PART 2: ALIKAMWE AUCHANA USAJILI WA SIMBA "Sisi tulishatoka Huko siku nyingi"/ TAREHE YA JEZI MPYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 222

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 26 днів тому +48

    Habari crown media ?, aisee huyo Ally kamwe yupo very smatt sana katika kutoa habari nampa kongole nyingi sana mungu ampe maisha marefu na baraka nyingi saana

    • @issaselemani491
      @issaselemani491 22 дні тому +1

      Kwani hao Simba hawana wachezaji wenye umri mkubwa hadi sasa?Mbona wapo akina Kapombe,Hussein,Che Malone,Onana na wengi wengineo.Chama na Baleke tu ndiyo walioongezwa kutoka Simba ambao ninyi ndiyo mnawasema wazee.

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 25 днів тому +22

    Mkianza kujenga Sanam ya GSM mm wakwanza na mifuko kumi ya simeti niko tabola

  • @edwinmartin8066
    @edwinmartin8066 25 днів тому +17

    Point sana
    1 GSM
    2 UONGOZI
    3 MASHABIKI

  • @AYK.65
    @AYK.65 25 днів тому +15

    Ali Kamwe nakukubali sana una upeo mkubwa sana bigup Yanga

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 25 днів тому +9

    Asante sana Semaji Ally Kamwe Mungu azidi kukubali sana sana

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 25 днів тому +10

    Yanga wanajua Ku-BRAND WACHEZAJI wao kwa kweli..... Huyu Baleke pia Atafanya vizuri im sure

  • @mathiasmbeya7332
    @mathiasmbeya7332 25 днів тому +10

    Alikamwe ni msemaji ila ahamed ni mchekeshaji

  • @graysonlameck1317
    @graysonlameck1317 25 днів тому +6

    Ally Kamwe ana matani mengi sana ila ikifika kwenye ukweli anasema ukwel congratulation Ally

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 24 дні тому +6

    Leo nimeangalia Crown media kwa sababu ya msemaji wetu, vinginevyo siwezi kuangalia kwa sababu ya baadhi ya wachambuzi vimeo waliochukuliwa hapo,

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha3143 26 днів тому +12

    Yeees hapo umenifurahisha saaaaana hapo ulisema Mkude bado tunaye na pia Musonda kipenzi chetu waoooh zile pilika pilika za Musonda pale golini nazipenda sana

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha3143 26 днів тому +18

    Uongo, uongo, uongo uongo uongo mkubwa kweli kweli.
    Waambie kabisa ukweli. Hakuna mchango wowote uliotoka kwa wanachama wala viongozi wa serikali.😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 25 днів тому +15

    Ally Kamwe ametulia saaana kwenye usemaji.. Kule upande wa pili ni COMEDIAN...

    • @Mrdigital.
      @Mrdigital. 23 дні тому

      Kwenye kila mafanikio ata mpiga debe ataonekana smart sana,,, kwenye simba yenye migogoro na cahangamoto nyingi ila ahmed ameweza kutulia na kutengeneza mifumo ya sisi mashabiki kuendelea kuifwatilia team yetu na hizo comed ndo zinawapa uhai team yetu

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 23 дні тому

      @@Mrdigital. no bro.. uKatuni saana anafanya.... seriousness ni ndogo

  • @awalutibiita9650
    @awalutibiita9650 25 днів тому +11

    JUMA AYO upewe soda unywe nitaliap kwa maswali yako

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 26 днів тому +11

    😂😂😂 Prince Chotas pakamwe upo sahihi sana

  • @bakabrandtz8910
    @bakabrandtz8910 25 днів тому +3

    Kamwe ni professional spokesman

  • @HousenAhmadi
    @HousenAhmadi 25 днів тому +7

    Jamaa anajua sana kukera😂

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому +2

    Siyo keeling kwamba huyu mzuri kuliko huyu kila mtu apambane na mwandishi wake

  • @FaustineClement-q3j
    @FaustineClement-q3j 23 дні тому +2

    Katika wasemaji wanaojua mpila ally kamwe anaujua mpira sio mtu unaongea hovyo tu bila uhalisia

  • @jumamshana3417
    @jumamshana3417 23 дні тому +2

    Imerekodiwa na sim flan kavunga tu lakini anamaanisha tecno..

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer382 25 днів тому +3

    Yanga ni Bonge la dudeeeeeee 🎉🎉🎉🎉

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 24 дні тому +2

    Shida ya Paul Mkai anafanya kipindi ili kumaliza muda siyo kumaliza Mada, nimkatishaji mzuri sana anaboa

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini 23 дні тому +2

    Good

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 21 день тому +1

    Uongooo uongoooo uongooooo😂😂

  • @GoboreMinihaji
    @GoboreMinihaji 25 днів тому +5

    Mwamba Sana huyo alikamwe

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 25 днів тому +3

    Crown ipoo juu

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4p 25 днів тому +4

    naam kwa ukweli Ali pc kamwe yu sahihi

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 25 днів тому +2

    Semaji La Mabingwa💚🇹🇿

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa7723 25 днів тому +3

    Tumelipa kadi ya uwanachama,wanachama tumechangia kumbakisha Aziz,give us our credits

