Wahudumu boda boda Mombasa watishia kurejesha pikipik zao za elektroniki kwa madai ya huduma duni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 лис 2023
  • Wahudumu boda boda za kutumia nguvu za umeme kaunti ya Mombasa wametishia kurejesha pikipiki hizo kwa kampuni miliki kwa madai ya huduma duni pamoja na nyongeza ya malipo

КОМЕНТАРІ • 167

  • @samsonodhiambo2953
    @samsonodhiambo2953 6 місяців тому +11

    I really love Kenyans they only change and listen to good advice after facing the problem.

  • @rhyzuebacillus6741
    @rhyzuebacillus6741 6 місяців тому +63

    Any promise made by Ruto is a lie.

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 6 місяців тому +49

    WHEN THE DEAL IS TOO GOOD, THINK TWICE.

    • @lilian2660
      @lilian2660 6 місяців тому +1

      😂😂😂ruto anafanya kenya mambo

  • @elfuego9117
    @elfuego9117 6 місяців тому +13

    Inaitwa uwongo wa hustler,, na badoo mtaliaa sanaa

  • @Daniel-yi3nm
    @Daniel-yi3nm 6 місяців тому +10

    yaani petroli ipande na nyinyi mshukishiwe...serikali ya usawa kwa kila mtu😂😂😂

  • @nyaozilnyao8849
    @nyaozilnyao8849 6 місяців тому +10

    Haki ya nani Ruto aliwaingiza kwa box yeye aliunda pesa zake na akaondokea 😂😂

  • @danomolo7365
    @danomolo7365 6 місяців тому +10

    Watu wa boda boda hoeeeh mama mboga hoeeeye na tuliwawarn

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 6 місяців тому +8

    I said it...😢😢😢😢wacha kiwaramba...

  • @walteraudi7536
    @walteraudi7536 6 місяців тому +14

    The rise in fuel prices was to motivate them to take stima boda for a loan its their time to do business with Kenyans

    • @domin842
      @domin842 6 місяців тому +1

      And zakayo is working with the owners of those companies who are from the west,and secondly the rise in fuel prices is something that someone is working on it inorder for us to abandon these fuel vehicles and shift to e-vehicles and bodas

  • @abdirizackadan9230
    @abdirizackadan9230 6 місяців тому +11

    Si hio ni vitu za zakayo si mulikubali kuchukua kitawaramba 😅😅

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 6 місяців тому +1

    Poleni niliwawarn

  • @muindimulwa2102
    @muindimulwa2102 6 місяців тому +13

    Hasola tawaraaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mtu ya boda boda ,mtu ya kihosk,mtu ya mkokoteni😂😂😂😂😂

    • @lilian2660
      @lilian2660 6 місяців тому

      All in all si ni hasola🤣🤣🤣

    • @muindimulwa2102
      @muindimulwa2102 6 місяців тому

      @@lilian2660 yote imekua vanity😂the worst and useless president ever since independence

    • @juliamongina6084
      @juliamongina6084 6 місяців тому +1

      Wacha umama you are fooled each and every time😂😂😂😂

    • @Guest-fm8sb
      @Guest-fm8sb 6 місяців тому

      Pottom hapuuu😂😂😂

    • @kevg1794
      @kevg1794 6 місяців тому

      Kubabake...... Mama mboga 😂😂😂😂

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 6 місяців тому +7

    Mtu mwenyewe anamuani ruto kitakacho mkuta asijekulia nasisi

  • @Kengele
    @Kengele 6 місяців тому +4

    Hustler Nation bottom up

  • @saitotisapiyo5997
    @saitotisapiyo5997 6 місяців тому +5

    Mambo bado

  • @user-pz5wv6tb3e
    @user-pz5wv6tb3e 6 місяців тому +3

    Ruto ooooooooo wa I don’t know how to say everyone crying

  • @MoMo-qw5mp
    @MoMo-qw5mp 6 місяців тому +6

    Yani kila kitu ya ruto ni disaster? I think by know kama wewe ni mkenya na waskiza ruto wewe ni mjinga. Eti ruto akupunguzie bei na unamskiza? 😂

  • @jaydenmereru3824
    @jaydenmereru3824 6 місяців тому +3

    😂😂😂wah poleni juu itapanda mpende msipende kila kitu kenya....

