Jamaa mmoja aliyepatikana kwenye patashika ya polisi na raia Likoni afariki

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 бер 2020
  • Familia moja huko zibani eneo bunge la Matuga kaunti ya kwale wanadai haki baada ya jamaa wao kupokea kichapo ijumaa wakati wa utekelezaji marufuku ya kutotoka nje ilipoanza kutekelezwa. Kulingana na simulizi la familia ya marehemu, jamaa huyo alikuwa ametoka hospitalini alikompeleka mama mja mzito alikokumbana na maafisa wa polisi waliomchapa kivukoni likoni.

КОМЕНТАРІ • 166

  • @joekayot1057
    @joekayot1057 4 роки тому +24

    Whoever did this won't go unpunished God still lives

    • @mamavero4004
      @mamavero4004 4 роки тому +1

      Wakenya Wakenya Corona ilete ugomvi kati ya wananch na jeshi la polis wafundisheni jamani siyo kuwaadhibu kiasi hicho

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 4 роки тому +2

    Poleni wa Kenya Sisi huku TANZANIA 🇹🇿 tuko vizuri hakuna kupigana

  • @puritynduku109
    @puritynduku109 4 роки тому +10

    We need justice for the poor,this is not how police should work,God is watching all these

  • @frontendprodesigner4299
    @frontendprodesigner4299 4 роки тому +16

    i could say afadhali corona kuliko hawa.. they are dangerous killers with no mercy.. but GOD is seeing them

  • @nuurabdullah4884
    @nuurabdullah4884 4 роки тому +4

    May the blessings and peace of Allah be up on the poor brother who died !!!

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 4 роки тому +2

    SUBHANNAH Allah, Allah ampe kauli thabit pole sana kwa familia yote

  • @bobochieng8026
    @bobochieng8026 4 роки тому +11

    Yes. We have to trust the same killers to investigate. How sad.

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 4 роки тому +14

    CORONA IMEUA MKENYA MMOJA. JE POLISI MAJAMBAZI wakenya wataua wakenya wangapi??!!'''?

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga7770 4 роки тому +25

    That's was stupid from police, may they never know peace,

  • @paulamwikali7643
    @paulamwikali7643 4 роки тому +12

    SHAME SHAME SHAME SHAME SHAME TO THESE INHUMAN POLICE. GOD'S JUDGMENT IS COMING! SHAME

    • @irenedavo3768
      @irenedavo3768 4 роки тому

      Paula Mwikali why are these people standing close to each other?

  • @nagibsalim9120
    @nagibsalim9120 4 роки тому +1

    Waliotekeleza hayo mungu awaadhibu hapahapa kama namna walivo mfanyia marehemu na familia kueni na subira wakati huu mgumu

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 4 роки тому +14

    Mm nilijuwa haya yatatokea n wengine kuwa vilema

    • @lizzann2535
      @lizzann2535 4 роки тому +1

      🤣🤣🤣🤣jameni

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 4 роки тому

      @@lizzann2535 🤣🤣🤣

    • @naomiwhite3832
      @naomiwhite3832 4 роки тому

      Those are da results of curfew pple should b aware of this instead of cursing gova

  • @consolataakwabi7321
    @consolataakwabi7321 4 роки тому +6

    Mimi nimechoka tu..Mungu tuonee huruma

  • @beatricewafukho9131
    @beatricewafukho9131 4 роки тому +2

    What about the family he was feeding,? Mr president Uhuru you are not helping people.. I wish you knew what it takes. It Hurts

  • @dinisrealm3240
    @dinisrealm3240 4 роки тому +7

    Very sad! Both COVID-19 and the soldiers are finishing citizens

  • @uniquecritical7628
    @uniquecritical7628 4 роки тому +2

    The salary to the police is from the tax that the people of Kenya pay. How comes that the police do not respect the people who pay their salaries. No more beatings to the wananchi, give them fine or arrest them.

  • @Iffa_saeed
    @Iffa_saeed 4 роки тому +2

    Mungu ajalie magonjwa haya yaishe alafu mukuje na hii BBI yanu AMUTAMINI

  • @pacifica.5640
    @pacifica.5640 4 роки тому +8

    Hajauliwa na virusi ya corona bali maafisa wa police 😰

  • @violetingahizu1114
    @violetingahizu1114 4 роки тому +2

    Ooh noo...my condolences to the family

  • @suleshee270
    @suleshee270 4 роки тому +1

    Haki haizami Mungu atamlipia Isha Allah

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 роки тому +1

    Bear in mind my fellow citizens.... Police are not our friends... These men will always take a chance to harm the mwananchi..

