Ujenzi wa awamu ya tatu wa barabara ya Dongo Kundu wakamilika
Вставка
- Опубліковано 16 кві 2024
- Ujenzi wa barabara ya Dongo Kundu awamu ya tatu umekamilika. Barabara hiyo inaunganisha kaunti ya Mombasa na Kwale imetajwa kuwa na afueni kubwa hasa kwa usafiri utalii na kupunguza msongamano katika kivuki cha Likoni.
Inaunganisha Kisiwa cha Mombasa na kaunti ya Kwale wala si Lamu
Wa kwanza hapa..wakuu si munipitie🙏,,, niwapitie sahii pia❤
Uhuru is doing ii better even 2yrs to retirement than ruto
❤❤❤ good job👏👏
Shukrani kwa Uhuru Kenyatta.... 🇰🇪
Shukrani za nini hii ni pesa yetu sisi wananchi, ni ushuru wetu. Tuache huu ujinga wa kumsifu mtu. Tulimpa kazi kwa kumpigia kura na mshahara wake alilipwa.
@@kibindankoi9824
Kuna wengi ambao hupewa kazi lakini hawaifanyi na wanaiba hela zote...
@@kibindankoi9824 kweli, Jamaa hajui hizi miradi ni haki yake. Educate them my brother
Good job
Government of Kenya project
Ferry kwa heri
Good tax and loan money...
Watu wa Mara uhuru Mara muuwaji, hizo ni kelele tu
County ya lamu imetoka wapi huku???
Mara imeisha mara bado kwani nani msimamizi jameni
Mark the road
Huku imeisha, huku itamalizika mwezi ujao. Until the ribbon is cut, I have no reason to smile.
Hiii barabara itazenduliwa lini lakn
Unaona barabara inaelekea kuisha ifunguliwe wewe unasema kuhusu kuzinduliwa, barabara ilizinduliwa kitambo na aliekua raisi Uhuru Kenyatta
Uhuru projects
😂😂😂 uchokozi
😂😂😂
Uhuru's job.huyu muuwaji akuna kitu amefanyia wakenya
Kaskia vibaya uko kwenu na watu wenu wenye wamuawa
Eti Inaunganisha Kisiwa cha Mombasa na Lamu?
0:28 -0:33.
Vipi hapo Francis Mtalaki unatupaka uongo mtupu! Hii ni Mombasa to Kwale not Lamu