Waaah! Kazi nzuri sana kutoka kwenu . Hili ningependa nilitazame Kila usiku kabla ya kulala,Hila @mbwela sijui ni kuchanganyikiwa ama muusika Sasha ana majina 2.kwa maana nimemsikia mara tatu akimuita sanura! Nairobi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ndanii
mbwela anasauti fulani hivi ya kubembeleza ata km anakwambia kitu cha kuumiza ,,,napenda the way unavoongea una kiutulivu flani hivi huna pupa wala haraka hongera kwa hilo mbwela
Nzuri kweli.mke akipenda hupenda zaidi
Nmependa sana upo vzri wapenzi hongereni.much ❤❤❤❤ guys
Mbwela kipande chako umekitendea Kazi... Kazi nzuri
Nyie watu mmebadili kabisa mawazo yangu nakuanza kupenda muvi zetu, mko vizuri sana mtafika mbali
Nashukuru Sana ndugu yangu
@@ZUMBAVEVO movie smart sana,,naomba unieleze jina ya hiyo nyimbo 🙏
Jamoniii had nimefurah ilivyoisha vzr😘😘
Mbwela mtu wangu nakupenda Sana bro
Waaah! Kazi nzuri sana kutoka kwenu . Hili ningependa nilitazame Kila usiku kabla ya kulala,Hila @mbwela sijui ni kuchanganyikiwa ama muusika Sasha ana majina 2.kwa maana nimemsikia mara tatu akimuita sanura! Nairobi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ndanii
Jameni!! Eleweni!! Mapenzi ni hisia, sio tamaa
Hilo kofiii tamu kweli😅😅
u mean love is making me cry like a baby,,,this movie current all my emotions much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Imenoga🎉🎉🎉🎉🎉 Congratulations 👏👏👏👏👏👏 much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sengo unakuja vizuri,,,unajua kuigiza
Wa kwanza leo jamani
Jamani hii move kali sana had wana nifurahisha
Safi Sana,,,huo ndyo uwanaume sasa
Sitamani iishe big up mbwela mora love from kenya 🇰🇪
Kazi safi... nazipenda sana filamu zenu..Zumba VEVO na wenziwo... keep it up.
Shukrani Sana
Kim we unafaa kucheza sectar ya uchawi tu ndio inakufaa 😂😂😂much love from kenya 😊
Kazi nzuri wadau🎉🎉❤
Yani hii Kali sijaona🔥🔥🔥
Mbwela nakukubali mwanzo mwisho mm shabiki yako wa nguvu kutoka Mombasa
Kanyimbo katamu mbela njoo unioe mimi achan na mideko hakutaki m nakupenda buree my wangu❤❤❤❤😢😢
Mbwela unaigizaga movie nzuri sana has ukiigiza wewe ni mstarabu
Hongera sana nimeipenda
Napenda sana uigizaji wa Mbwela
Waaaah hisia bwana
Nice movie...
Hahaha nakubari nimependasana
😂😂😂😂 mapenzi we ni noma
Jmn mm kamenikosha hako kajimbo kitam naombeni jina lake pleese😂
Kweli nimeamini unaye mpenda anaye ana wake ambae anamoenda sasa ona 😢😢mapezi shikamoo
Eti nimejikazaeee
Hahahahaahaha eti
Silii tena
Filamu zuri ila sauti za wausika ziko chini Sana , lakini music ziko juu, fanyia Jambo hili kazi ❤
Unamuacha anayekupenda,,,na unaumiza hisia kwa asiyekupenda,,,kumbe ww fala weee dada
Bwela eti mimi mwanaume silii tena😂
Kazizuli sana ina mwanao ina kati nainamwisho
🎉nipe nafasi pls
Wooow, i like it, pèrfect job, congratulations
Thanks
Nice
Kwenye hii movie nimempenda sana mideko
Nzuri sana,,,jamani jina ya nyimbo
Nangojea
Mideko sauti hatusikii bwan anaongeaje hivo
Hii balaaa,,hii muvi mbona inagusa maisha yangu?
🎉🎉🎉🎉
huyu mama kapendeza kweli kuwa mama ake KIM
mbwela anasauti fulani hivi ya kubembeleza ata km anakwambia kitu cha kuumiza ,,,napenda the way unavoongea una kiutulivu flani hivi huna pupa wala haraka hongera kwa hilo mbwela
Upande wa sauti mlifeli padogo
Yani maana yake mmemaanisha madem wameshinda mmeniangusha😂
movie nzr sn lakin kiuhalisisa ni ngm sn kuish na mtu ambae hauna hisia nae
Mwishowe!! Maumivu yameisha
Kwan zasha we nawe Kwa kila muvi huwa unakataa2 huyo jamaa
🎉
❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Zumba can only act as a criminal.
I truly loved it..when is the next part please ❤
That is full movie
Kaxi ipo
👏
Zumba vevo
Song name 🎉❤
Pia mimi nahitaji kujua
jamani naombeni jinabla nyimbo ya ndani ya hiii muvi
Msanii anaitwa mtiifu
@@ZUMBAVEVO asante zumba
Nyimbo inaitwa nani
Nenda youtube andika mtiifu
Ivi jamani huu music ni wa nani jamani tutumien lnk bas jinsi namna ya kuupata
Anaitwa mtiifu
kabisa ata mi nimeupenda huuu wimbo bilah tena una meseji nzuriiiiii
asante zumba
😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤
Mjinga kweli 😂😂eti vipi nimejikaza eee😂😂😂
Mi pia nimeipenda hii pamoja na wimbo naeza pataje