#14 - MKE WA NGOMANI - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 106

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t Рік тому +9

    Leo wa kwanza mm naomba like zenu kama zote...maana mambo yamepamba moto

  • @omarramadhan-dm7ce
    @omarramadhan-dm7ce Рік тому +19

    Nyinyi mnao lalamika maadili, sasa ujumbe utaupata vipi bila kuonyesha uhalisia wa jambo? Mukumbuke kua hao wanafikisha ujumbe na ujumbe ili utufikie walengwa lazima watuonyeshe uhalisia wa jambo sio mnalalamika maadili tu, mm nawapongeza pigeni kazi kwanza munaupiga mwingi 👏👏

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 Рік тому +1

      Km hukufunzwa na kitabu na Sunnah huwezi kufunzwa na tamhlia ,Rekebisha maneno yako,yakuona kwamba huna njia nyengine yakufunza umma ispokuwa upuuzi huu.

    • @amerwelder7786
      @amerwelder7786 Рік тому

      Kwa iyo hakuna njia nyengine ya kufundisha maadiki isipokuwa iyo tu,

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 9 місяців тому +1

      Kwenye uislamu hkn nyengine,na ndo mn alisema niwewaachia vitu viwili tu mkivikimataka hamtopotea abadani ,hizo nyengine ni upuuzi tu .
      Mm nimefika hapo

  • @masturamohd4920
    @masturamohd4920 Рік тому +6

    nmm jmn cjacherewa sn nipen like

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому +2

    Haaaaaaaaaa mau eti tizama uyu njinga . Wana wake wengi tume tabiriwa na mtume wetu tumeonekana motoni kwakuipenda duniya mungu atupe mwishowema

  • @HusseinMohamed-jq7hu
    @HusseinMohamed-jq7hu 11 місяців тому +1

    Subhanallah jaman huyu hivi anavyocheza mtihan wallah kama sio muislam allah sw atufanyie wepesi tusiangalie dunia tunapokwenda ni kugumu zaid jaman

  • @jkizondoswahilibites434
    @jkizondoswahilibites434 Рік тому +1

    Mzee mwinyi likua umuunge mkono mkeo katika kumrekebisha naomba, tukikumbuka mkono mmoja hauuwi chawa 😢

  • @Business_opportunites
    @Business_opportunites Рік тому +7

    Yaani mm nikimuona NAOMBA tu nafurahi rohoni..NAOMBA nakupenda mnoooo

    • @NAOMBAOG
      @NAOMBAOG Рік тому +2

      Asante nakupenda piaaa

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Рік тому +2

      ​@@NAOMBAOGila unajua mpk bs mashaallah nikikuona nafrah sna na film haikai vzr kama haupo ww

    • @jumaali1390
      @jumaali1390 Рік тому +1

      ​@@NAOMBAOG ❤

    • @zanzibarspice8686
      @zanzibarspice8686 Рік тому +1

      ​@@NAOMBAOG na mm Nakupenda haswaaa from unguja

    • @NAOMBAOG
      @NAOMBAOG Рік тому +1

      @@zanzibarspice8686 asante nakupenda pia

  • @saidahmada9118
    @saidahmada9118 Рік тому +4

    Umalizaji wake sikuupenda ilikua mpaka dongo aamue maamuzi magumu halaf naomba ajute

  • @jabusalim-bg2rf
    @jabusalim-bg2rf Рік тому +8

    Leo nimekua wakwanza naombeni laik zenu nyingi

  • @karrimally4517
    @karrimally4517 Рік тому +4

    Wa kwnza Leo nipeni like zngu

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 Рік тому +7

    Uujumbe:100%
    Maadil100%
    Wapemba hatujambo alhamdulillaah❤❤❤

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Рік тому +1

    Akalimalize na mkewe akiweza kuishi nae mtu wa tabia hiyo ni yeye asipo weza amuache akaishi ngomani. Na watu walio na sifa hizi wapo kubadilika hawataki. Utamaliza bahar zote kuosha rangi itakua ile ile.

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Рік тому +3

    Muulize kombo kichwa

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +2

    Hata km tumbili ni mwintuni.lkn ww km mzeee unge kuwa kwenye madili ya ndowa huyo mwanao😅

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23 2 місяці тому

    Kenya tunawapenda sana

  • @mohammedrehani7606
    @mohammedrehani7606 Рік тому +2

    Mzee mwinyi nakukubali baba bonge la msg ni kweli tumbili kwake ni porini

  • @abdulazizimohd4230
    @abdulazizimohd4230 Рік тому +2

    Hii mau umechemsha haina ujumbe wala maadili yeyote ya kipembaa haaaha

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 Рік тому +4

    Mau una maneno ya kipemba haswaaaaa😂

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Рік тому +4

    Mke wa Alhajji dongo nani kaskia hivo 😂😂😂😂

  • @kombokichwa815
    @kombokichwa815 Рік тому +1

    Kumbe ulimuona kwenye ngoma halafu umeowa hhhhhh unatakiwa utafute mwenye maadili na sio wakweny vigoma 😂😂😂😂

  • @binssoud1995
    @binssoud1995 Рік тому +5

    Mzee mwinyi kwenye hii episode umeshindwa kuitendea haki nafasi yako Kama mzee wa kuonesha njia za maadili ya vijana wako.

