KUTAMBUA NYAKATI Luka anaandika hiv “Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa nchi na mbingu; imekuwaje, basi, kuwa hamjui kutambua MAJIRA haya?” - Lk 12:56 Mathayo pia anaandika “Akajibu, akawaambia, [Kukiwa jioni, mwasema, Kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu. Na asubuhi, mwasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! ISHARA za zamani hizi hamwezi kuzitambua?]” - Mt 16:2-3 Hapa tunaona majira ni sawasawa na ishara Ishara ni nin bas ? kwa muktaza wa kutambua nyakati# Ishara kwa kiswahiliiii sanifu ni dalili au alamaaa au muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu ! Ishara imetumika mara 52 katika bibilia ya kigiriki hivyo ni neno lililotumika sana na mara ya kwanza imetajwa katika Mwanzo 1: 14 ona “Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;” - Mwa 1:14 HAPA ISHARA KAMA KIELEEZO CHA KUELEZEA JAMBO LA KIROHO Maneno dalili na majira ni tofasiri ya SUV ukiweka kwatika lugha ya asilia yan KJV unaona sign and season Genesis 1:14 And God said, Let there be lights in the firmament of the heaven to divide the day from the night; and let them be for SIGN, and for SEASON, and for days, and years: KJV SIGN-->ISHARA AU DALILI AU ALAMA SEASON--> MAJIRA Nukuu ni nying katika bibilia kuhusu ishara nimepitapita mpk kuchukua mistari miwili “Mungu naye akishuhudu pamoja nao kwa ISHARA na ajabu na nguvu za namna nyingi, na kwa magawanyo ya Roho Mtakatifu, kama alivyopenda mwenyewe.” - Ebr 2:4 HAPA ISHARA KAMA Muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu ! Lakini MUUJIZA AU ISHARA INATAKIWA IMFUNUE KRISTO ILI WATU WAAMINI ona Petro alivyofunuliwa kuhusu muujiza “Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.” - Mdo 3:1-2 “Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu.” - Mdo 3:7 Muujiza au sihara “Hata Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?” - Mdo 3:12 Petro anahubiri kupitiaaa muujiza ili watu wamuamini Kristo “Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote. Basi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.” - Mdo 3:16-17 Bad mahubiri “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;” - Mdo 3:19 Alafu aya ya 19 anaawaambia WATUBU ili wapate BURUDISHO AKA ROHO WA MUNGU NDANI YAO KUMBUKA ROHO ALIKUWA AMESHAACHILIWA YEYEOTE ALIYE AMINI KUFA NA KUFUFUKA KWA YESU ANAPATA ROHO WAKE YESU HOJA UNATAMBUAJE ISHARA KWA NAMNA YA ROHO AMBAYO MTUMISHII MWAKASEGE AMEISEMA? Ni kwa njia ya kuamini tu ukiona hutambui mambo ya rohoni ni ishara pia sisi n watu wa mwilini aka watoto wachanga katika imani Ndo maan paulo anaandika hiv “Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.” - 1 Kor 2:13 Kwaiyo siku utakayo amini ndiyo utapokea Roho ya Mungu nawe utawezaaa KUJUA ISHARA NA MAJIRA KIROHO! Ijapokuwa saaa ya wokovu ni sasa hiv Ona “(Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)” - 2 Kor 6:2
Mnasema Eti kuvamiwa kwa Israel wakati Yesu mwenyewe aliwafukuza na nyinyi mnaona wanauhalali wa kuishi nyny mambo yenu mengi mnampnga Yesu na Nabii Mussa aliwalaani aliwaapiza aliwaambia hawatapata Sehemu ya kuishi duniani watahangaika mpaka mwisho wa dunia
@@nereaigogo4442kwa nini hayo maombi ya kufunga na kuomba asifanye kwa ajili ya kukutana na Yesu, ambaye ndiye mwenye Mwakasege? Nadhani akikutana na Yesu atapata kikubwa zaidi.
