тому

    Mchungaji mm Leo usku nimeota nanga'twa nanyoka lkn mda huohuo akatokea kijana mmoja akawa amenifunga sumu isisambae chungaji niombee

    • @irenemwanri3023
      @irenemwanri3023 Рік тому

      Subscribe kwenye channel hii utapewa tafsiri ya ndoto zako live.kila siku saa nne asubuhi na saa mbili usiku saa za Africa Mashariki

  • @Iano.kamande
    @Iano.kamande 9 місяців тому

    Mimi nimeumwa lwe

  • @mwajumasalim4315
    @mwajumasalim4315 Рік тому

    Niliota mwanangu ameng'atwa na nyoka kwenye maji pia nikaota nakinbuzwa na nyoka

  • @MariamBakari-n8c
    @MariamBakari-n8c Рік тому

    Jambo pastor ,kuota nyota zinaanguka mikononi

  • @kavirachantal2374
    @kavirachantal2374 2 роки тому +1

    Jambo pastor ,Mimi nimeota nyoka 3 zinanizunguka wakati zilitaka kuniuma nikalamuka Sasa nyoka wa kwanza alikuwa kama mtu sikumujuwa

  • @Vvymakere122-uo5kr
    @Vvymakere122-uo5kr Рік тому

    Mungu tusaidie

  • @catepaki7848
    @catepaki7848 2 роки тому

    Mimi niliota nyoka wawili wakubwa mmoja akipita Dani ya maji mtoni na mwingine akipita kando ya maji wakija kwenye Niko

  • @vumiliambogela8413
    @vumiliambogela8413 Рік тому

    Mchungaji miniliota nimegongwa nanyoka ubavuni

    • @irenemwanri3023
      @irenemwanri3023 Рік тому

      Ni hatari subscribe kwa channel hii utapata notification uingie live atatafsiri ndoto yako saa nne asubuhi na saa mbili usiku saa za Africa Mashariki

  • @benderatigahwa1949
    @benderatigahwa1949 Рік тому

    mimi nimeota nimengatw nq nyoka miguu miwili ila katika hiyo ndoto niliitia jiba la yesu sumu ikyeyuka nikawa sawa

  • @latefalatefa2664
    @latefalatefa2664 2 роки тому +1

    Ndiyo mimi niliota ndoto mdogo wangu ameumbwa na nyoka nahata sasa uchumi wangu umeshuka

    • @ruthgatei7671
      @ruthgatei7671 Рік тому +1

      Nashukuru kujua maana ya ndoto hii,nisaidie mchungaji kwa maombi kwa maana nmeota nyoka imeniuma kidole ikafura saana mpaka inaturn red

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Рік тому

      @Latefa Latefa mdogo wako ako chini ya mashambulizi ya kichawi.

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Рік тому

      Nakuombea pia unaweza nipigia tuombe pamoja

  • @diverally2248
    @diverally2248 Рік тому

    Niliota ndoto nimeng'atwa na nyoka mkono wa kushoto lkn walikua nyoka wawili mmoja nilimchoma moto nn maana yake

  • @alvinbaya8673
    @alvinbaya8673 2 роки тому +1

    Mi ndo nimeota mwana ameumwa na nyoka

    • @yellablack2000
      @yellablack2000 2 роки тому +1

      Nimeota nyoka kaniuma lakini sumu yake ainidhuru

  • @salamahassan3384
    @salamahassan3384 2 роки тому

    Habari nimeota usiku mkubwa nyoka aina ya cobra ameniuma kwenye mkono lakini niliwahi kumpiga na nilimkata vimbande viwili

  • @annmahuthu1506
    @annmahuthu1506 Рік тому

    Niombe mtumishi wa Mungu nimeota kuumwa na nyoka

  • @GREATTRADERSUNION_GTU
    @GREATTRADERSUNION_GTU 2 роки тому +1

    Nimeota nyoko mdogo mweuzi akiniuma kwenye mdomo but before iniume nikagutuka . Ina maana gani?.

  • @angeladegens7139
    @angeladegens7139 Рік тому

    kwa jina la yesu kristo ninakataa roho ya Aibu roho ya kushindwa roho ya kukataliwa roho ya kufell maisha roho ya kunyanyaswa roho za kichawi

  • @KankundiyeClement
    @KankundiyeClement 6 місяців тому +1

    Baada yakuwa umeota unachotakiwa kufanya nikitu gani mchungaji

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  6 місяців тому

      Maombi ya kufungu kuombea hiyo ndoto.

  • @maglindaanyango
    @maglindaanyango Рік тому

    Amen

  • @AngelWakati
    @AngelWakati Рік тому

    Niombeye mimi nasumburiwa naizo ndoto

  • @UpendoMtavangu
    @UpendoMtavangu 8 місяців тому

    Mimi nimeota nimeng'atwa shingoni na mguuni

  • @ZidinaAbbas
    @ZidinaAbbas 9 місяців тому

    Mtumishi niombee na aliniuma mara tatu