  • @kevg1794
    @kevg1794 6 місяців тому +3

    Na mvua ya juzi ....zilizima kuzima.... Ndo hasira zote

  • @benmuthee6311
    @benmuthee6311 6 місяців тому +10

    All negative vibes about this govt

  • @home9556kefr
    @home9556kefr 6 місяців тому +16

    Kenya was not ready to introduce electric solutions

    • @ilikepremios.amanofunofhyb4751
      @ilikepremios.amanofunofhyb4751 6 місяців тому

      World is not ready n it will never. Evs are very inconvenience.

    • @rydergoode6922
      @rydergoode6922 6 місяців тому +2

      It was seen as a short term solution to hiked fuel prices. Ironically that was also the selling/marketing point

    • @home9556kefr
      @home9556kefr 6 місяців тому

      @@rydergoode6922 plus IMF expectations

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 6 місяців тому +3

    Wenzao washarudisha kitambo mbona wamechelewa watu wa Mombasa, zakayo anything anapandisha pole pole anapandisha alaf Ana waangalia kma mutaandamana 😂si mafuta,Unga, mambo I'd, passport everything

  • @lenanaH
    @lenanaH 6 місяців тому +2

    Mambo ya Ruto achaneni nazo😂

  • @mathekarichard1382
    @mathekarichard1382 6 місяців тому +1

    Warundishe kwani walilazimishwa

  • @mikecarlos7386
    @mikecarlos7386 6 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂 mtajua hamjui

  • @josphatongori7414
    @josphatongori7414 6 місяців тому +2

    😅😅😅😅😅ndio mwanzo

  • @kimrobert2994
    @kimrobert2994 6 місяців тому +28

    Why not make it chargeable at home? They should sell us the chargers!!

    • @wawerukamau1260
      @wawerukamau1260 6 місяців тому

      Capitalism does not work like that.

    • @sjsm8578
      @sjsm8578 6 місяців тому +2

      @@wawerukamau1260 capitalism gani hio na serikali iko involved?

    • @wawerukamau1260
      @wawerukamau1260 6 місяців тому

      @@sjsm8578 nimekubaliana na wewe

    • @cryptoth4n0s77
      @cryptoth4n0s77 6 місяців тому +1

      100% of those bikes are still owned by the company, so for them (company) to get maximum returns they are forced to charge from the company . They can charge from home only that they are still not enlightened. Also what happens with this bikes they are not given chargers but rather they swap batteries.

    • @sjsm8578
      @sjsm8578 6 місяців тому +4

      Kwanza solution ni capitalism. Give me Venture capital nianzishe company ya home charging batteries

  • @markmintila73
    @markmintila73 6 місяців тому +1

    😥😥😥 sasa inaturamba imagine

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 6 місяців тому +4

    Kesho rudisheni zote hapo mlipotoa

  • @johnonyango6069
    @johnonyango6069 6 місяців тому

    Watu wa boda boda pigeni simu China muuziwe charger za hizo pikipiki😅😅😅 kazi rahisi hiyo

  • @rydergoode6922
    @rydergoode6922 6 місяців тому +1

    They were conned😅

  • @Kipash
    @Kipash 6 місяців тому +2

    Already Conned. That is Ruto for you.

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 6 місяців тому

    Na Bdo hauthemaa yaani mpaka mseeme 😂😂😂

  • @mohamediddi-xf7dg
    @mohamediddi-xf7dg 6 місяців тому +5

    Mtajua hamjui, ndio tabia ya wakenya. Maziwa mala kabisa

  • @geoffreymuriithi1279
    @geoffreymuriithi1279 6 місяців тому +4

    ALIZIPELEKA STRONGHOLD YA RAILA, NDIO KIWARAMBE😂😂😂😂ITS punishment for not voting for him😂😂😂😂

    • @muotinzmultiply88
      @muotinzmultiply88 6 місяців тому

      😂😂😂😂😋

    • @domin842
      @domin842 6 місяців тому

      Stronghold ya raila na kinaturamba kila mahali ziko hata hapa Nairobi na mi husikia ziko fake sana,kumbe it's true,ati zinazima wakati wa mvua,

  • @ochikoja
    @ochikoja 6 місяців тому +1

    Ruto tialala ruto tibim 😂😂

  • @Vel42
    @Vel42 6 місяців тому +2

    Ruto imagine ni pesa za Kenya anaendelea kuficha,the moment ametoka kiti atakuwa amejaza pesa kila account na zingine amelima mashimo ameekea mpaka kizazi chase cha 50,MUNGU amuone tu na amazing mafikirio yake mbovu katika JINA LA YESU.