  • @bakarially253
    @bakarially253 22 дні тому +1

    Inaitwa Augsburg ndio timu yetu ya mkoa wetu ni miongoni mwa timu tatu kubwa katika jimbo la Bayern.
    1)Bayern München
    2)Nürnburg
    3)Augsburg
    Hizo ndio timu kubwa katika jimbo letu la Bayern na zote zipo Bundesliga

  • @musasulaiman8881
    @musasulaiman8881 24 дні тому +1

    This lad is very smart

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 26 днів тому +7

    Fact yanga tunajua kutunza na kulinda wachezaji wetu

    • @SportsRaha
      @SportsRaha 26 днів тому

      Km Mayele mmemtunza 😂😂😂

  • @deodatusmatwegula5364
    @deodatusmatwegula5364 22 дні тому +1

    Huyo Juma hivi kweli anajua ya kuwa wakati Yanga wanamsajili Saido Simba waliwasema Yanga wamesajili mzee na hatimaye Simba wakamsajili

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 26 днів тому +6

    Kausha dam Azizi ki

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini 23 дні тому +1

    Good news

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому +1

    Thank you kwani maana take ni thank you thank you ni Asante wewe una yako

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому +1

    Kutazamwa let's wait

  • @SimonMasebo
    @SimonMasebo 26 днів тому +7

    Hakika ww ni mwamba

  • @abdallahchungulu4439
    @abdallahchungulu4439 25 днів тому +2

    uyo juma ayo anauliza swali anazunguka weeeee mpaka anakera

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому +1

    Mnawataka wachezaji wasiona ugumu wa kuwapata hahahaaa wote mmechukua wengi waliomaliza mikataba

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya4077 24 дні тому +1

    Hapo kwa mashabiki ni sawa@ mobeto

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому +1

    Smart kwa wenye ushabiki naye

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 22 дні тому +1

    Haka kajamaa bana😊

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 25 днів тому +3

    😂😂😂😂😂😂huyo ndio ali mwana wa kamwe, wachane wapasuke hao makoloboi a.k.a vibatari lunyasi

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 23 дні тому

    Ally kamwe umetisha kaka

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini 23 дні тому

    Salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому +1

    Maude chama mchezaji wa Azam🎉🎉

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 25 днів тому +2

    Hao waandishi wa habari kabla ya kutoa habari wazifanyie kazi ya uchunguzi kwanza

  • @ahmedimakope
    @ahmedimakope 26 днів тому +3

    Hawa si ndio walisema wananchi lipeni pesa za uanachama Ili ipatikane abaki Aziz ki

  • @Sesakwaukweli3
    @Sesakwaukweli3 25 днів тому +2

    Tunaomba na Pemba isikilikane jaman isiishie unguja tu Zanzibar nivisiwa viwili sio Unguja tu mnatunyima kwanini

  • @oliverwhite1676
    @oliverwhite1676 26 днів тому +4

    Free agent huyo

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 25 днів тому +1

    💚💚💚💚💚 good 👍

  • @AstrozyZayoh
    @AstrozyZayoh 25 днів тому

    🙌🙌

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 24 дні тому +1

    Kamweukopoa sana wahabarishe

  • @emmanuellukwaro407
    @emmanuellukwaro407 24 дні тому +1

    Hamna msemaji humu

  • @saidmkuwa6088
    @saidmkuwa6088 25 днів тому

    Msemaji yupo vizuri sana sema wanamradhimisja awataje simba

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r 24 дні тому

    Noma

  • @awalutibiita9650
    @awalutibiita9650 26 днів тому +7

    Mbona unajibu kwa makasiliko 😂😂😂 kuna ukwel ndani yake nn

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 26 днів тому +4

    Sema unachojiskia ally 😂😂

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 25 днів тому +2

    Shule ndogo

  • @CastonJohn
    @CastonJohn 6 днів тому

    Ubingwa wa afrikaa nkazi kuubeba

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o 21 день тому

    HVI HUYU NJITI ANAJIONA KAMA YYE NI TOP YA TZ WAKATI MBUMBU MMMOJA

  • @CastonJohn
    @CastonJohn 6 днів тому

    Waambie hao

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому

    Wewe ndiyo unatoa pesa wangeongea kina GSM

  • @Mrdigital.
    @Mrdigital. 23 дні тому

    Simba shirikisho tunachukua

  • @ClementKonda-uj1nj
    @ClementKonda-uj1nj 24 дні тому

    Kwa sababu waliwapatiaga kamulungula wakatufunga 5

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 22 дні тому

    Tunajua yanga inasaidiwa naviogozi wa serikal

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata 22 дні тому

    Kama waandishi tuwe tunauliza maswali ya msingi kuendelea kusisimua habari tunazozitoa.