Israel sio taifa la Mungu ni taifa la makafiri walio ikana iman watu wenye shingo ngumu walio laaniwa na Yesu mwenyewe.ss wakristo tusiofuatilia historia walishatudangaya kwamba ni taifa llilo barikiwa. hiyo ilikuwa zama za kale. wala sio kielelezo cha ukristo. ila usipo kuwa na ufaham utatekwa nao
Israel imekuwa ikivamiwa miaka mingi sana tangia warudi kwao 1948 na sidhani kama uvamizi wa juzi unamaana yote zaidi.Wakristo hawaoni israel wanavyoua watu wasio na hatia ila wao kila kukicha,"tunaiombea israel".Biblia inasema "Muombee adui yako mema wala msilaani" lakini wakristo wa kisasa badala ya kuombea anani kati ya palestina na israel wao ni kuombea israel tu.Waisrael wenyewe kwanza hawaupendi ukristo wanaona waafrika wanavyojipendekeza kwao.
Mapenzi ya mungu SI mapenzi ya wanadamu na ni vigumu kuyajua mapenzi ya mungu kama huna roho mungu hata ayubu mateso yake yalikuwa yanakibali kutoka kwa bwana
Mambo ya rohoni yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. Hamuwezi kumlazimisha huyu mtu aelewe ya rohoni kama yeye ni wa mwilini, hata akisoma biblia namna gani huyu hawezi elewa chochote! Atabaki hivyo hivyo mbishi. Kwa hiyo na yeye anapaswa kuombewa afunguliwe macho yake ya rohoni!
Mchungaji, tupe ufafanuzi wa kawaida wa kifamilia kuhusu watu ambao asili Yao ni Baba moja ila Mama tofauti na Wana ugomvi wa muda mrefu. Mwarabu na Mwi Israel ni ndugu, watoto wa Abraham. Moja Mkristo mwingine Mwislam. Angalizo . MTU toka Misri na Israel kwamwe hawana vita Kwa sababu wanaoleana
Lakini Israel haimjui yesu kwa namna ambavyo mnamjua na wala hawatumii agano jipya, hapa kuna tatizo la uelewa yaani walio wengi wanajua waisrael ni wakristo
Akuna dini ya ukristo ndugu, Kuna wafuasi wa Kristo. Na ndani ya israel wako wafuasi wengi tu wa Yesu Kristo. Usiwe mjinga na kuenenda kibinadamu. Haya Mambo Ni ya kiroho na waislamu hawawezi kuelewa haya mpaka siku ya kiama
@@christinakilla wapo wengii Isaya DANIEL, EZEKIEL, HOSEA ambae aliandika watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa ambao ndio nyinyi, YOHANA wa ufunuo kuna YEREMIA n.k
Mchungaji inaonekana hujui hata historian israil haikuvamiwa ila wao ndio waliovamia ardhi ya Palestine na kuuwa millions za wapalestina na ujue hao unaowaita waisrail hawaikubali huo ukristo wako
Wajinga wa kiimani ni wengi sana Afrika,yaani mtu unasimuliwa kitabu/novel na unakubaliana na anayekutafasiria kabisa?umasikini huu ni zaidi ya ukoma!!
The Bibilical Israel is not the same as the current Israel which was discovered in 1948. This current Israel came about after 'the great reset' read history. And read the bible in spirit.
Mungu akuzingire kwa kuta za moto we we na huduma yako na nyumba yako.amina. we love u.master
Mungu akutie mafuta mabichi uzidi kustawi kama mtende
Mwalimu wetu ktk kanisa la tanzania ni hzina kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Mwl Mungu azidi kukupaka mafuta na akupe mafunuo makubwa zaidi . Ukweli tunapokea elimu ya mafunuo🙏🙏🙌
Mungu mbariki mtumishi huyu ambaye ni hazina kubwa kwa taifa letu la Tanzania
Kwakweli
Tena ni hazina kwel kweli we proud to him
Mungu wa mbingu na nchi atuongezee watumishi wa kweli namna hii na kutupunguzia mitume na manabii wa uongo wanaoongezeka kila iitwapo leo.Ameen.
