But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
Vigezo namasharti viko pw kabisa kwenye hii movie like kama tuko pamoja❤
Mbuela safi sana
Nakukubali 🔥🔥🔥
But all in all kazi nzuri washiriki wote wameshoo love kwa moyo mmoja kabisa japo kwa wale ambao hawaja fit ni kwakua tuu uhalisia wao hauruhusu wao kua ktk seem hizo bravo✍️
Mbona kaisha vibaya jameeeni
Kim VEVO apa umezingua 😅very sad kaka Ako alipitia jeshi tulitaka tumuone hukomafunzoni aliiva ,, alafu butua anafaa kuigiza mlevi tuu ama mporipori pia mmeo kwa snake boy hafai kua jambazi wamjini huko maporini ndio ana faaa ungemtumia rafiki ake kakoso Kwa snake boy anafaa kua jambazi yule
Kazi nzuri kim
Pamoja sana
Jman punguzenii kutuleteaa movies za vijijinii Kila msaniii saiv anatoaaa movie location yakee vijijinii ndo nin xax
Nimetazama KIM VEVO
Hhahaha 😂Kipara bwana ,eti unakwend kushoot nani!!??? Jason Statham 😅, ila nawakubali saana wadau
Movie Smart ❤wa TZ 👍 we love you 😊
Kim ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
😂😂😂😂umeanza lini kubutua mwanamke Mbwela
Napenda movie zenu endeleeni ivyo ivyo
Unawezaaa 💯💯💯💯💯
I love this man boya hogera sana dugu
Munayiaca acaje injethu ivi kuyiingiza ndani imewashinda ahaaaa ngoja tukaonethu
Kim hongera❤ Tunaomba part two
Kim dadangu hongera🎉🎉🎉🎉🎉
Kaka mpake shedo na kijora juu 😂😂😂
Mbona hamukutumalizia muliachia nusu hatukujuwa hatima ya begi
Anakuangalia kama hakuangalii😂😂😂😂
Hamjaonyesha nani aliendea polisi lakini ni mimi hapa
Wow nimeipeda
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani
Ananipa changamoto huyo dada cjui kaolewa
Mwas❤❤
NAOMBA MUNILIPE MB ZANGU MCHEZO MZURI IMEISHIA BIBAYA
Jamani huyu mwasi anajuwa kuecti sana
Mwisho mbaya
Mambo poa Sana
Jamani mbona sijaelewa hapo imekuwaje tena ,maana police walifikaje na nani alitoa taarifa
Msiwe mnaongea maneno ya ovyo kwenye Movie zenu kama vile Kahaba n.k kwasababu hizi movie zinatizamwa na Rika zote.
Ipo vyema ila mlitakiwa tuone namna polis waluvyopata taarifa kuhusu begi
😢😢😢😢
Hawayuniiiiii
Morali
Ndo mwisho kivipi sasa
Kiparaaaaa
Mutiye yakufwatiya ili tujuwe mwisho ya ile begi
Ila kipar😂😂😂
Ila butua yani umekaa kimchongo mchongo
❤️❤️❤️❤️
❤❤
❤❤❤❤❤
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani 54:00 54:02
Hakuna kulala
Nimewahi jamani taem strong Oman nawakilisha 🎉🎉🎉🎉 nipewe like zangu 😂😂😂
Hujaenda kupika😂😂
@@NeemaNixon mwanzoni nilizani chozi nikaifungua naona mkimbizano kuja kusoma jina kumbe misako nika left fast 😂😂😂
Jamani muwe mnarudia kutizama vipande vyote mkishatoka location kabla ya kuvirusha maana Kuna baadhi ya vipande sauti haipo vizuri
I love this man boya hogera sana dugu
Mwenye coctati za mwasi naziomba jamani