    • @zanzibarspice8686
      @zanzibarspice8686 Рік тому

      Hpna ameakisi nafas yKe kubeba husika ya wazee wa aina hiii

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Рік тому +3

    Izo like mnafanyia kz gn

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 Місяць тому

    Kumbe kumchua ngoman hlaf ulitrjia nn😂😂😂😂

  • @hamadmaliki0029
    @hamadmaliki0029 Рік тому +2

    Naomba ( Amina Hamad) bibi wa Ole muhogoni, nakukumbuka vizuri ulipoukicheza ngojera, bado uko vizuri sana

  • @noffalsalim
    @noffalsalim Рік тому +3

    Yaani xiku izi najihisi raha thana kila nikiona hizi film

  • @youngmaster4127
    @youngmaster4127 Рік тому +2

    Naomba viuno feni uko vzr

  • @aizakali2797
    @aizakali2797 Рік тому +4

    Wakwanza leo nipeni mauwa yang

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому +3

    Nahla taxi hapo kunafunzo sio kwqmba kqtaka acheze

  • @MohdMohd-cn4vl
    @MohdMohd-cn4vl Рік тому

    Daaah! Naomba wewe ni noma👍unanongesha mchezo

  • @user-wv1ro3ry2l
    @user-wv1ro3ry2l 5 місяців тому

    ivi naomba ushaolewa

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Рік тому +1

    Mke wa alhaji dongo😂😂😂

  • @ally0012
    @ally0012 2 місяці тому

    Kamuacha mume wake kafuata mdundiko 😅😅😂

  • @youngjamaica5099
    @youngjamaica5099 Рік тому +2

    Mwamize korongonjo🤗😄😁

  • @youngjamaica5099
    @youngjamaica5099 Рік тому +3

    Naomba kibendera🤗😁

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Рік тому +3

    Naomba umeharibu

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 Рік тому +3

    Fundi wazidi chafukwa lete vitu

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 Місяць тому

    Kumuacha mume wke kafat mdundiko😂😂😂😂😂

  • @user-mz8we1th1p
    @user-mz8we1th1p Рік тому +2

    Makame hapa tunamuomba yupo wpi mambo yanoge humu

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Рік тому +1

    Mzee mwinyi km baba kwa nini huchukuwi hatuwa km mzee?ww ndio unampa kichwaa?

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 5 місяців тому

    Et ukiambiwa uwe na akili wawa shati tu.😂😂😂

  • @UmmyAsfar-sn5ul
    @UmmyAsfar-sn5ul Рік тому +2

    Bi namize korong'onjo hahaha!!!!

  • @user-ft9xf3fe5v
    @user-ft9xf3fe5v 4 місяці тому

    Namize korongonjo

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 9 місяців тому

    Haaaaaa hatari mau uyo eti tizama uyu ngegemeya wapemba wezangu oyeeee

  • @bimkubwaali5951
    @bimkubwaali5951 Рік тому

    Mwinyi hapa umekosea hujaonesha busara km mzee

  • @NahlaTaxi-rr7cm
    @NahlaTaxi-rr7cm Рік тому +2

    Naiomba skupendi tena filam hii imepoteza maadili yetu wapemba

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Рік тому +1

    Tumbili kwao mwituni mjini kaja kwa mda

  • @timesaid5504
    @timesaid5504 Рік тому +1

    Jaman namm nahitaji kueikti na nyinyi

  • @user-wr7rt9bl7u
    @user-wr7rt9bl7u 6 місяців тому

    Nice

  • @user-sc5gi3sf7o
    @user-sc5gi3sf7o Рік тому +1

    Asalam.alaykum.maadili.ya.kipemba.munayaharibu.naomba.mnacheza.km.wabongo

    • @aishaothman782
      @aishaothman782 Рік тому +2

      Kwani wa bongo ndio wakosefu tu au kama wamecheza maanake yapo huko Pemba yafanyika msipende kujifanya watakatifu

  • @user-qm8vf4nx5w
    @user-qm8vf4nx5w 9 місяців тому

    Humtaki muwache mm mkewagoma ndio ninae mpenda

  • @user-nw8mx2kt7r
    @user-nw8mx2kt7r 4 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @haithamsalim157
    @haithamsalim157 Рік тому +10

    Tupeni like zetu wapemb jamaaa😂

  • @user-iu3yr5gh4e
    @user-iu3yr5gh4e 10 місяців тому

    Singeli

  • @businessideas.1350
    @businessideas.1350 Рік тому +2

    This is not better😮 mmeiga movie za bara please rudini kwenye uhalisia wenu (wetu) fumbua macho hii ipo tofauti na zote sisi kama wadau wenu tunawataka mtoe movie zinazoendana na utamaduni silka na madili yetu .

