HANSTONE AFUNGUKA A-Z SABABU ZA KUJIONDOA WCB WASAFI! | NILIKOSA AMANI! | KUANDIKIA NYIMBO ZA WASAFi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 120

  • @bmbprocess2362
    @bmbprocess2362 6 місяців тому +8

    My favorite artist from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @JosephMoses-y5p
    @JosephMoses-y5p 6 місяців тому +9

    This man is dangerous ,i encourage any one ainvest kwa huyu kijana anashauku kuonyesha umma uwezo wake anajua sana sana

  • @shamsally6277
    @shamsally6277 6 місяців тому +3

    Good interview shout out,..goodboy hanstone usivunjike moyo kaka

  • @toneboytz6655
    @toneboytz6655 6 місяців тому +7

    Hanston nakubal san ❤❤❤🎉

  • @nyweleboy2832
    @nyweleboy2832 6 місяців тому +4

    Sijakuona siku nyingi adamu kumbe udingiiii tayari ushatukumba kaka one love

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 6 місяців тому +11

    Hanstone ana kitu kikubwa.. avumilie kama Jay melody.. his time is coming.. namtabiria makubwa.

  • @online2288
    @online2288 6 місяців тому +5

    Ilikuwa bado mda wakutanganza ivyo ni vipimo vya watu kujua kama unauvumilivu mbn wengine wanaenda ma wengi kiliko wanao lalamila

  • @Cu_ltu_re
    @Cu_ltu_re 6 місяців тому +3

    For the first ni ngumu kuzingatia mkataba the time unatoka mavumbini mtaani huna shilingi mia and you want the platform maybe second time 🎯

  • @yasser_yosa255
    @yasser_yosa255 5 місяців тому +2

    Anaweza sana Wachia mangoma uone mwenetu

  • @MJB-Africa
    @MJB-Africa 6 місяців тому +3

    Focus,focus, focus

  • @silabtechnology
    @silabtechnology 6 місяців тому +2

    Kwaio Toka ametoka io 2021 vp ameshatoboa au ameshatoa hits

    • @wizzykada9850
      @wizzykada9850 6 місяців тому

      Aliamia kutulia aondokane na Ile stress Nd maan hata interviews hakuzitafuta Kwa MDA ule

    • @svt3
      @svt3 6 місяців тому

      ​@@wizzykada9850Aston ni Rubby wa kiume na ni Q chief mtarajiwa

  • @pro_the_dj
    @pro_the_dj 6 місяців тому +6

    sasa kuna ile mtu umemsumea mkata ukishamuelezea mkataba unasemaje ataona kama umatakihi liziki bongo sio watu wazuli yakishamkuta ya mkumkuta ndo anakumbuka

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 6 місяців тому +6

    Huyu asingefika popote Bora WCB walivomtema,angewasumbuwa sana discipline yake ipo chini sana ,huyu ndio wale shida ake asaidiwe alafu avimbe baadae sio wa kujuwa jinsi alivosaidiwa kutoboa

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto 5 місяців тому

      Ashawahi kukuvunjia despline KWa style yeyote??

  • @napster2558
    @napster2558 6 місяців тому +2

    Nidhamu mtu wangu😂😂

  • @arjunaking5595
    @arjunaking5595 6 місяців тому +2

    asee mbn jamaa wanauliza maswali ya kigombanishi

  • @saidowsaidon4625
    @saidowsaidon4625 6 місяців тому +2

    Wasanii wote wa WSB wakisania ndo mda ule unatambulishwa kwa wew mbna ni tofauti huo itakua ni uongo😢😢😢

  • @radikallambo491
    @radikallambo491 6 місяців тому +4

    Bangi Zinamtesa

  • @jobizzotv2415
    @jobizzotv2415 6 місяців тому

    Ila wabongo Wana penda sana kuua ukweli na kuukuza uongo kua kweli..... stone boy ni kati ya ukweli 🎉

  • @kizzasadamj629
    @kizzasadamj629 6 місяців тому +5

    😂😂 alikua amesainia au alikua ameletwa kwanza aagalie kama anauezo😂😂
    Huyu kuna kitu kaficha😂😂