Amina
KUTAMBUA NYAKATI
Luka anaandika hiv
“Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa nchi na mbingu; imekuwaje, basi, kuwa hamjui kutambua MAJIRA haya?”
- Lk 12:56
Mathayo pia anaandika
“Akajibu, akawaambia, [Kukiwa jioni, mwasema, Kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu. Na asubuhi, mwasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! ISHARA za zamani hizi hamwezi kuzitambua?]”
- Mt 16:2-3
Hapa tunaona majira ni sawasawa na ishara
Ishara ni nin bas ? kwa muktaza wa kutambua nyakati#
Ishara kwa kiswahiliiii sanifu ni dalili au alamaaa au muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu !
Ishara imetumika mara 52 katika bibilia ya kigiriki hivyo ni neno lililotumika sana na mara ya kwanza imetajwa katika Mwanzo 1: 14 ona
“Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;”
- Mwa 1:14
HAPA ISHARA KAMA KIELEEZO CHA KUELEZEA JAMBO LA KIROHO
Maneno dalili na majira ni tofasiri ya SUV ukiweka kwatika lugha ya asilia yan KJV unaona sign and season
Genesis 1:14
And God said, Let there be lights in the firmament of the heaven to divide the day from the night; and let them be for SIGN, and for SEASON, and for days, and years:
KJV
SIGN-->ISHARA AU DALILI AU ALAMA
SEASON--> MAJIRA
Nukuu ni nying katika bibilia kuhusu ishara nimepitapita mpk kuchukua mistari miwili
“Mungu naye akishuhudu pamoja nao kwa ISHARA na ajabu na nguvu za namna nyingi, na kwa magawanyo ya Roho Mtakatifu, kama alivyopenda mwenyewe.”
- Ebr 2:4
HAPA ISHARA KAMA Muujiza unatoka kwa Mungu inategemea mukatza wakati unasoma Neno la Mungu !
Lakini MUUJIZA AU ISHARA INATAKIWA IMFUNUE KRISTO ILI WATU WAAMINI ona Petro alivyofunuliwa kuhusu muujiza
“Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa. Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.”
- Mdo 3:1-2
“Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu.”
- Mdo 3:7
Muujiza au sihara
“Hata Petro alipoyaona haya akawajibu wale watu, Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa utauwa wetu sisi?”
- Mdo 3:12
Petro anahubiri kupitiaaa muujiza ili watu wamuamini Kristo
“Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote. Basi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.”
- Mdo 3:16-17
Bad mahubiri
“Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana;”
- Mdo 3:19
Alafu aya ya 19 anaawaambia WATUBU ili wapate BURUDISHO AKA ROHO WA MUNGU NDANI YAO
KUMBUKA ROHO ALIKUWA AMESHAACHILIWA YEYEOTE ALIYE AMINI KUFA NA KUFUFUKA KWA YESU ANAPATA ROHO WAKE YESU
HOJA UNATAMBUAJE ISHARA KWA NAMNA YA ROHO AMBAYO MTUMISHII MWAKASEGE AMEISEMA?
Ni kwa njia ya kuamini tu ukiona hutambui mambo ya rohoni ni ishara pia sisi n watu wa mwilini aka watoto wachanga katika imani
Ndo maan paulo anaandika hiv
“Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.”
- 1 Kor 2:13
Kwaiyo siku utakayo amini ndiyo utapokea Roho ya Mungu nawe utawezaaa KUJUA ISHARA NA MAJIRA KIROHO!