  • @pandoraworld442
    @pandoraworld442 6 місяців тому +1

    kimewaramba tena😄😄

  • @agripinamuhavi5669
    @agripinamuhavi5669 6 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 thank you very important

  • @richardonanda5501
    @richardonanda5501 6 місяців тому +3

    Ata iwezi beda ngunia moja ya makaa

    • @wawerukamau1260
      @wawerukamau1260 6 місяців тому

      Kwani Ina gear ngapi ?

    • @richardonanda5501
      @richardonanda5501 6 місяців тому

      @@wawerukamau1260 trust me bro even more than two passengers 😂😂

  • @simonmakacha5810
    @simonmakacha5810 6 місяців тому +1

    Hasoraaa tano tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @peterkariuki5140
    @peterkariuki5140 6 місяців тому

    Mlisema bottom up 😂😂😂😂..kitawaramba

  • @cleophasmose9746
    @cleophasmose9746 6 місяців тому

    Think twice bwanaa😂😂😂

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 6 місяців тому

    Project hiyo

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k 6 місяців тому

    Hustler nation bottom up

  • @EdwardJuma-ji8he
    @EdwardJuma-ji8he 6 місяців тому

    Yes

  • @Sodea-ej9qg
    @Sodea-ej9qg 6 місяців тому

    Tumieni akili , hizi pikipiki, zililetwa na ruto ndio mwekeza, mkakibilia kama ng'ombe , hizi no toys sa watoto za kushezea, kitawaraba Bado 🤣🤣🤣🤣

  • @SamuelkimuhuMwangi-pi2rw
    @SamuelkimuhuMwangi-pi2rw 6 місяців тому

    1:35 😊

  • @petermutinda9047
    @petermutinda9047 6 місяців тому +1

    Na warengeshe zirudi china hatutaki hatupangwingwi

  • @justinebosire9804
    @justinebosire9804 6 місяців тому

    Waaaaah

  • @mititokevin6878
    @mititokevin6878 6 місяців тому +1

    Wacha kiwarambe

  • @eunicejefwa1935
    @eunicejefwa1935 6 місяців тому

    Rudisheni 😂😂😂😂😂

  • @yusufgagamuhammad2674
    @yusufgagamuhammad2674 6 місяців тому

    Turo uko sawa tenda haki kwa wote mafuta ikipanda pia stima ipande kwani iko nini kama hamtaki rudisheni sisi wazimio tuende tuka zichukue 😅😅😅 tujenge inchi 😅😅😅😅

  • @jamalgubo
    @jamalgubo 6 місяців тому

    Shauri yenu c nyinyi ndio mlichagua

  • @paulwanyonyi8018
    @paulwanyonyi8018 6 місяців тому +2

    Kimewaramba heri ya mafuta stima haina nguvu ya kubeba watu wawili

  • @Timothy_Njoroge
    @Timothy_Njoroge 6 місяців тому

    Zakayoooo!

  • @miriamndungu3126
    @miriamndungu3126 6 місяців тому +1

    Leave Zakayo alone kwanza amalize kukula chura, alafu ata wa sort 😔 relax....

  • @marvinodhiambo8362
    @marvinodhiambo8362 6 місяців тому

    Mdomo Tam Tam 😅😂

  • @WanjaGitonga-bw1mk
    @WanjaGitonga-bw1mk 5 днів тому

    Kazi ya hustler ni kucon watu

  • @danielmuriithi8486
    @danielmuriithi8486 6 місяців тому

    Saw this coming from a mile away

  • @antonyndumia9441
    @antonyndumia9441 6 місяців тому +2

    Hizo ni story za jaba

  • @JanepherMalese-dj5hu
    @JanepherMalese-dj5hu 6 місяців тому

    Huyu ruto hakuna kitu atasema natuamini

  • @Travelwithfred
    @Travelwithfred 6 місяців тому +1

    Kimewaramba

  • @kaykay5605
    @kaykay5605 6 місяців тому

    Bottom up

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 6 місяців тому +1

    Sisi tuliwambia kitambo hyo but wakenya niwajinga sana kwanini muende muakanunue pikpik ujinga tuu mwingi mko nao wakenya wapumbavu tuu

    • @wawerukamau1260
      @wawerukamau1260 6 місяців тому

      Hizi boda ni za loan ,na vile kulivyo hiyo loan hailipiki Tena.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 6 місяців тому

      @@wawerukamau1260 wacha kiwarambe ujinga mwingi

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 6 місяців тому +11

    Why are people in business so motivated to increase prices?