    • @ismachakoma
      @ismachakoma 25 днів тому

      hanston sasa niwakumpa mda kumuangalia wakati ashafanya kazi nying tu zinajieleza

  • @swahilifoodtz6446
    @swahilifoodtz6446 6 місяців тому +2

    Muongo uyo kabisaa

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 6 місяців тому +1

    Pole hans mungu atakukuongoza

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 6 місяців тому +21

    Hawa WCB wanachungulia nyota wakiona atafunika mtoto wao unavutwa unafyonzwa unatupwa

    • @wazinzatv3152
      @wazinzatv3152 6 місяців тому +2

      Mhhh😮

    • @MwinyidadiJuma-jl4gm
      @MwinyidadiJuma-jl4gm 6 місяців тому +4

      Akili zako za usiku

    • @nasibuomary7981
      @nasibuomary7981 6 місяців тому +1

      Acha kuongea pumba ww hujitambui! WCB wanamtoto kusema kunifika mtoto wao? Wanachoangalia kipaji na uwezo...kuna wasanii wangapi pale mbn huwazi kama watafunikana? Kila MTU na nafac yake watu wanahitaji kuingiza pesa tu kupitia kipaji chako maswala ya nyota usenge huo acha ujinga bhn!

    • @Mina.15
      @Mina.15 6 місяців тому

      @@MwinyidadiJuma-jl4gm😂😂😂😂 na zako za asubui

    • @solomonadams6337
      @solomonadams6337 5 місяців тому

      you mean Zuchuuuuh¿

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 6 місяців тому +8

    Nidhamu ni kitu muhimu katika kila kitu.kijana yuko sawa sema yuko na haraka kutoka.Awe mvumilivu tu bila hivyo atapotea.

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 6 місяців тому +2

      Hiyo ndio shida yavijana wengi wasasa hat maofisn wapo mtu akifanya kaz mwaka tu anatak amilik nyumba gar n.k.

  • @josephmakuri5724
    @josephmakuri5724 6 місяців тому +8

    Kuna watu wanafanya kazi miaka mitano hawalipwi lakini leo wametoboa

    • @salessliquor9519
      @salessliquor9519 6 місяців тому +2

      Sasa miaka hiyo na familia zetu na maendeleo binafsi inakuaje kaka si mtakufa njaa

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 6 місяців тому

      Wewe Umekaa Miaka Mingapi Bira Kulipwa Embu Tuambie Mana Usiongee Tu Kama Shabiki Wa Wcb

    • @josephmakuri5724
      @josephmakuri5724 6 місяців тому +2

      @@salessliquor9519 kipimo cha maisha ni uvumilivu bro hakuna mafanikio yanayopatikana kirahisi keep it in your mind 🤨

    • @josephmakuri5724
      @josephmakuri5724 6 місяців тому +2

      @@officiallnobystar sijui hata nikujibu nini kwasababu kwa muonekano tu unaonekana wewe sio hasira ila bado hujapitia zile changamoto ngumu za maisha ukatamani hata ufe so nikikujibu ntakuwa nimekupa kitu cha ziada ambacho sio hata uwezo wako 🤔UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA WEWE ZAKO TIA MAJI 🤫LEARN.....

  • @ndarnationsoundtz
    @ndarnationsoundtz 6 місяців тому +2

    Nyie amna akili wote apo machoko tuu asa wavuta banging et ndo watangazaji

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDA 6 місяців тому +4

    Mbn kama hajui anachojibu uyu dogo 😂😂😂😂

    • @ben_digital
      @ben_digital 6 місяців тому

      Kuna vitu anakwepesha kuviongea

  • @kizzasadamj629
    @kizzasadamj629 6 місяців тому +2

    Na alijuaje vitu muhimu vyiko page gani kama hakupitia mukataba woote😂😂😂
    Clouds hivyo ndo munavyotaka wakia wanaponda WCB😂😂

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 6 місяців тому +1

    Kipaji unacho lkn WCB Ni kama Shule...kuna vitu ulikuwa umekosa kwny mziki so walitaka uwe Sawa kwny vipengele muhimu vya uimbaji then ndo wakutoe ....sio Leo wakutangaze unatoa heatsong 1 ndo BC Tena unatoa maboko...kiufupi ni lazima UPIKWE utengenezwe vzr uiveeee!