Ijapokuwa saaa ya wokovu ni sasa hiv
Ona “(Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)”
- 2 Kor 6:2
Mungu mtunze mtoto wako huyu mtumishi Mwakasege
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu Wewe ni zawadi kubwa Kyla Tz
Mwl Wangu Mungu Akulinde na Kukutunza Zaidi, Mafundisho yako Kuna mqhali yamenitoa na najua yananipeleka sehemu Nzuri
Ahsante Mungu kwa sababu ya mtumishi huyu
Mwalimu unafundisha unaeleweka kwa100% barikiwa sana mtumishi
MTU wa Mungu . barikiwa.
Kweli wewe ni Mwalimu kweli kweli MUNGU akubariki sana wewe na Uzao wako kwako Kistoke Kinyonge Amina
Mungu akutunze mlezi wetu ,,uishi siku nyingi zenye uheri
Tunakupenda baba yetu mwl wetu, wewe ndio tunu ya taifa letu❤❤❤❤
Mungu azidi kukutunza baba
Utukufu kwa Mungu.
MUNGU aendelee kuwatunza mtumish
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Mwalimu wa dunia Uishii sana Teacher
Mungu analo kusudi ya sis kujua
Sema wazungu wametudanganya Sana walipotosha maandiko wakapachika Kataifa kao kakihuni
Somo la Nyakati na Majira amefundisha sana..Kuna jambo laja naamini
😢😢dah mbn unaniogopesha
Asante sana mwalimu.. kwa maarifa haya. Mungu wa mbinguni azidi kukubariki
Mungu akubariki
To whom be glory for ever and ever. Amen.
Mungu baba wa mbunguni mbarikimtumishi umzidishie upako zaidi na zaidi
Mungu akupe kushiba miaka Baba, nafunguliwa sana na mafundisho yako.
This is deep revelation
Mungu akupe miaka mia ktk huduma hii ameeñi
Amen
Akika tunafarijika na maombi yako mtumishi barikiwa Sana🙏🙏
Ubarikiw na mungu mtumish umenitoa mahali
Barikiwa sana mtumishi, kwa hakika nimebarikiwa sana!!!!
Mungu akutunze mwl
Blessed more Mwlm wetu
Mwakasege ni mwalimu anajua sana kutuelimisha akili zetu mbovu tunakua tunafeli lakin kama kutufundisha anafundisha
Man of god
Baba baba Mungu akutangulie baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Huyu ni BABA wa kiroho Tanzania
Mungu awabariki Mwl na Mama Mwakasege.
Mungu akubariki baba jicho la Tanzania
Mungu akubariki baba.
Mungu akuinuwe sana
Mtumishi wa moyo wangu Mungu akubariki
Mungu akubariki sana
Asante baba ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante Sana Baba Kwa mafundisho mazuri, japo yanarushwa kipande kidogo tu hata hatufaidi vizuri.
Fatilia uone live leo upendo TV
Tazama upande wa live utayapata yote... full ceremony.
Tatizo nipo Huku nje ya nchi, na makanisa hakuna Kabisa huku omani ndo tabu, na upendo TV sina.
@@RamadhanMwinyimvua-ry8yp Dah Vipi ukiingilia upande wa u tube
@@RamadhanMwinyimvua-ry8yp ingia you tube andika mwakasege live hapo utapata full package
Hakika Mungu ni mwaminifu kwa waliomwishia
nmeumia sana kujua huu kweli kwa kucheleweshwa
Kuna ukweli zaidi ya hiyo dada
Nikweli kabisa huyu baba nihazina ya taifa
Mungu awe nawewe milele.
Barikiwa mwalim
Barikiwa mwalimu
Glory be to the LORD
Asante sana baba
Mungu akutunze mtumishi
MUNGU MLINDE MTUMISHI WAKO MAANA BADO TUNAITAJI AIFUNDISHE TANZANIA
Glory To Jesus
Ee yesu nakusihi zidi kuonekana kwenye huduma yake
Watanzania tufungue mioyo nà roho zetu ziwe macho kukesha tupate kuyajua haya tuyasikiayo na kuyaona.