    • @chickynuggies2739
      @chickynuggies2739 6 місяців тому +2

      rising costs my guy. I run furnished apartments and a week ago we got notices to start paying tourism levy. If they eat into my profit, I have no choice but to raise prices.

    • @erickjuma7643
      @erickjuma7643 6 місяців тому +1

      I get it, the problem is there's no yard stick for determining how much is extra is charged.

    • @josephmungai1799
      @josephmungai1799 6 місяців тому +1

      People in business do not increase prices. It is money that loses value.
      Why does money lose value,? Because of government overspending and over borrowing....so that today, with 12trillion in debt, Kenya's wealth TOMORROW, YOUR WEALTH, will be 12trillion shillings LESS..
      BLAME the government. Not the traders.

    • @josephmungai1799
      @josephmungai1799 6 місяців тому

      ​@@erickjuma7643oh, there is a yardstick.....it is called TAX.
      calculate the amount of tax, and you can tell precisely what is being stolen by government

    • @domin842
      @domin842 6 місяців тому

      Yet the imf is planning to give Kenya 1.6trillion ksh,wait and see how the ksh will be weaker than even the ugandan shilling

  • @lukmanali6991
    @lukmanali6991 6 місяців тому

    Iyo bei iko sawa apo kwa mia tatu tusifaidike pekeetu pia kampuni ifaidike haiendi ivo tunavyo dhani eti tushinde na battery the whole day bila kueka kwa moto😂😂😂 Hii bike inafaida coz huendi nayo service kazi n kugeuza battery tu.........

  • @jesee5470
    @jesee5470 6 місяців тому

    Ati ni bottom up, uliskia wapi ??

  • @wawerukamau1260
    @wawerukamau1260 6 місяців тому +11

    Capitalism at its best.

    • @josephmungai1799
      @josephmungai1799 6 місяців тому

      This my friend is not capitalism.
      This is Socialism, using government power to engineer society to gain more power and hence more money.
      In capitalism, you freely provide a service and if it is good I pay for it; willing buyer, willing seller. Government has nothing to do with it.

  • @japhethnandy8330
    @japhethnandy8330 6 місяців тому

    Ndio hio bottoms up yenyu

  • @abigaelchelcy6950
    @abigaelchelcy6950 6 місяців тому

    🫣🫣🫣🫣😂😂😂😂😂 na bado.

  • @nathanielmigeni8316
    @nathanielmigeni8316 6 місяців тому

    kenyans should remember that whatever ruto is doing, he does it for his own benefit. let us analyze him keenly to avoid learning from experience.

  • @isaiahizzoh9644
    @isaiahizzoh9644 6 місяців тому +9

    The charging time and wait is the big issue 😅😅

    • @wawerukamau1260
      @wawerukamau1260 6 місяців тому +1

      That's not the issue.
      The battery are swapped but that battery does not belong to you;it belongs to the invester.

    • @isaiahizzoh9644
      @isaiahizzoh9644 6 місяців тому +2

      @wawerukamau1260 the going to swap time? Distance to the swapping point too

    • @wawerukamau1260
      @wawerukamau1260 6 місяців тому +2

      @@isaiahizzoh9644 you have a very valid point brother.

  • @abiudcheno2545
    @abiudcheno2545 6 місяців тому

    Hizi ni bonoko

  • @gorbachev_rs
    @gorbachev_rs 6 місяців тому

    Listen to customers

  • @faizzimboy9319
    @faizzimboy9319 6 місяців тому

    Hiyo ni bottom up kwaivo kimewaramba na wakisubutu kuteremsha pia mafuta wateremshe

  • @yasirshee3152
    @yasirshee3152 6 місяців тому

    Pesa yenu inawaadhibu sasa

  • @petermutinda9047
    @petermutinda9047 6 місяців тому +1

    Why are they increasing the rates

    • @wawerukamau1260
      @wawerukamau1260 6 місяців тому

      The Dollar vis-a-vis the weakening Kenya shilling

  • @kadengebenendect6257
    @kadengebenendect6257 6 місяців тому +1

    Msilalamike mlichagua wenyewe Rais sasa vumilieni na chochote atakachowaletea

    • @eriminahmshai
      @eriminahmshai 6 місяців тому

      Uliza chebukati nani alichgua rais maybe wewe ndio ulichagua ulikuwa zikihesabiwa hizo kura ukaona alichanguli msilaumiane pesa kwa pesa ndipo uwe rais sio kwa kuchaguliwa ni pesa itumike