    • @rpynoel566
      @rpynoel566 2 місяці тому

      Sasa dvoice mbona Hana hata hit song moja

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md 6 місяців тому +5

    Mtoto wakike unatakiwa urelax kidogo, unaingia kwenye kila anaeongea kuna kasauti chako kikali sana. Vizuri uelewe kuna vidume vitatu apo vinaongea just take your time sis. Relax 👋

    • @Jonathanmakhubela-kb6lz
      @Jonathanmakhubela-kb6lz 6 місяців тому +1

      stop shit ameekwa kwa hilo wewe sio mwalimu wa waandishi wa habari wewe ni mtu tu na bando lake..
      😀😀

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 6 місяців тому

      Mina ally Ni mtangazaji mzuri kuriko ata ware wanawke

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 6 місяців тому

      Mina ally Ni mtangazaji mzuri Sana kuriko ata hao wanaume

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 6 місяців тому

      Na ikumbukwe mina Yuko kazini usirete mambo ya ushamba kishamba razima aongeye usimpangie

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 6 місяців тому +4

    Ww ulindwa uvumilivu bro, Leo ungekua Tajiri

    • @shareefkamtande
      @shareefkamtande 6 місяців тому +1

      Miaka mitatu?

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 6 місяців тому

      @@shareefkamtande 2019 had 2021 sio miaka mitatu. just imag6 2019 mwezi wa 12 had 2021 mwezi wa kwanza ni mwaka mmoja tu. So hyo isikuchanganye. Na miaka mitatu sio Mingi kwa pale WCB , harmonize alisubr miaka mitatu leo ni namba mbl nchini Rayvany leo ni namba tatu kama sio nne, Waliowatanguliwa wapo wapi??

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 6 місяців тому

      Lava lava Tajiri queen Doreen Tajiri? Acheni kujidanganya

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 6 місяців тому +1

      @@FahadAbubakari Sasa huoni huyu hanstone ana kipaji kuliko wao,?? Utamfananisha Hanstone na queen darling??

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 6 місяців тому

      Zuchu alikua miaka minne​@@shareefkamtande

  • @online2288
    @online2288 6 місяців тому +2

    Haston akuwa na uvumilivu

  • @JosephMichaelMabula
    @JosephMichaelMabula Місяць тому

    Huyo muongo kila msanii WCB ana meneja wake😂😂😂

  • @lobistyprecoz4440
    @lobistyprecoz4440 6 місяців тому +5

    Uyu mtoto yupo vzr kuliko yule mwimba singer

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 6 місяців тому +2

      Lakini mwimba singeli anajina kuliko yeye,Ni watu tu walimdanganya kimoyoni anajutia maamuzi yake,Mziki bila hela hakuna kitu

    • @ricklandennis
      @ricklandennis 6 місяців тому

      Ana jina je ana hela​@@frankngoloka2589

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 6 місяців тому

      @@frankngoloka2589chono wana man leo mbna anatamba acha uwongo ww kipaji tu

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 6 місяців тому +2

    Sasa kijana anasema alikuwa hajaliwi kwamb it's means aliona anacheleweshwa kwan sahiz anapata nini😂😂😂😂

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 6 місяців тому

      Alijitoa Aishi Kwa Amani Tu Sio Hivyo Unavyo Fikilia Na Usiombe Ukae Sehemu Ina Pesa Alafu Wakuombe Pesa Useme Una Apo Utajua Ujui

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 6 місяців тому +1

    Kipaji unacho arakini ungevumiria mbona ibula amekaa kond geng kwakuvumiria,kipaji unamzidi ata dvoice sema ,ndo hivyo haraka zako, na saivi ndo hutasikika kabisa Kama mavoko na wengineo

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto 5 місяців тому

      Ibrah ni ibrah na hans ni Hans halafu njia ziko tofauti za mafanikio ya MTU pia,,sio alichopitia Ibrah lazima na hanstone apitie inabidi utambue hiko pia