  • @francknjosh7081
    @francknjosh7081 4 роки тому +2

    Aki hawa wanyama si wapate corona

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 4 роки тому +4

    The Law of Cause and effect: Every action has a reactional consequence and we reap what we have sown. Nature will deal with those crooks who call themselves police.

  • @morineakinyi1116
    @morineakinyi1116 4 роки тому +3

    So sad 😭😭

  • @prettybabygalmichelson6557
    @prettybabygalmichelson6557 4 роки тому +3

    Waaaaah,so sad

  • @randydante4261
    @randydante4261 4 роки тому +2

    Pray for kenya. 😢 😭

  • @mercymwangi2946
    @mercymwangi2946 4 роки тому

    Woiye

  • @melsha3143
    @melsha3143 4 роки тому

    Mungu Yoko kwakite Kama unauna mamuzi ya binadamu niyamaana Sana kuliko yamungu no sawa

  • @graceamboka3349
    @graceamboka3349 4 роки тому +1

    Ati polisi watafanya uchunguzi how?

  • @Joyce-gu8qw
    @Joyce-gu8qw 4 роки тому +1

    Kwao kujae giza na utelezi,wawe na kuchanganyikiwa na wakose kabisa amani hapa nduniani shinda na magojwa ikawe sehemu yao

  • @rosekenya1
    @rosekenya1 4 роки тому +2

    The same killers,are the one to investigate??

  • @deborahlitunda5728
    @deborahlitunda5728 4 роки тому +1

    Nanikati ya asikari na Huyo marehemu alikuwa msamaria mwema hatua ichukuliwe

  • @rashidbilal1150
    @rashidbilal1150 4 роки тому +4

    Uchunguzi wa nn tena wajinga nyinyi LAANA TU LALLAH nyinyi ... police wakenya kazi yao ni hiyo yakuwa wananchi LAANA iwashukie nyinyi

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 4 роки тому +1

    Inalillah wainaillahi rajiun

  • @one1893
    @one1893 4 роки тому

    It is very painful!

  • @anoldmueke7493
    @anoldmueke7493 4 роки тому

    Inauma sana! Tuwe pole sote

  • @josephmwangi9556
    @josephmwangi9556 4 роки тому

    Sad

  • @mkabdi7732
    @mkabdi7732 4 роки тому

    Kenyans we are suffering this 😢😢😢 really the Kenyan police are treating their citizens like their enemy 😓😓😓😓😓😭😭

  • @monicawambui1548
    @monicawambui1548 4 роки тому

    Oh God of mercy

  • @umojaafrika2447
    @umojaafrika2447 4 роки тому +1

    Serikali ya ufaransa yaliua "yellow jacket" sana pia. Lakini, sisikilizi hapa Kenya...

  • @wlkmwlkm2900
    @wlkmwlkm2900 4 роки тому

    Ooh my God

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 4 роки тому +1

    😭😭😭😭😭😭justice for bodaboda man😭

  • @janekingori3989
    @janekingori3989 4 роки тому +1

    Woooi

  • @elroyaladyzu349
    @elroyaladyzu349 4 роки тому +2

    Jaman mbn polisi zakenya mbn zk hv

  • @benjohnson1763
    @benjohnson1763 4 роки тому +4

    Tukisema ''pwani si kenya'' wenzetu tuelewe.Tumechoka kudhurumiwa na taifa la kenya

  • @naluwendeketty2813
    @naluwendeketty2813 4 роки тому +2

    Inna lilah waina lilah rajuin 😭😭😭

  • @catherinmutheu5337
    @catherinmutheu5337 4 роки тому

    Oh God. Very sad and painful. Inhumanity. Waache kuchapa watu please. Its not fair. My heartfelt condolences to the family of the departed.

  • @somiaal8019
    @somiaal8019 4 роки тому +1

    Why doing this to poor innocent kenya police 😭😭😭😭

  • @mwanauluhassan4712
    @mwanauluhassan4712 4 роки тому

    Ayo polisi kumbe wanajuwa kupiga mbona awapigi ayo wanayo kata watu mabanga kupiga watu wasiyo na hatiya ndio wanajua Mungu anawaona sana

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 4 роки тому +3

    Killed by police not corona so sad...atleast police should listen to someone they meet at night to save a life not all u meet is criminals others are emergency.