    • @kadengebenendect6257
      @kadengebenendect6257 6 місяців тому

      @@eriminahmshai najua n chungu kumeza ila madhumuni ya coments yangu nkusema hivi twapenda vya leo leo wakati pesa ikimwagwa ovyo mitaani hamkujua itahitajika kurudishwa ? oooh huyu alilaaniwa na wazazi wake , ooh huyu hafai kuwa rais tulivyo wepesi wakuamin uongo kuliko ukweli ndo sai tumefikia hapa tulipo,tulieni tulisakate goma hili jamani bado mapema

  • @fatumaadam4271
    @fatumaadam4271 6 місяців тому +2

    😂😂😂😂

  • @joykhayega6974
    @joykhayega6974 6 місяців тому +2

    Anything that is proposed by Ruto its ascam you must be careful,,jamaa alikula na contractor yy ameshba,,nldhan atakua akitumia electric cars kumbe ilkua ilkua tu kuingiza wajinga box biashara inoge

  • @bausifarouk1798
    @bausifarouk1798 6 місяців тому

    Musilipe mikopo tu ndio suluhisho

  • @moshe77
    @moshe77 6 місяців тому

    Ruto, ruto eeeh!!!!😂

  • @emertonmwakina8593
    @emertonmwakina8593 6 місяців тому

    Hapo najuwa Kuna njama fiche or ma cartels wako ndani pia,coz sivyema mtu anunue hiyo bike 160k alafu Bado kucharngiwa anawafwata tena watengeze permanent charging Kila mtu awe nayo tosha.

  • @sarahkwamboka8190
    @sarahkwamboka8190 6 місяців тому

    KIMEWARAMBAAAAAAAAAAAAA. Mafita yamepandishwa bei ili wanabodaboda wanunue piki za umeme, hasara kwenu faida kwa Ruto.

  • @dollarbank894
    @dollarbank894 6 місяців тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ruto 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 6 місяців тому

    Taxes ndio wanalenga

  • @AngelaPrecious-vj9iq
    @AngelaPrecious-vj9iq 6 місяців тому +1

    That's bulshit Ni what those zakayo aliwadanganya mkafwata😂😂😂😂

  • @janenthiga711
    @janenthiga711 6 місяців тому

    Warudishe tu

  • @msa3957
    @msa3957 6 місяців тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣bottom up economy wacheni kulalamika. Bado.

  • @alverztv6272
    @alverztv6272 6 місяців тому

    Mliambiwa na nani mkimbilie hizo vitu sasa

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 6 місяців тому

    😂😂😂

  • @fredmankaingu446
    @fredmankaingu446 6 місяців тому

    Waliingizwa dole la tuuni likaingia saii wanatupigia kelele wakwende kabisa

  • @alfredorek5446
    @alfredorek5446 6 місяців тому

    When Ruto says black is white, don't wait to confirm, my friend run and run faster!

  • @jacksonokeyo
    @jacksonokeyo 6 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @eriminahmshai
    @eriminahmshai 6 місяців тому +1

    Rais anasema alikuta kenya ikiwa na madeni mengi sana sasa analipa madeni mbona anapeana pikpik za madeni eti unalipia kidokido na hiyo kidokigo hatutawahi faidika heri ununue yako kiliko kupewa na unakamliwa jamani.

    • @JophasJohn-oh8zu
      @JophasJohn-oh8zu 6 місяців тому

      Wakenya huwa hawaelewi kabisa kila kitu wao wanakimbilia wacha kiwalambe

  • @Vel42
    @Vel42 6 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @lynlassiter5033
    @lynlassiter5033 6 місяців тому

    Why would Boda Boda men and women even buy electric piki piki?
    If they bought them, why rant?

  • @user-sc4fu7wd8i
    @user-sc4fu7wd8i 6 місяців тому

    WAKENYA WENYEWE PIA NAO SIJUI NITASEMA WANAPENDA SIFA AMA NI VP MAANA UTATUMIA VP BODABODA YA STIMA NA WAJUA VIZURI ZAKAYO ALILETA HIZO BODABODA ZA STIMA ILIAPATE KULA HUKO ANYWAY WANAITWA WA KENYA WANAKASIRIKA SAHII WANASAHAU KILICHO WAKASIRISHA ALAFU WANZE TENA KUONGEA NA HASIRA HAKI SIJUI WALIKOSEA WAPI WA KENYA

  • @abbiodongo8161
    @abbiodongo8161 6 місяців тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