SHERIA NGOWI AFICHUA SIRI JEZI ZA YANGA SC, "NINA JEZI HADI ZA 2027"
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Waoo hongela sana kaka jezi kali mno
Hongera umejibu Kila swali hakika wewe ni namba Moja unajua unachofanya hukurupuki
Sportpesa haioneshwi ila mnavyoizuia isionekane ndo tunaiona Zaid 😂😂😂🎉
Hapo ndio watu watatafuta ili waone😊😊😊😊
Mzee SHERIA NGOI nimerizika sana na maelezo yako kweli ww ni mbunifu hatari. Mwananchiiiii onyeeeee-Nipo Mozambique
Jez Kali sana ngow una baya
Nimbunif mzuri sana unasitahili maua yako
Sheria kaka wala usitumie nguvu,,wanayanga tumezipokea kwa mikono miwili jezi nzuri.hao wote ni sanda.group.
Brother Shelia umeuwasha sana
Siku nyingine walete sabuni za kigoma na ile jezi yao.sawa.
Anajua kujibu maswali sana.
Simba Wala yanga hatukuziumba rangi bali tumezichagua yanga ilichagua kijani njano na nyeusi na Simba walichagua nyeupe na nyekundu lakini siyo ajabu kutumia rangi nyingine Kwa hiyo kuongeza rangi katika jezi ingawa rangi mama zinajulikana hata hivyo hatutatumia nyekundu hiyo wanatumia wachawi na waganga mbona Simba hamuwaulizi kuhusu rangi ya bluu
SHERIA NGOWI unatisha sanaaaa upo vizuri mnoooo....!
Anatumia nguvu sana kuitetea lkn hamna kitu hapo
Afu wanaizuia sportpesa isionekane ila watangazaji kwenye vipindi wanavaa jezi za Man U au Arsenal zimeandikwa Team Viewer au Emirates .... 😂😂😂😂😂😂😂😂 Crown banaaa
😂😂😂😂😂 wakinanani watajeni 😂😂😂😂 semeni kolo😂😂😂😂
Piga kazi kaka mitoko ya mana kabisa
Noma sana crown 👑
Design ya jazi za mpira na design ya nguo za wanamitindo ni mbingu na ardhi. Ndio maana nike na adidas bidhaa zao nyingi ni bidhaa za michezo na sio nguo za kawaida. Na gucci, lv, levis wamebakia kwenye mavazi ya kawaida. Huyu jamaa kwenye jezi vitu vingi havijui. Barcelona hata miaka 100 ijayo hawezi kuvaa rangi nyeupe, Madridi hawezi kuvaa rangi za Barcelona maisha. Huu ndio ulimwengu wa football na sio mambo ya mitindo. Ukiwa mwanamitindo bakia na mitindo na mambo ya fashion na kuwavalisha ma model.
😂😂😂😂😂😂😂
Nakubali sana kazi yenu
Simba .hamjui kutenveneza jezi makolo na machekecheo yenu ya mahindi
I like it for being a story teller😂
Kwani watu hawajaona jezi ya Timu ya Taifa ya Nigeria.... ?
Asante Sheria kwa majibu manzuri sana.
Wachambuzi wabongo bana simba awajawai kusema wamebadilisha mbunifu simba imebadili mzabuni wa kutengeneza jersey chambua mpira wanajikuta wanachambua muwekezaji😅
Tatizo ni kutoka katika uhalisia wa rangi yaani traditional colour green and yellow
kwani yanga anapangiwa rangi acha hizo, ndio wivu wenyewe huooo, sanda fc
Salim ukimaliza kawafundishe makolo wenzako
Ngoi mii nakukubar san rakin kwajez hiz umefer yanga hatuna rangi hizo
Sheria ngowi wewe Huna baya kaka ,Uzi umetulia Sana.
Jezi imejaa fujo, kama nguo cartoon ya watoto 😞😞😞
@@gmbrown1429 tafuta timu kolo wewe
Achapo tuchuki nawewe😂
Rangi za wachawi ni gani???😅
Ngow watakuchosha sana hao sijui kolo hao na maswali yao ya police, sie wa yanga tumeridhika jezi nzuri kwetu
Wewe hata kama nikukosoa hapana jesi mbaya bhana me yanga lakini kwenye jezi nyeusi Tumeiga colour nyeupe ya Simba tuongee ukweli
Wewe sio yanga acha uongo wenyewe tumeilewa kali kinoma tuacheni na jezi zetu vaeni sanda zenu
We kolo tuliza kipwete hicho 😅😅😅😅
Wewe kengeeeeee
@@BibeBivani itakuwa mamaako labda kenge maana nyie ndiyo ambao hamuitakii memaa timu yetu kwenye ukweli tuseme ukweli hatuna rangi nyeupe kwenye aina ya jezi zetu
Na rangi ya blue Simba naye ana asili nayo ya wapi?
Ngow wanakuchosha tu jezi nzuri endelea kupiga kazi, mengine hayo ni maneno ya mkosaji
Hiv wazee wayanga muko wap mbona hamukemei huu upuz wangoi hiv kwer hiz doo rang zayanga ebu twambien ss wijuku wen tujuee
Ila hii kuzuia ety media isioneshe mdhamini wa Jersey ni ukichaa. Ni sawa na mwanadada anakuwa anaficha nyeti zake na wakati video yake ya connection ishazagaa. Anaficha nini sasa? Wajifunze kwa media kubwa duniani huo ushamba wameshaachana nao
Jezi za tp mazembe
Ni vitenge km vitenge vyengine
𝐇𝐀𝐋𝐀𝐅𝐔 𝐌𝐁𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐓𝐔𝐎𝐍𝐈 𝐋𝐎𝐆𝐎 𝐘𝐀𝐊𝐎 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐉𝐄𝐙𝐈 𝐙𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐙𝐈𝐋𝐄 𝐉𝐄𝐙 𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐈𝐓𝐈..!!😉
Sanda fc kila siku nyekundu, nyeupe, mmeongeza na bluu mmemaliza haijulikan jezi ya msimu upi yamefanana tu
Hana mpya huyu
Hakuna timu ilioumbwiwa rangi hiyo bluu mnayotumia miitoa wapi wakati mnasema nyekundu na nyeupe ndio simba acheni hizo tukutane uwanjani ndo swala la msingi
Vitenge tyuu batiki ongera
Katiba ya yanga ni langi ya njano na kijani
Reo hakuna njano kuna gordi na nyeupe ss msimu ujao wataweka nyekundu
Reo - Leo
Gordi - Gold
Langi - Rangi
Unakosoa rangi wakati hata kuandika tabu😂
Na mbunifu wa simba aje azifafanue sanda zake
Sanda je ziongelee
😂 ubaya ubwela kitenge cha taifa tunaenda kukichana na kukipigia deki kwa raha zetu Wana Simbaaaa!!!!!!!..
Una teseka ukiwa wapi
Mbona km azina quality sn
Wewe una teseka ukiwa wapi
Umia kaka umia 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vp SANDA
Umesahau 2012 mlikula tano 0 hiyo miaka 20 ya wapi,?au wewe na ulionao pia hawajui?
MLA ni MLA Leo, MLA Jana kala nini?
Nafikiri Hilo jibu umelielewa
Sio uzi ni vitenge tu vya kutoka Congo na Nigeria 😂😂😂😂😂😂😂
Sunda ushnunua😂😂😂
Sawa ni vitenge sasa unatakaje ww shoga wa SANDA
Ngow wanakuchosha tu jezi nzuri endelea kupiga kazi, mengine hayo ni maneno ya mkosaji