    • @kevinmomanyi7996
      @kevinmomanyi7996 4 роки тому

      💯 true before they start beating listen to someone problem first

  • @diananamusia1525
    @diananamusia1525 4 роки тому

    So sad

  • @entertainmentonly956
    @entertainmentonly956 4 роки тому +2

    are we jst gonna ignore this or give justic to the deceased

  • @yaswe5017
    @yaswe5017 4 роки тому

    subhana Allah uchunguzi gani na neno liko wazi msidai haki watu nikuhukumia Allah ndo mwenye haki wala siserekali walifanya vibaya sana kwa wananchi wallah mimi bado niko nao uchungu mim sikuepo lakini venye nimeona kwenye you tube wallah inasikitisha sana

  • @sharondavis9379
    @sharondavis9379 4 роки тому

    Wauwaji bado wanaenda kufanya kesi how sure are we muta2tendea haki hii curfew ata iishe wenye mungu atasema wakufe nayo sawa wenye amepangia waishii sawa pia

  • @fortniteplus7591
    @fortniteplus7591 4 роки тому

    Shame on you Mr policemen

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 4 роки тому

    Ni vile wamehisi wanaweza tukosa ktk chaguzi zao na wakatupata hapa kwa corona na hii ni dawa pekee waweza toa kwa raia wasina hatia,hawakuangalia condition ambazo zaweza kua ni dharura,africa tuko na visasi za wenyewe kwa wenyewe,hebu angalia maradhi imeletwa na mzungu na mchina lakini adhabu anapata mwafrica utafkiri alikiapo maabara wakati wa kutengenezwa kirusi hicho

  • @nancynaipanoi4866
    @nancynaipanoi4866 4 роки тому +1

    Haiya uhuru mazao bado unayavuna sasa Endeleeni Tu askari wako killers

  • @wlkmwlkm2900
    @wlkmwlkm2900 4 роки тому +1

    Mapolisi bila heshima uuuii.Why why did they did such stupidity.
    The world is watching,God will make them pay here on earth

  • @haipaabdu3991
    @haipaabdu3991 4 роки тому +2

    Ati natwaomba Mungu atusamehe ila twaongeza machungu kwake .

  • @frontendprodesigner4299
    @frontendprodesigner4299 4 роки тому +3

    we are under colonization. kama askari zetu hawatuhurumi nani watatulinda.. sheytani zote

  • @kdroidgaming1789
    @kdroidgaming1789 4 роки тому

    The President do something

  • @alexwaweru6448
    @alexwaweru6448 4 роки тому

    If the police still walk free .without any legal action that will give them some pride even after this pandemic and you can guess it what happens to the mwnanchi

  • @budspencer7563
    @budspencer7563 4 роки тому

    Where is the peace? where is the justice ? Very very sad. This is murder, that of a lovely responsible young man. And i pray all those who caused it fall under the bullets of Al-Shabaab. Amen

  • @danniemuringi8846
    @danniemuringi8846 4 роки тому

    Better wangengoja corono imuue basi na kuzuia. Unfair

  • @penninahthegrace3036
    @penninahthegrace3036 4 роки тому

    Justice justice justice justice 😭😭😭😭

  • @nellynelima409
    @nellynelima409 4 роки тому

    😭😭😭😭

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 4 роки тому +1

    Sharia zaki IBILISI muhusika ni mauaji ni WEWE. KishA wewe ndio mchunguzi! Bila Qur'an Kua muongozo wetu hatutapata HAKI hata SIKU moja

  • @lizzann2535
    @lizzann2535 4 роки тому +2

    Police wanateguwa vipi kitendawili walichotega.police beating lead to his death .
    Police:takes motorbike as evidence to slove murder they committed

  • @kituxina4666
    @kituxina4666 4 роки тому

    Wala bado Allah ataleta makubwa zaidi ya hayo..! Kila kwenye nchi za DEMOCRACY NA kuacha Sharia ya Allah...... Mpaka turudi kwenye dini yetu ya jihaaad.

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 роки тому

    Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun,

  • @esthermuriuki6790
    @esthermuriuki6790 4 роки тому +1

    Sasa pikipiki itaongea ama,

  • @vivianwanini9169
    @vivianwanini9169 4 роки тому

    Ni heli Corona kuliko polisi wa KENYA 😏😏

  • @pauldaniel5685
    @pauldaniel5685 4 роки тому

    Na wafunguwe kesi kabisa

  • @nancykasuti9930
    @nancykasuti9930 4 роки тому

    Hao mapolice wapewe hiyo maiti wale sababu hivo ndivo wanataka

  • @lugendomwigoha8992
    @lugendomwigoha8992 4 роки тому

    Hii miaskari ya Kenya mijinga kweli Alshababu wameyashinda sasa yanaua Raia mbwa kabisa