Ameneeeee
Amen
Amina
Ni neeema tu ya Mungu
Ameeen Barikiwa baba
uyu mtumishi ndiyo alitakiwa awe rais wa nchi na nchi yenge kua na baraka za kutosha
Baba kama Baba
Amina.
God protect your privacy and your family😊
Najiungamanisha n haya maombi
🎉🎉🎉
Mungu akupe ujasiri, nguvu, uvumilivu nyakati zote baba angu
Ukweli me bado kaniacha Njia panda. Labda Kama kuna Clip nyingine yenye Maelezo zaidi kuhusu hii Vita.
Bwana Yesu tusaidie sana
Hao waisraeli hawawakubali wakristo na wanakupgeni vita lakn wakristo wengi hawasomi vitabu
Wewe vunga Ivo ivo
MUNGU tusaidie
Aliyeelewa ni Kitu gani kinachiliwa anifundishe na mimi.
Wewe ndye unaongea ukweli ten sana sana unatafungua wengi tusio jua
Hapo ni akili tu ndio inatumika, hakuna kitu....
Ndio uwe nazo sasa
Mbn mm nikiangalia inaishia katikati😢
Hicho Ni kipande kidogo tu chenye dakika 9.ukitaka fully nenda vidmate udowlod fully yenye Zaid ya saa moja
To be honest, yule kijana Mbarikiwe anastahili kukinywea kikombe anachokunywa sasa; kumtukana Mtumishi wa Mungu kama huyu jamani 😢
Hili somo ni zito sana sidhani kama wanakuelewa ingawa wanakubali alafu unasema mwakasege unaongea nini
Mnasema Eti kuvamiwa kwa Israel wakati Yesu mwenyewe aliwafukuza na nyinyi mnaona wanauhalali wa kuishi nyny mambo yenu mengi mnampnga Yesu na Nabii Mussa aliwalaani aliwaapiza aliwaambia hawatapata Sehemu ya kuishi duniani watahangaika mpaka mwisho wa dunia
Bwana na akukee pepo wewe
Nashida na mwakasege nampataje😭😭
Mtafute kwenye namba zake
@@miltonjohn9779 namba yake ni ipi jamani huyu baba Mungu amuweke tuuu kiukweli
Nenda kwenye mikutano yake
Fanya maombi ya kufunga na kuomba kwanza ili upate neema ya kumuona
@@nereaigogo4442kwa nini hayo maombi ya kufunga na kuomba asifanye kwa ajili ya kukutana na Yesu, ambaye ndiye mwenye Mwakasege? Nadhani akikutana na Yesu atapata kikubwa zaidi.
Tuna uhakika gani kwamba wale wayahudi tunaowaona pale Israel ndo wale wayahudi wanaosemwa katika biblia
Israel sio taifa la Mungu ni taifa la makafiri walio ikana iman watu wenye shingo ngumu walio laaniwa na Yesu mwenyewe.ss wakristo tusiofuatilia historia walishatudangaya kwamba ni taifa llilo barikiwa. hiyo ilikuwa zama za kale. wala sio kielelezo cha ukristo. ila usipo kuwa na ufaham utatekwa nao
Haswa ndio ukweli, Israeli ya leo sio lile taifa, bali Israeli ya Mungu Leo ni watu wote walio wanyenyekevu wazishikao sheria zake
Aise!
Mimi huwa simwelewi.
Ipo ck utaelewa
Israel ipi hii ya magaidi
Israel imekuwa ikivamiwa miaka mingi sana tangia warudi kwao 1948 na sidhani kama uvamizi wa juzi unamaana yote zaidi.Wakristo hawaoni israel wanavyoua watu wasio na hatia ila wao kila kukicha,"tunaiombea israel".Biblia inasema "Muombee adui yako mema wala msilaani" lakini wakristo wa kisasa badala ya kuombea anani kati ya palestina na israel wao ni kuombea israel tu.Waisrael wenyewe kwanza hawaupendi ukristo wanaona waafrika wanavyojipendekeza kwao.
