PART 2: ALIKAMWE AUCHANA USAJILI WA SIMBA "Sisi tulishatoka Huko siku nyingi"/ TAREHE YA JEZI MPYA
Вставка
- Опубліковано 11 лип 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Спорт
Habari crown media ?, aisee huyo Ally kamwe yupo very smatt sana katika kutoa habari nampa kongole nyingi sana mungu ampe maisha marefu na baraka nyingi saana
Kwani hao Simba hawana wachezaji wenye umri mkubwa hadi sasa?Mbona wapo akina Kapombe,Hussein,Che Malone,Onana na wengi wengineo.Chama na Baleke tu ndiyo walioongezwa kutoka Simba ambao ninyi ndiyo mnawasema wazee.
Mkianza kujenga Sanam ya GSM mm wakwanza na mifuko kumi ya simeti niko tabola
Point sana
1 GSM
2 UONGOZI
3 MASHABIKI
Ali Kamwe nakukubali sana una upeo mkubwa sana bigup Yanga
Asante sana Semaji Ally Kamwe Mungu azidi kukubali sana sana
Yanga wanajua Ku-BRAND WACHEZAJI wao kwa kweli..... Huyu Baleke pia Atafanya vizuri im sure
Alikamwe ni msemaji ila ahamed ni mchekeshaji
Ally Kamwe ana matani mengi sana ila ikifika kwenye ukweli anasema ukwel congratulation Ally
Leo nimeangalia Crown media kwa sababu ya msemaji wetu, vinginevyo siwezi kuangalia kwa sababu ya baadhi ya wachambuzi vimeo waliochukuliwa hapo,
Weye kama mie tu
Yeees hapo umenifurahisha saaaaana hapo ulisema Mkude bado tunaye na pia Musonda kipenzi chetu waoooh zile pilika pilika za Musonda pale golini nazipenda sana
Unajuw w nd mm kabisa kwny kila engo
Uongo, uongo, uongo uongo uongo mkubwa kweli kweli.
Waambie kabisa ukweli. Hakuna mchango wowote uliotoka kwa wanachama wala viongozi wa serikali.😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ally Kamwe ametulia saaana kwenye usemaji.. Kule upande wa pili ni COMEDIAN...
Kwenye kila mafanikio ata mpiga debe ataonekana smart sana,,, kwenye simba yenye migogoro na cahangamoto nyingi ila ahmed ameweza kutulia na kutengeneza mifumo ya sisi mashabiki kuendelea kuifwatilia team yetu na hizo comed ndo zinawapa uhai team yetu
@@Mrdigital. no bro.. uKatuni saana anafanya.... seriousness ni ndogo
JUMA AYO upewe soda unywe nitaliap kwa maswali yako
😂😂😂 Prince Chotas pakamwe upo sahihi sana
Semajiiiiii lamanaaa San 😂😂😂
Prince Chrotas Ki Pakamwe
Kamwe ni professional spokesman
Jamaa anajua sana kukera😂
Siyo keeling kwamba huyu mzuri kuliko huyu kila mtu apambane na mwandishi wake
Katika wasemaji wanaojua mpila ally kamwe anaujua mpira sio mtu unaongea hovyo tu bila uhalisia
Imerekodiwa na sim flan kavunga tu lakini anamaanisha tecno..
Yanga ni Bonge la dudeeeeeee 🎉🎉🎉🎉
Shida ya Paul Mkai anafanya kipindi ili kumaliza muda siyo kumaliza Mada, nimkatishaji mzuri sana anaboa
Good
Uongooo uongoooo uongooooo😂😂
Mwamba Sana huyo alikamwe
Crown ipoo juu
naam kwa ukweli Ali pc kamwe yu sahihi
Semaji La Mabingwa💚🇹🇿
Tumelipa kadi ya uwanachama,wanachama tumechangia kumbakisha Aziz,give us our credits
Inaitwa Augsburg ndio timu yetu ya mkoa wetu ni miongoni mwa timu tatu kubwa katika jimbo la Bayern.