  • @amanichidyboy2900
    @amanichidyboy2900 6 місяців тому +2

    Tunapenda mdogo wetu

  • @JoshuaNakonje
    @JoshuaNakonje 6 місяців тому +2

    Azikiwe bila nidhamu uwezi finally popote

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 6 місяців тому

      Kupoteza muda pia ni ukosefu wa nidhamu, so yeye ananidhamu

  • @Jostany
    @Jostany 6 місяців тому +4

    Msieke comment za kumkandamiza Jamaa
    Muziki una mambo mengi

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 6 місяців тому

      Sio muzk tu maisha kiujumla shida ni nyingi kuliko urahis muhim kuvumilia nakutafta namna yakutatua ila wengi tunajiangalia sisi tu

    • @svt3
      @svt3 6 місяців тому +1

      @Jostany sio music tu maisha kwa ujumla ina mambo mengi ila nidhamu na uvumilivu vinahitajika saaana

  • @MateiPs-kr9tg
    @MateiPs-kr9tg 6 місяців тому

    Hanston ile ngoma na abbah vp imeishia wap?

  • @mariajumaaa
    @mariajumaaa 6 місяців тому +5

    bongo hapa wasani wa generation hii wanajua afu watu awawapi nafasi ni hanstone na ivorange

    • @Mhinaog
      @Mhinaog 6 місяців тому +1

      Kabisa Ivorange ni noma

    • @neemacute
      @neemacute 6 місяців тому

      ivorange alie imba nimekumis nae yuko moto sana

    • @neemacute
      @neemacute 6 місяців тому

      kuna wasanii kama ao hanstone,Ivorange akina vanilla wakipewa nafasi na wafanzania kuna vipaji vikubwa vitaonekana

  • @zeelamaokoto001
    @zeelamaokoto001 6 місяців тому +1

    KAKA ANGEBAKI KWA ABBA NOW ANGEKUA MNYAMA SANA

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 6 місяців тому +2

    Ttz vijana tunayachukulia poa Sana mafanikio...mafanikio hayaji kwa haraka km Unavyotaka ikitokea n bahat 2 Mipango ya Allah! Mwenzio Zuchu amekaa miaka mingapi mpaka kutolewa? Wa2 mpaka wameona kipaji chako na wakakuhitaji kibiashara maanayake wap wenyew wanahitaji ufanikiwe na wap wapate pesa...so hawakuwa wajinga.

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 6 місяців тому +3

    UkisikilizA vizuri utagundua hana adabu

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 6 місяців тому

      Nyinyi ndo wakanda mizaji mnauwa vopaji kwa wivuuu

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 6 місяців тому

      Acha Vivu Kk Wewe Unaweza Kaa Undel Sehemu Bila Malipo Ya Kujikimu Kidogo Ama Unakurupuka Kusema Kwasababu Ndio Team Wcb

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 6 місяців тому

    Huyu mtoto anakipaji Sana

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 6 місяців тому

      Kipaji bila uvumilivu haisaidii hat huk maofisin kun miez yakuangaliw utendaj wak na utakuta wataokuchukia na watakaokupenda ww ndio ujue utaish nao vp akili kichwan mwako.

  • @BHALEEALI
    @BHALEEALI 6 місяців тому

    WCB ni taasisi kubwa, hawawezi tu wakutambulishe kumbe vile ni mtu wa tamaa, adabu yako mbaya, na hivyo ndivyo vijana wa siku hizi hawana.. kiufupi huyu HASTONE alikosa uvumilivu wa kukaa pale

  • @GastonMkinga
    @GastonMkinga 6 місяців тому

    Amn k2 apo

  • @giztony2009
    @giztony2009 6 місяців тому

    Shida ya adam ni bangiii

  • @arjunaking5595
    @arjunaking5595 6 місяців тому

    zuchu kakaaa miakaa sabaa

  • @neziajoseph9726
    @neziajoseph9726 6 місяців тому +1

    Kama unataka kujua ukweli zaidi basi muulize Rich Mavoko namaanisha aulizwe msanii anayetoka nje ya wbc kuingia pale... jamaa Wana roho mbaya sana

    • @subo2667
      @subo2667 6 місяців тому

      We ulivyoongea naye alikwambiaje,,?