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 22 дні тому

    Kwan Baleke n mchezaj wa simba?? Baleke ni mchezaji wa mazembe

  • @justuswaziri3093
    @justuswaziri3093 23 дні тому

    Juma ayo asiongoze tena kipindi

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 26 днів тому +1

    😅😅😅

  • @ezekielmtanda9495
    @ezekielmtanda9495 23 дні тому

    Juma Ayo hana weledi, amepanic kinazi

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe 26 днів тому +2

    Sema watu waumie

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy 24 дні тому

    Ili lichambuzi vip unalazimisha mtu asemee klab nyingine

  • @user-sh8ug3lh4y
    @user-sh8ug3lh4y 7 днів тому

    Wachawi nyie kila kitu kinamwisho

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому

    Wewe unachukua wachezaji wote uliochukua yupi kavusha timu yake nusu halafu unajisifu

  • @Busagotz
    @Busagotz 23 дні тому

    Sasa wewe Ally komwe 😅😅😅😅 unapataje ujasili wa kuiongea simba haikuhus subli lig Debora hakuhus komwe wewe kweli

  • @user-sh8ug3lh4y
    @user-sh8ug3lh4y 7 днів тому

    Kalamba goli nne

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 25 днів тому +1

    Utazimiyatena

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому

    Unawazema azam kwani wewe Madeley huweezi kukutana naye

  • @alitante4279
    @alitante4279 26 днів тому +1

    Tuliza komwe iloo hassan wee kakushinda mke tu utaiweza simbaa dgo fatumaa wee😘

    • @naliakafatuma9870
      @naliakafatuma9870 26 днів тому

      Please usihukumu usije ukahukumiwa please mind your own Business please

    • @alitante4279
      @alitante4279 26 днів тому

      ​@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako ww sungura tope

    • @alitante4279
      @alitante4279 26 днів тому

      ​@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako wadg we sungura tope

    • @bernardndemba2253
      @bernardndemba2253 26 днів тому

      kamezidi kupepeta mdomo​@@naliakafatuma9870

  • @sevelintino6181
    @sevelintino6181 26 днів тому +2

    Huyu dogo siku simba akiongoza ligi atawatukana sana wachambuz sababu anaro ndogo sana

    • @shakiddymussa6822
      @shakiddymussa6822 26 днів тому +1

      Huyu ndio msemaji ttzo sio simba kuongoza lig ttzo ambebi ubingwa

    • @AngelmackieCharity
      @AngelmackieCharity 26 днів тому

      Yan Ana roho ya kimaskini mnoo

    • @salamSalehhhhh
      @salamSalehhhhh 25 днів тому +1

      Yan choko Sana huyu dogo

    • @user-ot5nk7lw4r
      @user-ot5nk7lw4r 24 дні тому

      Usitegemee simba kuja kuchukua kombe labda yanga waamue kuachia ubingwa

  • @wiyz_ta
    @wiyz_ta 25 днів тому

    Mbona kapanic vp si umeulizwa kawada2 mzee sasa unapanic nini spo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @bizmaterial594
    @bizmaterial594 25 днів тому

    Sasa huyu msemaji alivyoulizwa timu kubwa ambazo ni wapinzani amemtaja wydad, wakati huo wydad hayupo champions league. Hivi mnamwelewa kweli?

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc 24 дні тому

    Ongelea club yako na walugaluga wenzako simba inakuhusu nini.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 26 днів тому +13

    Wanasimba acheni chuki na comment zenu mbaya wehu nyinyi

  • @richardpeter5817
    @richardpeter5817 25 днів тому

    Mhhh huyu Ali kamwe kama mwehu vile

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 25 днів тому

    Debola🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wasemavyotv7736
    @wasemavyotv7736 25 днів тому

    Huyu dogo anafoce ukubwa
    Hana lolote buana
    Stephani kama kulkuwa na offer bas ataishia hapo

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo 25 днів тому +1

    Kaka wewe tulia na timu yako

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 24 дні тому

    Huyu jamaa anamatusi watu wamefanyakazi wewe unasema you tube dogs Acha dharau wewe ni mtoto mdogo sana unapotukana wakubwa unajitengenea lana utakuja kuumbuka

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 25 днів тому +1

    Hatuu hatuu hatuu hatuuu hatuuuuuuu

  • @MaikoKapelo
    @MaikoKapelo 24 дні тому

    Yanga.tamu.wape.saramu.kamwe

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 25 днів тому

    Paulinkai uko na haraka sana au muda ni ndogo sana

  • @KASSIMSHEHEMBA
    @KASSIMSHEHEMBA 23 дні тому

    Huyu ni njiti mbwa huyu anatufuata fata sana pumbavu

  • @malickomary5687
    @malickomary5687 25 днів тому +1

    Mbona kama anapaniki msemaji?

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 25 днів тому

      Anataka makolo wakasirike bila d mbili uwezi elewa 😂 jokes

  • @munirathomas4585
    @munirathomas4585 25 днів тому

    Huyu ally kamwe mbona kama mchicha mwiba

  • @OmaryhamisndugwaOmmymchina
    @OmaryhamisndugwaOmmymchina 25 днів тому

    Hilo shoga hilo

  • @user-bq6iy1zb8h
    @user-bq6iy1zb8h 25 днів тому

    Hiyo jama ni Simba nini

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 25 днів тому

    Huyu sas ndo afisa habari c yule comedian

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 24 дні тому

    Usiwatukane ngoja inyeshe tuone panapovuja tuone tarehe8