MAZISHI YA SHE.SAID BIN NYANGE MAKKA😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 124

  • @mustafapandu5189
    @mustafapandu5189 12 днів тому +35

    Sheikh nyage alikuwa vizuri sana nafasi ya kufa huko na kuzikwa huko haki yake alikuwa sheikh wa tabia njema.

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 12 днів тому +8

    Allaah Awarehem wote Wa Islam, Awapuzishe Katika JANNATUL FIRDAUS Amiin

  • @shamusathebeautifully5945
    @shamusathebeautifully5945 11 днів тому +7

    Allah amsammeh makosa yake na amjaalie Ljannat Firdaws na sisi Allah atupe Khusnil Khatima ameen

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 12 днів тому +15

    mawaidha tosha ni kuzika hivyo, sio kule kufinika shuka, allah amlipe kheir nasi atupe mwisho mwema. 🤲

    • @IssaAli-wz5jh
      @IssaAli-wz5jh 12 днів тому

      Ni kweli ila haina maana ya kuwa haifai kufunika sababu hizo ni Ikhtilaafu za kimadhehebu huko Wanafuata madhehebu ya Hanbal huku kwetu ni Shafi kwaiyo nawao ni lazima wafate sheria za huko.

    • @IssaAli-wz5jh
      @IssaAli-wz5jh 12 днів тому

      Ila masalafi wa leo tunasema haifai kufuata madhehebu tumejifanya kuw sisi ndio wasomi zaid kuliko salaf swaleh wa karne zilizopita. Allah atuongoze Inshaallah.

  • @Naw89
    @Naw89 11 днів тому +4

    Innalillahi wainna ilayhi raajiuun
    MAA SHA ALLAH
    kwa kweli Naamin kila anaeitetea jamii kwaajili ya Allah hufanikiwa sana kuipata Pepo huyu sheikh alikua akikemea sana wapiga vinanda watoto wanaharibika kwa qaswida za haramu wanacheza michezo ya haramu eti ndio uislam wengi walikua wakimkejeli kupitia hii mada lakin angalia Allah alivyomsalimisha
    Subhaanallah

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 12 днів тому +5

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie kauli thabit yaarab amjaalie katika as'habul yamiin ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia amsamehe makosa yake. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui 12 днів тому +9

    Yaa Allah na sisi tujaalie mwisho mwema.
    Anmyna

  • @user-yi4xo1jh3v
    @user-yi4xo1jh3v 5 днів тому

    Hafii ila alie msafi bila shaka alikua msafi,nasi tupe mwisho mwema Mola wetu Amiin

  • @user-iy7xy1np7c
    @user-iy7xy1np7c 12 днів тому +20

    Inna lillahi wainna ilaihi raajioun.Allah amsamehe makosa yake amtilie nuru na barka katika maisha yake mapya ya kaburini na awape Subra wafiwa

  • @MwashambaAmeir
    @MwashambaAmeir 7 днів тому +1

    Allah amlipe malipo mema na makaaz jannatun-naim

  • @mariamnjiku5045
    @mariamnjiku5045 11 днів тому +2

    Inna lillahi wainna illahi raajioun. Allah amsamehe madhambi yake na amjaalie kauli thabit, amjaalie pepo yake tukufu aamiin. Nimeshtushwa sana na kifo chake kwani ni sheikh niliyeanza kumfualia hivi karibuni tuu na nikapenda darsa zake yaani haizidi miezi miwili ama mitatu toka nijue darsa zake. Kwa hakika hapa duniani tunapita Allah atujaalie mwisho mema aamiin

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud 12 днів тому +5

    Innalilah wainailaihi rajiuun Allah ampe kaulthabit amsameh makosa yke na ss atupe mwisho mwema

  • @southunguja
    @southunguja 11 днів тому +1

    Mashaallah mashaallah mashaallah ALLAAH ampe noor alanoor inshaallah na ss ALLAAH atupe safari njema inshaallah

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 12 днів тому +3

    Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin

  • @RayaRashid-qc8cn
    @RayaRashid-qc8cn 12 днів тому +2

    Inna lilahi wainna ilaihi rajiuun,Allah amjaalie nuru kwenye kaburi lake na amsamehe madhambi yake na amjaalie Pepo 🤲

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 12 днів тому +2

    Allahumma thabbit-hu bilqauli tthabit, Alikuwa mweye kujitahid kwenye dini na kuwaidh watu.

  • @ayshahajj8888
    @ayshahajj8888 11 днів тому +1

    Innalilah wainna illaih 😢ya Allah mlipe Yale yaliomstahiki,, sheikh wng

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 12 днів тому +3

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun,Rabbi amswamehe pale alipotekeza/ampe wasaa ndani ya mwana ndani/ampe kauli thabiti,Aamin !