  • @IddyAthuman-f3k
    @IddyAthuman-f3k 6 місяців тому

    ARV Badala ya VAR😂😂😂

  • @MohamedChenge
    @MohamedChenge 6 місяців тому

    Hawa ndiomaana wanapuyanga , yaani majigambo ndo yanawakost

  • @Platwhite_Tz
    @Platwhite_Tz 6 місяців тому

    Hakuna maisha mazuri bila uvumilivu usha feli kaka😅

  • @Man-w4o
    @Man-w4o 6 місяців тому +4

    Huyu dogo kuna kitu anavuta km si unga bangi

  • @yasser_yosa255
    @yasser_yosa255 5 місяців тому

    Wcb wananyonya nyota

  • @Abby_Shawn_KE
    @Abby_Shawn_KE Місяць тому

    😂 Muziki waleo bila ibilisi hutoboi bro, damu yako ilikataa wewe kuungwa kwenye Frimasoni zao ndio maana ukawa outnumbered pale,. Kama wakina SAJNA wapo beji wewe nani njoo tulime

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 6 місяців тому

    Hans unakula unamoka

  • @MarkSulle-yg5lt
    @MarkSulle-yg5lt 6 місяців тому +1

    Me mtu mmoja aje anambie tu iyo background ni wimbo gani huo tafadhali

  • @Bichukahassan
    @Bichukahassan 6 місяців тому

    😂😂😂kwenda unaakili ww ujitambuiih bwenge ww ujuwi ata kuongeea yan usainiwe alafu ujuwi alikuwa anakusamamia duuh usiwe unaongea maana ujuwi unachafuwa lebo ya nasbu matako yako

  • @kizzasadamj629
    @kizzasadamj629 6 місяців тому +1

    1. Amesema hakupea chochote chakujikimu mbona D-voice alipea?
    2. Amesema aliandika nyimbo nyingi lakin hazikutolea, D-voice aliadika 30 songs lakin zilichagulia mbiri tu.
    Watu wigine mjaribu kukubari kwamba bahati haitokee kila wakati.
    Eti kibonge ilikua hiti song😂😂?

    • @wizzykada9850
      @wizzykada9850 6 місяців тому +2

      D voice miezi 6 kasainiwa Stone bway miaka mitatu sio riziki

  • @ibthuutz
    @ibthuutz 6 місяців тому

    Kijana anajua sana kuimba bt nidhamu yake ni ndogo!!!
    Media nazo zinajua kuvuruga asee!!!
    Shame on you Clouds!!!

  • @JoshuaNakonje
    @JoshuaNakonje 6 місяців тому +2

    Maisha bila nidhamu uwezi fika popote

  • @FawzaanMwemberi
    @FawzaanMwemberi 5 місяців тому

    Inaonesha wcb awakumtaka au chuki binafs

  • @arnaldo7319
    @arnaldo7319 6 місяців тому +1

    WCB hawana kosa lolote,ila hanstone kakosa kuwa na suubira kwasababu kwake yeye anajiona ni star, kwaio kuto kua na jero mfkoni ni shita, chapa kazi utafika unaptaka, ila anakiburi sana swala la kwamba mama na mtoto wake ilo swala limekaa kijeuri sana

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 6 місяців тому +1

      Wcb jauuu wa binafii waleee chiziii weee adi uwe mramba lipsii

    • @arnaldo7319
      @arnaldo7319 6 місяців тому

      @@RomanMwinyi inawezekana sitaki kuamini wala kukubali kwasababu siwajui kiundani, ila Hanstone inabidi awe smart ajuwe kuongea vizuri maana ana kaujeri flani ambao utamwaribia kiasi flani na watu wengine kuogopa kumsaidia

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 6 місяців тому

      wewe akuna asiye iuju WcB wale wanamabo ya kiwaki

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 6 місяців тому

      @@arnaldo7319fatilia kwangwaru ilivyo kashootiwa utapata jibu kwann harmonize aliamua kusepa

    • @nelsonnyizi9798
      @nelsonnyizi9798 6 місяців тому

      Ndo apambane atoke sasa maneno hayata msaidia