1)Bayern München
2)Nürnburg
3)Augsburg
Hizo ndio timu kubwa katika jimbo letu la Bayern na zote zipo Bundesliga
This lad is very smart
Fact yanga tunajua kutunza na kulinda wachezaji wetu
Km Mayele mmemtunza 😂😂😂
Huyo Juma hivi kweli anajua ya kuwa wakati Yanga wanamsajili Saido Simba waliwasema Yanga wamesajili mzee na hatimaye Simba wakamsajili
Kausha dam Azizi ki
Good news
Thank you kwani maana take ni thank you thank you ni Asante wewe una yako
Kutazamwa let's wait
Hakika ww ni mwamba
uyo juma ayo anauliza swali anazunguka weeeee mpaka anakera
Mnawataka wachezaji wasiona ugumu wa kuwapata hahahaaa wote mmechukua wengi waliomaliza mikataba
Hapo kwa mashabiki ni sawa@ mobeto
Smart kwa wenye ushabiki naye
Haka kajamaa bana😊
😂😂😂😂😂😂huyo ndio ali mwana wa kamwe, wachane wapasuke hao makoloboi a.k.a vibatari lunyasi
Ally kamwe umetisha kaka
Salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Maude chama mchezaji wa Azam🎉🎉
Hao waandishi wa habari kabla ya kutoa habari wazifanyie kazi ya uchunguzi kwanza
Hawa si ndio walisema wananchi lipeni pesa za uanachama Ili ipatikane abaki Aziz ki
Tunaomba na Pemba isikilikane jaman isiishie unguja tu Zanzibar nivisiwa viwili sio Unguja tu mnatunyima kwanini
Free agent huyo
💚💚💚💚💚 good 👍
🙌🙌
Kamweukopoa sana wahabarishe
Hamna msemaji humu
Msemaji yupo vizuri sana sema wanamradhimisja awataje simba
Noma
Mbona unajibu kwa makasiliko 😂😂😂 kuna ukwel ndani yake nn
Sema unachojiskia ally 😂😂
Shule ndogo
Ubingwa wa afrikaa nkazi kuubeba
HVI HUYU NJITI ANAJIONA KAMA YYE NI TOP YA TZ WAKATI MBUMBU MMMOJA
Waambie hao
Wewe ndiyo unatoa pesa wangeongea kina GSM
Simba shirikisho tunachukua
Kwa sababu waliwapatiaga kamulungula wakatufunga 5
Tunajua yanga inasaidiwa naviogozi wa serikal
Kama waandishi tuwe tunauliza maswali ya msingi kuendelea kusisimua habari tunazozitoa.
Kwan Baleke n mchezaj wa simba?? Baleke ni mchezaji wa mazembe
Juma ayo asiongoze tena kipindi
😅😅😅
Juma Ayo hana weledi, amepanic kinazi
Sema watu waumie
Ili lichambuzi vip unalazimisha mtu asemee klab nyingine
Wachawi nyie kila kitu kinamwisho
Wewe unachukua wachezaji wote uliochukua yupi kavusha timu yake nusu halafu unajisifu
Sasa wewe Ally komwe 😅😅😅😅 unapataje ujasili wa kuiongea simba haikuhus subli lig Debora hakuhus komwe wewe kweli
Kalamba goli nne
Utazimiyatena
Unawazema azam kwani wewe Madeley huweezi kukutana naye
Tuliza komwe iloo hassan wee kakushinda mke tu utaiweza simbaa dgo fatumaa wee😘
Please usihukumu usije ukahukumiwa please mind your own Business please
@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako ww sungura tope
@@naliakafatuma9870 punguza shobo na comment za baba zako wadg we sungura tope
kamezidi kupepeta mdomo@@naliakafatuma9870
Huyu dogo siku simba akiongoza ligi atawatukana sana wachambuz sababu anaro ndogo sana
Huyu ndio msemaji ttzo sio simba kuongoza lig ttzo ambebi ubingwa
Yan Ana roho ya kimaskini mnoo
Yan choko Sana huyu dogo
Usitegemee simba kuja kuchukua kombe labda yanga waamue kuachia ubingwa
Mbona kapanic vp si umeulizwa kawada2 mzee sasa unapanic nini spo 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Sasa huyu msemaji alivyoulizwa timu kubwa ambazo ni wapinzani amemtaja wydad, wakati huo wydad hayupo champions league. Hivi mnamwelewa kweli?
Ongelea club yako na walugaluga wenzako simba inakuhusu nini.
Wanasimba acheni chuki na comment zenu mbaya wehu nyinyi
Ww ndo mwehu..........
Mwehu mwenye we am na Ally komwe wenu
Kolo wamevurugwa..wote mwezi mchanga..mtatukoma
@@josephlorri431 vyura mbona mnatoa sna mlio🫢
Mapenzi akaamua ku sign mwaka mmoja, Haya Mapenzi au method
Mhhh huyu Ali kamwe kama mwehu vile
Debola🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu dogo anafoce ukubwa
Hana lolote buana
Stephani kama kulkuwa na offer bas ataishia hapo
Kaka wewe tulia na timu yako
Huyu jamaa anamatusi watu wamefanyakazi wewe unasema you tube dogs Acha dharau wewe ni mtoto mdogo sana unapotukana wakubwa unajitengenea lana utakuja kuumbuka
Hatuu hatuu hatuu hatuuu hatuuuuuuu
Yanga.tamu.wape.saramu.kamwe
Paulinkai uko na haraka sana au muda ni ndogo sana
Huyu ni njiti mbwa huyu anatufuata fata sana pumbavu
Mbona kama anapaniki msemaji?
Anataka makolo wakasirike bila d mbili uwezi elewa 😂 jokes
Huyu ally kamwe mbona kama mchicha mwiba
Hilo shoga hilo
Hiyo jama ni Simba nini
Huyu sas ndo afisa habari c yule comedian
Usiwatukane ngoja inyeshe tuone panapovuja tuone tarehe8