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 12 днів тому +7

    Kuna watu wanazali kwelikweli.
    Unaende kuzikwa alipo zikiwa maswahaba.
    Mungu ampe qauli thabiti

  • @user-bs2ei5wh7r
    @user-bs2ei5wh7r 12 днів тому +6

    Hakika sisi sote ni wa Allah sw na kwake tutarejea

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi 11 днів тому +2

    mungu ailaze roho ya marehemu pemapeponi ameen

  • @KhamisSaleh-gg7ov
    @KhamisSaleh-gg7ov 12 днів тому +2

    Innalillahi Wainna Ilaihi Rajiuun. Allah Ampe Qawli Thabit Na Awape Subra Wafiwa

  • @ashasaid1235
    @ashasaid1235 11 днів тому +1

    Mwenyez mungu atupe mwisho mwema in shaallah😂

  • @user-tg4px6ld2b
    @user-tg4px6ld2b 12 днів тому +4

    Inna lillahi wainnaa alayh raajiuun kila nafsi huonja maut mugu amlaze Mahal pema peponi amiin

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q 12 днів тому +3

    subhaana llah innaalilah wainnaailayh raaajiuun allah amjaalie makaaz yake peponi kwarahma zake

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 10 днів тому +2

    Bahati iliyoje kuzikwa na maswahaba

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k 11 днів тому +1

    Innallillah rajihun Mungu ampe nuru katika kabli yk amina

  • @user-lo4bv3lt6n
    @user-lo4bv3lt6n 8 днів тому

    Hakika sisi ni wa allah na kwake ni wenye kurejea🤲🤲🤲🤲

  • @user-wi6hv4tq8g
    @user-wi6hv4tq8g 12 днів тому +4

    Innalilah wainalilah rajiuni allah ampe kauli thabiti🙏🙏😢😢

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 12 днів тому +1

    Inalillahi wainailahi rajuun. Allah amjaalie pepokwahurumawake. Amyn nasi Allah atupe kauli thabiti sikuya mwisho

  • @ismailmakame3972
    @ismailmakame3972 9 днів тому

    Jitihada zake zimeonekana mungu yeye mwenye kaliona Hilo. Nasi tumeliona Hilo. Nnamuomba mungu amlipe pepo na ampe neema nyingi humor kabrini amin. Nasi mungu atujalie mwisho mwema pia kama yeye. Ishallah.

  • @AminaIbrahim-qh2gn
    @AminaIbrahim-qh2gn 11 днів тому

    😢😢 innalillah wainnailaih rajiun. Allah Ampe salama shekh wetu ktk kabri lake n akhera pia

  • @diyembarak5506
    @diyembarak5506 12 днів тому +2

    Allah amjaalie kaul thabit

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 12 днів тому +3

    MASHEKHE TUPENI MUONGOZO KUZIKA BILA YA KUTIA UDONGO KABIRINI AU MCHANGA YAANI KAMA MAKABURI HAYO YAPO WEZI JE INAFAA?

    • @user-qe9ot4kl9u
      @user-qe9ot4kl9u 12 днів тому

      Hapo amazikwa kwa muda tu hauzidi mienzi 9 kisha kuna dawa na chemical huekewa ili wahamishwe sehemu nyengine
      Hayo makaburi yapo enzi na enzi na nafasi ipo kwasababu maiti huwa zinahamishwa aidha miili yao au mabaki ya mifupa na hayo makaburi yako kwa line na nambo kabisa

  • @suleimanmalik8878
    @suleimanmalik8878 12 днів тому +1

    Innalillah wainali illahi rajiun Allah amfanyie wepesi katika safari yake inshaalah

  • @ramamavumba6187
    @ramamavumba6187 12 днів тому +1

    Innaalillaahi wainnaa ilayhirraajiun Allah amsamehe mwalimuwetu ampekilalakheri nasi atujaalie mwishomwema aamin

  • @user-of9gq3xj6h
    @user-of9gq3xj6h 10 днів тому

    Allah amfanyie wepesi mja wake kwa kumfutia makosa yake na kulitia Nuru kaburi lake na amlipe pepo yake Amiin

  • @fifo262
    @fifo262 12 днів тому +1

    Allah tujaalie mwisho mwema in sha allah

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 12 днів тому +3

    na maswali mawili. ivi mait mikono yake hukunywa au hunyooshw akisikwa sina elimu ya hilo nisaidieni. la pili nilisikia anaekufa hija hua hatinikwi uso akizikwa je na hili liko vp

