😢😢😢 imenikumbusha kijana aliyefariki December last year, alikua HIV +ve Imani hizi hizi anasema anatumia vifaa vya kiroho eti akaacha dawa mpaka akafariki maskini 😢😭
Mtumishi wa Bwana Mungu akutunze katika huduma yako naomba umwombee dada yangu Stewat Samwel yuko bukoba anaumwa sukari na presure na hawezi kuongea wala kula na hospital amelazwa mara mbili na kuruhusiwa nasasa yuko nyumbani
Sikiliza vizuri anachofundisha Mchungaji, Yesu anao uweza kabisa wakutuponya kila kitu lkn pia kutumia mikono ya wauguzi & dawa ambazo ni kazi ya mikono ya mwadamu kwa maarifa Mungu awapayo na pia twatumia mimea aliyoiweka Mungu mwenyewe tukapona! Haya yote ni maarifa tupaswayo kuwa nayo ili tusiangamie. Mungu atusaidie & kutupa hekima. Ubarikiwe mpendwa!
😢😢😢 imenikumbusha kijana aliyefariki December last year, alikua HIV +ve Imani hizi hizi anasema anatumia vifaa vya kiroho eti akaacha dawa mpaka akafariki maskini 😢😭
Yaani jamani acheni uko vitani huna hutumii kile ambacho unaeza mshawishi Mungu ukapona but unaacha kwa ujinga
Mungu pia anatumia hao madaktar kuponya ndio maana akawaweka
Mtumishi natamani siku moja nikutane na wewe uiombee familia yangu , ubarikiwe kwa mafundisho ,shuhuda na maombi ,
Yeah, we perish because of lack of knowledge 🥹
Kabisa, kukosa maarifa au kupuuza Neno au kulitumia vibaya ni kuangamia, mf walevi wanaotumia tukio la harusi ya Kana kujitetea 😠
JAMANI NAOMBENI NUMBER ZA REVEREND KIMARO
Kamwe mungu haezi kuatumia ma doctar,,Kama ambavyo anaweza gutumia ma wakili wake.watumish wake ni zaidi
Mtumishi wa Bwana Mungu akutunze katika huduma yako naomba umwombee dada yangu Stewat Samwel yuko bukoba anaumwa sukari na presure na hawezi kuongea wala kula na hospital amelazwa mara mbili na kuruhusiwa nasasa yuko nyumbani
Hapo na Mimi Leo sijaelewa,,,harafu wapo wanao jiita.wapo walio pewa neema ya guponya .Musa aliwah guponya sumu ya nyoka
Sema tupone Baba hawa manabii wanatudanganya ni wapiga dili tuu
Wachungaji tuwasameh Mana na wao wanamwil
😂😂😂 amen 🙏
Shida mahubili mnayo tubilia mnatubilia kua yesu anaponya kila kitu kosa liko wapia hapo
Sikiliza vizuri anachofundisha Mchungaji, Yesu anao uweza kabisa wakutuponya kila kitu lkn pia kutumia mikono ya wauguzi & dawa ambazo ni kazi ya mikono ya mwadamu kwa maarifa Mungu awapayo na pia twatumia mimea aliyoiweka Mungu mwenyewe tukapona! Haya yote ni maarifa tupaswayo kuwa nayo ili tusiangamie. Mungu atusaidie & kutupa hekima. Ubarikiwe mpendwa!
Ni kweli Yesu anaponya tena kwa damu yake ya thamani. Ukiamini hata dawa hutazitumia ila kwa imani na Roho Mtakatifu akuongoze kuhusu kutokutumia dawa