RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ALIVYOTEMBELEA SEHEMU ANAYONUNUA NGUO
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- Tunayo story kutokea kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ambapo ametembelea sehemu anayonunuaga mashati katika Kiwanda cha Binti Africa ambapo alianza kuvaa nguo zinazotokana na eneo hilo tangu mwaka 2013.
na bado mtamkumbuka sana watoto wa mama kazi mlikua hamfanyi wwngi wenu mlikua mnauza unga kutuharibia ndugu zetu wazazi wenu mafisadi mlikua mtanyanya watu mjini mkiambiwa mnasema unanijua Mimi Nani kumamamake mtakoma tunyooshe magu na bado
Wow! my president 💞
Kweli, Ufipa ni wa kuwaacha kama walivyo. Awali walisema ni Rais dhaifu, Serikali imemshinda, anachekacheka, anasafiri sana nk sasa amekuwa mzuri. Mhe. JK uzuri wake ni MZALENDO na anaipenda TANZANIA. Pia bahati nzuri anawajua vizuri WANASIASA WA MAJI TAKA, ndio maana hakukubali kuacha NCHI iongozwe na NYUMBU. Anawakumbusha kuwa "MAISHA BORA YANAPATIKANA KWA KUFANYA KAZI". Mhe. Dr. JPM anawaambia "HapaKaziTu". MUNGU ibariki TANZANIA
OSCAR CHACHA imekaa vizuli kua kaulimbio ya 2020 kwamba mai
mh saafi sanaa inaleta rahaa sana kuona kiongozi wetu mstaafu unakumbuka watu wako bado tunakupendaa rais wetu
Dada anafanya kazi nzuri sana OK sawa ila PITIA HAPA KUONA MAPAMBO YA KUTENGENEZA bofya kapicha kushoto
Baba tunakukumbuka baba jaman baba 😢😢😢hali zo flohana kama simba vile kama umemkumbuka baba gonga like tuwe kwenye majonz ya kummic wote😢😢😢
Ameacha Taifa sehemu salama.
Rais Bora.ni Magufuli tu akunaga na aitatokea maana kiongozi mzuri awezi pendwa na wavunja sheria maana walizoea kujipatia mali bila jasho. Ongera Mh Kikwete kwa kumuachia kiti Mh. Magufuli A.k.a Katapila.
Nikweli kabisa
Penda San Rais Mstaafu
Huyu ndie rais asiye na kisasi wara majigambo zarau mwerewa mnyenyekevu. mpenda watu na anakubali kukosolewa.
vizuri zaidi saivi tunaheshimiana pesa za magumashi hazipo mafala nyinyi na mtazidi kummisi hatorudi tena na kwataarifa yenu akitoka magu kinakuja kifaa kuliko magu mtajuta
Shaaban khamis, katika hao Mafala na WAZAZI wako wamo???
Nguo nzuri sana hizo
mtaongea maneno yote mwaka huu ila huyu ndie raisi wa pekee
Wako sehemu gani?
Watanzania wote KABLA ya yote kwa pamoja tuseme " ASANTE MUNGU" bila kujali ni dini gani. Ni lini tumepata RAIS MBOVU???? TUMSHUKURU MUNGU JAMANI. Tunabahati saaaaaaaana kuanzia MWALIMU na hivi sasa tuna DOCTOR. Ukiwa Mwalimu mzuri utapata wanafunzi "BORA". Tuzidi kumuomba Mungu tulete PROFESSOR. Mungu ibariki TANZANIA
Hivi huyu mzee huwa anakasilika kweli maana wakati wote na tabasam na hana stress au ndio mbinu ya kutopata makunyanzi.
Tunawapata vipii?
nakuelewa sanaaa
ndiyo kazi uliyokuwa unaweza
haaaaaaah
MH, KIKWETE SITAKUSAHAU MAISHANI MWANGU UNALIPENDA TAIFA LAKO KUMLETA MH, MAGUFULI NA KUMTUPA NJE LOWASSA MUNGU AKULINDE
Yaani Angemleta Lowasa Bendera ya taifa ingekuwa Rubega ....tungeliwa mno na Taifa lingeanguka
Mwanafyale, haya maneno magumu sana, na inaonesha ni kweli yamekutoka moyoni. Nayaacha kama yalivyo, siongezi wala kupunguza kitu
Hunamacho wala masikio
saul mwakyanjala nikwel
kiwanda kipowapi hicho?
Unakubalika
Duh! We mzee umeondoka umetuletea sikio lakufa hasikii la mtu yani twapigika kwelikweli
🇹🇿🇹🇿
Anapendeza hata kuongea
Bora ya wewe ulilipa watumishi hewa hukufukuza hovyo watumishi lakini watumishi vyeo walipanda ,mishahara ulipandisha ,uliajili kila sekta japo pesa zilitumika lakini Nazi wanyonge walipata sahizi hata jkt ya mkataba no shida mishahara ileile ulio tuachia ww vyeo vilevile na wengine wamevuliwa ama kufukuzwa kabisa tens bila barua wala kiinua mgongo.....