    • @IbrahimJuma-m3b
      @IbrahimJuma-m3b 12 днів тому

      Mikono inanyooshwa Martin anapozikwa na Hilo lapili sio sahihi I've ulivyoskia

  • @user-gp1sk9hg1y
    @user-gp1sk9hg1y 12 днів тому +2

    Kudumu nakubakia nikwake yy tu Allah ss niwakwake nakwake tutarejea Allah amlaze mahali pema

  • @mosihamisi663
    @mosihamisi663 10 днів тому

    Ya Rab na sisi Atupe husniy Alkhatimah Amin amin

  • @mwanakhamisiddi2228
    @mwanakhamisiddi2228 10 днів тому

    mashala Allah azidi kumjaza kheri zake
    amina

  • @mohammedomar2865
    @mohammedomar2865 12 днів тому +1

    Allah atupe mwisho mwema

  • @IddiBenta
    @IddiBenta 11 днів тому

    Inalilah waina ilayhi rajighun Alla amjalie makazi mema nasis pia

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 9 днів тому

    Innalillah wainalillah tajuun allah awasamahe ndugu zetu wote waliyotangulia mbele ya haki😢😢😢

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y 11 днів тому +1

    ALLAH wajalie kauli thabiti

  • @user-mA17o
    @user-mA17o 12 днів тому +2

    إنالله وإنااليه راجعون😢😢😢😢

  • @Allyrumhy-ji2vo
    @Allyrumhy-ji2vo 12 днів тому

    إنا لله وانا اليه راجعون اللهم ثبته بالقول الثابت ،اللهم لا تحرمنا أجره ولا تفتنا بعده وغفرلنا وله.آمين😢😢😢

  • @aminandurya
    @aminandurya 12 днів тому

    Innalilahi wainalilah rajuon Allah ampokee Na kumhifadhi InshaAllah.ss pia atuajalie mwisho mwema InshaAllah.Familia ajalie subr Na awatie nguvu InshaAllah 😢😢😢

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic 12 днів тому +1

    Alhamdulillah innalilaii wainnailayhim rajiun

  • @omaryissa2562
    @omaryissa2562 11 днів тому +1

    innalillah wainna ilay rajiuuni

  • @nuhuamini1528
    @nuhuamini1528 10 днів тому

    Innalillah wainnna ilaih rajiun Allah awarehemu marehemu wote waliotangulia njia ya haq

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 12 днів тому +1

    Innalilah wainna ilayhi rajiuni

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 12 днів тому

    Innalilahi wainnaaileyhirajiuoni Allah Awasamehe Wote Maitizetu Walio Tangulia Yarabiy Nasisi Atujaaliye Khusnilkhatima Njema Yarabiy

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 12 днів тому +1

    Innalilah wainailah rajuun

  • @TibaMatokeo-kk3mj
    @TibaMatokeo-kk3mj 11 днів тому

    Allah ampe kauli njema Innalilah wainallilah lajjun

  • @user-hm5jl1kh2t
    @user-hm5jl1kh2t 12 днів тому +6

    Innalillah wainailaiyhi rajiunn allah amswamehe alipo.kiseaa😢😢😢

  • @pataniabdallah9578
    @pataniabdallah9578 9 днів тому

    Innalilah wainna ilahim rajuun

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 12 днів тому

    Innalilahi waina ilaihi rajiuun Allah amuhifadhi pema nasi atupe mwisho mwema

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 12 днів тому +1

    Innalillah wainna ilayhi raajiuun

  • @mamaibra3817
    @mamaibra3817 8 днів тому

    Inna lillah wa Inna illah raji'un

  • @ShamimHassan-qm1et
    @ShamimHassan-qm1et 12 днів тому +1

    Innalillaahi wainna ilaih raajiun😢😢

  • @mussahamad8967
    @mussahamad8967 12 днів тому

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun, Allahumma ghfir lahuu warhamhu,waskanhu filjannah.... Aamiin yaa Rabbiy.