Mapenzi ya mungu SI mapenzi ya wanadamu na ni vigumu kuyajua mapenzi ya mungu kama huna roho mungu hata ayubu mateso yake yalikuwa yanakibali kutoka kwa bwana
Haya
Soma bible vizr kaka.
Mambo ya rohoni yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. Hamuwezi kumlazimisha huyu mtu aelewe ya rohoni kama yeye ni wa mwilini, hata akisoma biblia namna gani huyu hawezi elewa chochote! Atabaki hivyo hivyo mbishi. Kwa hiyo na yeye anapaswa kuombewa afunguliwe macho yake ya rohoni!
Kwa kweli
Mmeanza kudanganywa
Ni maandiko sio yeye
Na ww kadanganywe kule kwenu
Kasome Hosea 4:6
@@HildaPaul-hm4jk 😂😂😂😂
@@MaulidLihendeko-zu4mvKavae dela uwahi msikitini ukajifunze karate maana uwezo wako ni mdogo sana
....lakini ule mwisho bado😂😂😂😂
Haijarish lkn ujumbe umeeleweka
@@klauslusajo774 wewe ni wale unaua nyoka ukiamini ndio shetani wa edeni, hawa Israel hawamtambui huyo Yese, sijui unafahamu?
Wapalestina wanauliwa na Hawa wahuni wanaongozwa na marekani na uingereza mashetani wakubwa
Mchungaji, tupe ufafanuzi wa kawaida wa kifamilia kuhusu watu ambao asili Yao ni Baba moja ila Mama tofauti na Wana ugomvi wa muda mrefu.
Mwarabu na Mwi Israel ni ndugu, watoto wa Abraham.
Moja Mkristo mwingine Mwislam.
Angalizo .
MTU toka Misri na Israel kwamwe hawana vita Kwa sababu wanaoleana
Lakini Israel haimjui yesu kwa namna ambavyo mnamjua na wala hawatumii agano jipya, hapa kuna tatizo la uelewa yaani walio wengi wanajua waisrael ni wakristo
Akuna dini ya ukristo ndugu, Kuna wafuasi wa Kristo. Na ndani ya israel wako wafuasi wengi tu wa Yesu Kristo.
Usiwe mjinga na kuenenda kibinadamu. Haya Mambo Ni ya kiroho na waislamu hawawezi kuelewa haya mpaka siku ya kiama
Dishi lako limeyumba. Kwani um3zungumzwa ukristo hapa
Nani amekuambia utuwambie
@@emanuelmargwe7087 Kiroho wewe unakijua au umekalili tu?
Wafuasi wa Kristo ni israel wa kiroho. Haya mambo yamefichwa kwa watu wenye hekima ya kidunia. Hii ni siri (mystery)
Ole wenu ninyi mnaoweka matumaini yenu kwa walimu wa uongo kama huyu.
Funga kinywa chako kama umekosa la kuongea.
Acha mtumishi ahubiri neno
Tafuta wa kwako wa kweli
@@EliyaMagiyayaani tena akifunge haswa,hata kwa super glue,looooh
@@christinakilla wapo wengii Isaya DANIEL, EZEKIEL, HOSEA ambae aliandika watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa ambao ndio nyinyi, YOHANA wa ufunuo kuna YEREMIA n.k
Mchungaji inaonekana hujui hata historian israil haikuvamiwa ila wao ndio waliovamia ardhi ya Palestine na kuuwa millions za wapalestina na ujue hao unaowaita waisrail hawaikubali huo ukristo wako
Umejibu kimwili na ndo tatizo
Wajinga wa kiimani ni wengi sana Afrika,yaani mtu unasimuliwa kitabu/novel na unakubaliana na anayekutafasiria kabisa?umasikini huu ni zaidi ya ukoma!!
The Bibilical Israel is not the same as the current Israel which was discovered in 1948. This current Israel came about after 'the great reset' read history. And read the bible in spirit.
Mungu akubariki
Amina