XCLUSIVE: KUHUSU RICH MAVOKO, SALAAM SK AWEKA KILA KITU HADHARANI/ TUNAMDAI
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Kama unamkubali mendez gonga like hapa
fireeee!
Asante mendezi wameelewa
Show la kibabe
😂babu tale amemleta msanii wake Rich mavoko, mimi nikamleta msanii wangu Rich mavoko 😂safsana: Salam😂👏
Abelkey Lwaboshilm hahahaha. Pengine ni sawa but hajaifafanua vizuri.
Abelkey Lwaboshilm alikuwa ana maana ya Rayvanny
Ally Kassim alikuwa maana ya Rayvanny
mavoko atapata tabu sana
wanajeshi mkowapi huyo jamaa anamaliyenu kichwani fanyeni haraka mkamvue
Wanajeshi mko wapi au amuoni kofia yenu au wenyemajina awaonekani?
Iyo ni ya kwake
Nadhani kusaini mkataba mbele ya wazazi sio suluhisho la mikataba bora ushauri mzuri mngewashauri watafute wanasheria wao ili wawasaidie kwny mikataba
Aboud Ramadhan, mikataba huandikwa na kutafsiriwa na wana sheria
Rich ame fail bhnaa, 😂😂😂
Kizazi sana, umeeleweka
Ongea basi Ueleweke Unasema Mtu kapewa gari Na kama ni msanii wa wcb Unashindwa vp Kutaja aina Gan ya gari Alilopewa mavoko Acheni uongo nyie
ww kiongoz hujui msani wako alipewa gari gani?! ina maana mna ukubwa sana hvo hadi usielewe mengine yanayo endelea ndani ya kundi?!
Tatizo lao WCB hawatoi ukweli hata ukiangalia kwa kina Kifesi, Q Boy
ni hayo hayo tu
Sasa movoko ni msaanii wa nan