  • @mornasaidtindwa3622
    @mornasaidtindwa3622 12 днів тому +1

    Innalilah wainnailah rajuun

  • @user-pd4qb7uz8b
    @user-pd4qb7uz8b 11 днів тому

    Innalilah wainnailaah rajiun

  • @HasinaKungulilo
    @HasinaKungulilo 12 днів тому

    Inna lillahi wa inna illahi rajiun Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit. Amin

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 11 днів тому

    Inalilah wanaileh rajuuni

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 12 днів тому +1

    إنا لله وإنا إليه راجعون

  • @mealiipafu-wg7dx
    @mealiipafu-wg7dx 11 днів тому +1

    Innalillahi wainnailaihi rajiun

  • @shamtesultan
    @shamtesultan 12 днів тому +1

    Inalilah wainalilah rajiun

  • @NuruBomba
    @NuruBomba 12 днів тому +1

    Innalilah wa innalilah rajiun

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 12 днів тому +1

    Inalilah wainailayh rajighuna

  • @user-ne7xi3bk3p
    @user-ne7xi3bk3p 11 днів тому

    Innalillahi wa inna ilaihi raajiuun Allah atupe mwisho mwema

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 12 днів тому +1

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 12 днів тому +1

    May his soul rest in peace

  • @user-mA17o
    @user-mA17o 12 днів тому +1

    Innaa lillahi wainnaa ilayh raajiuun

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww 12 днів тому +1

    Inalilahi wainailayhi rajiuni

  • @asmaafamau9293
    @asmaafamau9293 12 днів тому +1

    Inalillah wainailahi rajiun

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 12 днів тому +1

    Innalillahi Wainnailaihi rajiun

  • @JumaHeri-hn2bw
    @JumaHeri-hn2bw 12 днів тому +1

    🎉 inalilah wainalilah rajiun

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 11 днів тому

    Innalillahi wainnalillah rajiun

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp 9 днів тому

    Innalillah

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 12 днів тому +1

    Innalillahi wainna ilayhi rajiuun

  • @MoyoNyenje
    @MoyoNyenje 11 днів тому

    Mbona maiti aifukiwi naudongo hii imekaaje

  • @AsaaSuleiman
    @AsaaSuleiman 11 днів тому

    Allah awalipe wote waliotqngulia

  • @omytifa6403
    @omytifa6403 12 днів тому +1

    Ina lilah waina ilah rajioon

  • @FatmaHaji-sf6xq
    @FatmaHaji-sf6xq 9 днів тому

    Inalilahi wainailah rajiuon

  • @MeraiOmar-ok8bo
    @MeraiOmar-ok8bo 11 днів тому

    Inalillahi wainaillahi rajiun kz ya mungu Haina makosa😭😭😭

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 11 днів тому

    Allah.Amrehem.lnnalilah.

  • @mohamedmichonjo5077
    @mohamedmichonjo5077 12 днів тому

    Inna lillahi wa llayhi ŕrajuna

  • @salhaomar5382
    @salhaomar5382 11 днів тому

    Innalilah wainna illah iraajiun

  • @user-pq1ln1gt7h
    @user-pq1ln1gt7h 12 днів тому

    Innaalillah wainnaailayhi raajiuun

  • @ZainabuYasini-ih7ro
    @ZainabuYasini-ih7ro 11 днів тому

    Innalilah wa Inna ilaihi rajuini. Anazikwa walipo zikwa maswahaba.

  • @AishaAisha-vt3ng
    @AishaAisha-vt3ng 12 днів тому

    Allah amrehem

  • @user-rb8ir9co9k
    @user-rb8ir9co9k 12 днів тому

    Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 12 днів тому +2

    BACHU UKO WAPI? SUNNA MPYA HIYO

    • @khalifasaid0047
      @khalifasaid0047 11 днів тому

      Sunnah ipi kaka

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 11 днів тому

      ​@@khalifasaid0047kutiana sehemu bila ya mchanga karibuni watesema sunna

  • @user-xj2iv4gu3t
    @user-xj2iv4gu3t 12 днів тому

    Hakika ss ni wa mungu na kwke 2tarejea

  • @alkhalilmussa5633
    @alkhalilmussa5633 11 днів тому

    ويبقى وجه ربك ITABAKI DHATI YA MOLA WAKO

  • @MwarabuMwarabu-tm5hm
    @MwarabuMwarabu-tm5hm 12 днів тому

    Ina lilahi waina ilaihi rajiuni

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 12 днів тому +2

    MNAOFATA MWEZI WA SAUDIA MSHAONA NAMNA MNAVYOTAKIWA MZIKANE?

    • @IbrahimJuma-m3b
      @IbrahimJuma-m3b 12 днів тому +1

      Inaonekana hujui Ata unalolifanya hapa ulimwengun, upon tu

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 11 днів тому

      ​@@IbrahimJuma-m3bوضدي

    • @issamwembe4245
      @issamwembe4245 10 днів тому

      Kuna dosari hapo?

    • @MbaroukSilima
      @MbaroukSilima 10 днів тому

      Acha ujinga ww!! Kwnza ulizia hlo kwa wnye uenyeji sio kuleta kauli za kipumbavu kwnye jambo kama hlo!!