Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Yesu nimzuri sana ukimwamini
This is a great lesson thanks to Magdalene for sharing this story, Thanks to you Veronica we do appreciate the way you tell us this stories more love from kenya 🇰🇪
m telling you. she is so good. like how she narrates them..tunakupenda jirani yetu. karibu sana sana
mungu nimwema sana
Duuuh mtihani sana tuache tamaa jaman
Ubalikiwe sana tumejifunza Asante vero
Asante dada vero, lakini tunaomba muongeze hata muda kidogo jamani liwe saa moja , mwenyezi mungu akubariki sana
Asante sana Da Veronica, simulizi hii imenifunza sana.
Mmmmmh hakika nimejifunza sana pole sana Mama angu kwauliyo pitia inauma sana hongera dada Vero kwasimulizi ALLAH akulipe
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Allah azidi kukutia nguvu katika maisha yako MAGDALENA
MUNGU ni kila kitu kwetu tumwabudu MUNGU peke yake Amen,
Jesus you are Able😊
Mungu wetu ni mkubwa siku zote hata ukimkosea ukimrudia atakusamehe tu , asante mungu mshindi wetu.
Mungu wetu ni Mungu wa miungu 💪🏿
Alhamdulillah Asant da vero hakik nimejifunz san Mung akubark
Mungu ndo kila kitu kwenye maisha yetu
My able God
Huyuu wifi niwa tofauti sana Haya maisha yamagadrena yamenifundisha mnoo, Ubarikiwe sana
Mungu wetu awai wala achelewi 🙏🙏🙏
Mungu akuweke dada vero uzidi kutuburudisha
Nimejifunza saana Dada Mungu amsaidie tuu
Asantee sana dada nimejifunza mengi kupitia magdarena mungu atuepushe na ushetani amiin
Simuliz nzur san tamaa mbaya jmn😭😭
Ahsante sana dada Veronica hakika kupitia mkasa huu nimejifunza mno
Asante kwa simulizi nzuri dada Veronika.Hakika nimejifunza mengi.Be blessed.
Asante Sana nimejifunza vingi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hakika mungu anaweza amina
Asante sana dada tumejifunza pole na majukumu
Kama umepitia nyakati hizi unaelewa zaid ni mateso mnoooo,,,,Mungu akubariki da Vero nimejifunza mnoooo
Uwepo Wa Mungu hakika ‘ funzo tosha
Final in JESUS name 🙏
Mungu acha aitwe mungu kabisaa
Ubarikiwe kwa simulizi ya mafunzo
Asante kwa ushuhuda dada maggie
We are praising God
Nimejifunza saaana
Inafundisha sana hii simulizi
Asante kwa ushauli
Mdogo wake alipona??au alifariki
AMRI 10 ZA MUNGU ZINA MAANA KUBWA SANA EBU ZIREJEENI TENA
Barikiwa sana
Hakika mungu amlinde wifi na Magdalena
Hubalikiwe Sana kwa kuwakilisha vizuri na pole kwa dada magradarena na hongera kwa wifi mtu kasimama kwenye nafasi take vizuri
Ubarikiwe na sio hubalikiwe
Ubarikiwe da vero
Kweli utajiri wa walimwengu una siri kubwa sana. Tumwombe neema ya kuridhika na kile kidogo tunachomiliki na kutuepusha na tamaa kwa mali za wenzetu.
Shukrani sana 🙏
GOD IS THE LORD OF ALL THE LORD
Niliikosa iih kweny radio
Ubarikiwe dada wengi tumejifunza kupitia simuliz hi
De first
Mbona Leo redio ilikuwa na changamoto
Amen
Jmn Morogoro radio inasumbua mida ya saa12
🤝
,🔥🔥🔥🔥
Asant
mng amlinde 🙏🙏
Mpendwa acha tabia ua kuandika jina la MUNGU kwa kifupi na kwa herufi ndogo ivo, sio vizuri rafiki yangu
@@JBB875 hakika nikweli kabisa lazima ulitukuze jina la mwenyezi MUNGU
Nani mwenye namba ya margeth nataka anipe connection ya kwa mtaalam
😅😅😅😅
Bora kuishi miaka 5 ukiwa tajiri kuliko kuishi miaka 💯 afu bado maskini
We ni kenge
🙄🙄🙄🤔🤔
ata mimi pia nimejifunza sana katika mahisha usitamani vya mtu
Eee! mungu wangu nifanye niridhike na hiki nilichonacho
Bora kuishi miaka 5 ukiwa tajiri kuliko kuishi miaka 💯
😂😂😂
We nae unaitaji maombi😅
Yesu nimzuri sana ukimwamini
This is a great lesson thanks to Magdalene for sharing this story, Thanks to you Veronica we do appreciate the way you tell us this stories more love from kenya 🇰🇪
m telling you. she is so good. like how she narrates them..tunakupenda jirani yetu. karibu sana sana
mungu nimwema sana
Duuuh mtihani sana tuache tamaa jaman
Ubalikiwe sana tumejifunza Asante vero
Asante dada vero, lakini tunaomba muongeze hata muda kidogo jamani liwe saa moja , mwenyezi mungu akubariki sana
Asante sana Da Veronica, simulizi hii imenifunza sana.