  • @nobodynobody7594
    @nobodynobody7594 4 роки тому

    Sleepless nights and calamity days....in there family and there generation ,,,to the police who did this....sorry my fellow kenyan....ur Promoted to glory were ...uwill face the true judgement.........mungu atakutetea

  • @salmaelvina3463
    @salmaelvina3463 4 роки тому

    kisa cha gomora kina rudi tena mana mashoga wapo watu wauwana visa kila aina sijui kizazi chetu kitaishi vip

  • @najmanajma-4765
    @najmanajma-4765 4 роки тому

    Polisi wa kenya wanaroho za kinyama wanashindwa kupigana na alshababu wanapiga raiya,iyo damu imemwagika nyinyi polisi itawacost

  • @saidichita3823
    @saidichita3823 4 роки тому

    hao askari mnawachekea unganisheni nguvu ya uma nao afe mmoja

  • @gracengahu9324
    @gracengahu9324 4 роки тому

    Sometimes it is better to listen someone who is out time of curfew they have reason ask them why they are out

  • @manmachomaasai1095
    @manmachomaasai1095 4 роки тому

    kuchapana fimbo sio sahihi nyinyi wakenya ni ndugu moja wasenge nyinyi

  • @freddywakakamega2671
    @freddywakakamega2671 4 роки тому

    So bad the police who did that usiwai rudia tena

  • @josemaxtunes1330
    @josemaxtunes1330 4 роки тому +1

    One dead on corona and one dead on cafew zinapelekana unyo unyo soo bad. Shame

  • @jeremiahchamakany6033
    @jeremiahchamakany6033 4 роки тому

    The behavior of Kenya Police projects the thinking of each an average African,it matters not if they are schooled or Not...what an African can do when given 'some small power' can be very disastrous not only to themselves but to all those who look weak in front of them,just look at your Governor,MCA ,MP and even the Chairman of the school board....Their thoughts and plans are pure evil...the Reason why Africa must be and should be recolonized ASAP...

  • @Esty1248
    @Esty1248 4 роки тому

    Kuuliza tu kwani corona huambukizana usiku tu mchana hapana?

  • @susanruo8087
    @susanruo8087 4 роки тому

    😭😭😭

  • @Amos_Fitness
    @Amos_Fitness 4 роки тому

    This is so wrong oh God

  • @abdullahiadan4930
    @abdullahiadan4930 4 роки тому

    What's wrong with Kenyan police? This is so sad.

  • @paulkiarie
    @paulkiarie 4 роки тому

    This is murder plain and simple.

  • @esthernjuguna2006
    @esthernjuguna2006 4 роки тому +1

    Uchunguzi gani tena?

  • @stevek8318
    @stevek8318 4 роки тому

    Mumewahi sikia Uhuru akiteta ama kutoa amri ya wauwaji wakamatwe? Ni wakenya wangapi wamekufa uongozini wa Uhuru pasipo hatua yeyote kuchukuliwa? Nani anaamini the whole president doesn't know who killed Kenei? Hata huyu jamaa ni yeye tu na mungu wake Uhuru hana shida na hiyo, wakenya wataendelea tu kukufa manake hatuna dhamana yeyote kwa viongozi hawa isipokua kura na Kodi tu, mradi wao washibe

  • @alkidzkanu497
    @alkidzkanu497 4 роки тому

    Use a killer to investigate a killer😢

  • @mikegitumambae9479
    @mikegitumambae9479 4 роки тому

    All this will be followed by karma, To them its no pain but they left wounds in pples heart's karma will follow on them!

  • @abbssy567
    @abbssy567 4 роки тому

    Na hao polisi hawajachukuliwa hatua jamani hii ni uzuni

  • @aminaguyo3891
    @aminaguyo3891 4 роки тому

    Huyo ni mshenzi saaana

  • @marygithinji9871
    @marygithinji9871 4 роки тому +1

    Sosad

  • @loisegithumbi1124
    @loisegithumbi1124 4 роки тому

    Polisi sio rafiki hata kidogo

  • @zedyahmed2040
    @zedyahmed2040 4 роки тому

    Hio piki piki pia imeenda kufanyiwa uchunguzi

  • @sheilamuhonja4299
    @sheilamuhonja4299 4 роки тому

    This is bad.

  • @isabellahobara6576
    @isabellahobara6576 4 роки тому

    How can a criminal investigate the case cos those police killed him now investigating, what are they investigating, Kenyan police are putting serious enermity between them and the public, remember a police is someone u need to trust so that ur free even to share with them any crimes at your neighbour hood, if l may ask what is wrong with some of Kenya police