  • @user-ex2jw6xu5e
    @user-ex2jw6xu5e Рік тому

    Mzee mwinyi asante

  • @triplea_pilot003
    @triplea_pilot003 Рік тому +1

    Mke wa Al hajji dongo Hahahahahahaha

  • @safiahamis1078
    @safiahamis1078 Рік тому

    Huyu naomb jmn Hana Mume wake ata wanaoshikana hv

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 8 місяців тому

    ❤❤

  • @user-iu3yr5gh4e
    @user-iu3yr5gh4e 10 місяців тому

    Singeli
    3:19

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 9 місяців тому

    Waaah 😂😂😂

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 Рік тому +2

    Hhhh mau

  • @SubiraSalum-pq9vo
    @SubiraSalum-pq9vo Рік тому +3

    N'gegemea 😂😂

  • @ismailsaid2038
    @ismailsaid2038 Рік тому

    naomba unajuw na al hajji dongo

  • @muxfilmproduct
    @muxfilmproduct Рік тому

    maadili munayaharibu ya pemba hakuna kucheza ivo kama wabongo

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Рік тому

      Ah wnaacharuko huko saiv heeee

  • @mohammadabeid3733
    @mohammadabeid3733 11 місяців тому

    Ndo lengo langu😂

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok2261 Рік тому

    Hatupoi

  • @fatmaabdala538
    @fatmaabdala538 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂naona raha hasa

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Рік тому

    Ujumbe mzr

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 Рік тому +1

    😂😂😂❤❤❤

  • @alisaid7299
    @alisaid7299 Рік тому

    Naomba niulize Swali kwa Husika wa tamthilia hii, Ujumbe alioufikisha Mzee ni sawa ktk kuelimisha jamii y sasa? Kw maana chimbuko la akina NAOMBA amechipukia ngoma jee Kw kuelimisha jamii ktk kukataza hili Mzee Mwinyi ametekeleza ujumbe au kuwapa mitihani zaid wenye kuowa wanawake mfano wa NAOMBA ktk igizo hili?

    • @abdulwahidmsellem1964
      @abdulwahidmsellem1964 Рік тому +1

      Hiyo ni kweli ila kukiwa na muendelezo hwenda wakaishia vyema ila km hapo ndio mwisho hamna ujumbe nzur ulopatikana

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 Рік тому +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @abdillahsleyyum2768
    @abdillahsleyyum2768 Рік тому +2

    Mm leo sijaipenda maana maadili yanapotea sjapendezwa kwa jinsi wanavyocheza na mkiendelea hivi mutaharibu. Maana tunaipensa kutokakana na maadili lakini munaharibu hiii ya leo

    • @wardahaly4194
      @wardahaly4194 Рік тому +1

      Ila jamn lazima tujue lengo kuu ni kkufikisha ujumbe kwa wenye tabia hizi ili iwe ni funza sas musilalamike sana kwa sabb haya mamb yapo kweny jamii yetu

    • @abdillahsleyyum2768
      @abdillahsleyyum2768 Рік тому +1

      Mm sikatai kama lengo ni kufikisha ujumbe, ila kufikisha ujumbe kuna njia nyingi, chakuangalia ni njia gan sahihi ili kuendana na maadili na silka ya jamii. Mm haikuwa sahihi kucheza mpka viuno. Mm nazipenda sana scenes zao ila nivyema kuzingatia maadili ili kuzifanya kazi zao kupendwa zaidi .

    • @abdallahselemani6423
      @abdallahselemani6423 Рік тому

      Muhimu ujumbe umefika

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Рік тому

      ​@@abdillahsleyyum2768kwa kucheza vle kweli wamekosea sna

  • @masturamohd4920
    @masturamohd4920 Рік тому +3

    nmm jmn cjacherewa sn nipen like

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Рік тому

    Kwakwel hamujawah kuniangusha💯💪💪💪

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Рік тому

    Mke wa alhaji dongo😂😂😂

  • @safiahamis1078
    @safiahamis1078 Рік тому

    Huyu naomb jmn Hana Mume wake ata wanaoshikana hv

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Рік тому

    Mke wa alhaji dongo😂😂😂