Mmmmmh hakika nimejifunza sana pole sana Mama angu kwauliyo pitia inauma sana hongera dada Vero kwasimulizi ALLAH akulipe
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Allah azidi kukutia nguvu katika maisha yako MAGDALENA
MUNGU ni kila kitu kwetu tumwabudu MUNGU peke yake Amen,
Jesus you are Able😊
Mungu wetu ni mkubwa siku zote hata ukimkosea ukimrudia atakusamehe tu , asante mungu mshindi wetu.
Mungu wetu ni Mungu wa miungu 💪🏿
Alhamdulillah Asant da vero hakik nimejifunz san Mung akubark
Mungu ndo kila kitu kwenye maisha yetu
My able God
Huyuu wifi niwa tofauti sana
Haya maisha yamagadrena yamenifundisha mnoo,
Ubarikiwe sana
Mungu wetu awai wala achelewi 🙏🙏🙏
Mungu akuweke dada vero uzidi kutuburudisha
Nimejifunza saana Dada Mungu amsaidie tuu
Asantee sana dada nimejifunza mengi kupitia magdarena mungu atuepushe na ushetani amiin
Simuliz nzur san tamaa mbaya jmn😭😭
Ahsante sana dada Veronica hakika kupitia mkasa huu nimejifunza mno
Asante kwa simulizi nzuri dada Veronika.Hakika nimejifunza mengi.Be blessed.
Asante Sana nimejifunza vingi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hakika mungu anaweza amina
Asante sana dada tumejifunza pole na majukumu
Kama umepitia nyakati hizi unaelewa zaid ni mateso mnoooo,,,,Mungu akubariki da Vero nimejifunza mnoooo
Uwepo Wa Mungu hakika ‘ funzo tosha
Final in JESUS name 🙏
Mungu acha aitwe mungu kabisaa
Ubarikiwe kwa simulizi ya mafunzo
Asante kwa ushuhuda dada maggie
We are praising God
Nimejifunza saaana
Inafundisha sana hii simulizi
Asante kwa ushauli
Mdogo wake alipona??au alifariki
AMRI 10 ZA MUNGU ZINA MAANA KUBWA SANA EBU ZIREJEENI TENA
Barikiwa sana
Hakika mungu amlinde wifi na Magdalena
Hubalikiwe Sana kwa kuwakilisha vizuri na pole kwa dada magradarena na hongera kwa wifi mtu kasimama kwenye nafasi take vizuri
Ubarikiwe na sio hubalikiwe
Ubarikiwe da vero
Kweli utajiri wa walimwengu una siri kubwa sana. Tumwombe neema ya kuridhika na kile kidogo tunachomiliki na kutuepusha na tamaa kwa mali za wenzetu.
Shukrani sana 🙏
GOD IS THE LORD OF ALL THE LORD
Niliikosa iih kweny radio
Ubarikiwe dada wengi tumejifunza kupitia simuliz hi
De first
Mbona Leo redio ilikuwa na changamoto
Amen
Jmn Morogoro radio inasumbua mida ya saa12
🤝
,🔥🔥🔥🔥
Asant
mng amlinde 🙏🙏
Mpendwa acha tabia ua kuandika jina la MUNGU kwa kifupi na kwa herufi ndogo ivo, sio vizuri rafiki yangu
@@JBB875 hakika nikweli kabisa lazima ulitukuze jina la mwenyezi MUNGU
Nani mwenye namba ya margeth nataka anipe connection ya kwa mtaalam
😅😅😅😅
Bora kuishi miaka 5 ukiwa tajiri kuliko kuishi miaka 💯 afu bado maskini
We ni kenge
🙄🙄🙄🤔🤔
ata mimi pia nimejifunza sana katika mahisha usitamani vya mtu
Eee! mungu wangu nifanye niridhike na hiki nilichonacho
Bora kuishi miaka 5 ukiwa tajiri kuliko kuishi miaka 💯
😂😂😂
We nae unaitaji maombi😅